Listen

Description

Shule kadhaa zimeripotiwa kuwatoza wanafunzi wote faini kufuatia visa vya kuteketezwa shule. Mbona kuwabebesha mzigo wanafunzi wote na hali makosa yamefanywa na wachache? Hatua kama hizo zinaashiria kwamba wakuu wa shule bila shaka hawawasikizi wanafunzi!