Listen

Description

Hii leo Kenya imejumuika na mataifa mengine kusherekea siku kuu ya Radio nchini. Mada kuu ikiwa  uwaminifu kwa wanahabari wa  stasheni za kijamii,aidha taifa linaposherekea siku hii wanahabari wanaendelea kupitia changamoto sii haba.Karibu tuzijadili pamoja na tutafute suluhisho pamoja.