Listen

Description

Kitabu kinachotoka kila mwezi chenye neno la kila siku. 
Kitabu kimendikwa na Mchungaji Chris Oyahkilome na Kimesomwa na Ndg. Amedeus Deogratius. 
Utajifunza mengi yapasayo maisha ya ushindi, afya bora, ustawi, upendo, haki, imani na namna bora ya kumwabudu Mungu katika roho na kweli.