Look for any podcast host, guest or anyone

Listen

Description

Naye alipokwisha kufanya shauri na


watu, akawaweka wale watakaomwimbia


BWANA, na kumsifu katika uzuri wa


utakatifu, wakitoka mbele ya jeshi, na


kusema, Mshukuruni BWANA; kwa maana


fadhili zake ni za milele


(2 Mambo Ya Nyakati 20:21).