Licha ya wanawake waliojifungua kusisitizwa kunyonyesha watoto wao,bado kunao ambao hawanyonyeshi watoto.
Kulingana na shirika la afya duniani WHO, karibu watoto 2 kati ya 3 hawanyonyeshwi maziwa ya mama pekee kwa miezi 6 iliyopendekezwa—kiwango ambacho hakijaimarika katika miongo 2.
Mwandishi:Zahra Nakaya Akosa.