Listen

Description

Kupandishwa cheo, hadhi au nyadhifa hakutoki mashariki, au magharibi au kusini, Bali vyatoka kwa Mungu, ambaye kupitia neno lake ametuonyesha namna tunaweza kusabibisha au kuchochea jambo hilo kutokea!
Soma mistari maandiko haya na uyatafakari vizuri kabisa:
Zaburi 3:3,
Zaburi 146:8,
Zaburi 27:6