Listen

Description

 Changamoto ndizo zinazofanya maisha kuwa ya kuvutia na kuzishinda ndiko kunakofanya Maisha kuwa na maana.

 Tofauti kati ya watu waliofanikiwa kimaisha na wasiofanikiwa ni uwezo wao wa kukabiliana na changamoto za kimaisha kwa usahihi na sio kukosekana kwa changamoto.

Jifunze zaidi kwenye somo hili