Look for any podcast host, guest or anyone
Showing episodes and shows of

Linus Siwiti

Shows

Linus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastMTU WANGU WA LEOTunajifunza kutoka kwa George Samwel Claison. Mwandishi wa kitabu Cha "the richest man in Babylon" mtu tajiri katika mji wa babeli2025-02-0511 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastBill Ackman_1735078991364_1.mp3"Uzoefu ni kufanya makosa na kujifunza kutokana na makosa hayo". Tunapoelekea mwisho wa mwaka 2024, inawezekana pia i nawe ni miongoni mwawale amabo Kuna vitu vimeumiza sana sababu ya makosa ya kibinadam au kutokujua sio mda wa kujilaumu badala ya yake nijifunza.2024-12-2406 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastTafuta kuwa wathaman mbele ya Mwenyezi Mungu.mp31 Lakini sasa, Bwana aliyekuhuluku, Ee Yakobo, yeye aliyekuumba, Ee Israeli, asema hivi, Usiogope, maana nimekukomboa; nimekuita kwa jina lako, wewe u wangu. Isaya 43:1 2 Upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja nawe; na katika mito, haitakugharikisha; uendapo katika moto, hutateketea; wala mwali wa moto hautakuunguza. Isaya 43:2 3 Maana mimi ni Bwana, Mungu wako; Mtakatifu wa Israeli, mwokozi wako, nimetoa Misri kuwa ukombozi wako; nimetoa Kushi na Seba kwa ajili yako. Isaya 43:3 4 Kwa kuwa ulikuwa wa thamani machoni pangu, na mwenye kuheshimiwa, nami nimekupenda; kwa sababu hiyo nitatoa watu kwa ajili yako; na kabila za...2024-11-2510 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastMAMBO 4 YA KUFANYA UNAPOANZA WIKI MPYA1. Kuwa na utamaduni wa kufanya tafakari wiki inapoisha 2. Weka malengo mapya mahususi ya wiki mpya 3. Weka mikakati ya kukusaidia kufikia malengo Yako ya wiki, note epuka kurudi makosa ya wiki iliyopita 4. Kuwa natafakari kila siku inapoisha2024-10-2013 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastMAMBO 4 YA KUFANYA UNAPOANZA WIKI MPYA1. Kuwa na utamaduni wa kufanya tafakari wiki inapoisha 2. Weka malengo mapya mahususi ya wiki mpya 3. Weka mikakati ya kukusaidia kufikia malengo Yako ya wiki, note epuka kurudi makosa ya wiki iliyopita 4. Kuwa natafakari kila siku inapoisha2024-10-2013 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastFOCUS.mp32024-09-0806 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastKUNYAMAZA VS KUNENA.m4a7 Wakati wa kunyamaza, na wakati wa kunena; Mhubiri 3:7b2024-06-2907 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastTUNZA FURAHA YAKO (Maintain Your Happiness)Akasema, Uso wangu utakwenda pamoja nawe, nami nitakupa raha. Kutoka 33:14 Likumbukeni neno lile alilowaamuru Musa mtumishi wa Bwana, akisema, Bwana, Mungu wenu, anawapa ninyi raha, naye atawapa nchi hii. Yoshua 1:13 Kisha Naomi akamwambia mkwewe, Je! Mwanangu, si vizuri nikutafutie raha, ili upate mema? Ruthu 3:12024-02-2112 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastMAMBO MAWILI YA KUFANYA ILI SIKU YAKO IWE NA MAFANIKIO.aacUmkabidhi Bwana njia yako, Pia umtumaini, naye atafanya. Zaburi 37:5 Mkabidhi Bwana kazi zako, Na mawazo yako yatathibitika. Mithali 16:32024-02-1903 minli\'s podcastli's podcastJingle Usikose Ibada Ya Kesho Ya KUKUMBUKWA NA MUNGUBwana Yesu asifiwe,,, nakusalimu kwa jina la Yesu Kristo. Naomba nikupe mwaliko huu muhimu ibada ya tarehe *27/02/2022 itakuwa ni ibada ya Kukumbukwa na Mungu* nitafundisha na kuhubiri kwa kupitia channel ya Linus Siwiti podcast pamoja na Facebook.2022-02-2604 minli\'s podcastli's podcastKUTAFUTA KUSUDI LA MUNGU Siku Ya #10*KUMTEGEMEA BWANA MUNGU*:Bwana Yesu asifiwe karibu sana kwenye Morning devotion siku ya Leo. Tuombe "baba matakatifu Mungu Mwenyezi asante kwa ajili ya utukufu wako, Asante kwa nafasi nyingine ambayo umetujali tunakualika baba kwenye devotion siku hii ya amen7 Amebarikiwa mtu yule anayemtegemea Bwana, Ambaye Bwana ni tumaini lake. Yeremia 17:78 Maana atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji, Uenezao mizizi yake karibu na mto; Hautaona hofu wakati wa hari ujapo, Bali jani lake litakuwa bichi; Wala hautahangaika mwaka wa uchache wa mvua, Wala hautaacha kuzaa matunda. Yeremia 17:89 Moyo huwa mdanganyifu kuliko...2021-11-1015 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastEpisode 19 - Linus Siwiti's podcast2021-10-0202 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastUSIHOFU JUU YA MAMBO YA DUNIANI KUWA NA HOFU ya MUNGU1 Kwa malaika wa kanisa lililoko Efeso andika; Haya ndiyo anenayo yeye azishikaye hizo nyota saba katika mkono wake wa kuume, yeye aendaye katikati ya vile vinara saba vya dhahabu. Ufunuo wa Yohana 2:12 Nayajua matendo yako, na taabu yako, na subira yako, na ya kuwa huwezi kuchukuliana na watu wabaya, tena umewajaribu wale wajiitao mitume, nao sio, ukawaona kuwa waongo; Ufunuo wa Yohana 2:23 tena ulikuwa na subira na kuvumilia kwa ajili ya jina langu, wala hukuchoka. Ufunuo wa Yohana 2:34 Lakini nina neno juu yako, ya kwamba umeuacha upendo wako wa kwanza. ...2021-08-1315 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastHamasika Time "Mambo Matatu Ya Kufanya Mjasiriamali, Mfanyabiashara Unapopitia Changamoto"Mambo matatu ya kufanya unapopitia changamoto katika Biashara au Ujasiriamali:1. Badilisha mfumo wa biashara,2. Boresha Biashara yako3. Tumia changamoto kuzigundua fursa zingine.2021-08-1215 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastSAIKOLOJIA YA MAUZO2021-07-1008 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastNEEMA YA ASUBUHI Linus Siwiti's podcast10 Hatimaye, mzidi kuwa hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake. Waefeso 6:1011 Vaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kuzipinga hila za Shetani. Waefeso 6:1112 Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho. Waefeso 6:1213 Kwa sababu hiyo twaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kushindana siku ya uovu, na mkiisha kuyatimiza yote, kusimama. Waefeso 6:1314 Basi simameni, hali mmejifunga kweli viunoni, na kuvaa...2021-06-1315 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastNEEMA YA MUNGU INAVYOFANYA KAZI SIKU ZA MWISHOMajira haya na nyakati tulizopo tunaishi chini ya kivuli Cha Neema ya Mungu.-nyakati za Leo tupo kwenye majira magumu sana kwani Kuna mambo mabadiliko mengi katika ujio wa mpya wa Dunia.Neema: Ni uweza/ upendeleo, kibali ambao Mungu anao ndani yetu.Soma MWANZO 6.8 KUTOKA 33.13NEEMA YA MUNGU INAMBATANA NA MAMBO HAYA.1) Utakatifu- Neema hata siku moja haiwezi kuambatana na uovu, dhambi, hila nk2) UTIMILIFU- siku zote neema ya Mungu ni ya utimilifu lazima tutapokea neema juu ya NeemaYOHANA 1:14-16NEEMA...2021-06-0815 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastMORNING GRACE2021-05-0511 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastEpisode 37 - Linus Siwiti's podcast2021-04-1705 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastNENO LA UZIMA & UPONYAJI - Linus Siwiti's podcast12 Najua kudhiliwa, tena najua kufanikiwa; katika hali yo yote, na katika mambo yo yote, nimefundishwa kushiba na kuona njaa, kuwa na vingi na kupungukiwa. Wafilipi 4:1213 Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu. Wafilipi 4:1314 Lakini mlifanya vema, mliposhiriki nami katika dhiki yangu. Wafilipi 4:1415 Nanyi pia, ninyi wenyewe mnajua, enyi Wafilipi, ya kuwa katika mwanzo wa Injili, nilipotoka Makedonia, hakuna kanisa lingine lililoshirikiana nami katika habari hii ya kutoa na kupokea, ila ninyi peke yenu. Wafilipi 4:152021-03-2315 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastSATURDAY KAA TUONGEE27 - Linus Siwiti's podcastKaribu msikilizaji katika kipindi Cha kaa tuongee ikiwa ni kwa mara ya Kwanza kabisa Leo tunaongelea swala kubwa KUJIFUNZA na KUWEKA BIDII2021-02-2110 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastEpisode 29 - MAMBO 3 YA KUKUSAIDIA KUFANYA JAMBO LOLOTE PASIPO KUANGALIA Mazingira Linus Siwiti's podcast2021-01-2112 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastEpisode 26 -TAFAKARI BIBLIA Linus Siwiti's podcastWAFILIPI 4:18-192020-12-1110 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastTAFAKARI BIBLIA "Umuhimu Wa kushukuru" Kusema Asante - Linus Siwiti's podcastZaburi 1072020-12-0809 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastEpisode 25 -HAMASA ZA BIBLIA Linus Siwiti's podcastHamasa ya leo inatoka kwenye kitabubcha Warumi 8:31 "Basi tuseme nini juu ya haya Mungu akiwa upande wetu ninani atakaye simama juu yetu" Mungu akiwa upande wetu hakuna magonjwa, hakuna baya lolote, hakuna Cha adui kitakacho jiinua ubarikiwe Tafakari zaidi.2020-11-0204 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastHAMASA ZA MAISHA2020-10-1203 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastTAFAKARI BIBLIA ,,,,,KITABU CHA NAHUMU- Linus Siwiti's podcastKaribu kwenye Tafakari Biblia siku ya Leo tuaanza kutafakari kitabu Cha Mahumu kwa siku Tatu.2020-10-0815 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastEpisode 27 - TUTAFAKARI BIBLIA Linus Siwiti's podcast2 Tazama, nimekufanya mdogo kati ya mataifa; Umedharauliwa sana. Obadia 1:23 Kiburi cha moyo wako kimekudanganya, Wewe ukaaye katika pango za majabali, Mwenye makao yako juu sana; Asemaye moyoni, Ni nani atakayenishusha mimi? Obadia 1:34 Ujapopanda juu kama tai, Ijapokuwa kioto chako kimewekwa kati ya nyota, Nitakushusha kutoka huko; asema Bwana. Obadia 1:47 Watu wote wa mapatano yako Wamekufukuza, hata mipakani; Wale waliofanya amani nawe Wamekudanganya, na kukushinda; Walao mkate wako wameweka mtego chini yako; Wala hana ufahamu wa hayo ndani yake. Obadia 1:712 Lakini usiitazame siku ya ndugu yako, siku ya mashaka...2020-10-0215 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastUFANYE NINI UNAPO PITIA JARIBU Au CHANGAMOTO YEYOTE1Wakorintho 10:11-162020-09-0215 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastMAMBO GANI YA KUFANYA UNAPO ANZA WIKI AU SIKU MPYA1. Tambua maisha yana badilika hayapo moja kwa moja (life is not linear)2. Weka mipango mipya kila siku(Put new planning daily)3. Chunja mawanzo yako (Filter your thoughts)2020-08-2315 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastNAFASI YA KIJANA KATIKA JAMII(nukuu Za Maisha) KUTANA SOPHIA BINTI ALIYE JIAJIRI KWA KUUZA UBUYU Pia FAHAMU NAFASI YA KIJANA KATIKA UTUMISHI2020-08-1315 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastNAFASI YA KIJANA KATIKA UTUMISHI"Nafasi ya kijana katika Utumishi ni kubwa sana, wewe kijana unanafasu gani katika Utumishi?. Maana vijana tuna nguvu Kuna Mithali ya kiafrika naipenda inasema "Vijana tunaweza kutembea haraka lakini wazee wanaijua njia".2020-08-1306 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastEpisode 19 -NUKUU ZA MAISHA Linus Siwiti's podcastKaribu kwenye ujio mpya wa nukuu za maisha ni kila siku saa nne usiku kuanzia tarehe 06/08/20202020-08-0602 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastEpisode 18 - TAFAKARI YA BIBLIA Linus Siwiti's podcastMATHAYO 5:1-10Karibu siku ya leo ungane nami katika maombi ya letayo Heri katikati maisha Bwana atakupoganiaMara baada ya kusikiliza podcast kama utakuwa na hitaji binafsi ka maombi andika tu kwenye Comment nahitaji maombi au wasiliana nami kwa namba nilizo kutaji kwenye podcast . Nami nitaomba kwa ajili yako2020-08-0514 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastEpisode 17 - Tafakari ya Maandiko Ya BibliaLinus Siwiti's podcast18 Kuna mambo matatu yaliyo ya ajabu kwangu, Naam, kuna manne nisiyoyafahamu. Mithali 30:1819 Mwendo wa tai katika hewa; Na mwendo wa nyoka juu ya mwamba; Mwendo wa merikebu katikati ya bahari; Na mwendo wa mtu pamoja na msichana. Mithali 30:1920 Hivyo ndivyo mwendo wa mwanamke mzinifu; Hula, akapangusa kinywa chake, Akasema, Sikufanya uovu. Mithali 30:2021 Kwa ajili ya mambo matatu nchi hutetemeka, Naam, kwa ajili ya manne haiwezi kuvumilia. Mithali 30:2122 Mtumwa apatapo kuwa mfalme; Mpumbavu ashibapo chakula; Mithali 30:2223 Mwanamke mwenye kuchukiza aolewapo; Na mjakazi aliye mrithi wa bibi...2020-07-3014 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastEpisode 2 MAOMBI YA UKOMBOZI Na Rev: Shedrack Herman>Linus Siwiti's podcastYESU NI MAJI YA UZIMA6 Na hapo palikuwa na kisima cha Yakobo. Basi Yesu, kwa sababu amechoka kwa safari yake, akaketi vivi hivi kisimani. Nayo ilikuwa yapata saa sita. Yohana 4:67 Akaja mwanamke Msamaria kuteka maji. Yesu akamwambia, Nipe maji ninywe. Yohana 4:78 Kwa maana wanafunzi wake wamekwenda mjini kununua chakula. Yohana 4:89 Basi yule mwanamke Msamaria akamwambia, Imekuwaje wewe Myahudi kutaka maji kwangu, nami ni mwanamke Msamaria? (Maana Wayahudi hawachangamani na Wasamaria.) Yohana 4:910 Yesu akajibu, akamwambia, Kama ungaliijua karama ya Mungu, naye ni nani akuambiaye, Nipe maji ninywe...2020-07-1515 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastMAMBO 3 YA MSINGI YA KUFANYIA KAZI UNAPOANZA WIKI MPYAMambo matatu ya msingi unapoanza wiki mpya1. Usiamke na mawazo ya wiki ambayo imeisha2. Amka mapema sana weka mipaka yako vizuri3. Usiamke na kukimbilia kwenye simu bali amka mshukuru Mungu, kwa wiki ambayo imeisha na wiki unayoianza panda mbegu.2020-07-0511 minLinus Siwiti\'s podcastLinus Siwiti's podcastEpisode 13 - Linus Siwiti's podcast*TESTIMONY THE BRIDGE OF VICTORY* ushuhuda daraja la mafanikio.Karibu kwenye program mpya ya ushuhuda daraja la ushidi hapa utapata kusikiliza shuhuda mbalimbali ambazo zitakupa kujifunza Kila siku na hamasa ya kuona upo uwezekana kwa yale ambayo unapitiaLeo nilikuwa na Baba yangu mkubwa Henry Siwiti ambaye aliugua kwa Muda mrefu sana zaidi ya miaka 32 leo Ni mzima na kumbukumbu zimerudi.2020-07-0113 min