Look for any podcast host, guest or anyone
Showing episodes and shows of

Baada Ya Summit Podcast

Shows

Baada Ya KaziBaada Ya KaziBaada ya Kazi #11 : Who is to blame for the uber driver strike?Welcome to Baada ya Kazi🎙️, your go-to podcast for unwinding after a long day at work! Hosted by Chad, Rosemary, and Sharon, we bring you a mix of humor, insightful discussions, and the latest in pop culture. Join us as we delve into trending topics, from the latest football highlights ⚽ to the newest TikTok crazes 🎵. In this episode, we dive into the Uber driver strikes in Kenya 🚗💥. Why are they protesting? And what's the deal with the gig economy? Plus, we're getting into the nitty-gritty of international intervention and why some folks want to send the police force to Haiti 🇭🇹👮. Tune in for an engaging c...2024-08-0355 minBaada Ya KaziBaada Ya KaziBaada Ya Kazi #8Welcome to "Baada Ya Kazi," your go-to podcast for all things Kenyan politics, served with a twist of humor and insight! 🎙️ Hosted by Chad, Rosemary, and Sharon, we're here to break down the nitty-gritty of the latest Finance Bill, deciphering what that IMF loan really means for each and every Kenyan. 💼💸 Join us as we analyze the Twitter meeting that shook the nation, because who doesn't love a good social media saga with the president? 🐦 And don't miss our deep dive into the implications of #MaandamanoGenZ—the protests reshaping the country's political landscape. 📣 Whether you're a political junkie or just tuning in for the f...2024-07-131h 17Baada Ya KaziBaada Ya KaziBaada Ya Kazi #5🎙Unwind with Chad, Rosemary, and Sharon as they dive into the hilarious and heartwarming world of baby daddies! 🇺🇸 vs 🇰🇪 – How do America and Kenya handle child support? Plus, we spill the tea on the Kenyan president's visit to the U.S., the hotly debated finance bill, and the fun quirks of polygamy in different cultures. Don't miss this week's laughter and insights! #BaadaYaKazi #BabyDaddies #ChildSupport #KenyanPresident #FinanceBill #rejectfinancebill #Polygamy #PodcastLife #podcast #kenyanpresident #BYK2024-06-2448 minBaada Ya KaziBaada Ya KaziBaada Ya Kazi #4Welcome to Baada ya Kazi! Join Chad, Rosemary, and Sharon as they hilariously recount their wild attempts to get Dave Chappelle on their podcast—before it even launched! Dive into fun chats about football, TikTok trends, and more. It's the perfect way to unwind after work! #BaadaYaKazi #UnwindAfterWork #DaveChappelle #FootballTalk #TikTokTrends #ComedyPodcast #PodcastLife2024-06-1638 minPorter le deuil des morts. Relier les histoires des lieux, des personnes et de leurs vestigesPorter le deuil des morts. Relier les histoires des lieux, des personnes et de leurs vestigesKutembea na Mizimu ya Chimurenga ya Pili ya ZimbabweKatika kipindi hiki, Bongani Kona anatembelea tena waasi wa vijijini ili kukomboa nchi yake ya Zimbabwe kutoka kwa utawala wa wazungu katika miaka hii ya 1970. Kona anasema kuwa jinsi maadhimisho ya waliouawa kutokana na vita hivi yanavyofanywa na serikali ya baada ya ukoloni, ni suala linaloathiri masilahi ya walio hai na waliokufa. Hili ni toleo la Kiswahili la podikasti hii. Unaweza pia kusikiliza matoleo katika ⁠Kiingereza⁠ na Kifaransa. Shukrani Mwandishi : Bongani KonaUhariri wa hati: Sophie Schasiepen kwa usaidizi wa Andri BurnettTafsiri : M.W.O & M. M., AfrolingoMsimulizi: Furaha RuguruMtayarishaji / mhariri: Andri BurnettMtayarishaji Mtendaji: Sophie...2024-05-1630 minMourning the Dead: Connecting histories of people, places, and remainsMourning the Dead: Connecting histories of people, places, and remainsKutembea na Mizimu ya Chimurenga ya Pili ya ZimbabweKatika kipindi hiki, Bongani Kona anatembelea tena waasi wa vijijini ili kukomboa nchi yake ya Zimbabwe kutoka kwa utawala wa wazungu katika miaka hii ya 1970. Kona anasema kuwa jinsi maadhimisho ya waliouawa kutokana na vita hivi yanavyofanywa na serikali ya baada ya ukoloni, ni suala linaloathiri masilahi ya walio hai na waliokufa. Hili ni toleo la Kiswahili la podikasti hii. Unaweza pia kusikiliza matoleo katika Kiingereza na Kifaransa. ShukraniMwandishi : Bongani KonaUhariri wa hati: Sophie Schasiepen kwa usaidizi wa Andri BurnettTafsiri : M.W.O & M. M., AfrolingoMsimulizi: F...2024-05-1630 minBaada Ya Summit PodcastBaada Ya Summit Podcast019 - Rose KimondoRose is hiker, lifeguard, adventurer. She loves anything about the outdoors. This episode was recorded on 25 Oct 2023.2024-03-0709 minIbada PodcastIbada Podcast🍁 Ibada🎙Podcast 🍁 Theme Song 🎼Ama weh unaonaje? 🤔Nipe 😂  Shtunduuuuuuu... Written & Produced By Kevin Groovy (prod.), Nyerere Mbae & Alela Kenda Njisi. Burudika!Support the show by kuZASKI Episodes kama IBADA... #NipeShtundu #shtundu Ibada Podcast on YouTube! @baada_ya_ibada on all socials. Let's coin a Nu Kenyan Kulture.2024-03-0501 minBaada Ya Summit PodcastBaada Ya Summit Podcast018 - James Muhia (climbing Manaslu)On 24th September 2023, James Muhia and Cheruiyot Kirui made history by becoming the first Kenyans & Africans, to summit an 8,000m mountain without using supplemental oxygen and also without using Sherpa support. They successfully climbed Manaslu (8,163m), the 8th highest mountain in the world. In this episode, Muhia talks about the Manaslu climb.2023-12-312h 12Baada Ya Summit PodcastBaada Ya Summit Podcast017 - Violet KaranuViolet Karanu is an adventure mum, hiker, biker, diver, yogi, restauranteur and also podcaster. We recorded this episode at her newly opened restaurant, Traventure Café. This episode was recorded on 25 Oct 2023.2023-11-2714 minBaada Ya Summit PodcastBaada Ya Summit Podcast016 - Wang'oe Mtuhuru (Freeman)Wang'oe Mtuhuru aka, Freeman, is an Ultra Runner and Trail Runner. He accomplished one of the toughest mountain challenges in Africa that is, The Virunga Challenge. He ran up and down 3 Virunga Mountains (Mount Muhabura, Mount Gahinga and Mount Sabyinyo) all in just 11 hours and 23 minutes. A total distance of 42KM and a 4,000m elevation gain. An incredible feat! We recorded this brief episode in Kampala, Uganda after we did our different versions of the challenge. The hiker's version of the Virunga Challenge is hiking the 3 mountains in 3 days. This episode was recorded on 12 June 2023.2023-09-2909 minLOVE UNTOLD PODCASTLOVE UNTOLD PODCASTMIMI NIPUNGUE by Mwl OnorodgersMIMI NIPUNGUE WEWE UONGEZEKE Yohana 3:25 Basi palitokea mashindano ya wanafunzi wa Yohana na Myahudi mmoja juu ya utakaso. 26 Wakamwendea Yohana, wakamwambia, Rabi, yeye aliyekuwa pamoja nawe ng’ambo ya Yordani, yeye uliyemshuhudia, tazama, huyo anabatiza na watu wote wanamwendea. 27 Yohana akajibu, akasema, Hawezi mtu kupokea neno lo lote isipokuwa amepewa kutoka mbinguni. 28 Ninyi wenyewe mwanishuhudia ya kwamba nalisema, Mimi siye Kristo, bali nimetumwa mbele yake. 29 Aliye naye bibi arusi ndiye bwana arusi; lakini rafiki yake bwana arusi, yeye anayesimama na kumsikia, aifurahia sana sauti yake bwana arusi. 30 Basi hii furaha yangu imetimia. Yeye hana budi kuzidi, bali mimi kupungua. =>Haya ma...2023-09-1923 minBaada Ya Summit PodcastBaada Ya Summit Podcast015 - James MuhiaJames Muhia is a trail runner, hiker, mountaineer and outdoor enthusiast. We recorded this episode in Kampala after doing the Virunga Challenge. The hiker's version of the Virunga Challenge is to climb Mount Muhabura, Gahinga and Sabyinyo in 3 days. While the runner's version is to climb all the 3 mountains in one day. In this episode, Muhia talks about his Ama Dablam experience, Virunga Challenge and his upcoming Manaslu Expedition. This episode was recorded on 12 June 2023.2023-09-0811 minAmani Business SchoolAmani Business School#59: Sababu Kwanini Ulinunua BIDHAA Baada Ya Rafiki Yako KukwambiaNdani ya Episode hii nimelezea Sababu Kwanini Ulinunua ile Bidhaa Baada Ya Rafiki Kukwambia Anza kozi hapa https://selar.co/m/digitoskool Kununua Ebook Ya PESAGRAM - Njia 50 Za Kutengeneza Pesa Instagram, bofya👇🏼 https://selar.co/pesagram Nifuatilie Instagram👇🏼: https://instagram.com/mjasiriamalidigital Mjasiriamali Digital Podcast Episode 592023-09-0706 minShakilah\'s TalesShakilah's TalesMaisha Baada ya Uchaguzi.Kipindi hiki kinaghusia maisha baada ya uchaguzi mwaka 2022 Agosti.Je,maisha yamekuwa magumu zaidi ama mambo yako sawa? Je, Serikali ambayo iko usukani imetimiza ahadi kwa wananchi ama hapana? Sikiliza ili upate bayana ya mambo usikose kuwacha mawazo yako kuhusu mada hii. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/shakilah-ochara/message Support this podcast: https://podcasters.spotify.com/pod/show/shakilah-ochara/support2023-07-0207 minRedio Rumuli PodcastRedio Rumuli PodcastMsanii Wetu JoanithaMsanii Wetu ni Kipindi kinachokupa fursa ya kufahamu kwa undani kuhusu huduma ya uimbaji, kutoka kwa watumishi wa Mungu ambao kupitia Ofisi hiyo, wamemtumikia Mungu kwa furaha. Katika kipindi hiki, utausikia ushuhuda wa Joanitha, ambaye baada ya kupona majeraha kichwani yaliyotokana na kupigwa na kitu kizito kichwani na kundi la watu wanaosadikika kuwa ni wezi, na kuamua kumuimbia Mungu kwa kuzinena habari za utukufu wake2023-05-1043 minSwahili Dishes PodcastSwahili Dishes PodcastPettiest Thing Umefanya Baada Ya Kuachana Na Mpenzi WakoSaa nyingine hasira ni hasara.2023-03-2220 minBaada Ya Summit PodcastBaada Ya Summit Podcast014 - Sibusiso VilaneSibusiso Vilane is an accomplished South African mountaineer and motivational speaker. He became the first black person to summit Mount Everest on 26th May 2003. Other notable achievements: The 7 Summits, North & South Pole Expeditions, the Matterhorn, Eiger and Mont Blanc. He is also the author of the book, "To The Top From Nowhere". We recorded this brief podcast while on a hiking trip in the Drakensberg. (18 Feb 2023)2023-03-1915 minBaada Ya Summit PodcastBaada Ya Summit Podcast013 - James 'KG' KagambiKG is an accomplished Kenyan mountaineer and mountain guide. He is the first Kenyan to summit Mount Everest (2022). He is also the first African to summit Denali (1989) and Aconcagua (1994). He runs KG Mountain Expeditions, an adventure travel company based in Naro Moru town. They offer hiking and climbing trips in East Africa. On this episode, we talk about KG's mountaineering journey and his recent Mount Everest experience. This episode was recorded on 23 Jan 2023.2023-02-071h 29Las 8 y 20 de Hoy por Hoy | Radio MorónLas 8 y 20 de Hoy por Hoy | Radio MorónLas 7 de Hoy por Hoy - 11/1/23 | Radio Morón• El delegado de Medio Ambiente, Ignacio Cala nos ha explicado en qué consite el sistema que se está utilizando estos días para ahuyentar a los estorninos.  • Marina Segura aplaude la participación de nuestra ciudad en la Iniciativa Legislativa Popular que solicitaba una baada de la ratio en los colegios andaluces.  • Los escaparates de los comercios de Morón anuncian las Rebajas de Enero.  • Este viernes, en el Teatro Oriente se va a presentar el cortometraje "De la Frontera".  • La opinión llega como cada miércoles de la mano de José Carlos Valver...2023-01-1109 minBaada Ya Summit PodcastBaada Ya Summit Podcast012 - Gitonga WandaiGitonga Wandai is the founder of Hikemaniak, a mountain adventure company based in Kenya. They offer a wide variety of hiking and rock climbing trips. On this episode, we talk about Gitonga's hiking journey, Mount Everest ambitions and the incident he faced while climbing Himlung Himal, a 7,000M mountain in Nepal. This episode was recorded on 08 Nov 2022.2023-01-091h 12ADPlusSwahili | PodcastADPlusSwahili | PodcastE09 NCHA KALI | BAADA YA KUTENDA WEMA | RAMADHAN KASSIM QAHTWAAN | PODCASTNi kipindi kilicholenga kumfikirisha mfuatiliaji juu ya vyakuzingatia kabla na baada ya kutenda wema SH RAMADHAN QAHTAN @    00:01-01:15 Clip ya utangulizi  01:18-04:21 Ufunguzi  04:21-06:58 Ufafanuzi wa anuani ya kipindi  06:58-14:53 Nini uzingatie ukifanya wema kama ibada  15:00-24:22 Kuonyesha wema katika mitandao ya kijamii limekaaje   24:25-27:25 Kufanya wema kwa kutaraji malipo  27:30-35:30 Je anaetendewa wema anatakiwa achukulie vipi jambo hili  35:30-44:41 Malezi na baada ya kutendewa mema  50:00-53:40 Kwa nini wengi tunamtazamo tukifanya wema tunataraji malipo  54:00-57:42 Nasaha kwa umma   57:50...2023-01-081h 00Baada Ya Summit PodcastBaada Ya Summit Podcast011 - Sandra BomettSandra is a counselling psychologist by profession. She enjoys hiking as a hobby and also runs a hiking company called Elet Outdoors. On this episode, we talk about her hiking journey and also a little bit about the psychology of hikers. This episode was recorded on 01 Nov 2022.2022-11-151h 24Redio Rumuli PodcastRedio Rumuli PodcastJE MBINGU IPO? Kipindi kinachokupa jibu la swali kwamba Mbingu ipo au la!Je Mbingu Ipo, ni kipindi ambacho kwa msaada wa Roho Mtakatifu  kinakuletea ushahidi kwamba ni kweli Mbingu ipo, na kwamba kuna maisha  baada ya kifo. kwa kufuatilia kipindi hiki, utajifunza habari mbalimbali  zinazodhihirisha kuwa Mungu yupo na Mbingu ipo. Karibu sana upate  kujifunza habari za ushahidi huu.2022-11-0132 minRedio Rumuli PodcastRedio Rumuli PodcastJE MBINGU IPO? Kipindi kinachokupa jibu la swali kwamba Mbingu ipo au la!Je Mbingu Ipo, ni kipindi ambacho kwa msaada wa Roho Mtakatifu kinakuletea ushahidi kwamba ni kweli Mbingu ipo, na kwamba kuna maisha baada ya kifo. kwa kufuatilia kipindi hiki, utajifunza habari mbalimbali zinazodhihirisha kuwa Mungu yupo na Mbingu ipo. Karibu sana upate kujifunza habari za ushahidi huu.2022-11-0130 minUchumi na BiasharaUchumi na BiasharaSerikali saidia, biashara zetu zazorota | Uchumi na Biashara PodcastLicha ya serkali kuahidi kushughulikia changamoto za wafanyabiashara wadogo wadogo, bado mahangaiko yanashuhudiwa mwezi mmoja baada ya Kenya Kwanza kuchukua hatamu za uongozi. Wengi wa wafanyabiashara hao wanalalamikia kuongezwa kwa bei ya mafuta, na kusababisha hasara katika sekta ya matatu. Charles Macharia, mhudumu wa teksi na Jimmy Mwangi, mhudumu wa matatu wanatishia kugura biashara hii. Mwanahabari wetu Edwin Mbugua amefanya mazungumzo na baadhi ya wafanyabiashara hao katika Kaunti ya Nyeri.2022-10-2914 minSwahili Dishes PodcastSwahili Dishes PodcastMambo Wanaume Wanayofanya Baada ya Mechi YanayoboeshaJumuika nasi tunapotoa mifano ya vitu amabavyo wanaume hufanya baada ya mechi yanayotuudhi.2022-10-2815 minChimbuko la Tamaduni - MaasaiChimbuko la Tamaduni - MaasaiEPISODE 4 | CHIMBUKO LA TAMADUNI – HESHIMA YA MAMA MJAMZITO KATIKA JAMII YA MAA – PODCASTIli kuwa na kizazi cha siku za usoni, Watoto huwa kiungo muhimu katika kila jamii. Katika jamii ya kimaasai, Watoto walianza kulindwa wakiwa katika tumbo la mama, na hivyo kina mama wajawazito waliangaziwa kwa njia tofauti wakilinganishwa na wanajamii wengine. Baada ya kujifungua, jamii ya wamaasai ilikua na njia ya kipekee ya kuwakaribisha Watoto katika...2022-10-2708 minGumzo na MwanaspotiGumzo na MwanaspotiNilitengwa Ethiopia; Silvanus Otema | Gumzo na Mwanaspoti PodcastAliyekuwa mchezaji wa timu ya kitaifa ya soka, Harambee Stars Silvanus Otema anasema alipitia wakati mgumu nchini Ethiopia baada ya kujiunga na klabu ya St. George. Otema anasema alitengwa na wachezaji wa klabu hiyo kutokana na uzuri wake. Pata uhondo kamili katika Podcast hii.2022-10-1415 minBaada Ya Summit PodcastBaada Ya Summit Podcast010 - Cheruiyot KiruiCheruiyot is a banker by profession, ultra runner, adventurer, author and a Salomon Kenya brand ambassador. He enjoys competing in the toughest races and challenges around the world. On this episode, we talk about his experience competing in the Tor des Géants race in Italy. A 356 km footrace in the Italian Alps. This episode was recorded on 16 Aug 2022.2022-10-111h 40Kisa ChanguKisa ChanguPesa za HELB ziliishia kampeni | Kisa Changu PodcastStephen Kwisis, mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Laikipia ana machungu baada ya kukosa kufaulu katika azma yake ya kuwa mbunge wakati wa uchaguzi mkuu wa Agosti 9, mwaka 2022. Kwisis mwenye umri wa miaka 24 anasema alitumia fedha za mkopo wa kufadhili elimu ya chuo kikuu, HELB kufanyia kampeni. Mwanasiasa huyo mchanga aliyekuwa akikabiliana na washindani 13 alipata kura 156 pekee. Amezungumza na Duncan Waswa kuhusu masaibu yanayomkumba katika masimulizi yafuatayo.2022-09-2406 minVijana na MapenziVijana na MapenziPesa hubadili tabia za mwanamke? | Vijana na Mapenzi PodcastKatika miaka ya hivi karibuni, jamii imekuwa ikiyafanya kipaumbele maslahi ya mtoto wa kike baada ya kukandamizwa kwa miaka mingi. Wengi sasa wamepata nafasi ya kusoma na hata kuajiriwa. Lakini kuna wanaoamini kwamba mwanamke anapopata kazi na kuwa na cheo katika jamii, mara nyingi hujawa kiburi. Suala hili tunaliangazia kwa kuhusisha kauli za wananchi vilevile kupata ushauri kuhusu masuala ya ndoa.2022-09-2208 minBaada Ya Summit PodcastBaada Ya Summit Podcast009 - Jambee KimaniJambee is a hiker, mountaineer, summit dancer, Korean food & culture enthusiast. When not hiking, she does marketing for an IT company. On this episode, we talk about her hiking journey while taking a couple of shots of Soju 🍻 This episode was recorded on 02 August 2022.2022-09-201h 05Baada Ya Summit PodcastBaada Ya Summit Podcast008 - Margie GathunguMargie is a hiker, mountaineer and soon to be an author. She's currently writing a book about mountains in Africa. On this episode, we talk about her hiking adventures in East Africa and her Batian experience. This episode was recorded on 27 July 2022.2022-08-171h 39Baada Ya Summit PodcastBaada Ya Summit Podcast007 - Peter NaituliPeter Naituli is one of Kenya's best climbers. He's a rock climber, mountaineer and a technical mountain guide. On this episode we talk about his mountaineering history and his free soloing adventures on Mount Kenya and Ololokwe. This episode was recorded on 26 July 2022.2022-08-101h 32Baada Ya Summit PodcastBaada Ya Summit Podcast006 - Agoro AdhiamboAgoro is a hiker, mountaineer and runner. She loves mountains and being outdoors. Always seeking to improve herself. Her motto: "Faster, Higher, Stronger". On this episode, we talk about her hiking journey, Mt. Kenya and Kilimanjaro. This episode was recorded on 31 May 2022.2022-07-211h 21Baada Ya Summit PodcastBaada Ya Summit Podcast005 - Limo KipkemoiLimo is an architect by profession, ultra runner and sky runner. He's also the Salomon East Africa brand ambassador. He's known to do the craziest mountain challenges in East Africa with ambitions to go beyond. On this episode, we talk about his recent challenges such as the Summit to Summit Challenge and the 5 Mountains in 7 Days Challenge. This episode was recorded on 24 May 2022.2022-07-051h 21Kisa ChanguKisa ChanguKisa Changu Podcast: Nina sehemu mbili za siri; wanawake wakanidhulumuBeatrice Wawera mwenye umri wa miaka 24 amekuwa katika njiapanda tangu utotoni hadi sasa. Anasema alipokuwa mdogo hakujua alikuwa tofauti na wasichana wengine kwani alizaliwa na sehemu mbili za siri - ya kiume na kike na wazazi wake walimtambua kuwa msichana. Lakini alipoanza kubaleghe, mambo yalianza kubadilika. Anasema hakuwa na matiti wala kupata hedhi kama wasichana wengine. Isitoshe, alianza kupata hisia za kimapenzi kwa wasichana wengine hali iliyomchanganya hata zaidi hasa baada ya kudhulumiwa na wasichana ao, hao. Anasema maisha hayajakuwa rahisi na hata wakati mmoja alijaribu kujiua. Je, imekua vipi na safari yake ya kujitambua rasmi kuwa mwanaume imefikia wapi...2022-07-0235 minShakilah\'s TalesShakilah's TalesBaada ya dhiki huja faraja.Kipindi hiki kinaghusia mchakato wa ufanisi.Mara nyingi tunapenda kuangazia ufanisi pasi na njia ya kufanikiwa huko. Njia hii si rahisi lakini ukiwa na nidhamu hatimaye utafika.Kipindi hiki si hadithi tu ni hali halisi ya maisha. Sikia upate bayana ya mambo. Usikose kunifuata Spotify na mtandao wa IG @Shakilahochara --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/shakilah-ochara/message Support this podcast: https://podcasters.spotify.com/pod/show/shakilah-ochara/support2022-06-2408 minLOVE UNTOLD PODCASTLOVE UNTOLD PODCASTMEDITATION IS A KEY TO PRAYERSwengi wetu tunamuomba Mungu sana tena sana swali ni je tunasikiliza?? do we meditate indeed if yes the defenitly utamsikia tu Mungu if not aanza leo kufanya tafakari baada ya maombi itakusaidia sanaa…. ubarikiwe2022-06-1504 minKisa ChanguKisa ChanguKisa Changu Podcast: Mpenzi alinitoroka nilipougua sarataniJane Chepchumba mwenye umri wa miaka 32, ni mama wa mtoto mmoja. Chepchumba alianza kuugua saratani ya tumbo mwaka 2012 akiwa katika chuo kikuu. Anasema alipoanza kutibiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Moi Mjini Eldoret madaktari walimweleza kwamba huenda asiweze kupata watoto siku za usoni kutokana na athari za saratani. Anasema mpenziwe aliyekuwa naye alivunjwa moyo na hilo na kumwacha. Anasema baada ya zaidi ya miaka mitano ya matibabu ya Chemotherapy, mwaka 2016 madaktari walimfahamisha kuwa hana saratani tena. Baadaye alifanikiwa kupata mpenzi mwingine ambaye alijaliwa naye mtoto mwaka 2019, ila naye akatoweka. Jepchumba anasema furaha yaka sasa ni mwanawe. Sikiliza masmulizi ya safari...2022-06-1219 minBaada Ya Summit PodcastBaada Ya Summit Podcast004 - Agata EmmanuelAgata is a mountain guide, medic and wilderness expedition leader. He's also the founder and CEO of Bridgeway Adventures. An outdoor adventure company based in Kenya. On this episode, we talk about his journey as a mountaineer and his experiences hiking the Pacific Crest Trail and climbing Mt. Aconcagua. This episode was recorded on 17 May 2022.2022-06-021h 25Baada Ya Summit PodcastBaada Ya Summit Podcast003 - Robert Kamaru & Adam Kabiru.Robert and Adam are the team behind Outdoorer. Outdoorer is an outdoor adventure company, outfitter and premier hiking academy based in Nairobi. On this episode, we talk about their Beginner to Mt. Kenya in 90 days program. This episode was recorded on 03 May 2022.2022-05-191h 32Baada Ya Summit PodcastBaada Ya Summit Podcast002 - Ted CallahanTed is a Mountain Madness mountain guide. He has summited two 8,000 M peaks: Everest (8,848 M) and Makalu (8,463 M). On this episode, we talk about his experience climbing 8,000 M peaks. Episode recorded on 26 April 2022.2022-05-051h 25Baada Ya Summit PodcastBaada Ya Summit Podcast001 - Hetal Shah, Hemal Haria & Neel Savla.Episode recorded on 18 April 2022. We talk about climbing Himlung Himal (7,126 M). Mountain in Nepal. Guests: Hetal Shah @hetal_rshah Hemal Haria @pesky080 Neel Savla @neelsavla2022-04-261h 25PWANI HIP-HOP FLAVA PodcastPWANI HIP-HOP FLAVA PodcastPwanihiphopflava show| GUMZO -" KUKUZA SANAA " | Yt Patrol Rap CrewPwanihiphopflava show Gumzo🗣 na ytpatrol rap crew. Tuliongelelea sanaa ya muziki .. na vijana hawa walitueleza jinsi hao wanakuza sanaa yao siku baada ya siku.-Zoezi ya uandishi na pumzi ni bahadhi ya vitu wanazofanya ilimradi sanaa yao isonge.Tuachie maoni yako kuhusu gumzo tuliokua nayo2022-04-2614 minSiasaSiasaSiasa Podcast. Lonyangapuo: Kibaki alinikuza kisiasaWiki hii katika Siasa Podcast tunaangazia maisha ya Hayati Mwai Kibaki ambaye alikuwa Rais wa tatu wa Taifa la Kenya. Kibaki anakumbukwa kuwa kiongozi aliyebuni mbinu mbalimbali za kuinua uchumi wa taifa na kukabili chagamoto zilizokumba taifa. Aidha, alizipa nafasi jamii ambazo zilihisi kutengwa wakati wake nafasi uongozini. Faith Kutere amezungumza na Gavana wa Kaunti ya Pokot Magharibi, John Lonyangapuo ambaye anadai kuwa safari yake ya kisiasa ilianza baada ya Mwai Kibaki kutambua jamii yake na kumpa nafasi ya kwanza ya uongozi akiwa Katibu Mkuu katika Wizara ya Viwanda.2022-04-2313 minFPLTZ PodcastFPLTZ PodcastGameweek 32 | FPLTZ Podcast | FPL Tanzania | Swahili Tips 2021/22Baada ya muda kidogo kutofanya podcast, sasa tumerudi tena na kwenye episode hii tunapitia maendeleo ya timu zetu na mipango yetu ya gameweek zijazo. Karibuni!    Support Us: https://www.buymeacoffee.com/FPLTanzania  About Us:  FPLTZ Podcast ni podcast ya kwanza ya kiswahili kutoka #FPLTANZANIA kwa ajili ya fantasy premier league inayokuwa hosted na Godfrey Shirima na Eric Baisi (wenye miaka zaidi ya 20 combined kwenye kucheza game hii) ina drop kila sehemu unapoweza kusikiliza podcast kila Jumatano!    WhatsApp Group Invite  https://chat.whatsapp.com/BDKV0rUOKw4KpwS4VoJx9T  Jiunge FPL Tanz...2022-04-1527 minKisa ChanguKisa ChanguKisa Changu Podcast: Kilio cha MamaRuth Keino mkazi wa Nandi ni mama mwenye machungu. Keino amekuwa akitafuta haki tangu mwanawe alipoaga dunia zaidi ya mwaka mmoja uliopita akiwa shuleni. Beryl Cherop aliyekuwa na miaka 16 alifariki dunia miezi michache tu baada ya kujiunga na kidato cha kwanza katika Shule ya Upili ya St Teresa of Avila Girls. Kinachomuumiza Keino roho hata zaidi ni kwamba hakuna mtu ahta mmoja aliyehudhuria hafla ya mazishi ya mwanawe kuifariji familia. Anasema hatachoka hadi pale haki itakapopatikana kufuatia kifo cha mwanawe. Sikiliza masimulizi ya kina katika makala yafuatayo2022-04-0919 minGumzo na MwanaspotiGumzo na MwanaspotiGumzo na Mwanaspoti Podcast: Edward Teco, Kupepeta Mpira kumenipandisha ndegeEdward Teco alianza kupepeta mpira baada ya kupata jeraha uwanjani akiwa shule ya upili hivyo kumlazimisha kuanza Kupepeta mpira ili kuwafurahisha mashabiki wake. Edward ameshiriki mashindano ya Dunia ya Kupepeta Mpira na hata kukutana na baadhi ya mameneja barani Ulaya, akiwamo Pepe Guardiola wa Manchester City. Katika mazungumzo na mwanahabari wetu Walter Kinjo, Edward anaeleza alivyotembea katika mataifa mbalimbali kutokana na taaluma yake ya kupepeta mpira.2022-03-2014 minKisa ChanguKisa ChanguKisa Changu Podcast; Jinsi maisha yangu yalivyobadilika baada ya kubandikiziwa figo: Eunice Rop -Sehemu 2Baada ya kuhangaika kwa miaka mingi, hatimaye Eunice Rob alifanikiwa kumpata msamaria aliyempa figo kupitia mtandao wa Facebook. Katika sehemu hii ya pili ya mahojiano na Faith Kutere, Rob anasimulia jinsi maisha yake yamebadilika tangu alipopandikiziwa figo. Pia ana ushauri kuhusu umuhimu wa kufanyiwa ukaguzi wa kiafya mara kwa mara. Sikiliza makala yafuatayo.2022-03-2016 minKisa ChanguKisa ChanguKisa Changu Podcast: Kwa nini niliamua kutumia Facebook kumtafuta mtu anipe figo: Eunice Rop -Sehemu ya KwanzaEunice Rop mkazi wa Nandi Hills alikuwa na matatizo ya kiafya tangu mwaka 2011 ambapo alikuwa akitibiwa katika hospitali moja bila mafanikio. Mwaka 2013 alitafuta huduma za matibabu katika hospitali moja mjini Eldoret ambapo ilibainika kuwa alikuwa na matatizo ya figo na kuanza matibabu Mwaka 2015 ndugu zake 2 waljitoleakupata figo nyingine lakini walipofanyika uchunguzi ikagunduliwa wao pia walikuwa na matatizo ya figo. Baada ya miaka 7 ya matibabu ya figo, mwaka 2019 Mei, Eunice aliamua kutumia mtandao wa Facebook kumtafuta mtu yeyote ambaye angemsaidia kupata figo nyingine. Je, alifanikiwa? Sikiliza masimulizi ya Eunice na Faith Kutere katika sehemu ya kwanza ya makala yafuatayo.2022-03-1313 minGumzo na MwanaspotiGumzo na MwanaspotiGumzo na Mwanaspoti Podcast: Sheryl Aluoch (shabiki wa Gor), nilimwokoa mpenzi wanguShabiki Sugu wa klabu ya Gor Mahia, Sheryl Aluoch kwa mara ya kwanza amezungumzia mvutano ambao ulishuhudiwa kati ya mashabiki wa klabu hiyo na walinzi katika Uwanja wa Kimataifa wa Kasarani mwaka wa.... Aluoch ambaye alionekana kwenye picha na video akiwa amebeba jiwe wakati wa mechi kati ya klabu ya Gor Mahia dhidi ya Vihiga Bullets anasema alilazimika kuingilia kati baada ya mpinziwe kupigwa bila sababu.2022-03-0511 minSepetukoSepetukoSepetuko Podcast; Kwa kutegemea kura za Mt Kenya Ruto ateleza!Baada ya rais Kenyatta kutangaza mwanzo wa siasa kali, joto litapanda huku mlengwa akiwa mwalimu William Ruto PhD. Itaibuka karibuni kwamba kosa kuu ambalo Ruto amelifanya ni kutegemea kura za eneo la Mt Kenya ambalo halijawahi kumpigia kura mwanasiasa asiyekuwa mwenyeji!2022-02-1309 minKisa ChanguKisa ChanguKisa changu Podcast; Ugonjwa wa Fistula ulivyoathiri maisha yangu -Sharon Korir Sehemu ya 1Wakili Sharon Korir mwathiriwa wa Fistula, anasema alipitia nyingi baada ya kugundua anaugua Fistula ukiwamo unyanyapaa kutoka kwa familia na jamaa zake. Anasema alianza kuugua baada ya kujifungua mwanawe wa pili. Baada ya kudhalilishwa na hata kutengwa na mumewe alipokuwa na Fistula, Wakili Korir hakukataa tamaa aliamua kumwelezea shemejiye kuhusu tatizo hilo kisha akapata matibabu. Amezungumza na Carren Papai kuhusu jinsi mambo yalivyoanza, akiwa hospitalini na kipindi cha kupona katika sehemu hii ya kwanza ya Kisa Changu Podcast2022-01-2309 minKisa ChanguKisa ChanguKisa Changu Podcast: Sina mikono; ilikatwa na mume aliyenishuku - Jackline Mwende, Sehemu ya 1"Nikamuuliza, Ngila utaniua na unimalize? Akaniambia umeongea kwa mara ya kwanza na ya mwisho, akaendelea na kunikatakata.'' Jackline Mwende mwenye umri wa miaka 32 anaanza kusimulia mahangaiko yanayomkumba baada ya mumewe kumkata mikono yote miwili. Ilikuwa Jumamosi Julai 23, mwaka 2016 Mwende aliporejea nyumbani usiku alikokuwa akiishi peke yake kwa sababu mumewe alikuwa ametoweka kwa miezi mitatu. Kwa miaka mingi, Mwende na mumewe Stephen Ngila waliishi bila kujaaliwa mtoto hali iliyosababisha matatizo katika ndoa yao. Ilisemekana Ngila alimshambulia Mwende kwa kumkatakata kwa upanga alipobaini kwamba alikuwa na mpenzi mwingine. Fahamu zaidi katika podcast hii kuhusu kilichotokea usiku huo, alivyookolewa na aliko Stephen...2022-01-0910 minSiasa na GumzoSiasa na GumzoGumzo la Wiki Podcast: Mudavadi ajiunge na Raila ama Ruto?Mjadala mkali unaendelea kufuatia hatua ya Raila Odinga kuwatafuta marafiki wapya wa kisiasa, hasa kwenye eneo la Magharibi baada ya Mudavadi kusisitiza kwamba hatamuunga mkono tena. Aidha, Ruto anawataka Mudavadi na Wetangula wajiunge naye katika UDA. Si hayo tu, ipo hofu kutokana na kupanda kwa maambukizi ya korona hasa baada ya kugunduliwa kwa Omicron hapa Kenya. Wanahabari wetu John Mbuthia wa Nyeri, Moses Kiraise wa Pokot Magharibi na Martin Ndiema wa Trans Nzoia wameshiriki gumzo na wakazi wa maeneo yao kuhusu masuala haya.2021-12-2013 minSepetukoSepetukoSepetuko Podcast; Raila bado kupanda mlima- angali na kazi nzito mbele yake!Hata baada ya Mt Kenya Foundation kutangaza kumuunga mkono Raila Odinga, historia ya uhusiano inaathirika kwa propaganda dhalimu za miaka mingi zilizoliharibu jina la Odinga miongoni mwa watu wa Mt Kenya.2021-12-0905 minKisa ChanguKisa ChanguKisa Changu Podcast: Ukatili wa kubomolewa nyumba Mukuru, NairobiBridgit Achieng' ni miongoni mwa maelfu ya wakazi wa mtaa wa mabanda wa Mukuru ambao hawana makao baada ya serikali kubomoa nyumba zao, kupisha ujenzi wa barabara ya Nairobi Expressway. Bridgit mwenye umri wa miaka 25 na mama wa mtoto mmoja anasema ameishi mtaani Mukuru maisha yake yote na hatua hiyo imemwathiri pakubwa kwani alilazimika kuanza upya tena maisha yake. Lakini kinachovutia zaidi kutoka kwa Bridgit si changamoto za kuishi katika mtaa wa mabanda au kukosa makazi bali ni kuamua kutumia mahangaiko yanayomkumba kuwatia motisha vijana kupitia mtandao wake wa Facebook. Sikiliza masimulizi kamili katika makala haya na Carren Omae.2021-11-2113 minKisa ChanguKisa ChanguKisa Changu Podcast: Familia Yalilia Haki -Jamaa Wao Aliuliwa na Mwanajeshi wa UingerezaMiaka 9 baada ya Agnes Wanjiru kuuliwa kinyama na mwanajeshi wa Uingereza wa Kitengo cha BATUK kinachofanyia mazoezi yake eneo la Nanyuki kwenye Kaunti ya Laikipia, Familia yake sasa inaomba haki kutendeka na kufidiwa baada ya mwanajeshi huyo kukiri kutekeleza mauaji hayo. Kama anavyoeleza, Rosemary Wanjiku ambaye ni Dadake Agnes changamoto alizopitia kumlea mwanawe Agnes kwani alimwacha akiwa na umri wa miezi mitano pekee. Rosemary anaelezea alivyopokea habari za kifo cha dadake huku akiwalaumu maafisa wa polisi wa Kenya kwa kuzembea kazini wakati wa uchunguzi.2021-11-0312 minKisa ChanguKisa ChanguKisa Changu Podcast: Si kurogwa, bali ''ovarian cancer''Faustine Andeso alikuwa mwenye wasiwasi wakati ambapo mwanawe wa kike alianza kutokwa na chunusi (pimples) usoni akiwa na miezi minne. Mwanawe Bibian, alipofika umri wa miezi mitano alianza kutokwa na damu katika sehemu ya uke halafu akaanza kuonesha dalili za msichana anayebaleghe. Awali alidhani kuwa mwanawe alikuwa amerogwa na akatafuta matibabu ya kiasili lakini hakupona. Alipofika hospitalini ilibainika kuwa Bibian alikuwa na uvimbe kwenye kifuko cha yai la kizazi uliotolewa kupitia upasuaji na kupimwa ambapo mwishowe ilibainika kwamba alikuwa na Ovarian Cancer. Faith Kutere amezungumza na Faustine kuhusu hali ya mwanawe ambaye kwa sasa anaendelea kupata nafuu baada ya kutibiwa...2021-10-3115 minDhamanaDhamanaMgawanyo wa mali baada ya Talaka.MGAWANYO WA MALI BAADA YA TALAKA.Mgawanyo wa mali zilizochumwa kwa jasho la wanandoa wote wawili hugawanywa sawa kwa kila mmoja. Mchango katika kupatikana kwa mali hizo ndio sababu kubwa ambayo huzingatiwa katika kugawa mali za ndoa.Mchango katika kupatikana kwa mali za ndoa ni pamoja na kazi za nyumbani ambazo hufanywa na wanawake katika ndoa. kazi hizo hutambuliwa kisheria Kama mchango unaompa haki mwanamke kupata mgao katika mali zilizochumwa pamoja baada ya ndoa kuvunjika.Mali zinazogawanywa ni zile zilizopatikana kwa nguvu ya pamoja na si mali binafsi za wanandoa waliotengana. Kuna uwezekano kwa wanandoa kuwa na mali binafsi ambazo...2021-10-1802 minDhamanaDhamanaMatunzo ya mtoto baada ya Talaka.MATUNZO YA WATOTO BAADA YA TALAKA.Baada ya ndoa kuvunjwa na mahakama, hutolewa amri ya mahakama kuhusu uangalizi na matunzo ya watoto.Haki ya kuishi na watoto hutegemea umri wa mtoto au watoto, uwezo wa kifedha wa kuwatunza na ustawi wa mtoto mwenyewe.Mtoto mwenye umri wa chini ya miaka 7 hupaswa kuishi na mama kwaajili ya ustawi wake kama mtoto, lakini ni lazima ionekane wazi kuwa mama ana tabia njema na ustawi wa mtoto hautaathiwa.Mtoto mwenye miaka zaidi ya saba anaruhusiwa kuchagua kuishi na baba au mama. Baba atawajibika kutoa matunzo ya kifedha kadri ya uwezo/kipato chake kama...2021-10-1802 minDhamanaDhamanaHatua za kufuata wakati wa kuomba talaka.Mtu yeyote anayetaka kuomba talaka mahakamani lazima kufuata taratibu zifuatazo;Kwanza kabisa kifungu cha 101 kinaeleza kwamba muomba talaka anatakiwa kupeleka malalamiko ya matatizo ya ndoa yake kwenye Baraza la Usuluhishi wa Ndoa la Kamishina wa Ustawi wa Jamii au baraza lingine linalotambuliwa kisheria kama kanisani au BAKWATA.Baraza la usuluhishi likishindwa kuwasuluhisha litatoa hati ya kwenda mahakamani. Hati hiyo huandikwa katika fomu maalumu inayoitwa “Fomu Na.3”. Kwa mujibu wa kifungu cha 106(2) madai ya talaka yanatakiwa kufikishwa mahakamani ndani ya miezi sita tangu tarehe baraza la usuluhishi la ndoa lilipotoa hati hiyo. Ni muhimu kufahamu kuwa baraza la usuluhishi la ndoa hali...2021-10-1505 minUchumi na BiasharaUchumi na BiasharaUchumi na Biashara Podcast; Biashara ya ngozi yaathirika TurkanaWafanyabiashara wa ngozi katika Kaunti ya Turkana wanakadiria hasara kutokana na ukosefu wa karo baada ya soko na bei ya ngozi kusambaratika. Wakizungumza na mwanahabari wetu wa Turkana, Mike Ekutan wafanyabiashara hao wanalazimika kutupa ngozi za ng'ombe, kondoo na mbuzi kwa kukosa thamani. Hata hivyo, wanaowachinja punda wanapata faida kwani ngozi yake hununuliwa na kupelekwa Uchina.2021-10-1422 minSiasa na GumzoSiasa na GumzoGumzo la Wiki Podcast: Mt. Kenya Foundation ina ushawishi wa kisiasa?Vikao vya Wafanyabiashara wa Mount Kenya Foundation vimetikisa siasa za Kenya wiki hii, baada ya kusema wataamua kuhusu mgombea wa urais watakayemuunga mkono miongoni mwa vigogo wa OKA na Raila. Je, ajenda ya wafanyabiashara hao ni kumkabili Naibu wa Rais, William Ruto au ni kupigania maslahi ya wakazi wa Mlima Kenya? Aidha, ufichuzi wa Pandora Papers umeibua maswali mengi kuhusu uzalendo wa Kenyatta na uhalali wa mali fiche na akaunti zake za siri nje ya Kenya. Je, ufichuzi huo utasaidia kukabili ufisadi nchini? Na je, Wakenya wanahisi vipi kuhusu matokeo duni ya Timu ya Taifa ya Harambee Stars? Wanahabari wetu...2021-10-1016 minKisa ChanguKisa ChanguKisa Changu Podcast: Maisha Uarabuni, ukoloni-mamboleo - Faith Murunga, Sehemu 3Katika sehemu ya tatu na ya mwisho ya masimulizi ya Faith Murunga, tunaangazia hali ilivyokuwa baada ya kurejea Kenya. Anasema mahangaiko hayakuishia Saudi Arabia. Hapa nyumbani aliwaacha watoto watano; aliporejea maisha yao yalikuwa vipi? Na mume wake je? Kwa ufahamu kamili, sikiliza mahojiano haya baina ya Faith na Carren Omae.2021-10-0312 minUchumi na BiasharaUchumi na BiasharaUchumi na Biashara Podcast; Bei za mafuta, pigo kwa sekta ya matatuAnthony Ndirangu, Mwenyekiti wa Chama cha Ushirika cha Uchukuzi wa Umma la NYENA SACCO anaeleza masaibu wanayopitia kufuatia kupanda kwa bei za mafuta. Ndirangu anasema shirika hilo limekuwa likiandikisha hasara kubwa hasa baada ya mafuta kuongezwa bei licha ya kuwa limekuwa likipata hasara kutokana na athari za korona. Kwa mujibu wa Ndirangu, serikali inazidi kuikandamiza sekta ya uchukuzi. Mwanahabari wetu, John Mbuthia amezungumza naye ambapo anasimulia yanayowasibu kutokana na kupanda kwa bei za mafuta.2021-10-0119 minSiasa na GumzoSiasa na GumzoGumzo la Wiki Podcast: Waiguru ajongea UDA, naye Raila amlaumu Ruto kuhusu BBIJe, ni kweli kuwa BBI ilichangia kukwama kwa miradi ya maendeleo? Kuna haja ya Rais Kenyatta na Odinga kuwaomba Wakenya msamaha kwa kuhujumu maendeleo kupitia BBI jinsi anavyodai Naibu wa Rais, William Ruto? Na je, ni sawa kwa Kenyatta na Odinga kumlaumu Ruto kwa kuchangia kuanguka kwa BBI au ni visingizio tu? Aidha, siasa za eneo la Kati zinazidi kuwa ngumu, Martha Karua akiteuliwa kuwa Msemaji wa Mt. Kenya Unity Forum. Ataweza? Huko Kirinyaga, Gavana Ann Waiguru aambiwa ahamie UDA ili achaguliwe tena siku chache tu baada ya Kalonzo kumtaja kuwa mmoja wa wana'OKA. Wanahabari wetu, John Mbuthia wa Nyeri...2021-09-2618 minKisa ChanguKisa ChanguKisa Changu Podcast: Maisha Uarabuni; Ukoloni Mamboleo - Faith Murunga, Sehemu 2Katika sehemu ya kwanza Faith Murunga alisimulia namna alivyojiandaa na kusafiri hadi saudia kwa kazi za nyumbani. Anasema alipowasili huko, maisha yalikuwa tofauti na alivyodhania. Faith anasema alidhulumiwa na kuteswa na mwajiri wake ambaye alimhitaji kufanya kazi nyingi tofauti na walivyokubaliana, hakupata chakula cha kutosha na alichapwa hata bila kukosea. Maji yalizidi unga hadi akaamua kuanza safari ya kurejea Kenya baada ya mwaka mmoja unusu wakati mwajiri wake alipomchoma mkono kwa kummwagia maji ya moto. Je, alitumia mbinu gani hadi akarejea nyumbani? Sikiliza sehemu ya pili ya podcat hii na Carren Omae.2021-09-2619 minSafinia Maliki\'s podcastSafinia Maliki's podcastHe Was Once In My Dreams Ep 4 - Safinia Maliki's podcast...baada ya kumaliza kuwahudumia wateja wao dukani , Genevieve na Maria waelekea palipo na mgahawa karibu na dukani kwao ili kuweza kula....2021-09-2507 minKisa ChanguKisa ChanguKisa Changu Podcast: Mateso Uarabuni; Ukoloni Mamboleo-Faith Murunga, Sehemu 1Baada ya kukosa njia ya kujiinua kimaisha nchini Kenya, Faith Murunga aliamua kwenda Saudi Arabia kujitafutia riziki. Faith anasema aliposikia kuhusu fursa zilizoko huko, hakufikiria mara mbili akidhani kwamba ingekuwa suluhu ya matatizo ya kifedha yaliyomkumba. Anasema mipango ya kuelekea Saudi Arabia ni rahisi tu, na wapo mawakala na maajenti walio tayari kutoa usaidizi huo, jinsi ambavyo anasimulia katika sehemu ya kwanza ya podcast hii, katika mahojiano na Carren Omae.2021-09-1912 minSepetukoSepetukoSepetuko Podcast; Sakata ya Rio-Utumbili unaoathiri ushujaa michezoniAdhabu yaja baada ya miaka mitano ya kutokea ufisadi uliovuruga ushujaa wa wanamichezo wa Kenya Rio De Janeiro. Sakata nyingine zinazovuruga maisha ya wakenya zasubiri kusuluhishwa, kuu zaidi ikiwa NYS!2021-09-1805 minSiasaSiasaSiasa Podcast: Hatutaki Siasa Makanisani - Askofu Anthony MuheriaHatua ya Kiongozi wa Kanisa la Kianglikana, Jackson Ole Sapit kuwanyima fursa wanasiasa kuhutubu katika mimbari kwenye halfa aliyokuwa akiongoza katika Eneo Bunge la Butere, Kaunti ya Kakamega, imeendelea kuibua mijadala mikali. Je, ndio mwisho wa maendeleo na ujenzi wa makanisa baada ya wanasiasa kunyimwa fursa ya kuzungumza mimbarini? Mwanahabari wetu Victor Mulama amemhoji Askofu wa Kanisa Katoliki Dayosisi ya Nyeri Anthony Muheria ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Madhehebu la Kushughulikia Kanuni za Kuzingatiwa katika Maeneo ya Ibada.​2021-09-1313 minGumzo na MwanaspotiGumzo na MwanaspotiGumzo na Mwanaspoti Podcast; Barbana Korir azungumzia Olimpiki nchini Japan na U20, KenyaMkurugenzi wa Masuala ya Vijana katika AK, Barnaba Korir kwa mara ya kwanza amezungumzia mashindano ya Olimpiki ambayo yalikamilika nchini Japan, vilevile mashindano ya Dunia kwa Wanariadha Chini ya Miaka Ishirini ambayo yalifanyika katika Uwanja wa Kimataifa wa Kasarani, Nairobi. Katika mahojiano ya moja kwa moja, Korir ameweka wazi kwamba hali ilikuwa ngumu katika mashindano ya Olimpiki hasa zaidi baada ya Kenya kupoteza dhahabu katika mbio za mita elfu tatu kuruka viunzi na maji.2021-09-1328 minAmerica Swahili News PodcastAmerica Swahili News PodcastTundu Lissu | Simulizi mara baada ya kuamka hospitalini, Nairobi-KenyaTundu Lissu anaongea jinsi anavyokumbuka alivyo zinduka Nairobi, Kenya.--- Support this podcast: https://anchor.fm/patrick-nhigula/support2021-09-1226 minSepetukoSepetukoSepetuko Podcast; Museveni Anawajali Wanariadha Kuliko Uhuru; Aibu ya Kuwatuza Siku 10 BaadayeWanariadha wa Kenya walioshiriki Olimpiki jijini Tokyo Japan wameliletea taifa sifa kedekede kwa kuibuka la kwanza barani Afrika. Hata hivyo, hawakupokelewa kishujaa walipowasili JKIA. Aidha, Rais Kenyatta aliwaalika katika hafla ya kutuzwa siku 10 baada ya kuwasili nchini. Rais Museveni kwa upande wake aliwatuza wanariadha wa nchi yake punde walipowasili. Ni wazi kuwa Kenya haiwajali wanaspoti wake....ni kutowathamini mashujaa.2021-08-1805 minKisa ChanguKisa ChanguKISA CHANGU PODCAST: Chifu, miaka 20 jela kwa kusingiziwa ubakajiAliyekuwa chifu wa Kata ya Kanamkemer katika Kaunti ya Turkana, Suleiman Loriu aliyehukumiwa kifungo cha miaka 20 kwa kwa madai ya kumbaka mtoto wa miaka 15 ametoka garezani. Suleiman anasema aliyedaiwa kumbaka hakuwa mtoto ila mtu mzima tena mke wake. Baada ya kukaa gerezani kwa miaka 11, alishinda rufaa aliyowasilisha baada ya kuthibitisha kuwa hakumbaka mtoto. Ameiomba jamii msamaha na kuitaka imkubali kwani hakuwa na hatia. Loriu ameshiriki mazungumzo na Mike Ekutan.2021-08-1511 minKisa ChanguKisa ChanguKisa Changu Podcast: Ugonjwa wa kinga mwilini kushambulia seli umenivurugia maisha!Dickson Kibiwott alikuwa mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika Chuo Kikuu cha Masinde Muliro takriban miaka 5 iliyopita alipougua ghafla. Alipatakina na tatizo la kiafya ambapo kinga ya mwili hushambulia seli mwilini, ugonjwa ambao unajulikana kama multiple sclerosis, ambao ulimlemaza baada ya siku tatu tu. Ugonjwa huu hauna tiba na wakati mwingine humsababisha mtu kupooza, kukosa kuona vizuri, kuhisi uchovu mwingi, kushindwa kutafuna chakula na kumeza, kushindwa kuzungumza miongoni mwa matatizo mengine mengi. Kibiwott alilazimika kusitisha masomo yake na mamaye akilazimika kusitisha biashara ili kumshughulikia akiwa nyumbani. Faith Kutere amezungumza na Kibiwott pamoja na mamaye, Loice Tum anayeeleza changamoto za kumshughulikia...2021-08-0813 minMaisha Ni Kuthubutu PodcastMaisha Ni Kuthubutu PodcastSifa Sita (06) Za Mtu Anayetaka Mafanikio.Kiwango cha mafanikio kinategemea sana kiwango chako cha kujitambua, unatamani kufanikiwa kwenye kitu unachofanya lakini hujui nini ufanye Ili ufanikiwe kwenye kitu unachofanya kwa maana kutimiza malengo yako, ndoto zako pamoja na maono yako; Lakini tafiti zimefanyika kuna sifa sita ambazo mtu akizijenga anavuta mafanikio kwenye maisha yake, kupitia podcast jiandaee kuwa mtu mwenye mafanikio makubwa baada ya kusikiliza Podcast hii mpaka mwisho na kujua sifa ambazo mtu anataka mafanikio anapaswa kuwa nazo. Kauli Mbiu: “MAISHA NI KUTHUBUTU”2021-08-0720 minKisa ChanguKisa ChanguKISA CHANGU PODCAST: Anazuru kote nchini kwa baiskeli kuhamasisha kuhusu koronaFredrick Ochieng mwenye umri wa miaka 27, amejipa jukumu la kuufikisha ujumbe kuhusu janga la korona kote nchini. Ochieng' anasema amechukua hatua hiyo baada ya kuwaona Wakenya wengi wakipuuza masharti ya kukabili janga hilo. Anasema haja yake ni kumwona kila Mkenya akitii masharti hayo hatua itakayowasaidia kurejelea maisha ya kawaida. Mwanahabari Mike Ekutan amekutana na Ochieng' baada ya kuwasili mjini Lowdor, katika Kaunti ya Turkana ambapo amemsimulia kuhusu hali yake safarini.2021-08-0107 minSiasa na GumzoSiasa na GumzoGUMZO LA WIKI PODCAST: Mauaji Yamezidi, Nao Wanasiasa WamechanganyikiwaSuala la polisi kupewa ushauri nasaha ili kukabili msongo wa mawazo limekuwa gumzo wakati wa mazishi ya Caroline Kangogo. Ni hali ambayo imewakumba wengi. Je, lipi lifanyike ili kukabili hali hii? Aidha, kila kiongozi wa NASA sasa anautoroka muungano huo. Kunani? Na baada ya hatua hiyo, wataingia katika miungano gani au nani ataungana na nani? Raila pia amejaribu kujitangaza Mlima Kenya kupitia wanamiziki, wafanyabiashara na baadhi ya wanasiasa. Je, atabadili nyoyo za wakazi wa huko ambao wamekuwa wakimwogopa? Wanahabari John Mbuthia, William Omasire na Martin Ndiema wanatupambia makala haya.2021-07-3112 minElimuElimuELIMU PODCAST; Mzigo wa karo na vitabu; wazazi wanaliaWazazi nchini Kenya wamepaza sauti kulalamikia hatua ya Wizara ya Elimu kuwapa muda mfupi mno kujitayarisha ili kuwarejesha wanafunzi shuleni kwa muhula wa kwanza ulioanza tarehe 26, Julai, 2021. Wanafunzi takribani 15,000 wamerejea shuleni baada ya likizo ya wiki moja tu suala ambalo limewafanya wazazi kutatizika kutafuta karo na fedha za kununulia vifaa vingine kama vile vitabu. Baadhi ya wazazi walio na watoto zaidi ya mmoja, wamewarai walimu kutowarejesha wanao nyumbani kwa kutokamilisha karo wakiomba kupewa muda zaidi kujiandaa. Wengine nao wanalalamikia hatua ya baadhi ya walimu wakuu kuongeza karo kinyume na mwongozo wa Wizara ya Elimu. Aidha, wameshangaa kupokezwa orodha ndefu ya...2021-07-3108 minSiasa na GumzoSiasa na GumzoGUMZO LA WIKI PODCAST: Jubilee imesambaratika? Mpango mbadala wa BBI ni gani?Cheche kali za maneno zinaendelea ndani ya Jubilee baada ya kurambishwa sakafu na UDA huko Kiambaa, huku baadhi wakishinikiza kufurushwa kwa Tuju na Murathe chamani. Kenyatta naye amefoka akiwa Kilifi na kuwataja kuwa maadui wanaotatiza juhudi zake za kuleta umoja na maendeleo. Je, hao maadui ni akina nani? Vipi kuhusu reggae ya BBI? Kenyatta na Odinga wasisitiza kwamba ngoma hiyo ingalipo na kwamba marekebisho ya katiba yatafanyika. Wana njia gani mbadala ya kufanikisha lengo hilo? Huko Nyanza, tabia ya Wakenya ya kujihatarisha kwa kuchota mafuta imedhihirika tena. Je, mbona hawajifunzi kutokana na mikasa ya awali? Wanahabari wetu, Rose Mukonyo wa...2021-07-2521 minHoja za WahaririHoja za WahaririHOJA ZA WAHARIRI PODCAST; Kivumbi kati ya Jubilee na UDA Kiambaa na MugugaBaada ya chama kipya cha UDA kushinda uchaguzi mdogo wa ubunge kwenye eneo la Kiambaa, kisha Jubilee kukishinda kiti cha uwakilishi wadi Muguga, kivumbi kinatifuka; UDA inaelekea mahakamani kutaka kura za Muguga zihesabiwe upya huku nayo Jubilee ikitaka kura za Kiambaa zihesabiwe tena. Aidha, nani ana ufuasi mkubwa Mlima Kenya baina ya Uhuru Kenyatta na William Ruto? Kuelekea 2022, farasi watakuwa wawili au watatu? Wahariri, Geoffrey Mung'ou na Odeo Sirari wanamshirikisha mwanahabari Victor Mulama aliyekuwa mashinani kuangazia chaguzi hizo, katika kujadili kwa kina masuala haya.2021-07-2027 minKisa ChanguKisa ChanguKISA CHANGU PODCAST: Niliponea kifo Saudi ArabiaRebecca Chesang, mzawa wa Kaunti ya Nandi alielekea Saudi Arabia mwaka 2019 mwezi Februari kufanya kazi za nyumbani. Chesang alilenga kuisaidia familia yake kwa kufanya kazi jijini Riyadh, Mji Mkuu wa Saudi Arabia, lakini alijipata katika mji wa Arar, kilomita 60 kutoka mpaka wa Saudi Arabia na Iraq. Anasema maisha Uarabuni yalikuwa magumu na mara kadhaa alidhulumiwa na mwajiri wake na akalazimika kupiga ripoti katika idara mbalimbali kuhusu masaibu yaliyomkumba. Alipata usadizi na kurejea nchini baada ya Shirika la Habari la Standard kuangazia yaliyomkumba Saudia, jinsi alivyomsimulia mwanahabari wetu, Faith Kutere.2021-07-1828 minUchumi na BiasharaUchumi na BiasharaUCHUMI NA BIASHARA PODCAST; Umuhimu wa wanawake katika ukuaji wa uchumiMkurugenzi wa Idara ya Baishara katika Benki ya Absa, Susan Situma amesema ili uchumi wa taifa uimarike, ni sharti wanawake wajumuishwe. Amekariri kwamba kuna haja ya serikali kuwashirikisha wajasiriamali wanawake ili pato la taifa likue. Kwa mujibu wa Situma, Benki ya Absa imezindua akaunti ya Absa She Account inayolenga kuhakikisha wafanyabiashara wadogo wadogo hususan wanawake wanapata fursa ya kuwekeza na kuomba mikopo hadi shilingi milioni kumi. Aidha, amewasihi wanawake na Wakenya kwa jumla kuchukua bima ya maisha ili kusaidika wanaposhindwa kulipia mikopo ya benki. Amesema wakati huu wa korona, wateja wengi wa Absa waliokuwa wamechukua mikopo walilipiwa na bima mbalimbali...2021-07-1222 minKisa ChanguKisa ChanguKISA CHANGU PODCAST: Nilikaa Kamiti miaka 5 kwa kosa ambalo sikulifanyaJohn Mutua maarufu Kaploti alikaa katika Gereza la Kamiti kwa miaka 5 akikabiliwa na tuhuma za mauaji. Kaptoli anasema alikamatwa alipopatikana kwenye eneo la tukio ambapo mtu mmoja aliuliwa kwa kudungwa kisu na vijana waliokuwa wakimwibia. Anadai kwamba hakuwa na pesa za kuwahonga polisi waliomsingizia kuwa ndiye aliyekuwa mshukiwa mkuu bila uchunguzi kufanywa. Kesi dhidi yake iliendelea kwa miaka mitano lakini hatimaye akaachiliwa huru kufuatia ukosefu wa ushahidi wa kutosha. Kaploti amezungumza na Carren Omae na kusimulia jinsi hali ilivyokuwa tangu kukamatwa, maisha gerezani na maisha yake baada ya kuachiliwa huru.2021-07-0418 minKisa ChanguKisa ChanguKISA CHANGU PODCAST: Mwanamke ahangaika baada ya kufutwa na mume kumtorokaWilkister Maluki, mama wa watoto wawili vilevile mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha South Eastern Kenya University, SEKU amelazimika kusitisha masomo kwa kukosa karo baada ya kufutwa kazi katika kampuni moja jijini Nairobi. Wilkister ambaye anaishi katika Mtaa wa Mabanda wa Mukuru Kayaba jijini Nairobi sasa anawafulia watu nguo ili kukimu mahitaji ya familia yake changa. Anasema alianza kuwafulia watu nguo wiki tatu tu baada ya kujifungua mwanawe wa pili na kumwathiri pakubwa kiafya. Isitoshe, mumewe alitoweka punde tu baada ya yeye kuachishwa kazi kutokana na janga la korona. Kwa sasa, maisha yanazidi kuwa magumu, familia nayo inamtegemea na hana ajira...2021-06-2715 minKisa ChanguKisa ChanguKISA CHANGU PODCAST: Machungu ya baba aliyepokonywa wanaweSammy Natoo, mkazi wa Kaunti ya Turkana ana machungu moyoni baada ya kunyang'anywa watoto miaka kadhaa iliyopita kwa kutomlipia mahari mkewe. Kila Jumapili ya tatu ya mwezi Juni wazazi wengine wa kiume wanaposherehekea Siku ya Akina Baba Duniani Natoo anasema inamkumbusha tu masaibu ambayo amekuwa amekuwa akipitia tangu mwaka 1993. Amezungumza na Mike Ekutan na kumweleza kwa kina masaibu yake.2021-06-2014 minVijana na MapenziVijana na MapenziVIJANA NA MAPENZI PODCAST: Jamaa abaki njia-panda baada ya kuachwa na mkePodcast hii inamwangazia jamaa mwenye umri wa miaka 30 ambaye hajui la kufanya baada ya mkewe kumtoroka. Kijana huyo anayefanya kazi katika Kaunti ya Isiolo anasema kwamba siku moja mkewe alimwomba ruhusa ya kwenda kuwaona wazazi wake na hadi sasa hajarejea. Mwanamke huyo aliondoka pamoja na mtoto wao wa umri wa miaka 3 na anapopigiwa simu na mumewe anasema kwamba aliolewa kwingine. Kijana huyu yuko katika njia-panda asijue la kufanya. Mshauri wa masuala ya kijamii, Rachel Mahungu anampa ushauri katika podcast hii.2021-06-1910 minSiasa na GumzoSiasa na GumzoGUMZO LA WIKI PODCAST; Rais anahujumu idara ya mahakama, Wakenya wazungumzaHatua ya Rais Uhuru Kenyatta kuwaidhinisha majaji 34 na kuwaacha 6 akiwamo, Joel Ngugi na George Odunga ambao walikuwa miongoni mwa majaji walioharamisha BBI, imeendelea kuibua hisia kinzani hasa kuhusu uhuru wa Idara ya Mahakama. Je, unadhani Rais analipiza kisasi ama kuna sababu maalumu za kuwakataa sita hao? Aidha, katika maadhimisho ya Madaraka, Rais aliendelea kushtumu mahakama akisema majaji wanatoa uamuzi bila kujali athari zake kiuchumi. Je, unafikiri majaji wanatumia sheria kuhujumu serikali ama ni serikali ndiyo inayokiuka katiba? Si hayo tu, Rais Kenyatta amekosolewa vikali baada ya kuzindua miradi kwenye eneo la Nyanza. Je, anafanya maendeleo kwa ubaguzi? Wanahabari wetu Moses...2021-06-0814 minSiasaSiasaSIASA PODCAST: Rais kuwateua majaji 34 na kuwaacha 6 inamaanisha nini?Baada ya kupuuza mashinikizo ya wanaharakati, wanasheria na mahakama, hatimaye Rais Uhuru Kenyatta amewateua majaji 34, huku akikosa kuwateua wengine 6. Hali hii imezidisha cheche za maneno dhidi ya Kenyatta. Je, mbona hajawateua majaji hao 6? Hatima yao ni gani? Mike Nyagwoka amelichambua suala hili kwa kina, vilevile suala la kukithiri kwa mgogoro baina ya Serikali Tendaji na Idara ya Mahakama.2021-06-0409 minSiasa na GumzoSiasa na GumzoGUMZO LA WIKI PODCAST; BBI iendelee au la? Uhuru ataacha rekodi ya maendeleo? Wakenya wanajadiliMjadala mkali unaendelea kuhusu iwapo mchakato wa BBI unafaa kusitishwa kabisa hadi baada ya uchaguzi mkuu ujao au la. Naye Naibu wa Rais, William Ruto amesema kusimamishwa kwa BBI mahakamani vilevile mikutano ya kisiasa ni ujumbe kwamba pana haja ya mashauriano kufanyika kuhusu mustakabali wa Kenya. Aidha, Kenyatta amezindua upya Kiwanda cha Nyama, KMC chini ya Jeshi la Ulinzi KDF, akisema anategemea sana KDF katika kutekeleza maendeleo kwa sababu ya bidii, uwajibikaji na bajeti yake nafuu ikilinganishwa na zile za wanakandarasi wengine. Je, Rais Kenyata ataacha rekodi gani ya uongozi ikizingatiwa kwamba mahakama imekuwa ikitoa maamuzi ya kuharamisha mipango yake...2021-05-3012 minKisa ChanguKisa ChanguKISA CHANGU PODCAST: Tuliacha wizi baada ya wenzetu kuangamizwaFredrick Okinda na Robert Muchiri ni vijana waliokuwa wahalifu sugu waliowahangaisha watu mtaani Korogocho. Lakini sasa wamebadilika kabisa mbali na kujihusisha na miradi ya utunzaji wa mazingira. Aidha, wanawahamasisha vijana wenzao kwamba uhalifu haulipi. Juhudi zao zimefanikiwa? Wanapitia changamoto zipi? Matumaini yao ya baadaye ni yapi? Yapate majibu yote haya katika kipindi hiki cha Kisa Changu Podcast na Carren Omae.2021-05-3019 minKisa ChanguKisa ChanguKisa Changu Podcast; Niliibiwa figo hospitaliniMsichana kwa jina Ivy Kinagu hajui ilikokwenda figo yake baada ya kufanyiwa upasuaji katika hospitali moja jijini Nairobi. Mamaye ana huzuni nyingi kutokana na matatizo ya afya anayopitia bintiye. Sikiliza mazungumzo haya kati ya Ivy na mwanahabari wetu, Esther Kirong.2021-05-1519 minKisa ChanguKisa ChanguKisa Changu Podcast: Wasichana pacha, Mevis na Melon kuhusu ugumu wa maishaPacha wawili, Mevis na Melon waliotenganishwa wakati wa kuzaliwa, wanapitia hali ngumu ya maisha. Punde baada ya kuangaziwa katika vyombo vya habari, wengi walijitokeza na ahadi za kuwasaidia. Lakini tangu hapo wameachwa wakihangaika; chakula ni kwa shinda, karo ni kwa shida...wamesalia ombaomba. Faith Kutere amezungumza nao.2021-04-2124 minKisa ChanguKisa ChanguKisa Changu Podcast; Nilihukumiwa mara 9 kunyongwa, sasa nimebadilikaMasimulizi ya kushangaza ya afisa mstaafu wa GSU, aliyeshiriki ulanguzi wa sukari la bunduki. Wizi wa kimabavu ulichangia kuhukumiwa kunyongwa mara 9. Kimuujiza, akawa huru baada ya kukata rufaa na kuondolewa mashtaka yote. Ameshiriki mazungumzo ya kusisimua na Martin Ndiema.2021-04-1616 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastEpisode 18 - TAFAKARI YA BIBLIA Linus Siwiti's podcastMATHAYO 5:1-10Karibu siku ya leo ungane nami katika maombi ya letayo Heri katikati maisha Bwana atakupoganiaMara baada ya kusikiliza podcast kama utakuwa na hitaji binafsi ka maombi andika tu kwenye Comment nahitaji maombi au wasiliana nami kwa namba nilizo kutaji kwenye podcast . Nami nitaomba kwa ajili yako2020-08-0514 minBongo PodcastBongo PodcastEP 04 - Thamani ya Wasanii Kabla na Baada ya KifoHosted by Zaddy (IG: @Zaddy) andDonSompo (IG: @donsompo)Follow this podcast on Instagram @bongopodcastMusic by WorldHipHopBeats.Com --- Send in a voice message: https://anchor.fm/bongopodcast/message2020-02-1022 min