Wewe umezaliwa na upekee ndani yako na upekee wako ndio utambulisho wako kwa maana hiyo wewe ni wa kitofauti sana hivyo anza kuishi uhalisia wa maisha yako Ili uweze kujitofautisha na watu wengine kwenye maeneo tofauti tofauti ambayo upo kwa sababu ndani yako umebeba kusudi maalumu ambalo halifanani na mtu yeyote hapa duniani