Tumefanya mahojiano na mwanasiasa mashuhuri Zanzibar, ameongelea mengi. Kwanza kuhusu hali yake ya kiafya, maoni yake kuhusu hali ya kisiasa Zanzibar, mtazamo wake kuhusu uongozi wa Rais Hussein Mwinyi na mengineyo mengi
Want to check another podcast?
Enter the RSS feed of a podcast, and see all of their public statistics.