๐๏ธ Bongo Bila Borders, Episode ya 8!
Leo tunazungumzia burudani ๐๐ถ๐ฌโtukiangalia tofauti na mfanano kati ya Tanzania ๐น๐ฟ na Marekani ๐บ๐ธ.
Kuanzia muziki wa Bongo Flava na Hip-Hop hadi matamasha kubwa na starehe za mitaani, tunauliza: nini kinatufanya tufanane na wapi tuna tofauti kubwa?
Karibu kwenye mazungumzo haya yenye ladha ya kipekee ya burudani bila mipaka!
#Bongobilaborders #bongo #swahili #swahilipodcast #burudani #entertainment #wasanii #muziki