Look for any podcast host, guest or anyone
Showing episodes and shows of

Amedeus D. Raphael

Shows

Amedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastUFUFUO NDIO UFUNGUOUzima wa milele, uzima wa aina ya Mungu ni matokeo ya kufufuka kwa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. Jifunze zaidi kuhusu umuhimu wa ufufuo na matokeo yake katika maisha yetu. Hii rhapsodi ya Januari 4, 2024. Imeandikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome na imesomwa na Amedeus Raphael.2024-01-0411 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastMaisha yako ya ustawi ndani ya KristoHaujaumbiwa shida, mateso, umaskini wala uhaba. Ulimwengu wote ni wako, wewe ni mrithi wa pamoja na Kristo. Sikiliza Kweli hii kutoka kwenye rhapsodi ya Uhakika, toleo la Januari 3, 2024. Hakika huu ni mwaka wako wa Ukombozi. Endelea kusikiliza podcast hii inayoitwa Amedeus Live kila siku ili uishi maisha ya ubora na ukuu ulioitwa kuyaishi.2024-01-0310 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastMaombi Maalumu Kwa Ajili YakoSikiliza Maombi haya Maalumu kwa Ajili Yako na fanya ukiri huu pamoja na mtumishi wa Bwana - Amedeus Deogratius, na utembee kwenye halisia za mbaraka wako ndani ya Kristo.2023-12-3003 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastImani ya Aina ya MunguSikiliza kongamano hili la imani ambalo lilifanyika mkoa wa Mbeya ambapo utajifunza namna ya kutenda kwa imani ya aina ya Mungu. Mtumishi Amedeus Deogratius alihudumu katika kongamano hili.2023-12-2908 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastUtukufu hadi UtukufuPro 4:18  Bali njia ya wenye haki ni kama nuru ing'aayo, Ikizidi kung'aa hata mchana mkamilifu.  hii ndio inapaswa kuwa safari ya maisha yako kwenye kila nyanja ikiwemo na afya yako pia. Endelea kutumia kinywa chako kutunza afya yako.2022-02-1502 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastMaisha MarefuPro 3:1  Mwanangu, usiisahau sheria yangu, Bali moyo wako uzishike amri zangu. Pro 3:2  Maana zitakuongezea wingi wa siku. Na miaka ya uzima, na amani.  Ni hamasa ya Mungu kwamba uwe afya njema siku zote na uishi maisha marefu yenye kumpa sifa na utukufu. Chagua kuishi sawasawa na neno lake kwa ajili yako. Tumia kinywa chako kurefusha maisha yako.  2022-02-1502 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastAsili ya KiunguWewe sio wa kawaida, umezaliwa kwa mbegu ya Mungu, wewe ni zaidi ya mwanadamu wa kawaida. Unao uzima wa aina ya Mungu.2022-02-1302 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastMaisha ya UtukufuSafari ya Mtu mwenye haki ni kama siku ipambazukayo.... iking'aa na kung'aa mpaka mchana mkamilifu. #mchana #kung'aa #safari #haki2022-02-1202 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastKutokuzeekaWewe umezaliwa na Neno la Mungu linalodumu na kuishi hata milele. Kataa afya yako isizeeke, kudhoofu au kuathiriwa na Magonjwa.  #kutokuzeeka #umri #uzee #neno2022-02-1202 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastNastawi DaimaMimi ni kama mti uliopandwa kando kando ya vijito vya maji. Nazalisha matunda mwaka nzima. Maambukizi, viwavi na chochote kinachoharibu hakina nafasi ndani yangu. Maisha yangu ni kusonga mbele na kupanda juu tuu. Hallelujah.2022-01-3002 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastMaisha ya UtukufuTunaishi ndani yake, uzima wake ni uzima wetu! Tumeketishwa pamoja nae katika eneo la mamlaka na ukuu mbali sana na maradhi, magonjwa na mauti. Hallelujah!2022-01-3002 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastNinaishi kwa ImaniKwa maana pasipo imani huwezi kumpendeza Mungu..... Wenye haki wa Mungu wataishi kwa imani na sio kwa kuona, au kuhisi kwa milango ya fahamu ya mwili. 2022-01-2702 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastImani yangu ndio Ushindi1Jn 5:4  Kwa maana kila kitu kilichozaliwa na Mungu huushinda ulimwengu; na huku ndiko kushinda kuushindako ulimwengu, hiyo imani yetu. 2022-01-2702 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastUnabii wa Rhapsodi ya Uhakika mwaka 2022Haya ni maneno ya unabii kwa ajili ya usambazaji wa Rhapsodi ya Uhakika (ya Mungu) Tanzania nzima. Bwana ametoa neno lake na jina la Bwana libarikiwe.2022-01-2640 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastNaleta MabadilikoMimi sio mhanga wa maisha wala wa dunia. Mwili wangu ni Hekalu la Roho Mtakatifu. Ninaishi kwenye afya njema siku zote. Ninatawala na kumiliki katika maisha haya.2022-01-2302 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastAsili yangu ya KiunguMimi ni wa juu na sio chini! Mimi ni raia wa Sayuni - mji Mtakatifu! Safari ya maisha ni kutoka utukufu hata utukufu.2022-01-2302 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastSina mahusiano na MautiMimi ni Roho Mmoja Pamoja na Bwana. Mwili wangu ni makao ya kudumu ya Roho wa Mungu. Mimi ni tawi na yeye ni Shina la Mzabibu.2022-01-2302 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastUzima wa Mungu ndani YakoWewe una uzima wa aina ya Mungu. Uhai wako unabebwa na aina huu ya uzima. Wewe sio mwanadamu wa kawaida. Wewe ni mwana wa Mungu.2022-01-2302 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastNinao Uzima wa MunguTendea kazi neno la Mungu kila Siku. Kataa kuathiriwa au kukwamishwa na Nguvu pinzani. Ukiri wako ni ufunguo wa afya yako.2022-01-2302 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastTwaa Ngao YakoFahamu silaha uliyopewa na Mungu kwa ajili ya kujikinga na mashubulizi ya adui.  Usipojua namna ya kutumia silaha hii utakuwa mhanga katika maisha wakati sio kusudi la Mungu kwa ajili yako. Unaweza kupakua nakala ya rhapsodi hii kwa mwezi mzima kupitia link hii.2022-01-1405 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastRoho Moja Pamoja NayeMimi ni kiungo cha mwili Wake, cha nyama Yake, na cha mifupa Yake! Ninatembea katika ufahamu kwamba niko katika muunganiko na Yesu Kristo. Na kupitia roho, ninaufanya mwili wangu upate utukufu wa mwili Wake uliofufuka. Hakuna ugonjwa, maradhi au udhaifu unaoweza kusitawi katika mwili wangu, kwa sababu nimeunganishwa na Bwana na ni roho moja pamoja Naye. Uungu unafanya kazi ndani yangu. Utukufu kwa Mungu!2022-01-1010 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastUSISHINDWE NA UOVURhapsodi ya Uhakika, Dec 6, 2020. Mimi niko kwenye dunia, lakini mimi si wa dunia. Kwa hiyo, ninawaza, ninaongea, na kutenda tofauti na maisha ya dunia yalivyo. Nimetakaswa na Roho Mtakatifu, nikitengwa na Mungu kwa ajili ya kwa ajili ya matumizi matakatifu, yasiyo na mawaa. Ninatawala juu ya dhambi na kazi zake zotemagonjwa, udhaifu, umaskini, kifo nk. Amin.2020-12-0610 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastATHIRI ULIMWENGU WAKORhapsodi ya Uhakika, Dec 5, 2020 Mpendwa Baba, ahsante kwa kuniita katika maisha ya athari na kwa kunipa rasilimali kuu kuliko zote—ambayo ni Roho Mtakatifu—ili kunisaidia kutembea katika mapenzi Yako na makusudi Yako kwa ajili ya maisha yangu. Uliniumba katika Kristo Yesu kwa ajili ya kazi njema ambazo uliziandaa tangu kabla ya kuwekwa kwa misingi ya ulimwengu kwamba nienende katika hizo. Na sasa, kwa Roho Wako, maisha yangu yote yako katika kuliendea kusudi Lako na kutawazwa kwa Ufalme Wako katika mioyo ya wanadamu, katika Jina la Yesu. Amina.2020-12-0509 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastNI KUHUSIANA NA NENO KATIKA KINYWA CHAKORHAPSODI YA UHAKIKA, DEC 4, 2020. UKIRI Kupitia msaada wa Roho, na katika kulitafakari Neno la Mungu daima, ninazungumza kwa uangalifu maneno mazuri, ya kujenga, ya neema, yenye kuhuisha, yenye kuhamasisha, na yenye kutia moyo. Kwa maneno yangu, ninaumba mafanikio, ushindi, afya ya Kiungu na ustawi kutokea ndani, nikisimamisha haki ya Mungu katika ulimwengu wangu, katika Jina la Yesu. Amina.2020-12-0410 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastWEKA SHABAHA YAKO KWA BWANA NA KATIKA UFALME WAKERhapsodi ya Uhakika: Dec 03, 2020.  Ukiri. Nimehamishwa kutoka katika ulimwengu wa giza na kwenda katika “Ufalme wa Mwana wa pendo Lake.” Ijapokuwa ni ulimwenguni, nina fikra za ufahamu wa Ufalme wa Mbinguni. Hivyo, ninatenda kutoka katika uwanda wa ulimwengu wa roho, na hakuna kitu katika ulimwengu huu wa nyama kwamba ni cha thamani kwangu. Na hakika, kupitia kuenea kwa Injili kusikozuilika, Ufalme wetu unatawala juu ya mataifa. Amina!*2020-12-0310 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastELEWA NA LITAMKE NENORhapsodi ya Uhakika, Dec 02, 2020.  Kuna Wakristo ambao uzoefu wao katika maisha ni kinyume cha imani yao na Neno la Mungu. Kwa mfano, wanaweza kuwa wanaamini kwamba kama Wakristo, hawapaswi kukandamizwa na Shetani, ila wanapitia uzoefu wa mkandamizo wa kishetani na hila. Wanaamini kuwa hawapaswi kuugua au kuwa na madhoofu katika miili yao, ili hali ni vigumu sana kwao kuwa na uzoefu wa afya njema. Kuna kitu hakipo sawa.2020-12-0210 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastChangia Kipindi cha RhapsodiKuwa sehemu ya kupeleka injili katika ulimwengu nzima kwa kuchangia kipindi hichi cha rhapsodi ambacho pia kinaruka hewani kupitia radio za kawaida katika mikoa ya nyanda za juu kusini na katika visiwa vya zanzibar. Wasiliana na nasi katika namba zifuatazo: 0736000999.2020-12-0202 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastMBINGU MPYA NA NCHI MPYARhapsodi ya Uhakika - Dec 1, 2020 Ukiri Mimi nimekufa kwa ulimwengu na ulimwengu umekufa kwangu. Hivyo, ninaweka umakini wangu katika Bwana na Ufalme Wake wa milele, nikimpenda Yeye kwa moyo wangu wote. Mambo ya Roho ni ya muhimu sana kwangu kuliko kitu chochote katika ulimwengu huu. Ninaishi kila siku ingali umakini wangu ukiwa katika Injili, kuihubiri na kuieneza kote ulimwenguni kwa uweza wa Roho Mtakatifu. Amina!*2020-12-0110 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastTWALITUKUZA JINA LAKEMungu amejitukuza Mwenyewe ndani yangu; sasa, ninaubeba utukufu huo kila mahali. Hakuna aibu maishani mwangu; ninatembea katika utukufu, na maisha yangu yamejawa utukufu—heshima, nakshi, ukuu, uzuri, upendeleo! Ninatembea kiuendelevu katika afya ya kiungu, ustawi, na kuiathiri dunia yangu kwa utukufu Wake. Asifiwe Mungu!2020-11-3010 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastKUWA NA SHEREHE YA KUSIFUNaye alipokwisha kufanya shauri na watu, akawaweka wale watakaomwimbia BWANA, na kumsifu katika uzuri wa utakatifu, wakitoka mbele ya jeshi, na kusema, Mshukuruni BWANA; kwa maana fadhili zake ni za milele (2 Mambo Ya Nyakati 20:21).2020-11-2909 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastUJAZO WAKE NDANI YAKORhapsodi ya Uhakika - Nov 28, 2020. Mimi ni chombo kimbebacho Mungu; Kristo ndani yangu ni utukufu uliotambulika, ushindi uliohakikishwa, na usitawi uliothibitishwa. Hakuna hofu wala kuchanganyikiwa maishani mwangu. Bila kujali mitihani, majaribu ama changamoto zinazoweza kuja kinyume na mimi, mimi ni mshndi na kinara maishani. Haleluya!2020-11-2810 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastJIANDAE NA “NDEGE YA KWANZA”Rhapsodi ya Uhakika - Nov 27, 2020. Mat 24:37  Kwa maana kama vile ilivyokuwa siku za Nuhu, ndivyo kutakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu. Mat 24:38  Kwa kuwa kama vile siku zile zilizokuwa kabla ya Gharika watu walivyokuwa wakila, na kunywa, wakioa na kuolewa, hata siku ile aliyoingia Nuhu katika safina, Mat 24:39  wasitambue, hata Gharika ikaja, ikawachukua wote, ndivyo kutakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu2020-11-2710 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastMAARIFA YA WEWE NI NANIRhapsodi ya Uhakika, Nov 25. 2020 Unachohitaji ni maarifa sahihi na ya kutosha ya Neno la Mungu; hiki ndicho hukuweka juu maishani. Wengi hawana tatizo la imani, kwa maana kila mmoja wetu anayo imani (Warumi 12:3). Suala hapa ni ukosefu wao wa uelewa wa wao ni nani na nini ni milki yao katika Kristo.2020-11-2510 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastZINGATIA RATIBA ZA WENGINERhapsodi ya Uhakika, Nov 23, 2020. Jitahidi katika ubora wako usiiharibu siku ya wengine. Najua, kuna upande wa pili kwa jambo hili; unaweza kuwa ndiwe upaswaye kumuona mtu, lakini umeweka muda uo huo kuwaona watu wengine watano katika mji! Kwa hakika utakwenda angalau kumsubirisha mtu mmoja au zaidi kati yao, na hiyo si sawa. Hata ukiwa kama mkubwa (bosi) katika ofisi, kuwa makini na ratiba za walio chini yao. Watu waliofanikiwa wanajali [na kuzingatia] muda.2020-11-2309 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastUMO NDANI YA NURURhapsodi ya Uhakika, Nov 22, 2020. Bali ninyi ni mzao mteule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie katika nuru yake ya ajabu (1 Petro 2:9). SALA Ninakushukuru mpendwa Bwana kwa kunitoa gizani kuingia katika Ufalme wa Mwana wa pendo lako, ambamo ninatawala kwa neema kupitia haki, na kuufurahia uhuru tukufu wa wana wa Mungu. Wewe ni nuru ya maisha yangu, ambayo ninaitumia kujielekezea katika njia yangu kiubora katika ushindi, utawala, na mafanikio, katika Jina la Yesu. Amina. 2020-11-2210 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastKILA KITU KIMETIISHWA CHINI YA KRISTORhapsodi ya Uhakika- Npov 21, 2020. Alipokuwa katika kusema, tazama, wingu jeupe likawatia uvuli; na tazama, sauti ikatoka katika lile wingu, ikasema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye; msikieni yeye (Mathayo 17:5).2020-11-2110 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastMATUNDA YA UTII WAKERhapsodi ya Uhakika, Nov 20, 2020 Basi tena, kama kwa kosa moja watu wote walihukumiwa adhabu, kadhalika kwa tendo moja la haki watu wote walihesabiwa haki yenye uzima (Warumi 5:18).2020-11-2009 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastJIKABIDHI KWAKE NA ULIFUATE NENORhapsodi ya Uhakika- Nov 19, 2020 Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye kweli yote; kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe, lakini yoteatakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo atawapasha habari.  (Yohana 16:13).2020-11-1910 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastMWENDO WA IMANIRhapsodi ya Uhakika, Nov 18, 2020. Warumi 9:8 inasema, “Yaani, si watoto wa mwili walio watoto wa Mungu, bali watoto wa ile ahadi wanahesabiwa kuwa wazao.” Watoto wa mwili wanaongozwa na hisia zao. Badala ya kuenenda kwa imani, wanaendeshwa tu na kila ambacho wanaweza kuona kwa macho, kusikia, kugusa, kuonja, au kunusa kwa mwili. Lakini Ukristo ni mtembeo wa imani; ni maisha yapitayo hisia.2020-11-1711 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastKuishi Katika Nuru yake ya AjabuRhapsodi ya Uhakika, Nov 17, 2020. Ninaomba Mungu kwamba wototo wote wa Mungu wakaelewe andiko hilo hapa juu lina nguvu namna gani! Linasema tumekombolewa kutoka katika utawala wa giza na kuhamishiwa katika Ufalme wa Mwana wa pendo Lake. Hapo ndipo ulipo sasa! Lakini Mkristo asiyekuwa na uelewa huu atakuwa akiishi maisha ya giza, akifikiri mawazo ya giza, ambako tayari amekwisha ondolewa. Giza huwakilisha dhambi,2020-11-1710 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastKUISHI KATIKA RAHA YAKERhapsodi ya Uhakika, Nov 16, 2020.  Ahimidiwe Mungu! Amenipa maisha yapitayo kawaida ya haki, na ninatembea katika ushindi na utawala, kutokea mahali pa pumziko. Neema Yake yatosha kwangu, na katika mambo yote, ninatimiliza hatma yangu kitukufu na pasipo kusumbuka, katika Jina la Yesu. Amina.2020-11-1610 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastJINA LAKO NI MUHIMURhapsodi ya Uhakika. Nov 14, 2020.  Mbarikiwa Baba, ninakushukuru kwa Neno Lako ambalo linafunua utambulisho wangu, urithi na uweza katika Kristo! Mapenzi Yako kwa ajili ya maisha yangu yamefunuliwa katika roho yangu na ninaishi kila siku kuyatimiza mapenzi na makusudi Yako kwa ajili ya maisha yangu, nikienenda katika njia Ulizoziandaa tayari kwa ajili yangu, katika Jina la Yesu. Amina.2020-11-1410 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastLINDA WOKOVU WAKORhapsodi ya Uhakika, Nov 14, 2020. Sisi je! Tutapataje kupona, tusipojali wokovu mkuu namna hii? Ambao kwanza ulinenwa na Bwana, kisha ukathibitika kwetu na wale waliosikia (Waebrania 2:3). Ninamtumikia Bwana katika roho na kweli. Pendo Lake daima na kwa uendelevu linaendelea kudhihirika kupitia mimi kuwamiminikia wengine. Hakuna nafasi kwa ajili ya chuki, uchungu, wivu, au majivuno ndani yangu, kwa maana pendo la Mungu limemiminwa kwa wingi katika moyo wangu na Roho Mtakatifu. Na pendo hilo lanibidisha kuihubiri Injili na kuwafikia waliopotea kwa upendo, kuwageuza kutoka gizani na kuwaleta kwa Kristo. Amina.2020-11-1410 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastWarithi wa Utajiri Usio na MwishoRhapsodi ya Uhakika - Nov 13, 2020 “Kwangu mimi, ingawa mimi ndiye niliye mdogo kabisa kati ya watakatifu wote (watu wa Mungu waliowekwa wakfu), neema hii (kibali, upendeleo) niliopewa na kuaminiwa: kutangaza kwa Mataifa mali (isiyo na mipaka, usiyopimika, usiyo na hesabu, isiyohesabika, na isiyo na mwisho) ya utajiriwa Kristo usio na ukomo [utajiri ambao hakuna mwanadamu anaeweza kuuchunguza].”2020-11-1310 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastUliyetukuzwa katika KristoRhapsodi ya Uhakika - Nov 12, 2020. Mimi ni utukufu wa Mungu! Ninaonyesha na utukufu—Anaishi ndani yangu katika utimilifu Wake wote. Kupitia kujifunza na kulitafakari Neno, daima ninabadilishwa kutoka utukufu hata utukufu. Asifiwe utukufu—Anaishi ndani yangu katika utimilifu Wake wote. Kupitia kujifunza na kulitafakari Neno, daima ninabadilishwa kutoka utukufu hata utukufu. Asifiwe Mungu!2020-11-1210 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastWeka Umakini wako katika Lengo Kubwa ZaidiRhapsodi ya Uhakika - Nov 11, 2020.  2Co 5:18  Lakini vyote pia vyatokana na Mungu, aliyetupatanisha sisi na nafsi yake kwa Kristo, naye alitupa huduma ya upatanisho; 2Co 5:19  yaani, Mungu alikuwa ndani ya Kristo, akiupatanisha ulimwengu na nafsi yake, asiwahesabie makosa yao; naye ametia ndani yetu neno la upatanisho. 2Co 5:20  Basi tu wajumbe kwa ajili ya Kristo, kana kwamba Mungu anasihi kwa vinywa vyetu; twawaomba ninyi kwa ajili ya Kristo mpatanishwe na Mungu.2020-11-1118 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastDhirisha ShukraniRhapsodi ya Uhakika, Nov 10, 2020. Nina shina na ninajengwa katika Bwana, nimeimarishwa katika imani na kufurika shukrani! Kila siku, ninachochewa kudhihirisha shukrani zangu kwa Mungu, na kwa wale ambao kupitia hao Ananibariki kila siku. Hivyo, ninaenenda katika upendeleo, furaha, na utoshelevu. Amina.2020-11-1010 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastKiri Kweli yake Kwa ImaniRhapsodi ya Uhakika - Nov 9, 2020.  Kwa maana kila kitu kilichozaliwa na Mungu huushinda ulimwengu; na huku ndiko kushinda kuushindako ulimwengu, hiyo imani yetu (1 Yohana 5:4). Mimi ni shupavu katika imani na katika neema ambayo iko ndani ya Kristo Yesu. Ninatamka ushindi, mafanikio, afya, nguvu, na uhodari daima, kwa maana mkuu ni Yule aliye ndani yangu, kuliko yule aliye katika dunia. Neno la Mungu limeshika hatamu yote na linadhihirika ndani yangu, na kupitia roho yangu, nafsi, na mwili. Haleluya!2020-11-0910 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastAliandaa Maisha Mazuri ya Ajabu kwa Ajili Yako Rhapsodi ya Uhakika - Nov 8, 2020. Mimi ni kiumbe kipya, niliyeitwa kupokea baraka, niliyewezeshwa kufanikiwa katika kila jambo ninalolifanya! Hakuna ukame, kudumaa, ukosefu au kutokuwa na matunda katika maisha yangu, kwa maana nimechaguliwa na kuteuliwa kwa ajili ya maisha ya sifa, furaha, ubora, ushindi, na utukufu katika Kristo Yesu. Nimefanyika kuwa mchukuzi wa baraka za Mungu na mng’ao wa utukufu Wake. Haleluya!2020-11-0810 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastMvumbue Yesu na Kutafuta kwako KutakomaRhapsodi ya Uhakika - Nov 7, 2020. Col 1:15  naye ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote. Col 1:16  Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana; ikiwa ni vitu vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia yake, na kwa ajili yake. Col 1:17  Naye amekuwako kabla ya vitu vyote, na vitu vyote hushikana katika yeye. Col 1:18  Naye ndiye kichwa cha mwili, yaani, cha kanisa; naye ni mwanzo, ni mzaliwa wa kwanza katika wafu, ili kwamba awe mtangulizi katika yote. Col 1:19  Kwa kuwa katika yeye ilipendeza utimi...2020-11-0720 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastUlikuja kwa KusudiRhapsodi ya Uhakika - Nov 5, 2020.  1Jn 3:7  Watoto wadogo, mtu na asiwadanganye; atendaye haki yuna haki, kama yeye alivyo na haki; 1Jn 3:8  atendaye dhambi ni wa Ibilisi; kwa kuwa Ibilisi hutenda dhambi tangu mwanzo. Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alidhihirishwa, ili azivunje kazi za Ibilisi.2020-11-0510 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastHakuachi KamweRhapsodi ya Uhakika, Nov 4, 2020. Heb 13:5  Msiwe na tabia ya kupenda fedha; mwe radhi na vitu mlivyo navyo; kwa kuwa yeye mwenyewe amesema, Sitakupungukia kabisa, wala sitakuacha kabisa. Heb 13:6  Hata twathubutu kusema, Bwana ndiye anisaidiaye, sitaogopa; Mwanadamu atanitenda nini?2020-11-0409 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastUsibabaike Kuhusu Mustakabali wa Siku ZijazoRhapsodi ya Uhakika - Nov 3, 2020. 2Co 4:16  Kwa hiyo hatulegei; bali ijapokuwa utu wetu wa nje unachakaa, lakini utu wetu wa ndani unafanywa upya siku kwa siku. 2Co 4:17  Maana dhiki yetu nyepesi, iliyo ya muda wa kitambo tu, yatufanyia utukufu wa milele uzidio kuwa mwingi sana; 2Co 4:18  tusiviangalie vinavyoonekana, bali visivyoonekana. Kwa maana vinavyoonekana ni vya muda tu; bali visivyoonekana ni vya milele.2020-11-0310 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastEnenda Katika HekimaRhapsodi ya Uhakika - Nov 2, 2020.  Act 20:32  Basi, sasa nawaweka katika mikono ya Mungu, na kwa neno la neema yake, ambalo laweza kuwajenga na kuwapa urithi pamoja nao wote waliotakaswa.2020-11-0209 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastUHODARI [USHUJAA] KWA AJILI YA INJILIRhapsodi ya Uhakika, Nov 1, 2020. Watu walio na ujasiri hudumisha shabaha yao katika kile wanachoamini, na hakuna kilicho kikubwa sana kwao kukitoa au kukifanya katika kutimiza azma ya imani yao. Hivyo, weka ufahamu wako kwa Bwana na katika Neno Lake, na uwe tayari kila wakati kwa ajili ya kufanya jambo lo lote lile kwa ajili ya kuenea kwa Injili.2020-11-0110 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastHekima Kwa Ajili Ya Maisha Ya UkuuRhapsodi ya Uhakika - Oct 31, 2020 Pro 4:5  Jipatie hekima, jipatie ufahamu; usiusahau; Wala usiyakatae maneno ya kinywa changu. Pro 4:6  Usimwache, naye atakuhifadhi; Umpende, naye atakulinda. Pro 4:7  Bora hekima, basi jipatie hekima; Naam, kwa mapato yako yote jipatie ufahamu. Pro 4:8  Umtukuze, naye atakukuza; Atakupatia heshima, ukimkumbatia. Pro 4:9  Atakupa neema kuwa kilemba kichwani; Na kukukirimia taji ya uzuri.2020-10-3108 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastWashirika na Wasambazaji wa Uzima wa KiunguRhapsodi ya Uhakika, Oct 30, 2020. Wewe ni mbebaji wa halisia za milele. Unapotokezea, uzima hudhihirika. Unapowagusa wagonjwa na walioonewa, uzima wa ndani yako unahamishiwa na kuingizwa ndani yao, ukiwaletea utimilifu na ukamilifu. Ndio maana Yesu akatuamuru katika Mathayo 10:8, ”Ponyeni wagonjwa, watakaseni wakoma, wainueni wafu, na mkawatimue pepo.”2020-10-3011 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastZungumza Kwa Usahihi Na Uwe Na Maisha MakuuRhapsodi ya Uhakika - Oct 29, 2020. Mithali 18:21 inasema, “Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.” Utavuna mavuno ya mambo mema kupitia maneno yako. Maneno ni vitu; maneno ni nguvu ya uumbaji. Maisha yako leo ni matokeo ya maneno yako. Mithali 15:4 inasema, “Ulimi safi ni mti wa uzima….” Kama maneno yako ni mazuri, maisha yako yatakuwa makamilifu, bora, na ya kuhamasisha.2020-10-2910 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastKuishi katika Mamlaka YakeRhapsodi ya Uhakika, Oct 28, 2020. Waf 2:9  Kwa hiyo tena Mungu alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina; Waf 2:10  ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; Waf 2:11  na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI Bwana, kwa utukufu wa Mungu Baba.2020-10-2810 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastWenye Dhamana Ya Ujumbe Uzaao MatundaRhapsodi ya Uhakika, Oct 27, 2020. Kuishi bila Kristo ni kuishi pasipo Mungu; katika hukumu. Hii ndio maana unalazimika kuwa na bidii katika roho, ukiihubiri Injili (Warumi 12:11). Umetumwa kuipeleka nuru ya Injili kwa wale wenaoishi gizani (Matendo 13:7). Kwa hiyo, usiizuilie; usiwe mwenye kughairi. Kuwa na uthubutu na utambue kuwa wewe ni mwenye dhamana ya ujumbe wenye kuzaa matunda.2020-10-2710 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastYeye Anamfadhili Mvuna NafsiRhapsodi ya Uhakika - Oct 26, 2020 Baadhi ya watu wameutoa muda na mali zao katika kuhakikisha kuwa Injili inafika katika kila taifa la duniani. Wanafanya mambo makubwa katika kuiendeleza ajenda ya Mungu, wakiufidia upungufu na kutoweza kwa wengine. Wanatoa fedha nyingi sana katika kuisukuma Injili; na kadri watoavyo, ndivyo Bwana aelekezavyo zaidi rasilimali katika njia yao ili wakafanikishe mambo makubwa zaidi kwa ajili Yake. Atakusambazia yote utayoweza hitaji ili kulitimiliza kusudi Lake la kuvuna nafsi.2020-10-2610 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastKudhihirisha Maisha Ya Kristo Ndani YakoRhapsodi ya Uhakika, Oct 24, 2020. Ukristo ni udhihirisho wa nje wa utendaji kazi wa Neno la Mungu ndani roho ya mwanadamu. Kama Mkristo, wewe ndiwe taswira ya Kristo, kila hatua unayoichukua inapaswa kuwa ni udhihirisho wa uzima wa Kiungu ndani yako. Hivyo ndivyo namna Yesu alivyoishi pale Alipokuwa akienenda katika dunia. Alikuwa ni udhihirisho wa Mungu; udhihirisho wa maisha ya Kiungu2020-10-2409 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastFikiria Unyakuo Katika Mawazo YakoRhapsodi ya Uhakika Unyakuo wa Kanisa u karibu kuliko wakati wowote. Tu katika nyakati za hitimisho au mwishoni mwa “nyakati za ishara” kabla kutokea kwa Bwana. Ni muhimu kwamba ukawe tayari kwa ajili Yake. 1 Wathesalonike 4:16-17 inasema “wafu katika Kristo” watainuka kwanza, na wale walio hai na wamebaki watanyakuliwa pamoja nao ili kumlaki Bwana angani.2020-10-2410 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastSababu Tatu Za Msingi Za Kwanini Uvune NafsiRhapsodi ya Uhakika - Oct 23, 2020. Kuna sababu tatu za msingi za kwanini unalazimika kuihubiri Injili na kuvuna nafsi kama Mkristo. Kwanza ni imani yako katika Bwana Yesu na Injili Yake tukufu. Sababu ya pili ni upendo wako Kwake na tumaini la kurejea Kwake hivi punde. Sababu ya tatu ni maagizo Yake kwetu ya kuvuna nafsi. Sababu hizi tatu zikusukume kuvuna nafsi.2020-10-2310 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastYesu Ndiye Mungu MwenyeweRhapsodi ya Uhakika: Oct 22, 2020 Yesu ni Mungu katika mwili wa binadamu, lakini watu hawakujua. Yeye ni Adonai, Yaani Bwana, Mungu! Ndiye aliyemwambia Musa, “Baba zako, Ibrahimu, Isaka na Yakobo walinijua kama, Mungu Mwenyezi (mweza wa yote), lakini mimi ni Yehova” (Kutoka 6:3). Yehova ni Yahweh. Na kama haujawahi kuzaliwa mara ya pili, kama bado haujamfanya Yesu kuwa Bwana wa maisha yako, iseme sala hii na uimaanishe kwa moyo wako wote: “Ee Bwana Mungu, ninaamini kwa moyo wangu wote katika Yesu Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai. Ninaamini alikufa kwa ajili yangu na ya kuwa Mungu alimfufua kutoka...2020-10-2212 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastMjue Kama BwanaRhapsodi ya Uhakika: Oct 21, 2020. Kwa hiyo tena Mungu alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina; ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa Mungu Baba (Wafilipi 2:9-11).2020-10-2110 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastYesu ni Udhihirisho wa Taswira ya MunguRhapsodi ya Uhakika - Oct 20, 2020 Mpenzi Bwana Yesu, utukufu, heshima na ukuu wote ni Wako. Wewe ni Mfalme wa utukufu, furaha ya mbinguni, na nyota ing’aayo ya asubuhi! Wewe ni udhihirisho wa utukufu wa Mungu, uzuri wa Uungu, na taswira kamilifu ya Nafsi ya Baba. Ninakuabudu na kukuheshimu Mwokozi wa thamani, kwa maana hayupo wa kufanana na Wewe! Ufalme Wako na ukatawale nchini, na kusimama daima katika mioyo ya watu wote. Amina.2020-10-2012 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastJIgundue Ndani YakeRhapsodi ya Uhakika - Oct 19, 2020. Ukristo si kuhusiana na kukazana kuingia uweponi mwa Mungu; Ukristo ni kubeba uwepo wa Mungu. Wewe ni hema Yake ya ushuhuda iishiyo. Unapofika popote, uwepo wa Mungu hufika! Wewe ndiwe “uwepo.” Haleluya!2020-10-1909 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastWewe Unaimiliki DuniaRhapsodi ya Uhakika - Oct 18, 2020. 1Co 3:21  Basi, mtu ye yote na asijisifie wanadamu. Kwa maana vyote ni vyenu; 1Co 3:22  kwamba ni Paulo, au Apolo, au Kefa; au dunia, au uzima, au mauti; au vile vilivyopo sasa, au vile vitakavyokuwapo; vyote ni vyenu; 1Co 3:23  nanyi ni wa Kristo, na Kristo ni wa Mungu.2020-10-1810 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastLifuate Neno wala Sio Akili ZakoRom 8:7  Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui juu ya Mungu, kwa maana haitii sheria ya Mungu, wala haiwezi kuitii. Rom 8:8  Wale waufuatao mwili hawawezi kumpendeza Mungu. Rom 8:9  Lakini ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu, ninyi hamwufuati mwili; bali mwaifuata roho. Lakini mtu awaye yote asipokuwa na Roho wa Kristo, huyo si wake.2020-10-1710 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastJijue Wewe ni Nani na Ishi sawasawa na Asili yakoRhapsodi ya Uhakika - Oct 16, 2020.  Jas 1:22  Lakini iweni watendaji wa neno, wala si wasikiaji tu, hali mkijidanganya nafsi zenu. Jas 1:23  Kwa sababu mtu akiwa ni msikiaji wa neno tu, wala si mtendaji, mtu huyo ni kama mtu anayejiangalia uso wake katika kioo. Jas 1:24  Maana hujiangalia, kisha huenda zake, mara akasahau jinsi alivyo. Jas 1:25  Lakini aliyeitazama sheria kamilifu iliyo ya uhuru, na kukaa humo, asiwe msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi, huyo atakuwa heri katika kutenda kwake.2020-10-1608 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastUzao wa UpendoUpendo huvumila kwa kitambo kirefu na una subira pamoja na fadhili; upendo kamwe hauhusudu wala kutokota kwa wivu, haujivuni wala hautakabari, haujidhihirishi kwa majivuno (1 Wakorintho 13:4 toleo la “AMPC”).2020-10-1510 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastJina lake lina Mamlaka YoteRhapsodi ya Uhakika - Oct 14, 2020. Matendo 3:16  Na kwa imani katika jina lake, jina lake limemtia nguvu mtu huyu mnayemwona na kumjua; na imani ile iliyo kwake yeye imempatia huyu uzima huu mkamilifu mbele yenu ninyi nyote. Kitabu cha kila siku, chenye neno la kila siku, kina andikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome.  Kinapatikana kwenye lugha zaidi ya 2200 duniani na kina sababisha shuhuda njema na bora kwa mia ya mamilioni ya watu ulimwenguni kote.  Neno ni jipya kila siku na unaweza kubofya link hapo chini kupata nakala yako leo hii. pakua rhapsodi app leo kupitia lin...2020-10-1410 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastYesu ni Neno Lililojivika MwiliRhapsodi ya Uhakika - Oct 13, 2020. Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu. Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika (Yohana 1:1-3). Kitabu cha kila siku, chenye neno la kila siku, kina andikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome.  Kinapatikana kwenye lugha zaidi ya 2200 duniani na kina sababisha shuhuda njema na bora kwa mia ya mamilioni ya watu ulimwenguni kote.  Neno ni jipya kila siku na unaweza kubofya link hapo chini kupata nakala yako leo hii. pakua rhapsodi app leo kupitia li...2020-10-1310 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastChukua Nafasi yako kama Mfalme-KuhaniRhapsodi ya Uhakika - Oct 12, 2020 Ghasia hazitasikika tena katika nchi yako, wala ukiwa au uharibifu ndani ya mipaka yako, bali utaziita kuta zako Wokovu na malango yako Sifa (Isaya 60:18 tolea la “AMPC”). Kitabu cha kila siku, chenye neno la kila siku, kina andikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome.  Kinapatikana kwenye lugha zaidi ya 2200 duniani na kina sababisha shuhuda njema na bora kwa mia ya mamilioni ya watu ulimwenguni kote.  Neno ni jipya kila siku na unaweza kubofya link hapo chini kupata nakala yako leo hii. pakua rhapsodi app leo kupitia link hii. https...2020-10-1211 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastMuunganiko wetu na Baba - ROR Oct 11, 2020Lakini yeye aliyeungwa na Bwana ni roho moja naye (1 Wakorintho 6:17).2020-10-1110 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastTamka Na Umba Kile UnachokitakaKwa imani twafahamu ya kuwa ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu, hata vitu vinavyoonekana havikufanywa kwa vitu vilivyo dhahiri (Waebrania11:3). 2020-10-0910 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastNi Kuhusiana Na Asili Yako Ya KiunguRhapsodi ya Uhakika - Oct 9.  “…kwa maana nalitoka kwa Mungu, nami nimekuja; wala sikuja kwa nafsi yangu, bali yeye ndiye aliyenituma.” Kwa matokeo ya muunganiko huu, Alisema, “Na yote aliyo nayo Baba ni yangu…” (Yohana 16:15). 2020-10-0909 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastSisi tu watu wa Namna Yake - ROR Oct 8, 20202Co 6:16  Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.  Kitabu cha kila siku, chenye neno la kila siku, kina andikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome.  Kinapatikana kwenye lugha zaidi ya 2200 duniani na kina sababisha shuhuda njema na bora kwa mia ya mamilioni ya watu ulimwenguni kote.  Neno ni jipya kila siku na unaweza kubofya link hapo chini kupata nakala yako leo hii. pa...2020-10-0809 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastDumisha Hamasa yako kwa ajili ya Injili - ROR Oct 7, 2020Rom 12:11  kwa bidii, si walegevu; mkiwa na juhudi katika roho zenu; mkimtumikia Bwana; Kuwa mwenye bidii na hamasa katika kazi ya injili.  Kitabu cha kila siku, chenye neno la kila siku, kina andikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome.  Kinapatikana kwenye lugha zaidi ya 2200 duniani na kina sababisha shuhuda njema na bora kwa mia ya mamilioni ya watu ulimwenguni kote.  Neno ni jipya kila siku na unaweza kubofya link hapo chini kupata nakala yako leo hii. pakua rhapsodi app leo kupitia link hii. https://t.co/GFr1tICObJ Jiunge na mtandao wa w...2020-10-0809 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastUnakila kitu unachokihitajiROR Oct 6, 2020. Baada ya mambo hayo neno la Bwana likamjia Abramu katika njozi, likinena, Usiogope, Abramu, MIMI NI NGAO YAKO, NA THAWABU YAKO KUBWA SANA  Mwanzo 15:1             > Mungu ni urithi wako, fungu lako, Ngao yako, tambua hili na tembea katika maarifa ya kweli hii. Kitabu cha kila siku, chenye neno la kila siku, kina andikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome.  Kinapatikana kwenye lugha zaidi ya 2200 duniani na kina sababisha shuhuda njema na bora kwa mia ya mamilioni ya watu ulimwenguni kote.  Neno ni jipya kila siku na unaweza kubofya link hapo chini kupata nakala yako leo...2020-10-0611 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastRhapdosi ya Uhakika - Oktoba 2020Kitabu cha kila siku, chenye neno la kila siku, kina andikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome.  Kinapatikana kwenye lugha zaidi ya 2200 duniani na kina sababisha shuhuda njema na bora kwa mia ya mamilioni ya watu ulimwenguni kote.  Neno ni jipya kila siku na unaweza kubofya link hapo chini kupata nakala yako leo hii.  http://distribution.rhapsodyofrealities.org/dept/?team=center1  na bofya link hii kupakua app ya rhapsodi leo hii.  https://t.co/GFr1tICObJ 2020-10-0150 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastRhapdosi ya Uhakika - September 2020Kitabu cha kila siku, chenye neno la kila siku, kina andikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome.  Kinapatikana kwenye lugha zaidi ya 2000 dunia na kina sababisha shuhuda njema na bora kwa mia ya mamilioni ya watu ulimwenguni kote.  Neno ni jipya kila siku na unaweza kubofya link hapo chini kupata nakala yako leo hii.  http://distribution.rhapsodyofrealities.org/dept/?team=center12020-09-015h 10Amedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastRhapdosi ya Uhakika - August 2020Kitabu cha kila siku, chenye neno la kila siku, kina andikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome.  Kinapatikana kwenye lugha zaidi ya 2000 dunia na kina sababisha shuhuda njema na bora kwa mia ya mamilioni ya watu ulimwenguni kote.  Neno ni jipya kila siku na unaweza kubofya link hapo chini kupata nakala yako leo hii.  http://distribution.rhapsodyofrealities.org/dept/?team=center12020-08-017h 12Amedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastRhapdosi ya Uhakika - Julai 2020Kitabu cha kila siku, chenye neno la kila siku, kina andikwa na Mchungaji Chris Oyakhilome.  Kinapatikana kwenye lugha zaidi ya 2000 dunia na kina sababisha shuhuda njema na bora kwa mia ya mamilioni ya watu ulimwenguni kote.  Neno ni jipya kila siku na unaweza kubofya link hapo chini kupata nakala yako leo hii.  http://distribution.rhapsodyofrealities.org/dept/?team=center12020-07-017h 06Amedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastRhapsodi ya Uhakika - June 2020Kitabu kinachotoka kila mwezi chenye neno la kila siku.  Kitabu kimendikwa na Mchungaji Chris Oyahkilome na Kimesomwa na Ndg. Amedeus Deogratius.  Utajifunza mengi yapasayo maisha ya ushindi, afya bora, ustawi, upendo, haki, imani na namna bora ya kumwabudu Mungu katika roho na kweli.2020-06-016h 15Amedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastUnabii - Elewa Nguvu inayotawala Mustakhabali wa Maisha YakoKitabu kimeandikwa na Mch. Chris Oyakhilome na Kimefanyiwa mapitio kwa njia ya Sauti na Amedeus D.R.  Kimegawanyika katika sura 8 na kinaanza na Utangulizi unaitwa watu wa Unabii.  Utangulizi - Watu wa Unabiii Utabiri na Kutamka Kabla ya Jambo kutukia. Bonde la Mifupa Mikavu Nyinyi Ndinyi Miungu Wewe ni Nabii wa Maisha Yako Ongoza Mkondo wa Maisha yako kwa Kinywa Chako Nini unapaswa kufanya na Unabii? Maongezi yako ni Mustakhabali wako Chukua hatua 2020-05-2011 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastRhapsodi ya Uhakika - May 2020Pata wasaa wa kusikiliza neno la Mungu kila siku kupitia kitabu cha Rhapsodi ya Uhakika, chenye neno la kila siku.  Kitabu hiki kina andikwa na Mchungaji Chris Oyahkilome na kinasomwa kwenu na Mtumishi Amedeus Deogratius.2020-05-016h 40Amedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastRhapsodi ya Uhakika April ,2020 - "Mwezi wa Maombi"Pata Nakala mbalimbali za mwezi wa nne kama: Kuomba kwa ajili ya Nafsi Zilizopotea - April 12020-04-015h 17Amedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastRhapsodi ya Uhakika March 2020 "Mwezi wa Maarifa"Sikiliza neno la Mungu lilojaa maarifa, hekima na ujuzi juu ya aina ya maisha ya kiungu ambayo Mungu amekukirimia. Zipo Episode 31 kwa ajili ya kuboresha maisha yako na kukuleta katika urithi wako ndani ya Kristo. Mungu akubariki Sana.2020-03-035h 15Amedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastRhapsodi ya Uhakika - Feb. 2020 "Mwezi wa Nyimbo"Sikiliza nakala mbalimbali za rhapsodi ya Uhakika kwa lugha ya kiswahili, kitabu kinachotoka kila mwezi na chenye neno la kila siku. Mojawapo Yale utakayosikia mwezi huu ni pamoja na Yesu Ni Adonai, Pokea, simama wima na imara, waongoze wengine katika wokovu n.k. kitabu hiki kinaandikwa na mtumishi wa Mungu MCH. Chris Oyakhilome, PhD.2020-02-282h 40Amedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastTabia za Mkristo katika Maisha ya Kila SikuAmri mpya ni Ipi? Maungamo yako ya Kila siku ni yapi? Namna ya kutatua mafarakano au ugomvi katika maisha.  Jifunze namna ya kutakasa mawazo na fikra zako. Nyanja tano kuu katika maisha za kuishi na kudhihirisha Utawala uliopewa ndani ya Kristo.  .  2019-09-2240 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastKanuni za MafanikioJe, mtazamo wa Mungu ni nini kuhusu Mafanikio? Fahamu kusudi la Mungu kuhusu Mafanikio.  Kanuni za Mafanikio sawa sawa na Neno la Mungu. Fungi la Kumi, Limbuko la Kwanza, Matoleo ya Hiari, Matoleo ya Mbegu (Mbegu ya Imani). Biblia inasemaje kuhusu swala la Kufanya kazi na kutokuwa tegemezi. 2019-09-2135 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastTumia Kinywa Chako VyemaKinywa chako kinatoa dira ya maisha. Uzima na mauti vipo kwenye Nguvu ya Kinywa, kwa hiyo zungumza uzima, afya, ushindi, mafanikio na yote yanayofanana na haya na wala sio mengineyo.2019-08-2911 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastFanya Nguvu IpatikaneUnaweza kuathiri ulimwengu wako kwa namna kubwa sana kupitia maombi yako. Maombi ya mwenye haki yafaa sana akiomba kwa bidiii.2019-08-2809 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastNoeli (Krismasi) ni Kristo Ndani Yako.Alikuja ili iwezekane kwetu sisi kupokea fursa kufanyika kuwa wana wa Mungu. Kristo ndani yangu ni Tumaini la Utukufu.2019-08-2711 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastLikubali Pendo LakeNi kuhusiana na Pendo lake na sababu ya Kristo Kuja kuzaliwa hapa duniani. Jifunze kuhusu Pendo la kimiminika la Kristo.2019-08-2710 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastKristo Pasaka WetuSikiliza somo hili na upate kujua maana halisi ya neno pasaka na umuhimu wake kwenye maisha yako ya kila siku.  Biblia inasema utaijua kweli na kweli itakuweka huru. Sikiliza Kweli hii nayo itakuweka huru. #Mti wa Uzima2019-08-2207 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastAlituleta katika UshirikaDhumuni kubwa zaidi lilomfanya Yesu aje duniani ni  ili kutuleta katika ushirika na Baba, katika umoja na Mungu.   Alikuja ili atulete katika daraja moja na Mungu.2019-08-2208 minAmedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastAmedeus LiveJukwaa sahihi kwa ajili yako wewe na familia yako, ndugu, jamaa na marafiki. Jumuika nasi kila siku kujifunza neno la Mungu, kupitia rhapsodi ya Uhakika matoleo ya rika zote, fanya ukiri wa Imani kila mara na shiriki katika ibada za maombi na maombezi kwa ajili ya familia, miji,na mataifa ya ulimwengu. Hii ni podcast Yako.2019-08-2101 min