Ni msimu wa wanasiasa wakuu kutangaza ajenda zao kwa taifa ili kuwavutia wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Mwaka 2022. Lakini ni vigumu ahadi hizo kutekelezwa kwa sababu ya ukosefu wa uadilifu kwenye daraja mbalimbali za kisiasa na kwenye utumishi wa umma.