Look for any podcast host, guest or anyone
Showing episodes and shows of

Fabian C. Mwakabanje

Shows

BabananiiiBabananiiiBOOK CLUB FRIDAY JAN 24First week discussion on the internet, the dark web and all technology stuff.2024-01-2616 minBabananiiiBabananiiiVITABU VYA WATOTOHAdithi hadithi za watoto. Children story books, read alouds2024-01-261h 36BabananiiiBabananiiiNyongeza fikra yakoMawazo2023-09-1001 minBabananiiiBabananiiiPoems by PoetsCollection from my favourites.2023-09-1001 minBabananiiiBabananiiiWhat's Yah Take?Questions I ask myself in solitude...2023-07-2702 minBabananiiiBabananiiiLove LettersAudio version of freestyle and written.2023-07-2707 minBabananiiiBabananiiiPretending poemBy Salma Shuma2022-04-2302 minBabananiiiBabananiiiSermon Design and DeliveryThomas H. Holland2022-04-0409 minBabananiiiBabananiiiTUJISAHIHISHE Na. 2"Elimu" na Kujielimisha.2022-02-1707 minBabananiiiBabananiiiTUJISAHIHISHE (Sehemu 1)Tujisahihishe, kitabu kiliandikwa na Hayati Baba Wa Taifa Letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Rais wa kwanza wa Tanzania, mwezi Mei mwaka 1962, Dar es Salaam, Tanganyika.2022-02-1613 minBabananiiiBabananiiiJINSI YA KUWEKA MIPANGO*JINSI YA KUWEKA MIPANGO* A. Marlene Wilson anasema kwamba mchakato ulioratibiwa unapaswa kuzingatia kanuni zifuatazo: 1. *Malengo;* ni matokeo yanayotazamiwa; mahali ambapo mtu au taasisi inataka kufika -- hatima au maazimio yake. 2. *Maazimio;* kutafsiri malengo na madhumuni kwa njia iliyo wazi na rahisi ya kueleweka na kutekelezeka (wakati mwingine huitwa mipango kazi). 3. *Kazi;* ni mambo gani ya kuyatekeleza ili kufikia malengo yaliyokusudiwa. 4. *Mipango;* ni mbinu na mtiririko wa kazi ili kufikia malengo. 5. *Bajeti* ni sehemu ya mpango iliyoainishwa kitarakimu na kuwekewa kiasi cha fedha. 6. *Ratiba;* ni mpango wenye tarehe za utekelezaji na watumishi wahusika. 7. *Tathmini;* ni kuipima kazi inayofanyika kama vinawiana...2021-10-1304 minBabananiiiBabananiiiHawawezi kuelewaMaelezo yoyote utakayoyatoa yanayokuhusu wewe kwa ubinafsi hata kama si makosa kujipenda na kujipendelea ila wengine ni vigumu kukuelewa.2021-10-0504 minBabananiiiBabananiiiKUSADIKIKA:- MJUMBE WA MASHARIKIKitabu Mkononi leo hii kinatoka kwa mwandishi nguli na mbobezi wa lugha ya Kiswahili. Ukurasa wa 192021-09-1503 minBabananiiiBabananiiiMTU MWENYE BAHATI KULIKO WOTE KATIKA BABELIMwisho wa simulizi yetu ya tajiri wa babeli. Kazi ni utu. Kazi inamuheshimisha mtu katika watu2021-09-0750 minBabananiiiBabananiiiMFANYABIASHARA WA NGAMIA WA BABELIPenye nia pana njia. Kama una nia basi njia utaiona na kuiendea.2021-09-0626 minBabananiiiBabananiiiKUTA ZA BABELIGharama ya ulinzi ni ya asili na kubwa sana kwa mwanadamu. Anahitaji kuwa salama, na mali zake kuwa katika ulinzi na usalama. Ndiyo dhima ya sehemu hii ya Saba (7) katika mfululizo wa simulizi ya TAJIRI WA BABELI.2021-09-0412 minBabananiiiBabananiiiMKOPESHA PESA WA BABELI"Zawadi uliyopewa na mfalme inatakiwa kukufundisha hekima. Ukitaka kubaki na vipande vyako hamsini vya dhahabu, unatakiwa kuwa makini. Utavutiwa na vitu vingi na utapata ushauri mwingi sana. Utaambiwa fursa nyingi zinazodaiwa kutoa faida kubwa. Habari na hadithi kutoka kwenye sanduku langu la dhamana zinatakiwa kuwa onyo kwako. Kabla hujaruhusu pesa yako kutoka kwenye pochi hakikisha utaweza kuirudisha. Kama utahitaji ushauri zaidi unaweza kurudi nami nitafurahi kukupatia. '''Mwisho naomba usome nilichoandika. Chini ya mfuniko wa sanduku la dhamana. Maneno haya yana faida kwa mkopeshaji na mkopaji pia. Bora tahadhari kidogo kuliko majuto makubwa.2021-09-0231 minBabananiiiBabananiiiZIJUE SHERIA TANO ZA PESA"Ukiambiwa uchague kati ya mfuko uliojaa dhahabu na mabamba ya vigae yaliyoandikwa maneno ya hekima na busara, utachagua nini?" Wasikilizaji walikuwa wamekaa jangwani wakiwa wamekusanyika kuzunguka moto. Walikuwa wakisikiliza kwa makini. Mwanga wa moto ulionyesha nyuso zao ambazo zilianza kuwa nyeusi sababu ya jua la jangwani. "Dhahabu, dhahabu," walijibu wote ishirini na saba kwa pamoja. Mzee Kalabab alitabasamu kama vile kuna siri anaifahamu yeye peke yake.2021-09-0128 minBabananiiiBabananiiiMUNGU WA BAHATI (Sehemu Ya Pili)Mungu wa bahati huwapendelea watu wa vitendo.2021-08-3016 minBabananiiiBabananiiiKUTANA NA MUNGU WA BAHATI (Sehemu Ya Kwanza)"Kama mtu ana bahati huwezi jua inapoishia. Mtupe ndani ya mto Efrati naye atatoka ameshikilia lulu." -- METHALI YA WABABILONI2021-08-2822 minBabananiiiBabananiiiTIBA 7 ZA POCHI TUPU (4 - 7)Hizi ndizo jumla ya tiba saba za pochi tupu. Kwahiyo tiba ya saba na ya mwisho ya kutibu pochi tupu ni kuwa mtu bora. Kujifunza na kujizoeza kupata maarifa zaidi, kupata ujuzi zaidi na kujiendesha maisha yako kwa heshima. Hapo unaweza kujiamini na utaweza kutimiza malengo yako.2021-08-2626 minBabananiiiBabananiiiGum on the Gate (Book 6)Every evening I usually read a story to primary students as a way of influencing and fostering a reading habit.2021-08-2611 minBabananiiiBabananiiiTIBA YA PILI & TATU YA POCHI TUPU''Utajiri wa mtu haupo kwenye fedha zilizopo kwenye pochi yake bali kwenye kijito cha dhahabu kinachotiririka kwenda kwenye pochi yake na kuitunisha. Kipato kinachoingia hata akisafiri au asipofanya kazi."2021-08-2511 minBabananiiiBabananiiiSehemu Ya Tatu: TIBA SABA ZA POCHI TUPUTIBA YA KWANZA: NAMNA KUTUNISHA POCHI TUPU2021-08-2418 minBabananiiiBabananiiiTAJIRI WA BABELI (ARKAD)Vitu muhimu kujifunza kwa anayeutaka utajiri. Kwanza jilipe kwanza, kisha tafuta ushauri kwa wenye uzoefu.2021-08-1830 minBabananiiiBabananiiiTAJIRI WA BABELI (Sura ya Kwanza)MTU ALIYETAMANI DHAHABU. Sehemu ya Kwanza katika kitabu cha Tajiri wa Babeli inaongelea hadithi ya marafiki wawili; Bansir na Kobbi ambao walijiuliza kuhusu kupata mali na walifanya uamuzi wa kutafuta suluhu ya tatizo lao la ukata wa kila mara.2021-08-1217 minBabananiiiBabananiiiMITHALI Sura ya 15Hekima katika kumcha BWANA.2021-07-0805 minBabananiiiBabananiiiMITHALI Sura ya 14Kitabu kilichojaa hekima. Uchaguzi ni wako, je unataka kuwa mpumbavu au mtu mwenye hekima. Uamuzi ni wako.2021-07-0805 minBabananiiiBabananiiiMithali Sura ya 13Yeye asiyetumia fimbo yake humchukia mwanawe. Bali yeye ampendaye humrudi mapema.2021-07-0604 minBabananiiiBabananiiiMITHALI Sura ya 12"Katika njia ya haki kuna uhai; Wala hakuna mauti katika mapito yake." -- Mithali 12:282021-07-0504 minBabananiiiBabananiiiMITHALI Sura ya 11Amefananishwa na kipini cha dhahabu puani mwa nguruwe yule mwanamke mzuri asiye na akili.2021-07-0404 minBabananiiiBabananiiiMITHALI Sura ya 10Hekima za Solomoni/Selemani/Suleiman2021-07-0304 minBabananiiiBabananiiiMITHALI Sura ya 9Wenye busara ukimfundisha atakupenda. Wajinga huchukia marekebisho2021-07-0203 minBabananiiiBabananiiiMITHALI Sura ya 8Hekima inawaita wanadamu wote wamuendee. Hekima anatoa wito tumfuate tupate utajiri, na fahali yote ya dunia. Hekima humsaidia mfalme kutawala na watawala kutunga sheria.2021-07-0105 minBabananiiiBabananiiiMITHALI Sura ya 7Maonyo kwa kijana mwanamume dhidi ya mwanamke mzinzi.2021-07-0104 minBabananiiiBabananiiiMITHALI 6Onyo dhidi ya upumbavu na onyo dhidi ya mwanamke kahaba2021-06-2905 minBabananiiiBabananiiiMITHALI (Sura ya 5)Somo lililopo kwenye sura hii ya tano ni "Maonyo dhidi ya uzinzi"2021-06-2903 minBabananiiiBabananiiiMITHALI Sura ya 4Mfululizo wa simulizi ya kitabu cha Mithali (Biblia).2021-06-2704 minBabananiiiBabananiiiMithali (sura ya 3)Mfululizo wa simulizi ya kitabu cha Mithali (Biblia).2021-06-2604 minBabananiiiBabananiiiMithali Sura ya 2Leo tarehe 25 Juni 2021, ninasoma kitabu cha Mithali sura ya pili kutoka kwenye Biblia. Sura hii inazungumzia faida za hekima.2021-06-2503 minBabananiiiBabananiiiMithali Sura 1Nimeadhamiria kukisoma kitabu cha Mithali kwa siku 31 kama zilivyo sura zake. Nimependelea kukisoma kwa sauti na kukushirikisha simulizi ya kitabu hiki.2021-06-2403 minBabananiiiBabananiiiLaiti kama angejuaUshairi2021-06-0503 minBabananiiiBabananiiiIntroduction FatherhoodReading out loud part Fatherhood2021-06-0401 minBabananiiiBabananiiiKijana Na KaziMafanikio ya kazi bora na sababu za kubadili kazi.2021-05-1811 minBabananiiiBabananiiiKUFANYA KAZI VIZURIFanya kazi yako kwa bidii, jiwekee malengo, fuata utaratibu na nidhamu, kuwa Chapu kazini, na mwisho Tuliza akili na mawazo yote yaelekeze kwenye kazi unayoitenda sasa.2021-05-1308 minBabananiiiBabananiiiNJIA YA KUJIPATIA KAZIMUHIMU KUJISHIKIZA KWA MUDA KATIKA KAZI NYINGINE WAKATI UNAISUBIRIA ILE KAZI UIPENDAYO.2021-05-1211 minBabananiiiBabananiiiUnapochagua Kazi ZingatiaSehemu ya pili: 3. Chagua kazi yenye manufaa na 4. Chagua kazi itakayoweza kupatikana.2021-05-1005 minBabananiiiBabananiiiUnapochagua Kazi ZingatiaCHAGUA KAZI UNAYOIPENDA: Jambo la kwanza na lililo muhimu kushinda mengine yote kuhusu kazi ni kuhakikisha kwamba unaipenda kwa dhati na kufurahia kuifanya. Ziko kazi za aina mbalimbali - k.m. kilimo; ufugaji; biashara; kutoa huduma mbalimbali kama vile ualimu; udaktari; ukarani; n.k. Kazi hizo zinaweza kufanywa mahali mbalimbali - k.m. kijijini; mjini; nyumbani; ofisini; kiwandani; n.k. Vile vile kazi hizo zinaweza kufanywa kwa njia mbalimbali - k.m. Kiujamaa; kiushirika; kwa kuajiriwa; kwa kujiajiri mwenyewe peke yako; n.k. Mambo yote haya, pamoja na hadhi ya kazi yenyewe katika jamii unamoishi huenda pia yakaongezea kukufanya upende...2021-05-0806 minBabananiiiBabananiiiKAZI NI UHAIMambo ya kuzingatia unapochagua kazi.2021-05-0704 minBabananiiiBabananiiiKIJANA NA KAZI/FAIDA YA KAZI PT. 3*FAIDA ZA KAZI* inaendelea..... 4. KAZI ITAIMARISHA AFYA YAKO Katika sehemu nyingi mbalimbali duniani imeanza kuonekana kwamba akina mama huwa na maisha marefu zaidi kuliko akina baba. Kuna sababu mbalimbali ambazo huleta tofauti hiyo, na mojawapo ambayo wataalam wengi wanakubaliana nayo ni ile inayohusu kazi. Wanasema kwamba kwa vile kina mama wanafanya kazi zaidi kuliko kina baba (yaani hawastaafu kufanya kazi ya kupika au ya kutunza usafi wa nyumba) miili yao inapata nafasi kubwa ya kufanya mazoezi na kuimarika. Ni dhahiri kwamba kazi mbalimbali hutoa nafasi ya kutosha kwa mazoezi ya viungo mbalimbali vya mwili. Ukikaa bila kazi za kutosha mwili...2021-05-0605 minBabananiiiBabananiiiFAIDA YA KAZI PT. 2*FAIDA YA KAZI* Inaendelea.... *2. KAZI ITAKUONGEZEA FURAHA* Licha ya uchumi kazi inaweza kuwa jambo la kufurahisha sana. Mtu hufurahia anapofanya kazi yenyewe, na hufurahia pia, anapoona matokeo ya kazi yake, hasa iwapo kazi hiyo iwe ni ile inayohusiana na kuleta mabadiliko mapya mbalimbali. Isitoshe, shughuli za kazi zinasaidia sana kupitisha wakati na kumwondolea mtu mawazo yasiyofaa. Vile vile kazi huweza kuwa njia nzuri sana ya kumwezesha mtu akutane na watu wengi mbalimbali ambao humchangamsha kwa njia nyingi; na mara nyingi kazi imekuwa ndio njia muhimu ya kujipatia marafiki wa aina mbalimbali. Watu wengi waliokwishastaafu huanza kulalamika kwamba wanakosa kitu cha...2021-05-0505 minBabananiiiBabananiiiKIJANA NA KAZI (The Youth Got To Work)Kijana na kazi, ni mfululizo wa mafunzo yaliyomo katika kitabu kiitwacho kijana na kazi kilichochapishwa mwaka 1983 na EMAU (Elimu ya Malezi ya Ujana). My name is Fabian C. Mwakabanje, a Tanzanian educator, I coordinate young adults literacy program in public schools. In these episodes i seek to empower the written words through the voice for those many in my community who can't read nor write or they just don't have that reading habit.2021-05-0404 min