Rais Kenyatta achukua hatua ya haraka kuzima makisio kufuatia 'ufichuzi wa Pandora'. Lakini hatua ya rais iliacha maswali badala ya majibu. Wakenya sasa wasubiri kuona iwapo kutakuwa na majibu kwenye taarifa yake akisharejea nchini kutoka Amerika
Want to check another podcast?
Enter the RSS feed of a podcast, and see all of their public statistics.