Listen

Description

Mambo tunayosikia katika neno ni pamoja na

* kushirikisha mambo mema na walimu

* kupanda na kuvuna kwa roho na sio mwili

* kutenda mema kwa watu wote

* jinsi ambavyo hofu na tamaa iliwaharibu walimu waongo na onyo kwetu

* tofauti ya Paul aliyeishi kwa Kristo

karibuni sana.

Mchungaji Mmasa. Mwalimu Maiki.



This is a public episode. If you would like to discuss this with other subscribers or get access to bonus episodes, visit mwalimumike.substack.com