Chanjo za Corona haziathiri nguvu za kiume kama inavyodhaniwa na wengi.Mwanahabari wetu alifanya mazungumzo na wanaume waliodungwa chanjo hio na wametibithisha kuwa hawajaathirika,nguvu zao za kiume bado ziko imara.
By:Athuman Luchi
Want to check another podcast?
Enter the RSS feed of a podcast, and see all of their public statistics.