Haya ni maombi ya uponyaji kwa wagonjwa. Omba kwa imani utapokea uponyaji wako.
"Yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti, tukiwa wafu kwa mambo ya dhambi, tuwe hai kwa mambo ya haki; na kwa kupigwa kwake mliponywa."
1 Petro 2:24
Ubarikiwe sana.
Contact: +255652796450 (WhatsApp)
Instagram Page: holyspiritconnectÂ
Facebook Page: Holy Spirit ConnectÂ