Listen

Description

Baada ya kuondolewa curfew nchini kenya, sekta mbalimbali zina nafasi ya kujenga uchumi.

Je, sekta ya uchumi Halali una mchango gani katika kujenga uchumi? 

Sikiliza makala haya nae @M_Shakombo akiwa na @UmiWabomba @ba_bajaffar @kheir_sulh @HalalSafaris