Elimu ya fedha haifundishwi shuleni na vyuo vikuu na kupeleka watu wengi kupoteza fedha zao kirahisi kwa sababu ya kukosa maarifa sahihi ya fedha; Leo nimekuandalia mambo matano ya kufanya kabla ya kutumia fedha au pesa yako Ili uweze kufanikiwa kwenye eneo la fedha kwa kupata maarifa sahihi ambayo shuleni wala vyuo vikuu hukufundishwa. Kauli Mbiu: “MAISHA NI KUTHUBUTU”