Look for any podcast host, guest or anyone
Showing episodes and shows of

Clifford Sangai

Shows

SportsCastSportsCastChelsea ya Thomas TuchelTangu amechukua mikoba ya kukinoa kikosi cha Chelsea, Tuchel amekuwa akihusudu mfumo wa mabeki watatu kuliko ule wa mabaki wanne ambao alikuwa akiutumia akiwa PSG. Clifford Sangai na Prosper Bartalomew wanajadili kwa kina falsafa za raia huyo wa Ujerumani. Miongoni mwa yaliyoongelewa ni kama Tuchel anaweza badili mfumo au atasalia na wa sasa? Kitendawili cha Havertz, Werner na Lukaku bila kusahau namna anavyotegemea Wingback wakati wa kufanya mashambulizi. Sikiliza zaidi Episode hii2022-06-0323 minSportsCastSportsCastChelsea ya Thomas TuchelTangu amechukua mikoba ya kukinoa kikosi cha Chelsea, Tuchel amekuwa akihusudu mfumo wa mabeki watatu kuliko ule wa mabaki wanne ambao alikuwa akiutumia akiwa PSG. Clifford Sangai na Prosper Bartalomew wanajadili kwa kina falsafa za raia huyo wa Ujerumani. Miongoni mwa yaliyoongelewa ni kama Tuchel anaweza badili mfumo au atasalia na wa sasa? Kitendawili cha Havertz, Werner na Lukaku bila kusahau namna anavyotegemea Wingback wakati wa kufanya mashambulizi. Sikiliza zaidi Episode hii2022-06-0323 minSportsCastSportsCastMwaka mmoja wa Nabi: Mbinu na UfundiNi mwaka mmoja sasa tangu Nasreddine Nabi achukue mikoba ya kukinoa kikosi cha Yanga kutoka kwa Cedric Kaze ambaye kwa sasa ni msaidizi wake. Kuna mambo mengi ameyabadili katika kikosi hicho ambayo Clifford Sangai na Prosper Bartalomew wanayajadili katika episode hii. Kati ya hayo ni kumfanya kiungo Feisal Salum kucheza katika eneo la mbele zaidi kuliko alipokuwa akicheza hapo awali. Swala la muhimu zaidi ni nafasi ambayo wachezaji vijana waliopo Yanga wanapewa nafasi na Nabi. Sikiliza episode hii kisha tupe maoni yako.2022-05-0624 minSportsCastSportsCastMwaka mmoja wa Nabi: Mbinu na UfundiNi mwaka mmoja sasa tangu Nasreddine Nabi achukue mikoba ya kukinoa kikosi cha Yanga kutoka kwa Cedric Kaze ambaye kwa sasa ni msaidizi wake. Kuna mambo mengi ameyabadili katika kikosi hicho ambayo Clifford Sangai na Prosper Bartalomew wanayajadili katika episode hii. Kati ya hayo ni kumfanya kiungo Feisal Salum kucheza katika eneo la mbele zaidi kuliko alipokuwa akicheza hapo awali. Swala la muhimu zaidi ni nafasi ambayo wachezaji vijana waliopo Yanga wanapewa nafasi na Nabi. Sikiliza episode hii kisha tupe maoni yako.2022-05-0624 minSportsCastSportsCastTaifa Stars ya Kim PoulsenStars ya Kim ni tofauti na ya Etienne lakini kuna vitu vinaendana. Episode hii emejikita katika kuangazia falsafa za kocha Kim Poulsen anayekinoa kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujadili hayo yote bila kusahau aina ya wachezaji ambao Kim hapendi kuwakosa kwenye timu. Je ni wachezaji gani hao? Sikiliza Episode hii hadi mwisho2022-04-0616 minSportsCastSportsCastTaifa Stars ya Kim PoulsenStars ya Kim ni tofauti na ya Etienne lakini kuna vitu vinaendana. Episode hii emejikita katika kuangazia falsafa za kocha Kim Poulsen anayekinoa kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujadili hayo yote bila kusahau aina ya wachezaji ambao Kim hapendi kuwakosa kwenye timu. Je ni wachezaji gani hao? Sikiliza Episode hii hadi mwisho2022-04-0616 minSportsCastSportsCastJe, Carlo Ancelottii amebadilika?Tangu miaka ya 90 wapenzi wa soka walianza kushuhudia kazi za Carlo Ancelotti ambaye ni raia wa Italia. Katika miaka yake yote kama kocha ameshuhudia mabadiliko mbalimbali katika soka barani Ulaya lakini amwezaje kudumu katika taaluma hiyo kwa kipindi kirefu? Clifford Sangai na Prosper Bartalomew wanajadiliana kuhusu falsafa, mbinu na ufundi wa kocha huyo ambaye kwa sasa anakinoa kikosi cha Real Madrid kwa muhula wa pili. Kuna mengi sana tusiyoyajua kuhusu Ancelotti, sikiliza episode hii kisha utupe maoni yako.2022-03-2215 minSportsCastSportsCastJe, Carlo Ancelottii amebadilika?Tangu miaka ya 90 wapenzi wa soka walianza kushuhudia kazi za Carlo Ancelotti ambaye ni raia wa Italia. Katika miaka yake yote kama kocha ameshuhudia mabadiliko mbalimbali katika soka barani Ulaya lakini amwezaje kudumu katika taaluma hiyo kwa kipindi kirefu? Clifford Sangai na Prosper Bartalomew wanajadiliana kuhusu falsafa, mbinu na ufundi wa kocha huyo ambaye kwa sasa anakinoa kikosi cha Real Madrid kwa muhula wa pili. Kuna mengi sana tusiyoyajua kuhusu Ancelotti, sikiliza episode hii kisha utupe maoni yako.2022-03-2215 minSportsCastSportsCastFalsafa ya Marcelo BielsaWengi huvutiwa na soka la timu anazofundisha kama Marseille, Lille na Leeds ambayo kwa sasa imemtimua. Kuna mengi ya kujifunza juu ya falsafa ya Marcelo Bielsa na hapo ndipo kunamfanya Clifford Sangai aketi chini na Prosper Bartalomew kujadili kwa kina mbinu na ufundi wa raia huyo wa Argentina. Tumeongelea aina yake ya ukabaji ambayo ni 'MAN TO MAN" tukiangazia kwa kina namna ilivyofaulu na kufeli hasa akiwa na Leeds United. Prosper alienda mbali zaidi kwa kulinganisha mbinu za Bielsa dhidi ya Gian Piero Gasperini ambaye anakinioa kikosi cha Atalanta kinachoshiriki ligi kuu ya nchini Italia...2022-03-0815 minSportsCastSportsCastFalsafa ya Marcelo BielsaWengi huvutiwa na soka la timu anazofundisha kama Marseille, Lille na Leeds ambayo kwa sasa imemtimua. Kuna mengi ya kujifunza juu ya falsafa ya Marcelo Bielsa na hapo ndipo kunamfanya Clifford Sangai aketi chini na Prosper Bartalomew kujadili kwa kina mbinu na ufundi wa raia huyo wa Argentina. Tumeongelea aina yake ya ukabaji ambayo ni 'MAN TO MAN" tukiangazia kwa kina namna ilivyofaulu na kufeli hasa akiwa na Leeds United. Prosper alienda mbali zaidi kwa kulinganisha mbinu za Bielsa dhidi ya Gian Piero Gasperini ambaye anakinioa kikosi cha Atalanta kinachoshiriki ligi kuu ya nchini Italia maarufu kama Serie A. Sikiliza...2022-03-0815 minSportsCastSportsCastKwanini kiwango cha Lukaku kimeshuka?Tangu Lukaku afanye mahojiano na Sky sports, amecheza mechi sita za Ligi Kuu bila kufunga bao. Clifford Sangai ameamua kukaa chini na Prosper Bartalomew kuangalia mwenendo wa mshambuliaji huyo wa Chelsea ambaye msimu uliopita alifunga mabao 24 na assists 11 akiwa na klabu ya Inter. Miongoni mwa yaliyojadiliwa ni mifumo ya Chelsea, Inter Milan na timu ya taifa ya Ubelgiji. Prosper ameenda mbali zaidi kwa kuangalia aina ya pasi ambazo Lukaku anapokea pia maeneo anayokaa ili kupokea pasi. Episode hii imeelezea kila kitu kuhusu Romelu Lukaku.2022-02-2213 minSportsCastSportsCastKwanini kiwango cha Lukaku kimeshuka?Tangu Lukaku afanye mahojiano na Sky sports, amecheza mechi sita za Ligi Kuu bila kufunga bao. Clifford Sangai ameamua kukaa chini na Prosper Bartalomew kuangalia mwenendo wa mshambuliaji huyo wa Chelsea ambaye msimu uliopita alifunga mabao 24 na assists 11 akiwa na klabu ya Inter. Miongoni mwa yaliyojadiliwa ni mifumo ya Chelsea, Inter Milan na timu ya taifa ya Ubelgiji. Prosper ameenda mbali zaidi kwa kuangalia aina ya pasi ambazo Lukaku anapokea pia maeneo anayokaa ili kupokea pasi. Episode hii imeelezea kila kitu kuhusu Romelu Lukaku.2022-02-2213 minSportsCastSportsCastMikimbio ya Washambuliaji wa Simba SCBila shaka ulimsikia beki wa Mtibwa Sugar, Abdi Banda aliposema kwamba washambuliaji wa Simba ni rahisi kuwakaba. Je kauli hii inaukweli? Clifford Sangai amekutana na Prosper Bartalomew chini ya mti ili kuangazia na kuchambua kwa undani mikimbio ya washambuliaji wa Simba yaani Kagere, Mugalu na Bocco Usisite kushea na marafiki Episode hii Pia unaweza kupakua majarida yetu BURE kuhusu AFCON: https://sportscasttz.gumroad.com/l/stajt https://sportscasttz.gumroad.com/l/jbxud2022-02-0116 minSportsCastSportsCastMikimbio ya Washambuliaji wa Simba SCBila shaka ulimsikia beki wa Mtibwa Sugar, Abdi Banda aliposema kwamba washambuliaji wa Simba ni rahisi kuwakaba. Je kauli hii inaukweli? Clifford Sangai amekutana na Prosper Bartalomew chini ya mti ili kuangazia na kuchambua kwa undani mikimbio ya washambuliaji wa Simba yaani Kagere, Mugalu na Bocco Usisite kushea na marafiki Episode hii Pia unaweza kupakua majarida yetu BURE kuhusu AFCON: https://sportscasttz.gumroad.com/l/stajt https://sportscasttz.gumroad.com/l/jbxud2022-02-0116 minSportsCastSportsCastArsenal: 'Pattern' ya ushambuliajiHawakuanza msimu vizuri lakini hivi karibuni inaonekana kama gari limewaka.  Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kuangazia wapi Arsenal walikuwa wanakwama pamoja na vitu ambavyo Mikel Arteta ameviongeza ili kuongeza ubora katika safu ya ushambuliaji.  Tumegusia pia patnership ya Xhaka na Partey inavyowasaidia katika kufanya mashambulizi. Katika episode hii tumegusia mbinu za Mikel Arteta kwa undani zaidi, usisite kuisikiliza hadi mwisho. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092022-01-1119 minSportsCastSportsCastArsenal: 'Pattern' ya ushambuliajiHawakuanza msimu vizuri lakini hivi karibuni inaonekana kama gari limewaka.  Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kuangazia wapi Arsenal walikuwa wanakwama pamoja na vitu ambavyo Mikel Arteta ameviongeza ili kuongeza ubora katika safu ya ushambuliaji.  Tumegusia pia patnership ya Xhaka na Partey inavyowasaidia katika kufanya mashambulizi. Katika episode hii tumegusia mbinu za Mikel Arteta kwa undani zaidi, usisite kuisikiliza hadi mwisho. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092022-01-1119 minSportsCastSportsCastKufeli na kufaulu kwa Viungo wa Simba na YangaWatani hawa wa jadi wametuonesha mambo mengi katika mechi mbili walizokutana, kuanzia maswala ya ufundi hadi mbinu za makocha wao na hapo ndipo Clifford Sangai anapojadiliana na Prosper Bartalomew kuhusu timu hizo. Tumeangazia eneo moja muhimu sana kwa timu zote mbili nalo ni Safu ya Viungo ambapo kila timu imeonesha ubora na madhaifu yake na kama yanaweza kusahihishwa. Unataka kujua madhaifu hayo basi sikiliza episode hii2021-12-1421 minSportsCastSportsCastKufeli na kufaulu kwa Viungo wa Simba na YangaWatani hawa wa jadi wametuonesha mambo mengi katika mechi mbili walizokutana, kuanzia maswala ya ufundi hadi mbinu za makocha wao na hapo ndipo Clifford Sangai anapojadiliana na Prosper Bartalomew kuhusu timu hizo. Tumeangazia eneo moja muhimu sana kwa timu zote mbili nalo ni Safu ya Viungo ambapo kila timu imeonesha ubora na madhaifu yake na kama yanaweza kusahihishwa. Unataka kujua madhaifu hayo basi sikiliza episode hii2021-12-1421 minSportsCastSportsCastAzam FC: Msimu mpya mambo yale yale Msimu mpya huu, unaona mabadiliko yoyote ndani ya kikosi cha Azam FC? Swali hilo ndio limemfanya Clifford Sangai aketi chini pamoja na Prosper Bartalomew kujadili mambo mbalimbali hususani ya kimbinu katika kikosi cha Azam FC. Tumeangazia namna timu inavyojilinda hadi inavyoshambulia huku tukilinganisha na msimu uliopita. Hatujaangazia mechi za Ligi Kuu Tanzania bara tu bali michuano yote ambayo Azam FC imeshiriki. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 2021-12-0922 minSportsCastSportsCastAzam FC: Msimu mpya mambo yale yale Msimu mpya huu, unaona mabadiliko yoyote ndani ya kikosi cha Azam FC? Swali hilo ndio limemfanya Clifford Sangai aketi chini pamoja na Prosper Bartalomew kujadili mambo mbalimbali hususani ya kimbinu katika kikosi cha Azam FC. Tumeangazia namna timu inavyojilinda hadi inavyoshambulia huku tukilinganisha na msimu uliopita. Hatujaangazia mechi za Ligi Kuu Tanzania bara tu bali michuano yote ambayo Azam FC imeshiriki. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092021-12-0922 minSportsCastSportsCastManchester United SpecialClifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kuangazia kwa kina wapi Ole Gunnar Solskjær alikwama kimbinu, tumezichambua kwa kina mbinu za raia huyo wa Norway kwa kuzingatia washindani wake kimbinu. Pia tumegusia mambo ambayo kocha wa muda wa Manchester United, Michael Carrick ameyabadili katika kikosi hicho kwa muda mfupi aliopo. Wakati tunarekodi episode hii dili la Manchester United, Lokomotiv Moscow na Raph Ranginick limekamilika kwa asilimia kubwa hivyo unaweza ukasikiliza kumfahamu zaidi kocha huyo ikiwemo falsafa zake na yeye ni kocha wa aina gani, pia tutarajie nini kutoka kwake akiwa Manchester United. Unataka kujua wachezaji gani watafaidika na ujio wa R...2021-11-2937 minSportsCastSportsCastManchester United SpecialClifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kuangazia kwa kina wapi Ole Gunnar Solskjær alikwama kimbinu, tumezichambua kwa kina mbinu za raia huyo wa Norway kwa kuzingatia washindani wake kimbinu. Pia tumegusia mambo ambayo kocha wa muda wa Manchester United, Michael Carrick ameyabadili katika kikosi hicho kwa muda mfupi aliopo. Wakati tunarekodi episode hii dili la Manchester United, Lokomotiv Moscow na Raph Ranginick limekamilika kwa asilimia kubwa hivyo unaweza ukasikiliza kumfahamu zaidi kocha huyo ikiwemo falsafa zake na yeye ni kocha wa aina gani, pia tutarajie nini kutoka kwake akiwa Manchester United. Unataka k...2021-11-2937 minSportsCastSportsCastLigi Kuu Tanzania Bara: Mbinu na Ufundi Part 2Huu ni mwendelezo wa pale tulipoishia katika episode iliyopita lakini mwendelezo huu ni wa kipekee zaidi. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kuchambua mbinu na ufundi katika Ligi Kuu Tanzania Bara maarudu kama NBC Premiere League. Tumeangazia mwenendo wa timu nyingi zinapokutana na Yanga zimekuwa zikijaza wachezaji wengi katika eneo la kiungo (Midfield overload) je kuna faida yoyote inayotakana na mbinu hiyo? Kibwana Shomari ameanza kuonesha mabadiliko makubwa sana katika matumizi ya mguu wake wa kushoto, Prosper amechambua style ya uchezaji wake na namna alivyokuwa hatari dhidi ya wapinzani wake. Ibrahim Ajibu Migomba anaweza pata nafasi ya kudumu katika kikosi...2021-11-0730 minSportsCastSportsCastLigi Kuu Tanzania Bara: Mbinu na Ufundi Part 2Huu ni mwendelezo wa pale tulipoishia katika episode iliyopita lakini mwendelezo huu ni wa kipekee zaidi. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kuchambua mbinu na ufundi katika Ligi Kuu Tanzania Bara maarudu kama NBC Premiere League. Tumeangazia mwenendo wa timu nyingi zinapokutana na Yanga zimekuwa zikijaza wachezaji wengi katika eneo la kiungo (Midfield overload) je kuna faida yoyote inayotakana na mbinu hiyo? Kibwana Shomari ameanza kuonesha mabadiliko makubwa sana katika matumizi ya mguu wake wa kushoto, Prosper amechambua style ya uchezaji wake na namna alivyokuwa hatari dhidi ya wapinzani wake. Ibrahim Ajibu Migomba anaweza pata nafasi ya kudumu katika kikosi...2021-11-0730 minSportsCastSportsCastLigi Kuu Tanzania Bara: Mbinu na Ufundi Part 1Bado unaamini Ligi Kuu Tanzania bara haina mbinu? Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujadili mbinu za makocha mbalimbali na ufundi wa wachezaji katika Ligi Kuu ya NBC. Je kocha wa Yanga ameshaonesha mfumo wake rasmi katika kikosi chake? Ipi ni nafasi inayomfaa Bwalya awapo uwanjani? Hayo ni kati ya maswali tuliyojadili bila kusahau ubora wa Chirwa na Lusajo na mabadiliko ya kimfumo katika kikosi cha Namungo. Bila shaka jina Abdul Sopu umewahi kulisikia katika story mbalimbali za michezo lakini unajua yeye ni Kiungo wa aina gani? Vipi kuhusu Ramadhan Chombo (Redondo)? Sikiliza episode hii...2021-10-2237 minSportsCastSportsCastLigi Kuu Tanzania Bara: Mbinu na Ufundi Part 1Bado unaamini Ligi Kuu Tanzania bara haina mbinu? Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujadili mbinu za makocha mbalimbali na ufundi wa wachezaji katika Ligi Kuu ya NBC. Je kocha wa Yanga ameshaonesha mfumo wake rasmi katika kikosi chake? Ipi ni nafasi inayomfaa Bwalya awapo uwanjani? Hayo ni kati ya maswali tuliyojadili bila kusahau ubora wa Chirwa na Lusajo na mabadiliko ya kimfumo katika kikosi cha Namungo. Bila shaka jina Abdul Sopu umewahi kulisikia katika story mbalimbali za michezo...2021-10-2237 minSportsCastSportsCastMbinu zilizotrend katika ligi tano bora barani Ulaya. Part 2Kila siku makocha katika vilabu mbalimbali barani Ulaya wamekuwa wakitafuta kila namna ya kuweka vikosi vyao sawa na kuhakikisha falsafa zao zinaonekana vizuri. Ili kuhakikisha hayo yote yanatimia basi tumekuwa tukishuhudia mbinu mbalimbali za soka na hapo ndipo Clifford Sangai anapoketi na Prosper Bartalomew kuchambua timu mbalimbali pamoja na mwenendo wa timu hizo. Tumeangazia mabadiliko aliyoyafanya Mikel Arteta katika kikosi chake cha Arsenal hali iliyopelekea yeye kuwa kocha bora wa mwezi. Pia tumeangazia jukumu analopewa Christiano Ronaldo katika kikosi cha Manchester United bila kusahau ubora wa Napoli chini ya Spalleti. Prosper ametufafanulia takwimu mbalimbali kama PPDA, High Turnovers, nk pamoja...2021-10-1138 minSportsCastSportsCastMbinu zilizotrend katika ligi tano bora barani Ulaya. Part 2Kila siku makocha katika vilabu mbalimbali barani Ulaya wamekuwa wakitafuta kila namna ya kuweka vikosi vyao sawa na kuhakikisha falsafa zao zinaonekana vizuri. Ili kuhakikisha hayo yote yanatimia basi tumekuwa tukishuhudia mbinu mbalimbali za soka na hapo ndipo Clifford Sangai anapoketi na Prosper Bartalomew kuchambua timu mbalimbali pamoja na mwenendo wa timu hizo. Tumeangazia mabadiliko aliyoyafanya Mikel Arteta katika kikosi chake cha Arsenal hali iliyopelekea yeye kuwa kocha bora wa mwezi. Pia tumeangazia jukumu analopewa Christiano Ronaldo katika kikosi cha Manchester United bila kusahau ubora wa Napoli chini ya Spalleti. Prosper...2021-10-1138 minSportsCastSportsCastMartin Ødegaard ni suluhu kwa matatizo ya Arsenal?Tuliwahi kuongelea kuhusu kukosekana kwa kiungo mshambuliaji katika kikosi cha Arsenal kwenye Podcast hii. Sasa Arsenal chini ya Arteta imemsajili kiungo Martin Ødegaard kutoka Real Madrid. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujadili kama Ødegaard ataleta ahueni katika eneo la kiungo mshambuliaji. Ødegaard aliweza kuwashawishi mashabiki kipindi yupo kwa mkopo? Takwimu zake zinasemaje klabuni hapo? Je ni chaguo muhimu kwa Arsenal?. Basi sikiliza episode hii. Tumeangazia pia kama Mikel Arteta anaweza kutumia tena mfumo wa 3-4-3 ambao ulimpa mafanikio kipindi anaichukua timu. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com...2021-09-2323 minSportsCastSportsCastMartin Ødegaard ni suluhu kwa matatizo ya Arsenal?Tuliwahi kuongelea kuhusu kukosekana kwa kiungo mshambuliaji katika kikosi cha Arsenal kwenye Podcast hii. Sasa Arsenal chini ya Arteta imemsajili kiungo Martin Ødegaard kutoka Real Madrid. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujadili kama Ødegaard ataleta ahueni katika eneo la kiungo mshambuliaji. Ødegaard aliweza kuwashawishi mashabiki kipindi yupo kwa mkopo? Takwimu zake zinasemaje klabuni hapo? Je ni chaguo muhimu kwa Arsenal?. Basi sikiliza episode hii. Tumeangazia pia kama Mikel Arteta anaweza kutumia tena mfumo wa 3-4-3 ambao ulimpa mafanikio kipindi anaichukua timu. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com...2021-09-2323 minSportsCastSportsCastTofauti ya Joshua Kimmich na Trent Alexander-Arnold"Kwanini umchezeshe beki bora wa kulia duniani katika nafasi ya kiungo?" - Jürgen Klopp Kumeibuka maswali mengi sana tangu kocha wa timu ya taifa ya England, Gareth Southgate alipomtumia beki wa kulia wa Liverpool Trent Alexander-Arnold kama kiungo katika mechi dhidi ya Andorra huku wengine wakijaribu kumfananisha beki huyo na Joshua Kimmich. Clifford Sangai amekaa chini na Prosper Bartalomew kuchambua kwa kina utofauti uliopo baina ya wachezaji wawili, tukiangazia hasa ubora na mapungufu yao katika nafasi mbalimbali wanazocheza. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=09 2021-09-2017 minSportsCastSportsCastTofauti ya Joshua Kimmich na Trent Alexander-Arnold"Kwanini umchezeshe beki bora wa kulia duniani katika nafasi ya kiungo?" - Jürgen Klopp Kumeibuka maswali mengi sana tangu kocha wa timu ya taifa ya England, Gareth Southgate alipomtumia beki wa kulia wa Liverpool Trent Alexander-Arnold kama kiungo katika mechi dhidi ya Andorra huku wengine wakijaribu kumfananisha beki huyo na Joshua Kimmich. Clifford Sangai amekaa chini na Prosper Bartalomew kuchambua kwa kina utofauti uliopo baina ya wachezaji wawili, tukiangazia hasa ubora na mapungufu yao katika nafasi mbalimbali wanazocheza. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao52021-09-2017 minSportsCastSportsCastSoka Langu: Francis BarazaKatika mfululizo huu mpya wa episodes za 'Soka Langu', tutaongelea maswala ya mbinu na aina ya soka la wachezaji pamoja na makocha mbalimbali. Clifford Sangai anakaa chini na Prosper Bartalomew pamoja na Francis Baraza, kocha wa timu ya Kagera Sugar kujadili aina na mbinu za soka ambazo amekuwa akizitumia. Baraza anatupitisha katika safari yake ya ukocha tangu akiwa katika klabu ya Biashara United akitufafanulia baadhi ya maamuzi ya kiufundi aliyowahi kuyafanya. Kocha huyo wa Kagera Sugar ametueleza kwanini anapendelea wachezaji ambao hawana majina pia amegusia matumizi ya mfumo wa 3-4-3. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz...2021-09-1349 minSportsCastSportsCastSoka Langu: Francis BarazaKatika mfululizo huu mpya wa episodes za 'Soka Langu', tutaongelea maswala ya mbinu na aina ya soka la wachezaji pamoja na makocha mbalimbali. Clifford Sangai anakaa chini na Prosper Bartalomew pamoja na Francis Baraza, kocha wa timu ya Kagera Sugar kujadili aina na mbinu za soka ambazo amekuwa akizitumia. Baraza anatupitisha katika safari yake ya ukocha tangu akiwa katika klabu ya Biashara United akitufafanulia baadhi ya maamuzi ya kiufundi aliyowahi kuyafanya. Kocha huyo wa Kagera Sugar ametueleza kwanini anapendelea wachezaji ambao hawana majina pia amegusia matumizi ya mfumo wa 3-4-3. ...2021-09-1349 minSportsCastSportsCastMbinu zilizotrend katika ligi tano bora barani Ulaya. Part 1SportsCast imekuandalia uchambuzi wa ligi kuu tano bora barani ulaya tukiangazia hasa mechi za awali kabla ya mapumziko kwa ajili ya timu za taifa (International Break) Kama kawaida Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kudadavua mbinu za makocha mbalimbali na Wachezaji walioonesha viwango katika hatua za awali. Tumegusia mbinu ya Manchester city ilivyofeli katika mechi za mwanzoni kabisa msimu huu. Pia tumeangalia kikosi cha Real Madrid chini ya Carlo Ancelloti kama kuna mabadiliko yoyote. Pia Prosper ametaja orodha ya makocha wanaopaswa kuangaliwa kwa umakini katika Ligi Kuu nchini Ufaransa, pia ameelezea ubora wa Jose Mourinho na Julian Naglesmann. Tufuate katika...2021-09-0441 minSportsCastSportsCastMbinu zilizotrend katika ligi tano bora barani Ulaya. Part 1SportsCast imekuandalia uchambuzi wa ligi kuu tano bora barani ulaya tukiangazia hasa mechi za awali kabla ya mapumziko kwa ajili ya timu za taifa (International Break) Kama kawaida Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kudadavua mbinu za makocha mbalimbali na Wachezaji walioonesha viwango katika hatua za awali. Tumegusia mbinu ya Manchester city ilivyofeli katika mechi za mwanzoni kabisa msimu huu. Pia tumeangalia kikosi cha Real Madrid chini ya Carlo Ancelloti kama kuna mabadiliko yoyote. Pia Prosper ametaja orodha ya makocha wanaopaswa kuangaliwa kwa umakini katika Ligi Kuu nchini Ufaransa, pia ameelezea ubora wa Jose Mourinho na Julian Naglesmann. Tufuate katika...2021-09-0441 minSportsCastSportsCastJe, Tottenham na Manchester City zinaweza kucheza bila mshambuliaji wa kati?Pep Guardiola amekuwa na mtindo kwa kucheza bila mshambuliaji wa kati katika mechi nyingi. Nini sababu ya maamuzi hayo? Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujadili kama timu inaweza cheza msimu mzima bila kuwa na mshambuliaji wa kati. Tumetumia klabu ya Tottenham Hotspur na Manchester City kama mfano tukiangazia mbinu za makocha wa klabu hizo. Umuhimu wa Harry Kane kwa Spurs hususani katika mawanda ya kiufundi umejadiliwa kwa kina katika episode hii. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092021-08-1824 minSportsCastSportsCastJe, Tottenham na Manchester City zinaweza kucheza bila mshambuliaji wa kati?Pep Guardiola amekuwa na mtindo kwa kucheza bila mshambuliaji wa kati katika mechi nyingi. Nini sababu ya maamuzi hayo? Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujadili kama timu inaweza cheza msimu mzima bila kuwa na mshambuliaji wa kati. Tumetumia klabu ya Tottenham Hotspur na Manchester City kama mfano tukiangazia mbinu za makocha wa klabu hizo. Umuhimu wa Harry Kane kwa Spurs hususani katika mawanda ya kiufundi umejadiliwa kwa kina katika episode hii. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram...2021-08-1824 minSportsCastSportsCastNamna Utatu wa PSG utakavyoweza kutimiza ndoto za Klabu hiyoTimu zilizopata mafanikio zaidi zimekuwa zikitumia washambuliaji watatu eneo la mbele na mara nyingi mfumo unaotumika 4 3 3. Tumeshuhudia utatu wa BBC (Bale, Benzema na Christiano) katika klabu ya Real Madrid, pia utatu wa MSN (Messi, Suarez na Neymar) wakati wapo Barcelona, bila kusahau utatu wa Liverpool wenye Salah, Firmino na Mane. Lakini je nini siri ya Utatu wa timu hizi kuweza kupata mafanikio zaidi? Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kuuchambua utatu wa PSG (Mbappe, Messi na Neymar) na namna wanavyoweza kuja kutimiza malengo ya...2021-08-1434 minSportsCastSportsCastNamna Utatu wa PSG utakavyoweza kutimiza ndoto za Klabu hiyoTimu zilizopata mafanikio zaidi zimekuwa zikitumia washambuliaji watatu eneo la mbele na mara nyingi mfumo unaotumika 4 3 3. Tumeshuhudia utatu wa BBC (Bale, Benzema na Christiano) katika klabu ya Real Madrid, pia utatu wa MSN (Messi, Suarez na Neymar) wakati wapo Barcelona, bila kusahau utatu wa Liverpool wenye Salah, Firmino na Mane. Lakini je nini siri ya Utatu wa timu hizi kuweza kupata mafanikio zaidi? Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kuuchambua utatu wa PSG (Mbappe, Messi na Neymar) na namna wanavyoweza kuja kutimiza malengo ya klabu. Klabu ya Paris Saint-Germain imetimiza miaka 51 tangu ianzishwe. Licha ya kutawala...2021-08-1434 minSportsCastSportsCastMwenendo wa Usajili katika Ligi Kuu Tanzania BaraKuna madhara au faida gani timu inaposajili wachezaji wengi kutoka katika taifa moja?,Je makocha wana mchango gani wakati wa dirisha la usajili kwenye vilabu vyetu? Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew pamoja na Michael Mwebe kuangazia kwa undani mwenendo wa usajili katika Ligi Kuu Tanzania Bara ili kujibu maswali hayo hapo juu na mengine mengi. Tumeangazia kwanini vilabu vyetu vimekuwa vikitupia macho washambuliaji kutoka DR Congo na ubora wao wanaoungeza wawapo kwenye kikosi. Katika usajili kitengo cha Skauti ni muhimu sana lakini je klabu zetu zinachunguzaje wachezaji ili waweze kuwasajili? Michael Mwebe ametupa uzoefu wake. ...2021-08-081h 06SportsCastSportsCastMwenendo wa Usajili katika Ligi Kuu Tanzania BaraKuna madhara au faida gani timu inaposajili wachezaji wengi kutoka katika taifa moja?,Je makocha wana mchango gani wakati wa dirisha la usajili kwenye vilabu vyetu? Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew pamoja na Michael Mwebe kuangazia kwa undani mwenendo wa usajili katika Ligi Kuu Tanzania Bara ili kujibu maswali hayo hapo juu na mengine mengi. Tumeangazia kwanini vilabu vyetu vimekuwa vikitupia macho washambuliaji kutoka DR Congo na ubora wao wanaoungeza wawapo kwenye kikosi. Katika usajili kitengo cha Skauti ni muhimu sana lakini je...2021-08-081h 05SportsCastSportsCastVPL: Mbinu zilizotawala katika msimu wa 2020/21Tumeshuhudia mambo mengi sana katika ligi kuu Tanzania bara lakini sisi SportsCast tumeamua kukuletea uchambuzi wa mbinu zilizotawala katika msimu huu. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujadili mbinu mbalimbali za makocha wa vilabu vya soka katika ligi kuu. Tumeangazia ubora wa wachezaji katika kila nafasi tukianza na magoli kipa hadi washambuliaji wa kati. Tumegusia namna timu mbalimbal zinavyoanza mashambulizi kutokea nyuma kupitia kwa mabeki wao wa kati na mapungufu ya namna hiyo ya kuanzisha mashambulizi. Ubora wa Clatous Chama nao hatujaufumbia macho kwani tumechambua mchango wake katika safu ya kiungo ya Simba na namna timu nyingine zinavyotamani kuwa na...2021-07-241h 01SportsCastSportsCastVPL: Mbinu zilizotawala katika msimu wa 2020/21Tumeshuhudia mambo mengi sana katika ligi kuu Tanzania bara lakini sisi SportsCast tumeamua kukuletea uchambuzi wa mbinu zilizotawala katika msimu huu. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujadili mbinu mbalimbali za makocha wa vilabu vya soka katika ligi kuu. Tumeangazia ubora wa wachezaji katika kila nafasi tukianza na magoli kipa hadi washambuliaji wa kati. Tumegusia namna timu mbalimbal zinavyoanza mashambulizi kutokea nyuma kupitia kwa mabeki wao wa kati na mapungufu ya namna hiyo ya kuanzisha mashambulizi. Ubora wa Clatous Chama nao hatujaufumbia macho kwani tumechambua mchango wake katika safu ya kiungo ya Simba na namna timu nyingine zinavyotamani kuwa na...2021-07-241h 01SportsCastSportsCastEURO 2020: Mabadiliko ya kimbinu na athari zake katika mechi ya fainaliGareth Southgate alianza mechi ya fainali ya EURO 2020 na mfumo wa mabeki watatu lakini katika dakika ya 70 alibadili kwenda mfumo wa mabeki wanne. Tangu michuano hii ianze Southgate ametumia mifumo miwili tu; 3-4-3 na 4-2-3-1huku kila mmoja ukiwa na faida na hasara zake. Lakini mabadiliko ya kimbinu katika mechi ya fainali dhidi ya Italy yalileta madhara gani katika kikosi cha England? Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kudadavua mbinu zilizotumika na England na namna zilivyowarudisha nyuma. Kadhalika tunaungana na George Job ambaye anatuelezea namna Italia walivyoweza kuukwepa mtego wa England kupitia viungo wao, Jorginho na...2021-07-1233 minSportsCastSportsCastEURO 2020: Mabadiliko ya kimbinu na athari zake katika mechi ya fainaliGareth Southgate alianza mechi ya fainali ya EURO 2020 na mfumo wa mabeki watatu lakini katika dakika ya 70 alibadili kwenda mfumo wa mabeki wanne. Tangu michuano hii ianze Southgate ametumia mifumo miwili tu; 3-4-3 na 4-2-3-1huku kila mmoja ukiwa na faida na hasara zake. Lakini mabadiliko ya kimbinu katika mechi ya fainali dhidi ya Italy yalileta madhara gani katika kikosi cha England? Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kudadavua mbinu zilizotumika na England na namna zilivyowarudisha nyuma. Kadhalika tunaungana na George Job ambaye anatuelezea namna Italia walivyoweza kuukwepa mtego wa England kupitia viungo wao, Jorginho na Veratti...2021-07-1233 minSportsCastSportsCastEURO 2020: Namna Viungo walivyoamua mechi za nusu fainaliKama ulikuwa ukidhani 'Referee' ndiye mwamuzi pekee wa mechi basi alipata wasaidizi katika hatua ya nusu fainali ya michuano ya EURO 2020. Wasaidizi hao si washika vibendera bali ni viungo wa timu zote nne; Italy, Spain, England na Denmark. Viungo hao walishiriki kwa sehemu kubwa timu zao kupata matokeo katika nusu fainali. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujadili ufanisi wa safu za viungo katika timu zote nne. Pia tunaungana na Geoffrey Lea kujadili maamuzi ya Southgate juu ya Bukayo Saka na Sancho kadhalika na ubora wa Harry Kane. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9...2021-07-0834 minSportsCastSportsCastEURO 2020: Namna Viungo walivyoamua mechi za nusu fainaliKama ulikuwa ukidhani 'Referee' ndiye mwamuzi pekee wa mechi basi alipata wasaidizi katika hatua ya nusu fainali ya michuano ya EURO 2020. Wasaidizi hao si washika vibendera bali ni viungo wa timu zote nne; Italy, Spain, England na Denmark. Viungo hao walishiriki kwa sehemu kubwa timu zao kupata matokeo katika nusu fainali. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujadili ufanisi wa safu za viungo katika timu zote nne. Pia tunaungana na Geoffrey Lea kujadili maamuzi ya Southgate juu ya Bukayo Saka na Sancho kadhalika na ubora wa Harry Kane. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9...2021-07-0835 minSportsCastSportsCastEURO 2020: Kwanini timu nyingi zimetumia upande wa kushoto kufanya mashambulizi?Hatua ya robo fainali ya michuano hii ya EURO 2020 imekuja na mbinu mpya ambayo baadhi ya timu zimeitumia. Italy, England, Denmark, ni kati ya timu zilizotumia upande wa kushoto kufanya mashambulizi. Ni kwanini timu hizo zimetumia upande huo? Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujibu swali hilo. Pia tumeangazia mbinu nyingine zilizotumika katika hatua hii ya robo fainali. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=09 Jiunge nasi katika mtandao wa Clubhouse: https://www.clubhouse.com/club/sportscast2021-07-0432 minSportsCastSportsCastEURO 2020: Kwanini timu nyingi zimetumia upande wa kushoto kufanya mashambulizi?Hatua ya robo fainali ya michuano hii ya EURO 2020 imekuja na mbinu mpya ambayo baadhi ya timu zimeitumia. Italy, England, Denmark, ni kati ya timu zilizotumia upande wa kushoto kufanya mashambulizi. Ni kwanini timu hizo zimetumia upande huo? Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujibu swali hilo. Pia tumeangazia mbinu nyingine zilizotumika katika hatua hii ya robo fainali. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=09 Jiunge nasi katika mtandao wa Clubhouse: https://www.clubhouse.com/club/sportscast2021-07-0432 minSportsCastSportsCastNamna mabadiliko ya wachezaji yalivyoathiri mifumo ya timu katika raundi ya 16 boraRaundi ya 16 bora katika michuano ya EURO 2020 tumeshuhudia namna mabadiliko ya wachezaji yalivyoathiri mifumo ya timu mbalimbali. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kuangazia mabadiliko hayo pamoja na athari zake katika timu zote kwenye hatua hii. Tumeangazia mbinu zilizotumika katika mechi zote nane za hatua hii huku tukihusisha na takwimu ili kupima ubora wa nafasi zilizotengenezwa. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=09 Jiunge nasi katika mtandao wa Clubhouse: https://www.clubhouse.com/club/sportscast2021-06-3041 minSportsCastSportsCastNamna mabadiliko ya wachezaji yalivyoathiri mifumo ya timu katika raundi ya 16 boraRaundi ya 16 bora katika michuano ya EURO 2020 tumeshuhudia namna mabadiliko ya wachezaji yalivyoathiri mifumo ya timu mbalimbali. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kuangazia mabadiliko hayo pamoja na athari zake katika timu zote kwenye hatua hii. Tumeangazia mbinu zilizotumika katika mechi zote nane za hatua hii huku tukihusisha na takwimu ili kupima ubora wa nafasi zilizotengenezwa. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=09 Jiunge nasi katika mtandao wa Clubhouse: https://www.clubhouse.com/club/sportscast2021-06-3041 minSportsCastSportsCastEURO 2020: Ubora na ufanisi wa mbinu za Makocha katika raundi ya tatuRaundi ya tatu ya michuano ya EURO 2020 imekua ya kuvutia kutokana na baadhi ya timu kusaka matokeo ili zifuzu katika hatua inayofuata. Makocha wametumia ufundi na mbinu zao ili kuhakikisha timu zao zinapata matokeo wanayohitaji. Mabeki wa kulia kutumika upande wa kushoto, mabeki wa pembeni kucheza kama mabeki wa kati ni kati ya mbinu zilizotumika katika raundi hii. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujadili ubora na ufanisi wa mbinu zilizotumika na makocha mbalimbali katika raundi ya tatu ya michuano hii. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz...2021-06-2443 minSportsCastSportsCastEURO 2020: Ubora na ufanisi wa mbinu za Makocha katika raundi ya tatuRaundi ya tatu ya michuano ya EURO 2020 imekua ya kuvutia kutokana na baadhi ya timu kusaka matokeo ili zifuzu katika hatua inayofuata. Makocha wametumia ufundi na mbinu zao ili kuhakikisha timu zao zinapata matokeo wanayohitaji. Mabeki wa kulia kutumika upande wa kushoto, mabeki wa pembeni kucheza kama mabeki wa kati ni kati ya mbinu zilizotumika katika raundi hii. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujadili ubora na ufanisi wa mbinu zilizotumika na makocha mbalimbali katika raundi ya tatu ya michuano hii. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz...2021-06-2443 minSportsCastSportsCastUbora na Mapungufu ya kila kikosi kuelekea EURO 2020Vikosi vya timu zinazoshiriki EURO 2020 vimeshathibitishwa na kila kocha ametetea maamuzi yake. Je, unajua ni kwanini makocha wameamua kuita wachezaji fulani na kuwaacha wengine? Tumekuandalia majibu yote hayo. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujadili ubora wa kila kikosi kuelekea michuano ya EURO 2020. Tumeangazia timu zinazopigiwa upatu kutwaa taji hili kama Ufaransa, Ureno, Ubelgiji, nk. Tumeenda mbali zaidi kwa kuchambua timu ambayo inaweza leta 'Suprise' katika michuano hii kutokana na ubora wa kikosi chao. Pia tumejadili Kukosekana kwa Ramos katika kikosi cha Hispania na sababu ya maamuzi hayo na Thomas Muller na Mats Hummels kujumuishwa katika kikosi cha Ujerumani. Tufuate...2021-06-0551 minSportsCastSportsCastUbora na Mapungufu ya kila kikosi kuelekea EURO 2020Vikosi vya timu zinazoshiriki EURO 2020 vimeshathibitishwa na kila kocha ametetea maamuzi yake. Je, unajua ni kwanini makocha wameamua kuita wachezaji fulani na kuwaacha wengine? Tumekuandalia majibu yote hayo. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujadili ubora wa kila kikosi kuelekea michuano ya EURO 2020. Tumeangazia timu zinazopigiwa upatu kutwaa taji hili kama Ufaransa, Ureno, Ubelgiji, nk. Tumeenda mbali zaidi kwa kuchambua timu ambayo inaweza leta 'Suprise' katika michuano hii kutokana na ubora wa kikosi chao. Pia tumejadili Kukosekana kwa Ramos katika kikosi cha Hispania na sababu ya maamuzi hayo na Thomas Muller na Mats Hummels kujumuishwa katika kikosi cha Ujerumani. Tufuate...2021-06-0551 minSportsCastSportsCastChampions League: Tutarajie nini katika mechi ya fainali?Ikiwa ligi mbalimbali zimefika tamati barani Ulaya mashabiki na wapenzi wengi wa soka wanaisubiri kwa hamu mechi ya fainali ya ligi ya mabingwa barani Ulaya. Hii ni mara ya tatu kwa Chelsea kutinga katika hatua hii huku Manchester City ikiwa ni mara yao ya kwanza. Lakini tutarajie nini katika mechi hii ya kuvutia? Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalome kuchambua timu zote mbili zilizotinga fainali ya UEFA Champions League msimu huu. Tumeangazia kila idara kuanzia ulinzi hadi ushambuliaji huku tukitumia takwimu za soka. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter...2021-05-2552 minSportsCastSportsCastChampions League: Tutarajie nini katika mechi ya fainali?Ikiwa ligi mbalimbali zimefika tamati barani Ulaya mashabiki na wapenzi wengi wa soka wanaisubiri kwa hamu mechi ya fainali ya ligi ya mabingwa barani Ulaya. Hii ni mara ya tatu kwa Chelsea kutinga katika hatua hii huku Manchester City ikiwa ni mara yao ya kwanza. Lakini tutarajie nini katika mechi hii ya kuvutia? Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalome kuchambua timu zote mbili zilizotinga fainali ya UEFA Champions League msimu huu. Tumeangazia kila idara kuanzia ulinzi hadi ushambuliaji huku tukitumia takwimu za soka. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter...2021-05-2552 minSportsCastSportsCastMambo usiyoyajua katika ligi kuu tano bora barani Ulaya msimu huu (2020/21)Timu gani imetengeneza nafasi zenye ubora wa hali ya juu msimu huu? Na ubora wa hizo nafasi unapimwaje? Hayo ni kati ya maswali ambayo wadau wengi wa soka wamekuwa wakijiuliza katika kipindi hiki ambacho takwimu mbalimbali zimekuwa zikitumika katika kupima ubora wa timu mbalimbali. Katika msimu huu wa mwaka 2020/21 timu nyingi barani ulaya zimeweza kuonesha ubora katika nyanja mbalimbali kwenye ligi zao. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kuangazia timu gani ilikuwa bora msimu huu kwa kutumia takwimu katika ligi kuu tano bora barani Ulaya. Pia tumeelezea takwimu hizo zinamaanisha nn katika soka na namna ambavyo zinaweza kutumika na timu...2021-05-2152 minSportsCastSportsCastMambo usiyoyajua katika ligi kuu tano bora barani Ulaya msimu huu (2020/21)Timu gani imetengeneza nafasi zenye ubora wa hali ya juu msimu huu? Na ubora wa hizo nafasi unapimwaje? Hayo ni kati ya maswali ambayo wadau wengi wa soka wamekuwa wakijiuliza katika kipindi hiki ambacho takwimu mbalimbali zimekuwa zikitumika katika kupima ubora wa timu mbalimbali. Katika msimu huu wa mwaka 2020/21 timu nyingi barani ulaya zimeweza kuonesha ubora katika nyanja mbalimbali kwenye ligi zao. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kuangazia timu gani ilikuwa bora msimu huu kwa kutumia takwimu katika ligi kuu tano bora barani Ulaya. Pia tumeelezea takwimu hizo zinamaanisha nn katika soka na namna ambavyo zinaweza kutumika na timu...2021-05-2152 minSportsCastSportsCastNamna timu iliyopanda daraja inavyoweza kusalia katika ligi kuu (VPL)Tumeshuhudia timu nyingi zinazopanda daraja katika ligi kuu Tanzania bara (VPL) zikitetereka lakini vipi kuhusu timu ambazo hazitetereki katika msimu wa kwanza VPL? timu nyingi zinazopanda daraja katika ligi kuu Tanzania bara (VPL) zikitetereka lakini vipi kuhusu timu ambazo hazitetereki katika msimu wa kwanza VPL? Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew pamoja na Thierry Hitimana aliyewahi kuwa kocha wa Namungo na Mtibwa kujadili namna timu zilizopanda daraja zinavyoweza kusalia ligi kuu. Hitimana anatupa uzoefu wake wa kipindi alipoipandisha daraja klabu ya Namungo pia anatueleza namna klabu iliyopanda daraja inavyoweza kukabiliana na timu kubwa katika mechi za ligi. "Ukitaka kupata sifa...2021-05-1333 minSportsCastSportsCastNamna timu iliyopanda daraja inavyoweza kusalia katika ligi kuu (VPL)Tumeshuhudia timu nyingi zinazopanda daraja katika ligi kuu Tanzania bara (VPL) zikitetereka lakini vipi kuhusu timu ambazo hazitetereki katika msimu wa kwanza VPL? timu nyingi zinazopanda daraja katika ligi kuu Tanzania bara (VPL) zikitetereka lakini vipi kuhusu timu ambazo hazitetereki katika msimu wa kwanza VPL? Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew pamoja na Thierry Hitimana aliyewahi kuwa kocha wa Namungo na Mtibwa kujadili namna timu zilizopanda daraja zinavyoweza kusalia ligi kuu. Hitimana anatupa uzoefu wake wa kipindi alipoipandisha daraja klabu ya Namungo pia anatueleza namna klabu iliyopanda daraja inavyoweza kukabiliana na timu kubwa katika mechi za ligi. "Ukitaka kupata sifa...2021-05-1333 minSportsCastSportsCastNamna umahiri wa Conte ulivyoipaisha Inter MilanMafanikio ambayo klabu ya Inter Milan imeyapata msimu huu yanatokana na mipango ya muda mrefu ya uongozi wa klabu hiyo iliyo chini ya kampuni ya Suning. Kati ya uamuzi bora uliofanywa na klabu hiyo ni kumpa kibarua Antonio Conte cha kukinoa kikosi cha timu hiyo. Conte alianza kibarua hicho huku akipata changamoto mbalimbali za kiufundi kutokana na kukosa wachezaji kadhaa kutoendana na falsafa yake. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew pamoja na Edgar Kibwana kujadili namna Antonio Conte alivyoonyesha umahiri wake kukabiliana na changamoto zote za kiufundi katika Klabu ya Inter Milan. Tumeangazia mfumo wake wa 3-5-2 na wachezaji...2021-05-0744 minSportsCastSportsCastNamna umahiri wa Conte ulivyoipaisha Inter MilanMafanikio ambayo klabu ya Inter Milan imeyapata msimu huu yanatokana na mipango ya muda mrefu ya uongozi wa klabu hiyo iliyo chini ya kampuni ya Suning. Kati ya uamuzi bora uliofanywa na klabu hiyo ni kumpa kibarua Antonio Conte cha kukinoa kikosi cha timu hiyo. Conte alianza kibarua hicho huku akipata changamoto mbalimbali za kiufundi kutokana na kukosa wachezaji kadhaa kutoendana na falsafa yake. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew pamoja na Edgar Kibwana kujadili namna Antonio Conte alivyoonyesha umahiri wake kukabiliana na changamoto zote za kiufundi katika Klabu ya Inter Milan. Tumeangazia mfumo wake wa 3-5-2 na wachezaji...2021-05-0745 minSportsCastSportsCastMbinu anazotumia Solksjaer katika safu yake ya ushambuliaji"Ubora wa kocha ni pamoja na kujua mapungufu yako"- Geoffrey Lea Solksjaer ameonekana kuwa katika safari ya mafanikio tangu alipopata kibarua cha kuinoa Manchester United. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew pamoja na Geoffrey Lea kujadili ubora na mapungufu ya safu ya ushambuliaji katika kikosi cha Manchester United. Tumeangazia pia mchango wa mabeki wa pembeni kama Luke Shaw na Wan Bissaka katika kufanya mashambulizi. Umaridadi wa Marcus Rashford hatukuufumbia macho, tumeangazia maeneo ambayo mchezaji huyu akicheza anakuwa katika kiwango cha juu. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com...2021-04-2250 minSportsCastSportsCastMbinu anazotumia Solksjaer katika safu yake ya ushambuliaji"Ubora wa kocha ni pamoja na kujua mapungufu yako"- Geoffrey Lea Solksjaer ameonekana kuwa katika safari ya mafanikio tangu alipopata kibarua cha kuinoa Manchester United. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew pamoja na Geoffrey Lea kujadili ubora na mapungufu ya safu ya ushambuliaji katika kikosi cha Manchester United. Tumeangazia pia mchango wa mabeki wa pembeni kama Luke Shaw na Wan Bissaka katika kufanya mashambulizi. Umaridadi wa Marcus Rashford hatukuufumbia macho, tumeangazia maeneo ambayo mchezaji huyu akicheza anakuwa katika kiwango cha juu. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com...2021-04-2250 minSportsCastSportsCastSiri ya mafanikio ya Simba katika michuano ya klabu bingwa barani AfrikaSafari ya Simba SC. kwenye michuano ya klabu bingwa barani Afrika imekua yenye mafanikio, lakini nini sababu ya mafanikio hayo? Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew pamoja na Charles Abel kujadili mbinu zilizotumika na klabu ya Simba Pia tumeangazia mchango wa kimbinu Kocha Didier Da Rosa na namna anavyowatumia wachezaji mbalimbali kikosini. Tumechambua ubora na mapungufu ya safu ya ulinzi ya kikosi cha Simba na nini kifanyike ili kuongeza ubora katika safu hiyo. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092021-04-1428 minSportsCastSportsCastSiri ya mafanikio ya Simba katika michuano ya klabu bingwa barani AfrikaSafari ya Simba SC. kwenye michuano ya klabu bingwa barani Afrika imekua yenye mafanikio, lakini nini sababu ya mafanikio hayo? Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew pamoja na Charles Abel kujadili mbinu zilizotumika na klabu ya Simba Pia tumeangazia mchango wa kimbinu Kocha Didier Da Rosa na namna anavyowatumia wachezaji mbalimbali kikosini. Tumechambua ubora na mapungufu ya safu ya ulinzi ya kikosi cha Simba na nini kifanyike ili kuongeza ubora katika safu hiyo. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092021-04-1428 minSportsCastSportsCastSababu zinazopelekea mshambuliaji kupoteza ufanisi mbele ya goli"Striker hupimwa kwa magoli" ni msemo uliozoeleka kwa mashabiki wengi wa mpira wa miguu, lakini itakuwaje kama mshambuliaji atapoteza ufanisi mbele ya goli? Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew pamoja na Nahodha wa zamani wa Timu ya Taifa na Klabu ya Yanga Ally Mayay Tembele kujadili sababu zinazopelekea kupungua kwa ufanisi wa washambuliaji. Tumeangazia kwa undani mwenendo wa wachezaji kama Timo Werner, Michael Sarpong, Ditram Nchimbi na Mbwana Samatta. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092021-04-0946 minSportsCastSportsCastSababu zinazopelekea mshambuliaji kupoteza ufanisi mbele ya goli"Striker hupimwa kwa magoli" ni msemo uliozoeleka kwa mashabiki wengi wa mpira wa miguu, lakini itakuwaje kama mshambuliaji atapoteza ufanisi mbele ya goli? Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew pamoja na Nahodha wa zamani wa Timu ya Taifa na Klabu ya Yanga Ally Mayay Tembele kujadili sababu zinazopelekea kupungua kwa ufanisi wa washambuliaji. Tumeangazia kwa undani mwenendo wa wachezaji kama Timo Werner, Michael Sarpong, Ditram Nchimbi na Mbwana Samatta. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092021-04-0946 minSportsCastSportsCastNi Cristiano Ronaldo ama Andrea Pirlo?Nani anapaswa kulaumiwa kwa mwenendo wa sasa wa Juventus? Je uamuzi wa kumchagua Andrea Pirlo kukinoa kikosi cha Juve ulikuwa sahihi? Cristiano Ronaldo anafiti kwenye Falsafa za Andrea Pirlo? Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew pamoja na Mchambuzi George Job kuangazia kwa kina matatizo yanayoisibu klabu ya Juventus. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092021-03-3037 minSportsCastSportsCastNi Cristiano Ronaldo ama Andrea Pirlo?Nani anapaswa kulaumiwa kwa mwenendo wa sasa wa Juventus? Je uamuzi wa kumchagua Andrea Pirlo kukinoa kikosi cha Juve ulikuwa sahihi? Cristiano Ronaldo anafiti kwenye Falsafa za Andrea Pirlo? Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew pamoja na Mchambuzi George Job kuangazia kwa kina matatizo yanayoisibu klabu ya Juventus. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092021-03-3037 minSportsCastSportsCastNini suluhu ya matatizo yanayoikumba Yanga?Matatizo ya umaliziaji na Timu kukosa muunganiko ni kati ya matatizo makubwa yanayoikumba klabu ya Yanga chini ya kocha Cedric Kaze. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujadili kwa kina matatizo hayo na namna ya kuyatatua. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092021-03-0540 minSportsCastSportsCastNini suluhu ya matatizo yanayoikumba Yanga?Matatizo ya umaliziaji na Timu kukosa muunganiko ni kati ya matatizo makubwa yanayoikumba klabu ya Yanga chini ya kocha Cedric Kaze. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujadili kwa kina matatizo hayo na namna ya kuyatatua. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092021-03-0540 minSportsCastSportsCastNamna Mbappé na Haaland wanavyojitengenezea ulimwengu wao wa sokaWengi wamehusishwa kurithi ufalme wa Lionel Messi na Christiano Ronaldo lakini hawakuweza kufikia kiwango chao. Je, Kylian Mbappé na Erling Braut Haaland wataweza kufikia kiwango cha Messi na Ronaldo? Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujadili namna makinda hawa wanavyotengeneza ulimwengu wao wa soka. Tunaangazia zaidi takwimu za mchezo na namna wanavyosaidia timu zao kuweza kupata matokeo. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092021-02-2628 minSportsCastSportsCastNamna Mbappé na Haaland wanavyojitengenezea ulimwengu wao wa sokaWengi wamehusishwa kurithi ufalme wa Lionel Messi na Christiano Ronaldo lakini hawakuweza kufikia kiwango chao. Je, Kylian Mbappé na Erling Braut Haaland wataweza kufikia kiwango cha Messi na Ronaldo? Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujadili namna makinda hawa wanavyotengeneza ulimwengu wao wa soka. Tunaangazia zaidi takwimu za mchezo na namna wanavyosaidia timu zao kuweza kupata matokeo. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092021-02-2628 minSportsCastSportsCastJe, Diego Simeone amebadili falsafa yake?Diego Simeone amezoeleka kwa aina ya soka la kukaba na kufanya mashambulizi ya kushtukiza ila kwa sasa hali ni tofauti. Ongezeko la asilimia za umiliki wa mpira (Ball Possession) na mabadiliko ya 'formation' ni kati ya vitu vinavyowashangaza wengi kuhusu Atletico Madrid iliyo chini ya Diego Someone. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujadili kama kocha Diego Simeone amebadili falsafa yake. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092021-02-1935 minSportsCastSportsCastJe, Diego Simeone amebadili falsafa yake?Diego Simeone amezoeleka kwa aina ya soka la kukaba na kufanya mashambulizi ya kushtukiza ila kwa sasa hali ni tofauti. Ongezeko la asilimia za umiliki wa mpira (Ball Possession) na mabadiliko ya 'formation' ni kati ya vitu vinavyowashangaza wengi kuhusu Atletico Madrid iliyo chini ya Diego Someone. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujadili kama kocha Diego Simeone amebadili falsafa yake. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092021-02-1935 minSportsCastSportsCastMatatizo ya kimbinu yanayoikumba LiverpoolKukosekana kwa Van Djik kumemfanya Jurgen Klopp kubadili mbinu mbalimbali ili kuweza kukabiliana na pengo hilo. Mabadiliko hayo ya mbinu yamepelekea matatizo mengi kuanzia safu ya ulinzi, viungo na washambuliaji. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalome kujadili matatizo mbalimbali ya kimbinu yanayoikumba Liverpool chini ya Klopp. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092021-02-1132 minSportsCastSportsCastMatatizo ya kimbinu yanayoikumba LiverpoolKukosekana kwa Van Djik kumemfanya Jurgen Klopp kubadili mbinu mbalimbali ili kuweza kukabiliana na pengo hilo. Mabadiliko hayo ya mbinu yamepelekea matatizo mengi kuanzia safu ya ulinzi, viungo na washambuliaji. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalome kujadili matatizo mbalimbali ya kimbinu yanayoikumba Liverpool chini ya Klopp. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092021-02-1132 minSportsCastSportsCastGuardiola amefanya mabadiliko gani baada ya kuanza msimu vibaya?"Tulikua hatuchezi vizuri kwa sababu tulikua tunakimbia sana, kwenye mpira unabidi ukimbie kwa kiasi na kwa muda maalum" - Pep Guardiola. Manchester City ya sasa ni tofauti na ile ya mwanzo wa msimu huu wa 2020/21, mengi yamefanywa ili kuweza kupata ubora wa kikosi hicho kwa sasa. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kuangazia mabadiliko ambayo Pep Guardiola ameyafanya ili kuirudisha timu hiyo katika kuwania ubingwa msimu huu. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092021-02-0231 minSportsCastSportsCastGuardiola amefanya mabadiliko gani baada ya kuanza msimu vibaya?"Tulikua hatuchezi vizuri kwa sababu tulikua tunakimbia sana, kwenye mpira unabidi ukimbie kwa kiasi na kwa muda maalum" - Pep Guardiola. Manchester City ya sasa ni tofauti na ile ya mwanzo wa msimu huu wa 2020/21, mengi yamefanywa ili kuweza kupata ubora wa kikosi hicho kwa sasa. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kuangazia mabadiliko ambayo Pep Guardiola ameyafanya ili kuirudisha timu hiyo katika kuwania ubingwa msimu huu. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092021-02-0231 minSportsCastSportsCastKufeli na kufaulu kwa safu ya viungo wa Chelsea chini ya LampardChelsea mara nyingi imekua ikipata magoli kwa kutegemea mipira ya krosi ambazo hupigwa na mawinga au mabeki wa pembeni. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew na Barnabas Gwakisa (Mr. Darajani) kujadili kufaulu na kufeli kwa safu ya viungo wa Chelsea chini ya Kocha Frank Lampard. Mfumo wa 4-3-3, nafasi anayopaswa kucheza Ngolo Kante, umuhimu wa Jorginho na ubora wa Kai Havertz ni kati ya mambo yaliyojadiliwa kwa kina katika Episode hii. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092021-01-1250 minSportsCastSportsCastKufeli na kufaulu kwa safu ya viungo wa Chelsea chini ya LampardChelsea mara nyingi imekua ikipata magoli kwa kutegemea mipira ya krosi ambazo hupigwa na mawinga au mabeki wa pembeni. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew na Barnabas Gwakisa (Mr. Darajani) kujadili kufaulu na kufeli kwa safu ya viungo wa Chelsea chini ya Kocha Frank Lampard. Mfumo wa 4-3-3, nafasi anayopaswa kucheza Ngolo Kante, umuhimu wa Jorginho na ubora wa Kai Havertz ni kati ya mambo yaliyojadiliwa kwa kina katika Episode hii. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092021-01-1250 minSportsCastSportsCastNini kinamfanya Meddie Kagere kuwa hatari zaidi mbele ya goli?Umri ni namba, shughuli dimbani na Meddie Kagere tangu ametua katika ardhi ya Tanzania ameweza kuonesha shughuli nzito awapo uwanjani. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalome pamoja na Michael Mwebe kuchambua kwa kina aina ya soka ambalo Kagere hucheza pamoja na uwezo na mapungfu yake. Tumeenda mbali zaidi kwa kuangazia historia yake, umuhimu wake katika kikosi cha Simba na kulinganisha uwezo wake pamoja na washambuliaji wengine katika ligi kuu Tanzania Bara. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092021-01-0537 minSportsCastSportsCastNini kinamfanya Meddie Kagere kuwa hatari zaidi mbele ya goli?Umri ni namba, shughuli dimbani na Meddie Kagere tangu ametua katika ardhi ya Tanzania ameweza kuonesha shughuli nzito awapo uwanjani. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalome pamoja na Michael Mwebe kuchambua kwa kina aina ya soka ambalo Kagere hucheza pamoja na uwezo na mapungfu yake. Tumeenda mbali zaidi kwa kuangazia historia yake, umuhimu wake katika kikosi cha Simba na kulinganisha uwezo wake pamoja na washambuliaji wengine katika ligi kuu Tanzania Bara. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092021-01-0538 minSportsCastSportsCastKwanini Arsenal imetengeneza nafasi chache za kufunga?Arsenal ya msimu huu imekua ikitegemea krosi zaidi ili kufikisha mpira kwenye box la timu pinzani. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew ambaye anachambua kwa kina mbinu za Arsenal kwa msimu huu na kutoa ufafanuzi juu ya uhaba wa nafasi za kutengeneza magoli katika kikosi cha Mikel Arteta. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092020-12-1327 minSportsCastSportsCastKwanini Arsenal imetengeneza nafasi chache za kufunga?Arsenal ya msimu huu imekua ikitegemea krosi zaidi ili kufikisha mpira kwenye box la timu pinzani. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew ambaye anachambua kwa kina mbinu za Arsenal kwa msimu huu na kutoa ufafanuzi juu ya uhaba wa nafasi za kutengeneza magoli katika kikosi cha Mikel Arteta. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092020-12-1328 minSportsCastSportsCastUmuhimu wa Viungo katika mfumo wa SvenPira biriani la simba linachagizwa na umahiri wa viungo walio chini ya kocha Sven Vandenbroeck ambaye kupitia mfumo wake timu imeweza kutengeneza nafasi nyingi za kufunga na kumiliki mpira kwa asilimia kubwa. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kuangazia kwa kina umuhimu wa kila kiungo wa Simba ndani ya mfumo wa Sven. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092020-12-0326 minSportsCastSportsCastUmuhimu wa Viungo katika mfumo wa SvenPira biriani la simba linachagizwa na umahiri wa viungo walio chini ya kocha Sven Vandenbroeck ambaye kupitia mfumo wake timu imeweza kutengeneza nafasi nyingi za kufunga na kumiliki mpira kwa asilimia kubwa. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kuangazia kwa kina umuhimu wa kila kiungo wa Simba ndani ya mfumo wa Sven. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092020-12-0326 minSportsCastSportsCastNafasi ambayo Paul Pogba anapaswa kuchezaJe Bruno Fernandes amechukua nafasi ya Pogba uwanjani?, Inawezekana Pogba na Bruno wakafiti kwenye timu moja?. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujibu maswali hayo na kuangazia zaidi uwezo wa Paul Pogba katika nafasi mbalimbali pindi awapo uwanjani. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092020-11-2326 minSportsCastSportsCastNafasi ambayo Paul Pogba anapaswa kuchezaJe Bruno Fernandes amechukua nafasi ya Pogba uwanjani?, Inawezekana Pogba na Bruno wakafiti kwenye timu moja?. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujibu maswali hayo na kuangazia zaidi uwezo wa Paul Pogba katika nafasi mbalimbali pindi awapo uwanjani. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092020-11-2327 minSportsCastSportsCastKuna haja ya kurejesha sub 5 EPL?Utaratibu wa kufanya mabadiliko uwanjani kwenye ligi kuu Uingereza umehusishwa kuleta madhara mbalimbali kwa wachezaji. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujadili kwa kina madhara hayo kwa wachezaji na mapendekezo ya makocha mbalimbali. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092020-11-1417 minSportsCastSportsCastKuna haja ya kurejesha sub 5 EPL?Utaratibu wa kufanya mabadiliko uwanjani kwenye ligi kuu Uingereza umehusishwa kuleta madhara mbalimbali kwa wachezaji. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujadili kwa kina madhara hayo kwa wachezaji na mapendekezo ya makocha mbalimbali. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092020-11-1417 minSportsCastSportsCastMipango ya Cedric Kaze & Tatizo Sugu la WaamuziJe Kocha Cedric Kaze ameleta mabadiliko yoyote kwenye kikosi cha Yanga? Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kuichambua kwa kina mipango Kaze ndani ya Yanga kadhalika pia tunaangazia kwa undani zaidi tatizo la waamuzi kushindwa kuhimili michezo katika Ligi Kuu Bara. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=092020-11-1028 minSportsCastSportsCastNamna Liverpool inavyokabiliana na pengo la Virgil Van DjikClifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kuangazia Liverpool iliyo chini ya Jurgen Klopp inavyokabiliana na pengo la Van Djik. Pia tumeangazia kwa kina mabeki ambao Liverpool inaweza kuwasajili ili kuziba pengo la Van Djik na Mfumo mpya ambao Klopp anautumia kwa sasa. Tufuate katika mtandao wa Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=09 Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=x07qr4cy41js2020-10-2623 minSportsCastSportsCastNamna gani Mikel Arteta ni tofauti na Pep Guardiola?Arteta na Pep wanafanana katika nyanja mbalimbali lakini soka ndio limewaleta pamoja. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujadili historia za makocha hawa wawili kadhalika pia na utofauti wa mbinu wanazotumia katika timu wanazoziongoza.2020-10-1924 minSportsCastSportsCastDirisha la Usajili: Man Utd, Arsenal, Liverpool, Everton, Barcelona & Bayern Munich.Dirisha la usajili barani ulaya limekua la kuvutia sana, likihusisha wachezaji mbalimbali kujiunga na vilabu vikubwa barani Ulaya. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujadili namna vilabu barani ulaya vimetumia dirisha hili la usajili ili kuimarisha vikosi vyao na kuleta ushindani katika ligi zao. Tumeangazia dili la Cavani kwenda Manchester United, Partey kwenda Arsenal na Douglas Costa kwenda Bayern. Tufuate katika mtandao wa twitter @SportsCastTz2020-10-0944 minSportsCastSportsCastKwa namna gani Krmpotic alifeli kuiunganisha timu ya Yanga?Krmpotic hana historia ya kukaa kwenye klabu kwa zaidi ya mwaka mmoja na amekua akilalamikiwa kwa namna anavyopanga kikosi chake. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew ambaye anachambua kwa kina namna Krmpotic alivyofeli kuiunganisha timu ya Yanga.2020-10-0430 minSportsCastSportsCastManchester City; Msimu mpya mambo yaleyale & Sintofahamu ya Penati za 'Handball' EPL.Hadi sasa  Manchester City imetumia kiasi cha Pauni milioni 400 kwa ajili ya safu ya ulinzi tangu kocha Pep Guardiola atue klabuni hapo lakini bado hakuna utofauti na wamekua wakiruhusu magoli ya aina ileile.  Sheria mpya ya 'Handball' imeleta sintofahamu nyingi hususani kwa mashabiki na makocha katika ligi kuu ya uingereza.  Clifford Sangai anaungana na mchambuzi Prosper Bartalomew kujadili maswala hayo.2020-10-0129 min