Tangu ije serikali ya Jubilee mwaka 2013 baadhi ya mawaziri wametekeleza maagizo ya kisiasa kutoka kwa wakubwa wao wa kisiasa. Mbona wanasiasa wanaolalamika leo hawakulalamika? Tumesema yamekuwapo makosa tangu mwanzo- ni unafiki kuanza kulalamika leo.