Tabia ya Kuwahukumu watu wengine ni tabia ya kiumaskini kwa sababu wewe siyo Mungu mpaka uwe unatoa hukumu kwa mabaya ya wengine, inaweza kuwa ni madhaifu, mapungufu, kasoro, makosa yao n.k lakini tambua kusikiliza episode hii utaweza Kuacha tabia ya hukumu watu wengine kwenye Maisha yako.