Listen

Description

Kitabu kimeandikwa na Mch. Chris Oyakhilome na Kimefanyiwa mapitio kwa njia ya Sauti na Amedeus D.R. 


Kimegawanyika katika sura 8 na kinaanza na Utangulizi unaitwa watu wa Unabii. 


Utangulizi - Watu wa Unabiii



  1. Utabiri na Kutamka Kabla ya Jambo kutukia.

  2. Bonde la Mifupa Mikavu

  3. Nyinyi Ndinyi Miungu

  4. Wewe ni Nabii wa Maisha Yako

  5. Ongoza Mkondo wa Maisha yako kwa Kinywa Chako

  6. Nini unapaswa kufanya na Unabii?

  7. Maongezi yako ni Mustakhabali wako

  8. Chukua hatua