Listen

Description

Kama wewe ni mjasiriamali uliyekuwa ukihangaika kupata wateja kupitia matangazo yako basi leo ni sikukukuu yako. Mambo utayojifunza katika sehem hii si kuwa itakusaidia kupata wateja tu Ila itawafanya wateja hao wakubembeleze kununua bidhaa/huduma unayotoa.