"Uzoefu ni kufanya makosa na kujifunza kutokana na makosa hayo". Tunapoelekea mwisho wa mwaka 2024, inawezekana pia i nawe ni miongoni mwawale amabo Kuna vitu vimeumiza sana sababu ya makosa ya kibinadam au kutokujua sio mda wa kujilaumu badala ya yake nijifunza.