Look for any podcast host, guest or anyone

Listen

Description

Je, mtazamo wa Mungu ni nini kuhusu Mafanikio?


Fahamu kusudi la Mungu kuhusu Mafanikio. 


Kanuni za Mafanikio sawa sawa na Neno la Mungu.


Fungi la Kumi, Limbuko la Kwanza, Matoleo ya Hiari, Matoleo ya Mbegu (Mbegu ya Imani).


Biblia inasemaje kuhusu swala la Kufanya kazi na kutokuwa tegemezi.