Baraka za Bwana zinatajirisha na hazina majuto, hazileti majuto! Baraka zake ni za milele, za kutegemewa.
Hakika unapata nakala yako Leo kwa ajili watoto wako na jamii inayokuzunguka. Nakala moja ni sh.3000 na unaweza kulipia makumi, mamia na maelfu ya nakala kwa ajili ya kuwa kufikiwa watoto wa kitanzania.