Listen

Description

Naye alipokwisha kufanya shauri na

watu, akawaweka wale watakaomwimbia

BWANA, na kumsifu katika uzuri wa

utakatifu, wakitoka mbele ya jeshi, na

kusema, Mshukuruni BWANA; kwa maana

fadhili zake ni za milele

(2 Mambo Ya Nyakati 20:21).