Sikiliza nakala mbalimbali za rhapsodi ya Uhakika kwa lugha ya kiswahili, kitabu kinachotoka kila mwezi na chenye neno la kila siku. Mojawapo Yale utakayosikia mwezi huu ni pamoja na Yesu Ni Adonai, Pokea, simama wima na imara, waongoze wengine katika wokovu n.k. kitabu hiki kinaandikwa na mtumishi wa Mungu MCH. Chris Oyakhilome, PhD.