Listen

Description

Daktari Robert Byemba ana mashauri kwa ajili yetu kuhusu virusi vya Korona (COVID 19) na kuhusu wajibu wetu kama viongozi wa kiroho. Sio wakati wa kuogopa na kuacha kufanya huduma, bali ni wakati wa kuchukua fursa ya hudumia wengine kwa ujasiri.