Listen

Description

Tangu ije serikali ya Jubilee mwaka 2013 baadhi ya mawaziri wametekeleza maagizo ya kisiasa kutoka kwa wakubwa wao wa kisiasa. Mbona wanasiasa wanaolalamika leo hawakulalamika? Tumesema yamekuwapo makosa tangu mwanzo- ni unafiki kuanza kulalamika leo.