Listen

Description

Taarifa za wakulima nchini kuuziwa mbolea ghushi zinaibua swali la Je, Kenya ni nchi ya ughushi? Tulifikaje kiwango hiki cha kuanza kuchezea uti wa mgongo wa uchumi wa nchi hii -Kilimo? Sepetuko inasisitiza kuwa kamwe haiwezekani tuendelee kufanya michezo hii na uzalishaji wa chakula nchini.