Sikiliza TANAPA Podcast, Episode 03 uelimike kuhusu
Chimbuko la Uhifadhi
Uanzishaji wa Hifadhi mpya na malengo yake
Maeneo matano ya Malikale yaliyokasimishwa TANAPA na
Uzalendo katika kutembelea Hifadhi za Taifa.
Mgeni maalum: Nakaaya Sumari (Tanzania Safari Channel)
Host: ACC Catherine Mbena, Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano TANAPA
Fuatilia mfululizo huu wa elimu ya uhifadhi, utalii na mirindimo iliyojaa burudani na maarifa tele.