Listen

Description

Tusipotumia hekima katika ugawaji wa huduma, badala ya kuona baraka na huduma kusonga mbele, tunaweza kujuta kwa nini nilimpa mtu fulani kazi. Katika episode hii ya mwisho katika mfululizo huu, kuna ushauri kuhusu kukabidhi wengine huduma kwa njia ambayo huleta mafanikio katika huduma na upevu katika maisha ya viongozi wa baadaye.