Kama mtoto wa Mungu unapaswa kuwa na tabia zinamwakilisha Mungu na kumtukuza Mungu wakati wote. Uaminifu, uadili, upole, ukarimu, kiasi, adabu njema, utauwa, ni tabia unazopaswa kuzionyesha wakati wote.
Sikiliza podcast hii kila Siku ili ikujenge vema katika tabia za Kitauwa!