Rhapsodi ya Uhakika
Unyakuo wa Kanisa u karibu kuliko wakati wowote. Tu katika nyakati za hitimisho au mwishoni mwa “nyakati za ishara” kabla kutokea kwa Bwana. Ni muhimu kwamba ukawe tayari kwa ajili Yake. 1 Wathesalonike 4:16-17 inasema “wafu katika Kristo” watainuka kwanza, na wale walio hai na wamebaki watanyakuliwa pamoja nao ili kumlaki Bwana angani.