WARUMI 6:8
Lakini ikiwa tumekufa na Kristo, tunaamini kwamba pia tutaishi pamoja naye. 9 Kama tujuavyo, Kristo alikwisha kufufu liwa kutoka kwa wafu kwa hiyo hafi tena; kifo hakina mamlaka juu yake tena. 10 Alikufa kwa ajili ya dhambi mara moja tu, lakini maisha anayoishi anamwishia Mungu.