Mkataba wa Anglo-Maasai treaty -1904, uliifanya jamii ya Maasai kuwa iliyoathirika zaidi kwa ukoloni kuliko jamii nyingine za Kenya. Kwa hivyo ahadi za wanasiasa zisiwe za kimatamshi tu. Ziwe ahadi za kurekebisha athari za ukoloni.
Want to check another podcast?
Enter the RSS feed of a podcast, and see all of their public statistics.