Mafuriko yanayoendelea nchini yameendelea kusababisha mauti na uharibifu mkubwa. Ndiyo, tuilaumu serikali kwa kukosa kujiandalia majanga kama haya, lakini ni muhimu pia uchukue tahadhari. Usalama wako wakati huu unaanza na mimi na wewe.
Want to check another podcast?
Enter the RSS feed of a podcast, and see all of their public statistics.