Listen

Description

Wanasiasa wawili maarufu zaidi nchini wametumia kilele cha mashujaa dei kule Kirinyagah kubembeleza kura za Mt Kenya. Mwalimu Ruto, PhD, na BABA wametumia ndimi laini kutaka wakubalike Mt Kenya, wala hawakufika Wang’uru Stadium kuhudhuria mashujaa dei!