Rhapsodi ya Uhakika, Nov 1, 2020. Watu walio na ujasiri hudumisha shabaha yao katika kile wanachoamini, na hakuna kilicho kikubwa sana kwao kukitoa au kukifanya katika kutimiza azma ya imani yao. Hivyo, weka ufahamu wako kwa Bwana na katika Neno Lake, na uwe tayari kila wakati kwa ajili ya kufanya jambo lo lote lile kwa ajili ya kuenea kwa Injili.