Look for any podcast host, guest or anyone
Showing episodes and shows of

MUNGU MMOJA.

Shows

Mwl. Erick’s PodcastMwl. Erick’s PodcastKANUNI YA MCHAKATO - PT 2KANUNI YA MCHAKATO - PT 2 Kwenye sehemu ya pili ya somo hili tunaangalia faida ya mchakato. Mungu huwapa watu sawasawa na uwezo wao: Mathayo 25:15 “Akampa mmoja talanta tano, na mmoja talanta mbili, na mmoja talanta moja, kila mtu kadiri ya uwezo wake; akasafiri mara. Ili kufanya makubwa Zaidi badala ya kukaa na wishful thinking chukua hatua na kuongoza capacity (uwezo wako). Hatima ni kwa wanaoweza kupambana (fighters) na wanaoweza kutamalaki territories.  Kutembea katika halisia za baraka tulizo nazo katika Kristo ni Zaidi ya kufunga, kuomba na kusoma neno.  Jifu...2025-04-041h 02Wahubiri wa Neno PodWahubiri wa Neno PodJe, kuna miungu mingapi?Mafundisho ya Biblia juu ya Mungu jinsi alivyo, Mungu mmoja katika nafsi tatu Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu.Sikia hapa au tazama kwenye youtube… This is a public episode. If you would like to discuss this with other subscribers or get access to bonus episodes, visit mwalimumike.substack.com2025-02-2635 minThis is the Bible BardThis is the Bible Bardswahili_BB-69 Mbinu za Maandiko MatakatifuChambua dini tatu kuu za Mungu mmoja: Uyahudi, Ukristo, na Uislamu kulingana na mtazamo wao kwa maandiko yao. Tumia maelezo katika podikasti hii ili kubainisha ulipo na mtazamo wako kuhusu Biblia.2025-02-0516 minMAFUNDISHO YA MTUME PAULOMAFUNDISHO YA MTUME PAULOJE JINA LIPI NI SAHIHI KUTUMIKA WAKATI WA UBATIZOChangamoto ya Ubatizo – Je, Tubatizwe kwa Jina Gani?Suala la jinsi ubatizo unavyopaswa kufanyika limekuwa mjadal​a mkubwa kati ya madhehebu ya Kikristo.✅ Je, tunapaswa kubatiza kwa jina la Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu, kama Yesu alivyosema katika Mathayo 28:19? ✅ Au tunapaswa kubatiza kwa jina la Yesu Kristo, kama walivyofanya Mitume katika Matendo 2:38?Katika kipindi hiki, tunajadili: 📌 Agizo la Yesu kuhusu ubatizo – Mathayo 28:19 📌 Ubatizo uliofanywa na Mitume – Matendo 2:38, Matendo 8:16, Matendo 10:48, Matendo 19:5 📌 Tofauti za kiimani – Fundisho la Utatu vs. Fundisho la Umoja wa Mungu 📌 Je, ni maneno gani sahihi ya u...2025-02-0316 minKujua PodcastKujua PodcastPodcast episode 12: VITU SABA AMBAYO NI MACHUKIZO KWA BWANA #2 IMEANDIKWA NA MARY SMITH hatia; Moyo uwazao mawazo mabaya; Miguu iliyomyepesi kukimbilia maovu; Shahidi wa uongo asemaye uongo; Naye apandaye mbegu za fitina kati ya ndugu.Wakati uliopita tulianza kujifunza kuhusu vitu ambavyo ni chukizo kwake Mungu. Katika o r o d h a ya M i t h a l i 6 : 1 6 - 1 9 , t u l i j i f u n z a k u h u s u k i t u c h a k w a n z a , m a c h o y a k i b u r i . L e...2024-09-0909 minKujua PodcastKujua PodcastPodcast Episode 8: Tabitha part 5 Sikiliza kipindi hiki cha tano cha kusisimua, cha mfululizo wa sehemu tano, Tabitha anaposhiriki jinsi alivyoshinda kuchanganyikiwa kwake kutoka kwa dini mbalimbali na kumjua Yesu Kristo kama mwokozi wake binafsi na Mungu mmoja wa kweli!Listen to this exciting fifth episode, of a five part series, as Tabitha shares how she overcame her confusion from different religions and came to know Jesus Christ as her personal savior and the one true God! 2024-08-1231 minKujua PodcastKujua PodcastPodcast Episode 7: Tabitha part 4 Listen to this exciting fourth episode, of a five part series, as Tabitha shares how she overcame her confusion from different religions and came to know Jesus Christ as her personal savior and the one true God!Sikiliza kipindi hiki cha nne cha kusisimua, cha mfululizo wa sehemu tano, Tabitha anaposhiriki jinsi alivyoshinda kuchanganyikiwa kwake kutoka kwa dini mbalimbali na kumjua Yesu Kristo kama mwokozi wake binafsi na Mungu mmoja wa kweli! 2024-08-0531 minKujua PodcastKujua PodcastPodcast Episode 6: Tabitha part 3 Sikiliza kipindi hiki cha tatu cha kusisimua, cha mfululizo wa sehemu tano, Tabitha anaposhiriki jinsi alivyoshinda kuchanganyikiwa kwake kutoka kwa dini mbalimbali na kumjua Yesu Kristo kama mwokozi wake binafsi na Mungu mmoja wa kweli!Listen to this exciting third episode, of a five part series, as Tabitha shares how she overcame her confusion from different religions and came to know Jesus Christ as her personal savior and the one true God! 2024-07-2925 minKujua PodcastKujua PodcastPodcast Episode 5: Tabitha part 2 Sikiliza kipindi hiki cha pili cha kusisimua, cha mfululizo wa sehemu tano, Tabitha anaposhiriki jinsi alivyoshinda kuchanganyikiwa kwake kutoka kwa dini mbalimbali na kumjua Yesu Kristo kama mwokozi wake binafsi na Mungu mmoja wa kweli!Listen to this exciting second episode, of a five part series, as Tabitha shares how she overcame her confusion from different religions and came to know Jesus Christ as her personal savior and the one true God! 2024-07-2215 minKujua PodcastKujua PodcastPodcast Episode 4: Tabitha part 1 Sikiliza kipindi hiki cha kwanza cha kusisimua, cha mfululizo wa sehemu tano, Tabitha anaposhiriki jinsi alivyoshinda kuchanganyikiwa kwake kutoka kwa dini mbalimbali na kumjua Yesu Kristo kama mwokozi wake binafsi na Mungu mmoja wa kweli!Listen to this exciting first episode, of a five part series, as Tabitha shares how she overcame her confusion from different religions and came to know Jesus Christ as her personal savior and the one true God! 2024-07-1514 minWahubiri wa Neno PodWahubiri wa Neno PodWagalatia (6): Gal 3:15–22Karibu sana kusikiliza mafundisho ya Biblia katika Wagalatia. Tunafanya mfululizo kwa waraka mzima, na hiyo ni namba 6, katika kifungu Gal 3:15–22. Hapa Paulo anaonyesha tofauti baina ya sheria na ya ahadi za Mungu ambazo ni wokovu wetu tukimpokea Yesu kwa imani.karibu.Mwalimu Maiki. Mchungaji Mmasa.Soma BibliaWagalatia 3:15–2215 Ndugu zangu, nanena kwa jinsi ya kibinadamu. Lijapokuwa ni agano la mwanadamu, hata hivyo likiisha kuthibitika, hakuna mtu alibatilishaye, wala kuliongeza neno. 16 Basi ahadi zilinenwa kwa Abrahamu na kwa mzao wake. Hasemi, Kwa wazawa, kana kwamba ni wengi, bali kana kwamba ni m...2024-05-2922 minMSASA PodcastMSASA PodcastMungu akitaka kukutumia hakuandikii baruaSend us a textKila mtu ana nafasi yake .Hata kama kwa nje wito utaonekana kufanana haina maana wito wa mtu mmoja na mwingine unafanana.Jiunge nasi leo tuki pata Msasa kwa Gwamaka Mwakalinga talking about his call to greatness. Guest: Gwamaka Mwakalinga#Musician #Worship #Leader #Songcomposer #essenceofworship Host: Hisia  MSASA PODCAST  🎙 :Website: https://neiked.co.tz/msasa/Follow the MSASA PODCAST channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VaFg...Podcast Streaming: https://www.buzzsprout.com/2288412/share2024-02-171h 12Amedeus Live PodcastAmedeus Live PodcastTupo VitaniYeye asiye kusanya na sisi yupo kinyume nasi! Vita hii juu ya nafsi za watu! Mungu hataki hata Mmoja apotee bali wote wafikie toba. Tumia silaha ya maombezi kila mara upajianda kwenda kwenye uinjilisti. Sisi tumeshinda na zaidi ya kushinda. Kama wewe ni teenager Hakikisha unapata biblia hii mahususi kwa ajili yako, itakayo kufanya upende kusoma neno la Mungu kila siku na kuishi katika Nuru yake. Unaweza kuweka order Yako Leo! Nakala Moja ni shilingi Elfu Arobaini na Tano tu. (TZS.45,000/-).2024-01-2912 minLOVE UNTOLD PODCASTLOVE UNTOLD PODCASTMIMI NIPUNGUE by Mwl OnorodgersMIMI NIPUNGUE WEWE UONGEZEKE Yohana 3:25 Basi palitokea mashindano ya wanafunzi wa Yohana na Myahudi mmoja juu ya utakaso. 26 Wakamwendea Yohana, wakamwambia, Rabi, yeye aliyekuwa pamoja nawe ng’ambo ya Yordani, yeye uliyemshuhudia, tazama, huyo anabatiza na watu wote wanamwendea. 27 Yohana akajibu, akasema, Hawezi mtu kupokea neno lo lote isipokuwa amepewa kutoka mbinguni. 28 Ninyi wenyewe mwanishuhudia ya kwamba nalisema, Mimi siye Kristo, bali nimetumwa mbele yake. 29 Aliye naye bibi arusi ndiye bwana arusi; lakini rafiki yake bwana arusi, yeye anayesimama na kumsikia, aifurahia sana sauti yake bwana arusi. 30 Basi hii furaha yangu imetimia. Yeye hana budi kuzidi, bali mimi kupungua. =>Haya ma...2023-09-1923 minHope for Today (Swahili)Hope for Today (Swahili)TAZAMA PANDE ZOTE MBILIWAGALATIA 4:21-31 Hujambo msikilizaji wangu na karibu tujifunze neno pamoja. Natumai ubuheri wa afya leo twalichambua Neno kutoka kwa waraka wa Paulo kwa wagalatia 4:21-31 tazama pande zote mbili, jina kangu ni david mungai, karibu wimbo alafu tuendelee kulichambua neno WIMBO Naam karibu tena wagalatia 4:21-31 tazama pande zote mbili Wahenga hata wataalamu wa mashauri husema nakufundisha ya kwamba kablaya kufikia uamuzi wa aina iwayo yote tazama pande zote mbili au niseme tazama pande zote mbili maana hiyo ni busara na hekima usije kaanguka ndani ya shimo na kuhesabu hasara 2023-07-1910 minHeralds of HopeHeralds of HopeUPUNGUFUMATUMAINI PROG 1508TITLE: UPUNGUFUTEXT: WAGALATIA 4:8-14Hujambo na karibu tujifunze neno la mungu pamoja leo twalichambua fungu la neno kutoka wagaltia 4:8-14 UPUNGUFUJina langu ni David Mungai, wimbo alafu tuendeleeWIMBONaam karibu ten tujifunze neno la mungu, upungufu mmoja wapo wa mambo yaliyo na upungufuni dini na zaidishirika za waumini zilizo na ufisadi. Tumefisadihata nainjili tunapoiuza injili […]2023-07-1410 minHeralds of HopeHeralds of HopeUPUNGUFUMATUMAINI PROG 1508TITLE: UPUNGUFUTEXT: WAGALATIA 4:8-14Hujambo na karibu tujifunze neno la mungu pamoja leo twalichambua fungu la neno kutoka wagaltia 4:8-14 UPUNGUFUJina langu ni David Mungai, wimbo alafu tuendeleeWIMBONaam karibu ten tujifunze neno la mungu, upungufu mmoja wapo wa mambo yaliyo na upungufuni dini na zaidishirika za waumini zilizo na ufisadi. Tumefisadihata nainjili tunapoiuza injili […]2023-07-1410 minHeralds of HopeHeralds of HopeUPUNGUFUMATUMAINI PROG 1508TITLE: UPUNGUFUTEXT: WAGALATIA 4:8-14Hujambo na karibu tujifunze neno la mungu pamoja leo twalichambua fungu la neno kutoka wagaltia 4:8-14 UPUNGUFUJina langu ni David Mungai, wimbo alafu tuendeleeWIMBONaam karibu ten tujifunze neno la mungu, upungufu mmoja wapo wa mambo yaliyo na upungufuni dini na zaidishirika za waumini zilizo na ufisadi. Tumefisadihata nainjili tunapoiuza injili […]2023-07-1410 minHope for Today (Swahili)Hope for Today (Swahili)UPUNGUFUMATUMAINI PROG 1508 TITLE: UPUNGUFU TEXT: WAGALATIA 4:8-14 Hujambo na karibu tujifunze neno la mungu pamoja leo twalichambua fungu la neno kutoka wagaltia 4:8-14 UPUNGUFU Jina langu ni David Mungai, wimbo alafu tuendelee WIMBO Naam karibu ten tujifunze neno la mungu, upungufu mmoja wapo wa mambo yaliyo na upungufuni dini na zaidishirika za waumini zilizo na ufisadi. Tumefisadihata nainjili tunapoiuza injili twaifisadi maana wokovu ni kwa Imani katika yesu kristo tunapoongeza madoido yetu katika injili ya bwana wetu yesu kristo twafisadi na tunakuwa na upungufu nasoma sasa neno kutoka waraka wa Paulo kwa wagalatia 4:8-14 8 Lakini wakati ule, kwa kuwa...2023-07-1410 minHope for Today (Swahili)Hope for Today (Swahili)UMUHIMU WA IMANIMATUMAINI PROG 1506 TITLE: UMUHIMU WA IMANI TEXT: WAGALATIA 3:26-29 Hujambo mpenzi msikilizaji na karibu tujifunze neno pamoja. Leo twalichambua fungu la neno kutoka waraka wa Paulo kwa wagalatia 3:26-29, UMUHIMU WA IMANI jina langu ni David Mungai kabla hatujaendelea Zaidi furahia wimbo huu tuendell WIMBO Naam karibu tena tujifunze neno waraka wa Paulo kwa wagalatia 3:26-29 UMUHIMU WA IMANI Katika maisha yetu tunavyo vitu tunavyothamini kuliko vingine kulingana na umuhimu wa vitu vile katika maisha yetu. Hii ni baada ya uchunguzi na upelelezi wa kina sana na hivyo basi mtu aweza kuwa na Imani na kile chombo au kitu ...2023-07-1011 minHope for Today (Swahili)Hope for Today (Swahili)KWANINI TORAKIMATUMAINI PROG 1505 TITLE: KWANINI TORAKI TEXT: WAGALATIA 3:19-25 Hujambo msikilizaji karibu tulichambue neno waraka wa Paulo kwa wagalatia 3:19-25, kwanini torati? Jina langu ni david mungai wimbo halafu tuendelee WIMBO Karibu tena tujifunze neno katika mafunzo ya neno la mugnu twajua na kufahamu ya kwamba mungu ni mungu wa torati na ana utaratibu kwa mfano jua huchomoza kati siku na usiku kwa wakati wake zote mbili hazijitokezi kwa wakati mmoja kweli mungu ana torati na sharia zake na utaratibu. Jadwali na orodha hazina kasoro kwanini mungu akatoa torati kwa mkono wa musa? Mtume Paulo aliyefahamu neno bado auliza swali...2023-07-0711 minHope for Today (Swahili)Hope for Today (Swahili)UKWELI WA AGANAO NA IBRAHIMUMATUMAINI PROG 1504 TITLE: UKWELI WA AGANAO NA IBRAHIMU TEXT: WAGALATIA 3:15-18 Hujambo msikilizaji wangu karibu sana tujifunze neno la mungu, leo twajifunza kwa undani fungu la neno nkutoka warakawa Paulo kwa wagalatia3:15-18, jina langu ni David mungai, wimbo alafu tuendlee WIMBO Naam katibu tena tujifunze neno, wagalatia 3:15-18 ukweli wa agano na ibrahimu Baba yetu ibrahimu ni mtu muhimu na wa maana katika mpango wa mungu kwetu na katika hitoria inayoonyesha namna mungu alidumisha uwepo wake kwa ibrahimu ni muhumu na tunayo sababu ya kujua na kufahamu ukweli wa agano katia ya mungu na ibrahimu. Hata yesu mwenyewe...2023-07-0508 minRadio Public APGCITV Anchor.fm from Lancaster Pennsylvania state in AmericaRadio Public APGCITV Anchor.fm from Lancaster Pennsylvania state in AmericaUtakasoWarumi 12: Romans 1 Basi, ndugu zangu, nawasihi, kwa huruma zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, ya kumpendeza Mungu, ndiyo ibada yenu yenye maana. 1 I beseech you therefore, brethren, by the mercies of God, that you present your bodies a living sacrifice, holy, acceptable to God, which is your reasonable service. 2 Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu. 2 And do not be conformed to this world, but be transformed by the renewing of your mind, that you may prove what...2023-05-253h 22Radio Public APGCI TV USA FMRadio Public APGCI TV USA FMUtakasoWarumi 12: Romans 1 Basi, ndugu zangu, nawasihi, kwa huruma zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, ya kumpendeza Mungu, ndiyo ibada yenu yenye maana. 1 I beseech you therefore, brethren, by the mercies of God, that you present your bodies a living sacrifice, holy, acceptable to God, which is your reasonable service. 2 Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu. 2 And do not be conformed to this world, but be transformed by the renewing of your mind, that you may prove what...2023-05-253h 22Salama NaSalama NaSE7EP36 - SALAMA NA ALLY BEE | KULE NI KULE…Kwenye jiji la ‘Maraha’ hapa nyumbani kwetu Tanzania ambayo kwa miaka ya hivi karibuni sehemu za starehe zimekua tele na kila mmoja ana uwezo wa kula bata zake vizuri tu kulingana na urefu wa mfuko wake basi hakuna ambaye HAJUI jina la DJ huyu mahiri ambaye kwa ubunifu wake ameweza sana kubadilisha kabisa jinsi ambavyo wenzake walomtangulia walikua wanafanya. Yaani Ally alikichukua kitabu cha jinsi ya kutoa burudani kama DJ na kukichanachana na kisha akaanza kuandika cha kwake, ambacho mpaka tunaenda mtamboni kiiila msomaji wake anapeeenda ambayo yameandikwa na ambayo anaendelea kuyaandika. Wakati msimu huu unaanza Ally Bee...2023-02-161h 04Mahubiri juu ya Injili ya Yohana (III) - Kula Mwili Wangu Na Kunywa Damu YanguMahubiri juu ya Injili ya Yohana (III) - Kula Mwili Wangu Na Kunywa Damu Yangu9. Amini Katika Yesu Aliyekuja Kutoka Mbinguni Kama Mwokozi Katika Moyo Wako (Yohana 6:41-51)Katika kifungu cha maandiko ya leo, Bwana wetu alisema kwamba alishuka kutoka Mbingu. ilikuwa ni kutupatia uzima wa milele Bwana alishuka kutoka Mbingu. Alikuja kutoka Mbingu kuwa mkate wetu, kutulisha mkate huu wa uzima, na kwa hivyo kuokoa roho zinazokufa kutokana na dhambi. Bwana wetu Yesu sio wa dunia. anasisitiza ukweli kwamba alishuka kutoka Mbingu kwa utii wa mapenzi ya Baba. Sababu ya hii ni kwa sababu Yeye sio wa dunia, lakini Yeye ni Mwana wa Mungu Baba aliye mbinguni.Kwa hivyo, lazima tugundue kuwa Yesu, Mwana wa pekee aliyetumwa na Mungu Baba, ni Mwokozi na Bwana wetu, na...2023-01-1540 minKomentare na Mahubiri Juu ya Kitabu cha Ufunuo - JE, NYAKATI ZA MPINGA KRISTO, KUFIA-DINI, KUNYAKULIWA NA UFALME WA MILENIA ZINAKUJA? (II)Komentare na Mahubiri Juu ya Kitabu cha Ufunuo - JE, NYAKATI ZA MPINGA KRISTO, KUFIA-DINI, KUNYAKULIWA NA UFALME WA MILENIA ZINAKUJA? (II)SURA YA 17-2. Umakini Wetu Uzingatie Mapenzi ya MunguUfunuo 17:1-5 inasema, “Akaja mmoja wa wale malaika saba, wenye vile vitasa saba, akanena nami, akisema, Njoo huku, nitakuonyesha hukumu ya yule kahaba mkuu aketiye juu ya maji mengi, ambaye wafalme wa nchi wamezini naye, nao wakaao katika nchi wamelevywa kwa mvinyo ya uasherati wake. Akanichukua katika Roho hata jangwani, nikaona mwanamke, ameketi juu ya mnyama mwekundu sana, mwenye kujaa majina ya makufuru, mwenye vichwa saba na pembe kumi. Na mwanamke yule alikuwa amevikwa nguo ya rangi ya zambarau, na nyekundu, amepambwa kwa dhahabu, na kito cha thamani, na lulu, naye alikuwa na kikombe cha dhahabu mkononi mwake, kilichojawa na...2023-01-1406 minHaki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (II)Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (II)SURA YA 11-1. Je, Waisraeli Wataokolewa?Warumi 11:1 inasema, “Basi, nauliza, Je! Mungu aliwasukumia mbali watu wake? Hasha! Kwa kuwa mimi nami ni Mwisraeli, mmoja wa wazao wa Ibrahimu, mtu wa kabila la Benyamini.” Kwa maneno mengine, Mungu hakuwaacha Wasraeli kwa kuwa hata Paulo mwenyewe alikuwa ni Mwisraeli. https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.352023-01-1315 minHaki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (I)Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (I)SURA YA 3-3. Je, unamshukuru Mungu kwa ajili ya Bwana? (Warumi 3:10-31)Warumi 3:10-12 inatamka “Kakuna mwenye haki hata mmoja. Hakuna afahamuye, hakuna amtafutaye Mungu. Wote wamepotoka, wameoza wote pia, hakuna mtenda mema la! hata mmoja.” Sisi sote ni wenye dhambi mbele ya Mungu kwa sababu ya miili. Je, mtu aweza kuwa mwenye haki kwa mwili wake binafsi? Je, kuna mwenye haki kwa asili mbele ya Mungu? Mwanadamu kamwe hawezi kuwa mwenye haki kwa kutegemia mwili. Mwili hautoweza kuwa wenye haki pasipo kukombelewa toka dhambini kupitia Yesu Kristo. https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.352023-01-1329 minIrudie Injili ya Maji na RohoIrudie Injili ya Maji na Roho3. Tohara ya Kweli ya Kiroho (Kutoka 12:43-49)Maneno ya Mungu katika Agano la Kale na Jipya ni muhimu na yenye thamani kwetu sisi tunaomwamini Mungu. Hatuwezi kupuuzia hata mstari mmoja wa maneno kwakuwa maneno ya Mungu ni maneno ya uzima. https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.352023-01-131h 37Salama NaSalama NaSE7EP29 - SALAMA NA DEO GRATIUS | PRIVILEGED?! Deo Gratias, jina tu linatosha kujielezea kama wewe nawe utakua kama mimi wa kutaka kujua maana ya majina ya watu ili uweze kujua tabia zao au ujiulize wazee wake walikua wanafikiria nini wakati wanaamua kumpa jina hilo mtoto wao. Kwa Deo maana imejibeba na imejikamilisha na kwa yeye kuamua kubaki na jina lake hilo hilo mpaka kwenye stage ambako ndo sehemu yake ya kazi inabidi hilo nalo likuambie jambo kuhusu yeye na jinsi ambavyo anajichukulia na kuyachukulia mambo ambayo ameyachagua kuyafanya. Shukrani ziende kwa Mungu ndo maana ya jina lake, shukrani ziende kwa Mungu kwa kila alifanyalo l...2022-12-291h 11===== كلمات الحياة\===== كلمات الحياة" ، "الأخبار السارة" ، "ترانيم الإنجيل" - باللغات الرئيسية المستخدمة في جزر القمر" / / "Paroles de Vie", "Bonnes Nouvelles", "Chants Gospel" - Dans les Principales Langues Parlées aux Comores =====Swahili Baravenes - The Mbili Barabara".mp3 / "ال اثنين الطرق" - Swahili.mp3Swahili Baravenes - "Les Deux Routes".mp3  / Swahili Baravenes - "The Two Roads".mp3 //YOHANE 1 - Neno akawa mwanadamu1Hapo mwanzo, Neno alikuwako; naye alikuwa na Mungu, naye alikuwa Mungu. 2Tangu mwanzo Neno alikuwa na Mungu. 3Kwa njia yake vitu vyote viliumbwa; hakuna hata kiumbe kimoja kilichoumbwa pasipo yeye. 4Yeye alikuwa chanzo cha uhai na uhai huo ulikuwa mwanga wa watu. 5Na mwanga huo huangaza gizani, nalo giza halikuweza kuushinda. 6Mungu alimtuma mtu mmoja jina lake Yohane, 7ambaye alikuja kuwaambia watu juu ya huo mwanga. Alikuja ili kwa ujumbe wake watu wote wapate kuamini. 8Yeye hakuwa hu...2022-12-1301 minSalama NaSalama NaSE7EP23 - SALAMA NA WALTER CHILAMBO | HABA NA HABA Pengine jina la episode hii linaweza likakupa muangaza kidogo wa story fupi ya maisha ya mgeni wetu wa wiki hii kwenye kiti chetu chakavu na meza ya kigae ambaye leo hii tayari kashaona, tochi ya maisha kwake inamulika tu vizuri na mbele anapaona. Huyu ni Walter Chilambo ambaye miaka tuseme 14 iliyopita alikua hana uhakika wa chakula chake cha siku tu achana na sehemu gani atalala. Ruka ruka ya kule na huku na bahati ya kupendwa alonayo na ambayo inaendelea mpaka leo naamini inakuja kwasababu ya ukarimu wake na hii ndo silaha yake yenye makali ambayo inampeleka mbali mpaka...2022-11-171h 06Assembly of Yahweh NatzrayaAssembly of Yahweh NatzrayaZiara Ya Mbinguni.Imani yake ni kwamba Mungu Ni mmoja tu na Wa milele; anajua na kuweza yote; ndiye aliyeumba mbingu na dunia akamteua ibrahimu kuwa baba wa Taifa la Mungu. Kitabu cha Biblia Cha Waebrania Sura Ya Kumi na Tatu Aya Ya Pili, inazungumzia juu ya ziara hii Hasa Kwa Ibrahimu na inatambua asili yake ya ukarimu kwa njia ifuatayo – "msisahau kuwafadhili wageni; maana kwa kufanya hivyo wengine wamewakaribisha wajumbe wa mbinguni pasipo kujua.2022-11-0622 minSalama NaSalama NaSE7EP20 - SALAMA NA CAROL NDOSI | ANAMEREMETAUshawahi kuwa na mtu ambaye mnafahamiana vizuri miaka nenda na miaka rudi na hata pengine kwa u busy wa maisha zikapita siku hamjaongea lakini unajua yuko sawa yeye na Familia yake na mambo yanaenda vizuri, na kama isingekua hivyo basi ungekua ushajua? Ambaye unajua kukiwa na situation flani basi yeye anatafanya jambo flani na kuzima au kuwasha moto, na kama kuna neno umeambiwa kasema unajua kabisa ni kweli au si kweli? Au kama una suala unataka kulifahamu vizuri linalohusu mambo fulani na jibu ambalo atakupa yeye ni la 100 na hatapindisha hata kidogo? Basi huyo ni Carol Moses Ndosi kwa...2022-10-271h 05Salama NaSalama NaSE7EP17 - SALAMA NA ROSE MUHANDO | NIPE UVUMILIVUKatika binadamu ambao walinipa wakati mgumu na kusubiri kwingi kabla ya kuja kukaa kwenye meza yetu ya kigae na kiti chakavu basi mmoja wao ni Rose huyu wa Muhando. Upatikanaji wake ni kama ukitaka kumuona SIMBA mbugani, lazima uamke asubuhi na mapema au uwe na bahati ya mtende kama ambayo sisi tumepata. Ingawa tulisubiri kwa masiku tele na miezi tele katikati ya mwaka huu tuliweza kumpata na kukaa nae chini ili tuweze kuzungumza nae. Rose ni wa moto sana, kalenda yake imejaa safari tele za nje na ndani ya nchi, anazunguka mara kwa mara kwaajili ya kutoa...2022-10-061h 20Salama NaSalama NaSE7EP16 - SALAMA NA ZAHIR ZORRO | KIMULIMULIZahir Ally Zorro ni mkongwe wa muziki wa dansi na kwa habari ambazo nimepata ni kwamba enzi zake alikua wa moooto sana tena kwenye kila nyanja, kuimba, kuandika, kupiga gitaa na mpaka uvaaji, alikua handsome boy sana na ulimbo kwa kina Dada enzi hizo. Utashi na ucheshi na u sharp wake ndo ambao ulikua unamfanya asimame PEKEE kwenye kadamnasi ya wanamuziki wengi wa kipindi hiko. Naomba nikukumbushe pia kwamba enzi hizo zilikua pia si za kuzichukulia poa kabisa, maana ushindani wa bendi na vipaji binafsi ulikua wa hali ya juu sana, na yeye kama yeye alikua moja ya wale...2022-09-3051 minSalama NaSalama NaSE7EP14 - SALAMA NA COACH EVARIST | FIRST QUARTEREvarist Mapunda ni moja wa makocha wangu wa maisha haya ninayoishi sasa hivi, ananifahamu toka nikiwa na miaka 17 mpaka sasa hivi ingawa hapa katikati baada ya ‘kuwa mkubwa’ nilipoteana nae kwenye mahangaiko ya kujitafuta na kutafuta maisha. Ila Mimi na yeye tunajua kila mmoja wetu ni mtu wa aina gani na anamaanisha NINI kwa mwengine. Ukiwauliza watoto na wakubwa wengi wa Upanga watakuambia nini yeye pia anamaanisha kwenye maisha yao, lazima atakua na simulizi kuhusu mwalimu huyu hodari wa basketball na maisha, kama hadithi hiyo itakua haimhusu yeye directly badi itakua inamhusu Ndugu yake au mtoto wake au h...2022-09-151h 19Salama NaSalama NaSE7EP13 - SALAMA NA MARDHIYA | HIARI…Salum Mardhiya ni mmoja ya watu maarufu sana kwenye visiwa vya marashi ya karafuu yaani kule kwetu Zanzibar. Ni mmoja ya waalimu hodari anayeongoza kwa kutoa Da’wa kwa watu ambao wanasumbuliwa na matatizo mbali mbali. Kwenye nyumba karibu zote wanamfahamu maana huonekana mara kwa mara kwenye maeneo mbali mbali ili kusaidia wale ambao wanahitaji kisomo chake. Binafsi nilifahamiana nae kupitia rafiki ambae alinitambulisha kwake mapema mwaka huu, tena haikua imepangwa wala, alikuja sehemu ambayo mie nilikuwepo kuja kupata chai na mimi bahati nzuri nilikua maeneo hayo so mtu akatutambulisha, na akaambiwa kama Mama yangu ni mgonjwa yuko hospitali na...2022-09-0850 minSalama NaSalama NaSE7EP06 - SALAMA NA MTANI | SO SILKYUshawahi kukutana na wale watu ambao wao ni wa pole tu sana na wanajipenda tu sana ila hawana tu muda wa kuringa au kuji mwabafy kwasababu wao wako talented au wana kipawa kutoka kwa Allah na wanajua? Well mi nishawahi kukutana na watu kama hao na mmoja wao ni mgeni wetu RASMI wa wiki hii ya episode ya sita ya SalamaNa msimu huu. Anaongea kwa utaratibu na kujua kile atakacho, anakipataje na akisha kipata atafanya nacho nini. Huyo sasa ndo mwanangu Mtani Nyamakababi, aka Mtani Beskope. Kijana wa ki Tanzania mwenye kuelewa somo la leo na ukiachana...2022-07-2155 minSalama NaSalama NaSE7EP04 - SALAMA NA SHEIKH KIPOZEO | شيخSheikh Hilali Shaweji Makarani au Sheikh Kipozeo ni mtu wa watu, au niseme kama ambavyo tunasema kwetu Uswazi, Sheikh ni mwana wa wana, anaweza kuwapa wana darsa kwa lugha yao na wakawa huru na wao kusema maoni yao au uelewa wao kwa raha na bashasha nyingi na naamini hii imemfanya yeye awe ni mmoja ya Ma Sheikh wanao tambulika zaidi kwenye mitandao ya kijamii nje na ndani ya Tanzania. Lugha hiyo ya wana ambayo anaitumia inasaidia sana kufikisha ujumbe ambao ameukusudia kwa wakati huo na ikapata mpaka majadilioano, majadiliano hayo ndo huzaa majibu ya maswali mengi ambayo wengi hujiuliza.2022-07-0758 minSwahiliSwahiliUpendo na Mtazamo wa Kibiblia juu ya TalakaUmoja—wawili kuwa mwili mmoja—ndio msingi wa uhusiano wa ndoa, na upendo ni onyesho la umoja huo. Bila upendo wa agape, hatuwezi kamwe kuwa na aina ya ndoa ambayo Mungu alikusudia. Upendo wa aina hii haubadiliki, hauharibiki, hauna masharti, unatia moyo na hauzuiliki. Lazima tutambue aina hii ya upendo haiwezekani bila msaada wa Mungu. Mungu alikusudia ndoa zisitishwe na anachukia talaka. Neno la Mungu linatufundisha kuwa na mipaka ya ndoa inayolinda na kuhifadhi uhusiano huo.2022-06-1636 minSwahiliSwahiliUtangamano na UpendoUpendo ni onyesho kuu la umoja ambao Mungu alikusudia aliposema, “Hao wawili watakuwa mwili mmoja.” Tatizo moja kubwa katika ndoa ni ubinafsi. Tunapojifunza kuwatendea wenzi wetu bila ubinafsi—kuweka mahitaji ya mwenzi wetu katikati—tunaanza kupenda kama Yesu anavyofanya. Upendo wa Kimungu umeelezewa vyema zaidi katika 1 Wakorintho 13 na unatuonyesha jinsi tunavyopaswa kuwapenda wengine. Kwa upendo wa agape, ndoa inaweza kweli kutimiza na kila kitu ambacho Mungu alikusudia kiwe.2022-06-1636 minSwahiliSwahiliUangalizi wa Kiungu na Waangalizi Wacha MunguPaulo anafafanua Injili: Kuna mpatanishi Mmoja tu kati ya Mungu na mwanadamu. Kwa maana sawa kwamba Kristo ndiye msimamizi wa Kanisa na mchungaji wa Kanisa, mume anapaswa kusimamia na kusimamia mke wake na familia, na wanaume wanapaswa kusimamia au kuchunga kanisa. Biblia inampa mwanamume waziwazi wajibu wa kuwa kichwa cha nyumba na kanisa. Paulo anaorodhesha sifa za viongozi wa kiroho. Paulo anatufundisha kupima maisha yako kwa Neno la Mungu.2022-06-1625 minSwahiliSwahiliMwongozo wa NdoaWakorintho wa Kwanza 7 inajulikana kama sura ya ndoa ya kibiblia. Inashughulikia maswali mengi kuhusu ndoa, useja, talaka, kuoa tena, na mahusiano ya kimwili ndani ya ndoa. Hapa tunagundua ‘mpango’ wa Mungu wa ndoa na hali nyingi za taabu. Waumini wawili wanapokuwa wameunganishwa katika ndoa, wanajitolea maisha yao kwa kila mmoja kwa sababu wanaamini kwamba Mungu amewaunganisha na wanapaswa kutegemea neema yake kuishi pamoja.2022-06-1625 minSwahiliSwahiliHo-humu au NahumuNahumu alitoa unabii juu ya mmoja wa maadui wabaya zaidi wa watu wa Mungu. Milki ya Ashuru ilishinda na kuyafanya mataifa yote ya ulimwengu kuwa watumwa. Mungu alikuwa amefanya agano na Ibrahimu, “Nitabariki wale wanaokubariki na kulaani yeye anayekulaani. Nahumu alizungumza maneno ya faraja kwa Yuda: Ninawi, mji mkuu wa adui yao, ungeharibiwa hivi karibuni. Mungu angewaadhibu vikali Waashuru na kuwaadhibu kwa ajili ya dhambi zao za ukatili.2022-06-1625 minSwahiliSwahiliSimba Akinguruma na Amos AnaionaAmosi alikuwa mtu wa kawaida, mtini na mchungaji, lakini Mungu alichagua kumtumia kama mmoja wa manabii wake. Amosi alitabiri kwa Ufalme wa Kaskazini kuhusu utekwa wa Waashuru unaokuja. Alihudumu katika kipindi cha ufanisi katika Ufalme wa Kusini. Kwa kweli, Mungu anasema kwamba wale ambao wamefaidika kiroho watahukumiwa kwa kiwango cha juu zaidi. Kulingana na Amosi, siku moja mioyo ya watu wa Israeli ingemrudia Mungu wao.2022-06-1626 minSwahiliSwahiliSikia kwa MunguVitabu vya Samweli vinatuambia ukweli wa Mungu kupitia wasifu mfupi, vikizingatia watu watatu maalum. Kulingana na maandiko, Samweli, Sauli na Daudi na yote yaliyowapata ni kwa maonyo yetu na kwa mfano wetu. Daudi ndiye mfalme bora zaidi wa Israeli kuwahi kuwa naye, na kwa kuzingatia kiasi cha nafasi ambayo Roho Mtakatifu alitoa kwa hadithi yake, yeye ni mmoja wa wahusika muhimu zaidi katika Biblia.2022-06-1622 minSwahiliSwahiliKuzaliwa kwa WanadamuMwanzo inafundisha kwamba mwanadamu aliumbwa kwa sura na mfano wa Mungu: hali ya kiroho, ubunifu, kufikiri, hisia, na uwezo wa kuwasiliana. Sanamu hiyo iliharibiwa Adamu na Hawa walipofanya dhambi. Maandiko mengine yote yanahusu jinsi ya kumrejesha mwanadamu mwenye dhambi kwa Mungu Mtakatifu. Mungu alimuumba Adamu kwanza kisha Hawa, mwanamke, awe “mwelekeo wa mwanamume. Ndoa, mwanamume na mwanamke pamoja, ni mpango kamili wa Mungu_x0092. Wanapokua karibu na Mungu, wanakuwa karibu zaidi na kila mmoja wao.2022-06-1623 minIran-Tanzania PodcastIran-Tanzania PodcastATTAR NEYSHABURI MALENGA WA KIIRANIATTAR  NEYSHABURI  MALENGA WA KIIRANI   Tarehe 25 Farvardin kwa mujibu wa ( Kalenda ya Kiirani) inayosadifiana na tarehe 14 Aprili,  ni siku ya  kumkumbuka na kumuadhimisha malenga wa Kiirani Farid al-Din Abu Hamid Muhammad bin Abu Bakr Ibrahim bin Is- haq Attar Neyshabouri, ambaye ni mmoja wa washairi mashuhuri, aaref na mwanafikra mkubwa wa Kiirani aliyeishi  mwishoni mwa karne ya sita na mwanzoni mwa karne ya saba Hijria. Baadhi ya wanahistoria wameandika kuwa, mwanafikra na malenga huyo wa Kiajemi amezaliwa mwaka  513 na wengine wanaeleza kuwa alizaliwa mwaka 537 Hijiria.  Attar Neyshabouri alizaliwa katika kijiji cha Kadkan au Shadiakh...2022-04-1807 minH.W PODCAST℠H.W PODCAST℠Joel Lwaga - KWENDA KWA VIJANA WENYE SHAUKU YA KUSTAWI KATIKA MAISHA YAO. (An inspiring interview)"Wewe ambaye unahisi unakipaji fulani, kifanyie kazi. Natamani kila mmoja ajue ya kwamba Mungu amempa kila mtu uwezo, na hicho kipawa ndio sahani yako." Anasema Joel. "Kuna wakati nilihisi kukata tamaa, kipindi ambacho hakuna tumaini, katika hali kama hiyo Mungu analeta ujumbe, 'Mimi ni mtetezi wako, hautobaki kama ulivyo''' Joel Lwaga ni mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Tanzania. Ni mmoja wa vijana ambao ni mifano ya kuigwa kutokana na usatwi wake katika uwanja aliopo. Katika video hii anasimulia juu ya maisha yake binafsi na kuwatia moyo na kuwahamasisha, vijana wengine wenye shauku ya kustawi. Kuwa sehemu ya mijadala hii...2022-03-0718 minThis is the Bible BardThis is the Bible BardSwahili BB-28 Mahitaji ya KuwaKanuni za uanachama wa kila moja ya dini za Mungu mmoja. (The rules of membership of each of the monotheistic religions.)2022-02-0714 min===== كلمات الحياة\===== كلمات الحياة" ، "الأخبار السارة" ، "ترانيم الإنجيل" - باللغات الرئيسية المستخدمة في جزر القمر" / / "Paroles de Vie", "Bonnes Nouvelles", "Chants Gospel" - Dans les Principales Langues Parlées aux Comores =====Swahili Baravenes - The Mbili Barabara".mp3 / "ال اثنين الطرق" - Swahili.mp3Swahili Baravenes - "Les Deux Routes".mp3  / Swahili Baravenes - "The Two Roads".mp3 //YOHANE 1Neno akawa mwanadamu1Hapo mwanzo, Neno alikuwako; naye alikuwa na Mungu, naye alikuwa Mungu. 2Tangu mwanzo Neno alikuwa na Mungu. 3Kwa njia yake vitu vyote viliumbwa; hakuna hata kiumbe kimoja kilichoumbwa pasipo yeye. 4Yeye alikuwa chanzo cha uhai na uhai huo ulikuwa mwanga wa watu. 5Na mwanga huo huangaza gizani, nalo giza halikuweza kuushinda. 6Mungu alimtuma mtu mmoja jina lake Yohane, 7ambaye alikuja kuwaambia watu juu ya huo mwanga. Alikuja ili kwa ujumbe wake watu wote wapate kuamini. 8Y...2022-02-0301 minThis is the Bible BardThis is the Bible BardSwahili BB-03 Mungu mwingine hapanaBiblia inafundisha kwamba kuna Mungu mmoja tu na wanadamu wanapaswa kumwabudu Yeye tu. (The Bible teaches that there is only one God and human beings should worship only Him.)2022-01-2715 minli\'s podcastli's podcastKUTAFUTA KUSUDLA MUNGU Siku ya 827 Niwaambialo ninyi katika giza, lisemeni katika nuru; na msikialo kwa siri, lihubirini juu ya nyumba. Mathayo 10:2728 Msiwaogope wauuao mwili, wasiweze kuiua na roho; afadhali mwogopeni yule awezaye kuangamiza mwili na roho pia katika jehanum. Mathayo 10:2829 Je! Mashomoro wawili hawauzwi kwa senti moja? Wala hata mmoja haanguki chini asipojua Baba yenu; Mathayo 10:2930 lakini ninyi, hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote. Mathayo 10:3031 Msiogope basi; bora ninyi kuliko mashomoro wengi. Mathayo 10:3132 Basi, kila mtu atakayenikiri mbele ya watu, nami nitamkiri mbele za Baba yangu aliye mbinguni. ...2021-11-0815 minSIRI ZA BIBLIASIRI ZA BIBLIAFAIDA TANO ZA MAOMBI YA KUFUNGA: SIRI ZA BIBLIA 1. Maombi ya kufunga yanaweza kukufanya uongezeke kiimani. Mathayo 17:21 ‘’ [Lakini namna hii haitoki ila kwa kusali na kufunga.] ‘’ 2. Macho yako ya ndani yatakuwa yanaona vizuri. Zaburi 119:18 ‘’ Unifumbue macho yangu niyatazame Maajabu yatokayo katika sheria yako. ‘’ . 3. Mwili wako utakuwa umetiishwa. Wakolosai 3:5 ‘’ Basi, vifisheni viungo vyenu vilivyo katika nchi, uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya, na kutamani, ndiyo ibada ya sanamu;‘’ 4. Kupokea maana ni ahadi ya MUNGU kujibu maombi yako. Yeremia 29:13 ‘’Nanyi mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote.'' Tena Biblia inasema ''Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafu...2021-10-2402 minSIRI ZA BIBLIASIRI ZA BIBLIAUSHINDE UBAYA KWA WEMA: SIRI ZA BIBLIAMaisha Mapya Katika Kristo 1 Kwa hiyo, ndugu zangu, nawasihi kwa rehema zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu na inayompendeza Mungu, hii ndiyo ibada yenu yenye maana. 2Msifuatishe tena mfano wa ulimwengu huu, bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu. Ndipo mtaweza kuonja na kuhakikisha ni nini mapenzi ya Mungu yaliyo mema, yanayopendeza machoni pake na ukamilifu. 3 Kwa ajili ya neema niliyopewa nawaambia kila mmoja miongoni mwenu, asijidhanie kuwa bora kuliko impasavyo, bali afikiri kwa busara kwa kulingana na kipimo cha imani Mungu aliyompa. 4Kama vile katika mwili mmoja tulivyo na viungo...2021-10-2303 minMOZE KIMAROMOZE KIMAROKUJUA SAUTI NA MAPENZI YA MUNGU.ROHO MTAKATIFU huliongoza kanisa yaani kila Mkristo mmoja MMOJA kuijua SAUTI ya MUNGU na MAPENZI YA MUNGU. SOMO hili litakusaidia kukuwekea msingi wa kuanza kuongozwa na ROHO MTAKATIFU katika kuyajua na kutenda MAPENZI YA MUNGU.2021-08-0751 minIn the Field Audio Bible SwahiliIn the Field Audio Bible Swahili1 Timotheo 4Sura hii inaashiria mabadiliko makubwa katika mwelekeo wa barua ya Paulo. Timotheo wa kwanza sura ya 1 hadi ya 3 ilikazia mambo ya kibinafsi yanayohusiana na ibada ya kanisa. Hapa, mada ya msingi ni hatari zinazosababishwa na waalimu wa uwongo na majukumu maalum ya vikundi anuwai. Sura ya 4 mara nyingi inaonekana kuwa imeandikwa katika sehemu mbili: maelezo ya waalimu wa uwongo huko Efeso (1 Timotheo 4: 1-5) na hatua zinazofaa za kujilinda dhidi ya hawa walimu wa uwongo (1 Timotheo 4: 6-16). Paulo anaanza kwa kuzingatia kile Roho anasema kitatokea katika nyakati za mwisho (1 Timotheo 4: 1). Tunapongojea kurudi kwa Kristo, wengi...2021-08-0502 minSIRI ZA BIBLIASIRI ZA BIBLIAAGANO JIPYA: YESU AWAKOSOA VIONGOZI WA DINIMathayo 23 1  Kisha Yesu akawaambia makutano na wanafunzi wake, akasema, 2  Waandishi na Mafarisayo wameketi katika kiti cha Musa; 3  basi, yo yote watakayowaambia, myashike na kuyatenda; lakini kwa mfano wa matendo yao, msitende; maana wao hunena lakini hawatendi. 4  Wao hufunga mizigo mizito na kuwatwika watu mabegani mwao; wasitake wenyewe kuigusa kwa kidole chao. 5  Tena matendo yao yote huyatenda ili kutazamwa na watu; kwa kuwa hupanua hirizi zao, huongeza matamvua yao; 6  hupenda viti vya mbele katika karamu, na kuketi mbele katika masinagogi, 7  na kusalimiwa masokoni, na kuitwa na watu, Rabi.2021-04-2205 minSIRI ZA BIBLIASIRI ZA BIBLIASIRI ZA BIBLIA: NGUVU ZA MADHABAHU/MAAGANO NA MIKATABA YA KUZIMUMAMBO MUHIMU YANAYOUNDA MADHABAHU Ili uweze kushughulikia tatizo sugu lililoshikiliwa kwenye madhabahu ni lazima ufahamu vizuri kuwa madhabahu sio jina pekee bali ni muunganiko wa mambo sita (6) ambayo hayo yanafanya madhabahu kuwepo na kuwa na nguvu, mambo hayo ni kama yafuatayo:- Madhabahu yenyewe Kuhani wa madhabahu Kafara ya madhabahu Washirika wa madhabahu Mungu wa madhabahu Nguvu ya madhabahu Madhabahu yenyewe Madhabahu hujengwa na watu kwa kusudi la kufanya ibada kwa Mungu wanaye mwamini. Kwa kawaida kila mwanadamuanaamini kuwepo kwa nguvu ambayo ni kubwa kuliko nguvu ya...2021-04-2211 minSIRI ZA BIBLIASIRI ZA BIBLIASIRI ZA BIBLIA: MFAHAMU LILITH,MALKIA WA KUZIMU ALIYEASI BUSTANINILilith ni jina la mwanamke ambaye katika hadithi fulani za Mesopotamia ya kale anatajwa kama mungu mke ambaye anahusika na dhoruba akazaa majini. Biblia inasimulia jinsi dunia ilivyoumbwa na mwanzo wa binadamu. Katika maandiko hayo, masimulizi ya uumbaji yana changamoto kuyafahamu sawasawa, hususani kitabu cha Mwanzo 1:26 na Mwanzo 2. Uumbaji wa mwanamke unatajwa sehemu hizo mbili, lakini kwa namna tofauti, kwa kuwa ni visasili tofauti. Katika Mwa 1:26 Mungu aliwaumba Adamu na Eva sawia kwa sura na mfano wake. Katika Mwa 2 Mungu anamuumba Hawa baada ya kuchukua ubavu wa Adamu na kumfanya mwanamke. Katika Biblia Isa 34:14 tu...2021-04-1412 min====\===="Bishaaro Wanaagsan", "Heesaha Injiilka", "Ereyada Nolosha" - Luqadaha Ugu Muhiimsan ee Lagu Adeegsaday Soomaaliya / "Good News", "Gospel Songs", "Words of Life" - Main Languages Used in Somalia ====Kiswahili(Baravenes) - "Barabara Mbili" / "The Two Roads" - Swahili(Baravenes).mp3Sawaaxili (Baravenes) - "Labada Waddo".mp3 / "السواحيلية - "الطريقان(Baravenes).mp3 // YOHANE 1Neno akawa mwanadamu1Hapo mwanzo, Neno alikuwako; naye alikuwa na Mungu, naye alikuwa Mungu. 2Tangu mwanzo Neno alikuwa na Mungu. 3Kwa njia yake vitu vyote viliumbwa; hakuna hata kiumbe kimoja kilichoumbwa pasipo yeye. 4Yeye alikuwa chanzo cha uhai na uhai huo ulikuwa mwanga wa watu. 5Na mwanga huo huangaza gizani, nalo giza halikuweza kuushinda.6Mungu alimtuma mtu mmoja jina lake Yohane, 7ambaye alikuja kuwaambia watu juu ya huo mwanga. Alikuja ili kwa ujumbe wake watu wote wapate kuamini. 8Yeye hakuwa huo mwanga, ila alikuja tu kuwaambia watu juu ya huo mwanga. 9Huu ndio...2021-04-0801 minSIRI ZA BIBLIASIRI ZA BIBLIAMATHAYO 22: YESU AFAFANUA KUHUSU KIAMA30 Kwa maana katika kiyama hawaoi wala hawaolewi, bali huwa kama malaika mbinguni. 31 Tena kwa habari ya kiyama ya watu, hamjalisoma neno lililonenwa na Mungu, akisema, 32 Mimi ni Mungu wa Ibrahimu, na Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo? Mungu si Mungu wa wafu, bali wa walio hai. 33 Na makutano waliposikia, walishangaa kwa mafunzo yake. 34 Na Mafarisayo waliposikia ya kwamba amewafumba kinywa wale Masadukayo, walifanya shauri pamoja. 35 Mmoja wao, mwana-sheria, akamwuliza, akimjaribu; 36 Mwalimu, katika torati ni amri ipi iliyo kuu? 37 Akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako...2021-04-0606 minSIRI ZA BIBLIASIRI ZA BIBLIAMATHAYO 19: YESU AFUNDISHA KUHUSU TALAKAMATHAYO 19 Kuhusu talaka 1Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, alitoka Galilaya, akaenda Yudea, ngambo ya mto Yordani. 2Watu wengi walimfuata huko, naye akawaponya. 3Mafarisayo kadhaa walimjia, wakamwuliza kwa kumtega, “Je, ni halali mume kumpa talaka mkewe kwa kisa chochote?” 4Yesu akawajibu, “Je, hamkusoma katika Maandiko Matakatifu kwamba Mungu aliyemuumba mtu tangu mwanzo alimfanya mwanamume na mwanamke, 5na akasema: ‘Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake, nao wawili watakuwa mwili mmoja?’ 6Kwa hiyo, wao si wawili tena bali mwili mmoja. Basi, alichounganisha Mungu, binadamu asikitenganishe.” 7Lakini wao wakamwul...2021-04-0305 minSIRI ZA BIBLIASIRI ZA BIBLIABUSTANI YA GETSEMANE KILICHOTOKEA KIPINDI CHA PASAKABustani ya Gethsemane, mahali ambapo jina lake kwa kweli linamaanisha "vyombo vya mafuta," iko kwenye mteremko wa Mlima wa Mizeituni kando ya bonde la Kidron kutoka Yerusalemu. Bustani ya miti ya mizeituni ya kale imesimama pale hadi leo. Yesu mara nyingi alikwenda Gethsemane pamoja na wanafunzi Wake kuomba (Yohana 18: 2). Matukio maarufu sana huko Gethsemane yalitokea usiku kabla ya kusulubiwa kwake wakati Yesu alipotolewa. Kila mmoja wa waandishi wa Injili anaelezea matukio ya usiku huo yakiwa na tofauti kidogo, hivyo kusoma akaunti nne (Mathayo 26: 36-56, Marko 14: 32-52; Luka 22: 39-53; Yohana 18: 1-11) yatatoa picha sahihi ya usiku huo muhimu katika ukamilifu...2021-03-3004 minA life well lived Spiritually, Health, Realatinships and being Rich is a Treasured Possession.A life well lived Spiritually, Health, Realatinships and being Rich is a Treasured Possession.SOMOLATATU;- CONTACT ME WATSAPP: 0758600428. MIMI KAMA MWANAMKE NI NANI KATIKA UUMBAJI WA MUNGU?CONTACT ME WATSAPP: 0758600428. MWALIMU WAKO UFOO KASSA GEORGE. MWANZO 2:16 Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula, 17 walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika. 18 Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye. 19 Bwana Mungu akafanyiza kutoka katika ardhi kila mnyama wa msituni, na kila ndege wa angani, akamletea Adamu ili aone atawaitaje; kila kiumbe hai, jina alilokiita Adamu likawa ndilo jina lake. 20 Adamu akawapa majina yao kila mnyama wa kufugwa, na ndege wa...2021-03-2034 minA life well lived Spiritually, Health, Realatinships and being Rich is a Treasured Possession.A life well lived Spiritually, Health, Realatinships and being Rich is a Treasured Possession.SOMOLAPILI;- CONTACT ME WATSAPP: 0758600428. MUME MMOJA MKE MMOJA.CONTACT ME WATSAPP: 0758600428. MWALIMU WAKO UFOO KASSA GEORGE. MWANZO 3: 10 Akasema, Nalisikia sauti yako bustanini, nikaogopa kwa kuwa mimi ni uchi; nikajificha. 11 Akasema, Ni nani aliyekuambia ya kuwa u uchi? Je! Umekula wewe matunda ya mti niliyokuagiza usiyale? TUNA MANENO MENGI AMBAYO TUMEAMBIWA AMA KUSIKIA KUHUSU MUME NA NDOA. MFANO: MUME AKIWA NYUMBANI KWAKO NI WAKO AKITOKA NI WA WOTE!! MUME NI LAZIMA AWE NA MAHUSIANO NA WANAWAKE ZAIDI YA MMOJA!! NA WENGI WENGI WETU TUNAAMINI HIVYO, NA TUMECHUKULIA NDIYO MAISHA MUNGU KATUPANGIA. MWANZO 1: 27 Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba. MWANZO 5: 2 mwanamume...2021-03-1929 minSIRI ZA BIBLIASIRI ZA BIBLIA“2021, MFUATE YESU, SIO DUNIA”WOKOVU ni hatua ya kwanza. Mkiri Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yako. Kuwa mwaminifu kwa MUNGU. Acha dhambi sasa. Ishi maisha ya utakatifu. Msikie MUNGU na kuitii sauti yake. Amekuita kumtumikia, usikimbie itikia wito. Kuwa mtu wa toba wakati wote. Tenda wema bila kuchoka. Kila mara tafuta fursa ya kutenda wema kwa mwingine. Kuwa na HESHIMA na KUWATHAMINI WENGINE kwa kutambua ya kuwa kila mmoja ana thamani mbele za Mungu kulingana na neema tofauti ambazo kila mmoja amebarikiwa na zote zina thamani 1 Wakorintho 6: 9-10 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa...2021-02-1005 minSIRI ZA BIBLIASIRI ZA BIBLIAJe uko tayari? Tambua wakati na kusudi la maisha yakoKila kitu kwenye maisha ya mwanadamu kimebebwa na WAKATI. KUSUDI la wewe kuwa duniani limebebwa na WAKATI. Ni TIMELINE ya maisha yako mpaka siku ya mwisho. Timeline maana yake ni MUDA => TUKIO. 1965 => KUZALIWA 2007 => KUFA KUZALIWA na KUFA, hayo ni MATUKIO mawili makubwa yaliyopo kwenye timeline ya kila mwenye PUMZI. KATIKATI hapo kuna matukio mengine, yaliyoambatana na muda kulingana na KUSUDI na mapenzi ya MUNGU kwenye maisha yako. Kama vile ambavyo matukio mbalimbali yametokea na kubadilika kwenye maisha yako, yani ulizaliwa, ukakua na sasa uko hivyo jinsi ulivyo; hiyo ni timeline yako...2021-02-0905 minSalama NaSalama NaEp. 51 - Salama Na Babu Tale | JUGGLERHamis Tale Tale ni MWAMBA wa maisha yake na ya wale walomzunguka kwa miaka nenda miaka rudi na kutoka upande huu wa muandishi na mtangazaji ni heshima tu kwenda mbele. Kuna msemo mmoja wa Kiswahili kuhusu nyani ambaye unamkuta mjini. Ya kwamba anakua kashakwepa MISHALE ya kutosha kwahiyo unapomkuta town inabidi umpe heshima zake za kutosha. Kwa waasisi wa Bongo Flava jina lake kuwa juu pale na haiwezi kuwa kosa hata kidogo na kuna wasanii kibao ambao wana mshutumu kwa mambo mengi lakini kuna wale ambao hawawezi kumsahau maishani mwao kwa sababu ya mchango mkubwa ambao amewapa...2021-01-3047 minSalama NaSalama NaEp. 41 - Salama Na KALITO | THE ORIGINATORCarlos Bastos aka Kalito ni moja kati ya wale binadamu ambao hawahitaji ‘kutambulishwa’ na hiyo si kwa sababu ya muonekano wake hata kidogo zaidi ni personality yake, anaongea, anachekesha, anajielewa, anajua nini cha kusema na wapi pa kusema pia. Katika watu ambao namshukuru Mungu kwa kuwafanya wawe rafiki zangu Kalito ni mmoja wapo. Jinsi ambavyo alifika Tanzania inaweza ikakufanya ujue pia yeye ni mtu wa aina gani haswa, kutoka mwenyewe familia ambayo mtoto wa kiume ni pekee, na pengine alikua na uhakika wa kupata kila anachotaka lakini aliamua kupaki begi na kuchanja mbuga kuja hapa Tanzania. Kusema za u...2020-11-1200 minUplifting Moment with Luphurise MawereUplifting Moment with Luphurise MawereUnaweza kusimama kwenye kusudi lako hata kama hujulikani by Luphurise Mawere2 Samweli 20: 16-22 Ukisoma kitabu cha 2 Samuel 20 utaona habari za mtu asiyefaa Sheba ambaye alitaka kuhatarisha amani ya Israel kwa kuwafanya watu kumfuata yeye badala ya kumfuata mfalme Daudi. Katika mistari inayotuongoza leo tunasoma habari za Mwanamke mmoja ambaye hata jina lake halijulikani lakini aliweza kusimama kwenye kusudi na kusaidia kuwepo kwa Amani Israeli na kuukomesha mpango wa Sheba. Yoabu mkuu wa majeshi alijipanga na watu wake wammalize Sheba lakini kungekuwa na machafuko na wangeuharibu mji wa Israel Huyu Mwanamke asiyekuwa na jina alipotambua nia ya Yoabu akalia au akapaza sauti yake. Huyu Mwanamke alijiingiza matatani kwasababu alimpigia kiongozi wa jeshi...2020-11-0914 minUplifting Moment with Luphurise MawereUplifting Moment with Luphurise MawereUsifiche Talanta yako By Luphurise MawereUSIFICHE TALANTA YAKO _By Luphurise Mawere_ Mathayo 25: 14-18 _Mathayo 5: 15 Wala watu hawawashi taa na kuiweka chini ya pishi, bali juu ya kiango; nayo yawaangaza wote waliomo nyumbani._ Habari tuliyosoma kwenye Kitabu cha Mathayo 25: 14-18 inafananishwa na maisha yetu hapa duniani. Mungu amewekeza ndani yetu talanta, yaani ameweka karama, vipawa, ujuzi na maarifa. Kila mtu amepewa kadri uwezo wake, na Mungu anatutegemea kile alichowekeza ndani yetu kitumike hata kama unakiona ni kidogo kuliko wengine. Tuepuke kabisa kuwa kama mtu huyu aliyepewa talanta moja yeye badala ya kuzalisha akaifukia chini. Watu wengi wanafukia uwezo yaani potential Mungu alizoweka ndani yao kwasababu wanafikiri...2020-10-2617 minUplifting Moment with Luphurise MawereUplifting Moment with Luphurise MawereUsikatishwe tamaa na makosa uliyoyafanya jifunze, jirekebishe, inuka na uanze upya na Mungu_Luka 15: 11-24_ _Mithali 24: 16 Kwa maana mwenye haki huanguka mara saba akaondoka tena; Bali wasio haki hukwazwa na mabaya._ Katika maisha kuna nyakati tutafanya makosa kwasababu sisi sio wakamilifu, sisi ni wanadamu Leo nataka kuongea na mtu mmoja ambaye unajiona una makosa mengi Unayejiona una dhambi nyingi Labda wewe ni binti una ujauzito kabla ya ndoa Au Umeokoka lakini umerudi nyuma, umefanya vitu ambavyo havimpi Mungu utukufu Labda umetenda tendo la ndoa kabla ya ndoa Umezaa nje ya ndoa Umetekwa na pornography na kujichua Umeachika kwenye ndoa Uko kanisani, unaimba praise au ni kiongozi lakini una mahusiano na mume au mke...2020-09-1415 minUplifting Moment with Luphurise MawereUplifting Moment with Luphurise MawereUNAPOPITA KWENYE MAPITO JIFUNZE KUWA NA MTAZAMO CHANYA_*Yohana 16: 33* Hayo nimewaambieni mpate kuwa na amani ndani yangu. Ulimwenguni mnayo dhiki; lakini jipeni moyo; mimi nimeushinda ulimwengu._ _*Ayubu 1: 22* Katika mambo hayo yote Ayubu hakufanya dhambi, wala hakumwazia Mungu kwa upumbavu._ (Soma Ayubu yote mlango 1 na wa 2) Bwana Yesu hatukuahidi kwamba tutaishi tu kwa furaha siku zote Hatukuahidiwa kwamba kila siku itakuwa birthday, wedding anniversary au party Nakumbuka nikiwa chuoni kuna wadada walikatiwa jina _"Everyday is holiday"_maana wao walikuwa kuanzia Jumatatu hadi Jumapili walikuwa busy kwenye starehe wakasahau kabisa kwamba walikuwa pale kwa lengo la kusoma Yesu hakutuambia kwamba everyday is holiday, katika maneno yake anasema ulimwenguni mnayo dhiki...2020-09-0715 minSalama NaSalama NaEp. 32 - Salama Na Riyama | UTAKWENDA UTARUDI Riyama Seleman Ally, malkia wa kazi aifanyayo na kila alitilialo msisitizo hulifanya kwa asilimia 100, hata kama akichelewa kama pengine alivyochelewa kupata heshima yake na malipo yake anayostahili, kama ambavyo anapata sasa au ambayo anapata maana safari bado ni ndefu. Na kwa mazungumzo haya nilofanya naye huo ndo muelekeo na ndo nia na madhumuni. Sote tunajua PENYE NIA PANA NJIA, so kazi ni kwetu. Mzaliwa wa Unguja Tanzania, kakua katika familia ya kidini na malezi bora ila kwa mujibu wa maongezi yetu haya yeye alipenda zaidi kuwa muimbaji, kitu ambacho Mwenyezi Mungu mtoa vipaji hakumjaalia kipaji hicho...2020-09-031h 15Uplifting Moment with Luphurise MawereUplifting Moment with Luphurise MawereKitu cha Kukuvusha hapo ulipo kiko nyumbani mwako -STRETCH*KITU CHA KUKUVUSHA ULIPOKWAMA KIKO NYUMBANI MWAKO* _STRETCH !_ By Luphurise Mawere *2 Wafalme 4: 1-7* _1 Basi, mwanamke mmoja miongoni mwa wake za wana wa manabii alimlilia Elisha, akasema, Mtumishi wako mume wangu amekufa; nawe unajua ya kuwa mtumishi wako alikuwa mcha BWANA; na aliyemwia amekuja ili ajitwalie wana wangu wawili kuwa watumwa._ _2 Elisha akamwambia, Nikufanyie nini? Niambie; una kitu gani nyumbani? Akasema, Mimi mjakazi wako sina kitu nyumbani, ila chupa ya mafuta._ _3 Akasema, Nenda, ukatake vyombo huko nje kwa jirani zako wote, vyombo vitupu; wala usitake vichache._ _4 Kisha uingie ndani, ukajifungie mlango wewe na wanao, ukavimiminie mafuta vyombo vile vyote; navyo vilivyojaa...2020-08-3118 minSalama NaSalama NaEp. 30 - Salama Na SEVEN | ROCKSTARMtaani huwa wanasema ‘hizo kazi za wanaume’, maana mambo ya kukesha na watoto wa kiume na kuhangaika nao usiku na mchana kwa mwanamke inakua ngumu, na pengine inaweza ikaleta mambo yasiyohusu au ikasababisha vitu nyengine visiende kwasababu tu anayefanya hiyo kazi ni MWANAMKE. Ila kwa Christine ‘Seven’ Mosha nadhani hayo maneno yalikua ndo mafuta kwenye utambi wake na aliyatumia hayo kuweza kutoa mwanga maridhawa ulioset standard ya kuvutia. Kuna kipindi na mpaka sasa, ukiwataja ma meneja wa wasanii walio hodari hapa kwetu basi la Seven litakua la kwanza kwa mujibu wangu Mimi, maana kwa kuwa mfano kwenye tasnia aliweza haswa!2020-08-201h 07Salama NaSalama NaEp. 27 - Salama Na SEBA | MKURUGENZISebastian Bigacho Ndege, jina kubwa  nchini kwetu na anajulikana na watu wa aina tofauti tofauti, hiyo ndo tofauti yake yeye na ‘celebrities’ wengine. Ukiachana na kwamba ni Daktari hodari tu na mtangazaji wa radio mahiri kabisa ambale alijenga historia miaka ya nyuma kwa kuwafanya watu wawe huru kuongelea juu ya suala la maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi, Seba (hivyo ndo anavyofahamika zaidi au Dr Seba au hata Jembe ni Jembe) aliweza kuwafanya watu wawe huru kuongelea pia masuala ya magonjwa ya zinaa na unyanyasaji wa kijinsia kwenye kipindi chake cha NJIA PANDA. Kutumia kipindi hiki, aliweza pia kubadilisha mais...2020-07-301h 19Salama NaSalama NaEp. 19 - Salama Na Monalisa | MASHHURAKabla sijasema jinsi ambavyo nampenda na kumheshimu mgeni wetu wa wiki hii napenda kusema cha kwanza ambacho nilikipenda kwake kwanza ilikua jina lake, Ms Yvonne Cherrie kisha Monalisa. Rafiki mzuri, mstaarabu na mtu mwema sana. Mona pia ana bahati sana, bahati ya kuwa na Mama ambaye ni hodari na mcheshi ambaye nae alifanya kazi yake ya kuhakikisha bintiye kwanza anafanya yote anayostahili kufanya kama mtoto kabla haja mshika mwanaye mkono na kumtambulisha kwenye dunia ya sanaa ambayo ilitufanya tumtambue na kumpenda pia na pia kuwakubali zaidi kama Mama na mtoto ambao ni mahodari sana. Kwenye...2020-06-041h 00MUNGU NI MMOJA.COMMUNGU NI MMOJA.COMMillennial Leadership | Andrew Tsuro (eHub | CEO)Millennial Leadership — Learn from the best millennial leadership advocate himself!Andrew Tsuro (eHub | CEO)Radio TI | Where Leaders TalkIn this final episode of Coffee With Toastmasters, Wendy Khumalo wraps up her first season with the spectacular, exemplary millennial leadership advocate, Andrew Tsuro.It is evident throughout this episode that Toastmasters International is indeed the leading organization in leadership development and proficient public speaking. Andrew Tsuro, who is one of the 2018’s Top 10 Global Young Future Leaders recognized by the HR.com’s LEAD Leadership Excellence awards, walks us through his journey in Toastm...2020-05-1451 minMorning Star Service. Kamata Asubuhi.Morning Star Service. Kamata Asubuhi.Ibada Ya Morning Star ( Neno pamoja na maombi)Mwongozo wa Maombi leo tarehe 8-9 Mei, 2020 – Namtumikia Mungu wa Maagano na anajibu kwa MotoBado tupo katika mwezi wa Mei, 2020 ambao umetangazwa kiunabii kuwa ni mwezi wa “Natembea na Mungu wa Maagano” kulingana na kitabu cha Isaya 54:10 Katika ibada ya Jumapili tulipokea ushuhuda wa dada mmoja ambaye amemaliza Masters ya Uchumi na matokeo mazuri sana, hata hivyo hakufanikiwa kupata kazi kwa miaka sita. Baada ya kugundua siri ya kumtumania Mungu wa maagano alitafakari maandiko na kukumbuka Bwana Yesu aliposema katika kitabu cha Yohana 14:15 “Mkinipenda mtazishika amri zangu” Je amri za Yesu ni zipi? Bwana Yesu alitupa amri kuu t...2020-05-0815 minMUNGU NI MMOJA.COMMUNGU NI MMOJA.COMA Man of Firsts | Edmore Gamundani DTMA Man of Firsts — Staying current by being a ToastmasterEdmore Gamundani (Human Resources Development Practitioner, Keynote Speaker, Executive Speech Coach and Author) tells Elizabeth Viljoen on Creating Culture of all the first things he experienced:• Although being the last Division Governor for the Pretoria/Zimbabwe Division (because the title changed to Division Director), he was the first District Governor from outside South Africa.• Thereafter he was the first Southern African Club Growth Director (because of the title change).• He was the first Member of District 74 Cabinet outside South Africa.• He was the first man...2020-05-071h 02MUNGU NI MMOJA.COMMUNGU NI MMOJA.COMEnhancing Communication | Kgobero 'Kage' Kehuparetse (Oratory C-Suite Masterclass | Founder)Enhancing Communication — Learn How To Enhance and Master Your Communication SkillsKgobero 'Kage' Kehuparetse (Oratory C-Suite Masterclass | Founder)Radio TI, Where Leaders Talk!In this episode of Coffee With Toastmasters, Wendy Khumalo discusses enhanced communication with Kgobero Kehuparetse, also well known as Kage.Kage is an Entrepreneur, Master of Ceremonies and Facilitator. He is a three time national speech champion in Botswana and travels Africa to facilitate conferences and other corporate events. Kage is also the founder of the Oratory C-Suite Masterclass, a Public Speaking Programme designed and tailored for corporates in So...2020-05-0750 minMUNGU NI MMOJA.COMMUNGU NI MMOJA.COMNew ways | Hannah TarindwaNew ways — Journalism and Media Studies LecturerHannah TarindwaRadio TI | Where Leaders TalkHannah Tarindwa tells Elizabeth Viljoen about her passion for teaching, writing, reading, talking, travelling - LIFE. As a lecturer she finds creative ways to stimulate critical thinking and exposes her students to all kinds of new things - new experiences, new books, new ways of doing things, new ways of thinking. She always looks at life from different angles.As the Vice President of Public Relations, Hannah vigorously promotes her Windhoek club, Tarentaal Toastmasters, on the Southern African Toastmasters Fa...2020-04-2837 minSalama NaSalama NaEp. 13 - Salama Na Zuhura | DADAKEMoja ya watu walopigana vita zao wenyewe kimya kimya na wengine wakashuhudia tu mtu yuko jukwaa la kimataifa na anazidi kusoga. Maana halisi ya nitafanya kama ilivyo ili tuone mbele itakuaje maana Mungu amekua mwema haswa, so kwake yeye hakuna kinachoshindikana na kiukweli kabisa kama wewe ni wa mbili basi utaendelea kuzivaa maana mwenye hizo mbili kuvaa moja abadan! Mimi nilikutana naye kwa mara ya kwanza kwenye mahangaiko ya kazi yangu ya kwanza, radio mpya ilikua imeanzishwa hapa mjini, kwa msaada wa Soggy Doggy Anter aka Chief Rumanyika nikapata nafasi ya angalau kuingia mule ndani na nikakutana...2020-04-2354 minMUNGU NI MMOJA.COMMUNGU NI MMOJA.COMBeing a Maverick | Adolph Kaestner (CEO of Adolph, Speakers 101 and Yeluleka / Mentor Zone)In this episode of Creating Culture, Elizabeth Viljoen interviews Adolph Kaestner, a Distinguished Toastmaster who has been District 74 Governor in 1988/89. He joined Toastmasters in 1983 and for 37 years has been instrumental in the growth of Toastmasters Southern Africa. After years in banking, Adolph became a Professional Speaker and Trainer. Throughout his career he has mentored other leaders and speakers, and considers Toastmasters as excellent training for any career. Although retired, he is still actively involved in Toastmasters and his community as a mentor and an inspirational speaker. His mantra is: 'What gets recognised, gets repeated...2020-04-2131 minMUNGU NI MMOJA.COMMUNGU NI MMOJA.COMLet the pandemic fuel your passion | Ruvimbo Dzumbira and Aaliyah Mahaka (Final year high school students)In this episode of Cappuccino Catch-ups and Meaningful Mochas, Teresa interviews two lovely young ladies, Ruvimbo and Aaliyah who are both in their final year of high school and discuss the effects and pressures of the current Covid19 pandemic. The girls are smart, strong and have a positive message for the listeners.The message is that this pandemic should not be about 'social distancing' but rather about 'physical distancing' and that we should still remain social with our peers and remain present and supportive to one another. They also have a message to the teens out there listening...2020-04-1224 minSalama NaSalama NaEp. 11 - Salama Na Ben Pol | WA MNYANG’ANGAKatika pita pita zanguangu kwenye mitandao leo asubuhi nilikutana na video ya Ben Pol akiwa anaelekea kupanda zake helicopter na video ikamuonyesha akiwa anazunguka kwenye fukwe za huko alipokua na baadae ikaishia kwa kuonyesha watu wawili wakiwa wanaelea hewani... Mmoja wapo bila ya shaka alikua ni yeye, kuna mtu ambae amekua aki enjoy maisha yake miaka ya hivi karibuni kama yeye? Niko hapa nangoja jibu lako...  na bila ya shaka mmoja wa watu hao wawili alikua ni yeye. Kutoogopa na kutimiza malengo aliyojiwekea ndo siri ya kukamilisha hesabu alizokua kapiga, na bila ya shaka baraka za Mwenyezi Mungu...2020-04-0954 minSt. Joseph Cafasso King\'ong\'o ParishSt. Joseph Cafasso King'ong'o ParishSaturday 28 03 2020 Daily MassMASOMO YA MISA, MACHI 28, 2020 JUMAMOSI: JUMA LA 4 LA KWARESIMA SOMO 1 Yer. 11:18-20 Bwana akanijulisha haya, nami nikayajua; ndipo uliponionyesha matendo yao. Lakini mimi nalikuwa kama mwana-kondoo mpole, achukuliwaye kwenda kuchinjwa; wala sikujua ya kuwa wamefanya mashauri kinyume changu, wakisema, Na tuuharibu mti pamoja na matunda yake, na tumkatilie mbali atoke katika nchi ya walio hai, ili jina lake lisikumbukwe tena. Lakini, Ee Bwana wa majeshi, uhukumuye haki ujaribuye viuno na moyo, nijalie kuona kisasi chako juu yao; kwa maana nimekufunulia wewe neno langu.2020-03-2822 minSalama NaSalama NaEp. 2 - Salama Na Marco Chali | DOKTADOKTA Marco na mimi tumekua marafiki wa miaka mingi na moja kati ya vitu vimetufanya tuwe marafiki ni kufanana kwetu kwa kupenda vitu vya aina moja. Kuanzia teknolojia mpaka muziki, nakumbuka siku ya kwanza kukutana naye, ilikua ni uzinduzi wa kipindi cha Bongo Star Search ambao ulifanyika Much More pale juu, alinifuata akaniambia juu ya mapenzi yake ya kipindi changu cha Planet Bongo enzi hizo na baada ya hapo ikawa ni urafiki ulodumu mpaka leo. Kipindi changu cha Mkasi kilizaliwa kwenye kibaraza cha studio kwa Marco Chali pale MJ RECORDS ambako ilikua ni maskani yetu kubwa mimi na...2020-02-091h 03MUNGU NI MMOJA.COMMUNGU NI MMOJA.COM207 - Darum sind Partnerschaften im Business TABUDas und warum ein geradliniger Weg zum Erfolg eher unwahrscheinlich ist, erfährst Du in dieser Folge von Show Me The Money Honey2019-12-2915 minMUNGU NI MMOJA.COMMUNGU NI MMOJA.COM202 - So schaffst du es mit Vollzeitjob zur finanziellen UnabhängigkeitSichere Dir das Leben deiner Träume ohne Geldsorgen. Mit dieser Schritt-für-Schritt-Anleitung schaffst Du es, mit deinem Job anzusparen, auch wenn Du nur wenig verdienst.2019-11-2414 minNi SalamaNi SalamaNamna ya kujiandaa kukikabili kipindi hiki cha siku za mwisho (Sehemu ya tatu)Tutakusanyika mbele za Bwana tutaimba na kushangilia. Kama Yesu asingekufa msalabani safari yake ingekuwa bure. Maana angeishia kuponya watu na ingekuwa bure tu. Kama asingekufa na akafufuka ingekuwa shida sana. Biblia inasema ulitokea ubishi juu ya kiama ya wafu ule ubishi ulileta mtengano katika dini ya wayahudi na ukatengeneza dini ya masadukayo. Ugomvi wao ulikuwa ni imani yao juu ya kiama ya wafu. Huo ubishi ukaletea mgawanyo mpaka ndani ya kanisa wakati ambao watu wameanza kuokoka. Ilibidi Roho Mtakatifu amsemeshe Paulo aandike barua kwa Wakorintho ili wajue kuwa kama Kristo hakufufuka imani yetu ni bure maana yake...2019-08-1510 minNi SalamaNi SalamaKama huna uhakika Yesu akikuita muda huu huna uhakika hakikisha leo unaokokaKama huna uhakika Yesu akikuita muda huu huna uhakika hakikisha leo unaokoka Wakati fulani tulisafiri na mzungu mmoja alikuwa ni mjerumani toka Arusha kwenda Dar es salaam. Aliombewa lift na mwenzake ili tusafiri naye, tukamuuliza je umeokoka akasema hapana. Yeye anamuabudu shetani na anatoka kanisa linalomuabudu shetani. Nikamwambia hamna kanisa la namna hiyo. Nikamuuliza alikuwa anasali kanisa gani akanitajia kanisa la Kikristo alilokuwa anaabudu kabla ya kuacha. Tukamuuliza tena kwa nini uliacha kwenda kanisani? Na akasema kanisa ni “very boaring” na kumepoa sana kanisani. Alisema huwa wanamtaja Mungu na sijawahi kumuona kanisani, lakini shetani anapojatwa huwa namuona. 2019-08-1208 minNi SalamaNi SalamaKumwamini Mungu kwa kumfuata Yesu Kristo (Sehemu ya Pili)KUMWAMINI MUNGU KWA KUMFUATA/KUPITIA KWA YESU KRISTO. Ukisoma Luka 8:12 “Wale wa karibu na njia ndio wasikiao, kisha huja Ibilisi akaliondoa hilo neno mioyoni mwao, wasije wakaamini na kuokoka.” Pia Warumi 1:28 “Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.” Ufahamu ulioko ndani ya akili zisizofaa zilifanya wamkatae Mungu. Kwa hiyo akili itafanya mtu amkubali au amkatae Mungu. 2 Wakorintho 11:3 “Lakini nachelea; kama yule nyoka alivyomdanganya Hawa kwa hila yake, asije akawaharibu fikira zenu, mkauacha unyofu na usafi kwa Kristo...2019-07-1909 minNi SalamaNi SalamaKumwamini Mungu kwa kumfuata Yesu Kristo (Sehemu ya Kwanza)KUMWAMINI MUNGU KWA KUMFUATA/KUPITIA KWA YESU KRISTO. Hapa nilitaka uone katika ule mji Yesu alimpata mtu mmoja tu kwa lugha ya sasa tungesema “kwenye safari ya Yesu kuingia gharama ya kuvuka na boti kwenda kule na kufanya huduma alimpata mtu mmoja tu kwenye ule mji, na tofauti yao ilikuwa kwenye akili. Ingawa kwenye lile eneo wengine hawakuwa vichaa, haina maana kwamba akili zao zilikuwa huru hazijashikwa. Huyu Mgerasi kichaa alipofunguliwa alikuwa huru na ikawa rahisi sana kwa yeye kumfuata na kumhubiri Yesu, wenzake wote walimwambia Yesu aondoke kwao, lakini huyo aliyeponywa bado alikuwa ana uj...2019-07-1910 minNi SalamaNi SalamaWeka akiba mapema ikusaidie pale utakapo staafuMaana akili zako zinakuwa zimebanwa kabisa unapata pesa na unazitumia kienyeji kienyeji tu. Ili uweze kuelewa tafuta watu waliostaafu. Wengi sana wana maisha mabaya na ni wachache sana wana maisha mazuri, kwa sababu wengine walikuwa na maisha mazuri sana walipokuwa kazini. Walikuwa na magari na nyumba kumbe ni za shirika au kampuni ambayo anafanyia kazi lakini sio vya kwake. Maana wakati wa zamani wafanyakazi walikuwa wanapewa kila kitu hadi furniture za ndani, ukiwaona utafikiri ni vya kwao kumbe sio vyao ni vya shirika akifukuzwa kazi au hiyo kazi ikiisha ndipo utaona namna maisha yake yanavyobadilika kabisa. Tulikuwa...2019-07-1710 minNi SalamaNi SalamaAkili kufungwa na shetani ili usifikie malengo yakoAKILI KUFUNGWA NA SHETANI. Luka 8:26‭-‬39 “Wakafika pwani ya nchi ya Wagerasi, inayoelekea Galilaya. Naye aliposhuka pwani, alikutana na mtu mmoja wa mji ule, mwenye pepo, hakuvaa nguo siku nyingi, wala hakukaa nyumbani, ila makaburini. Alipomwona Yesu alipiga kelele, akaanguka mbele yake, akasema kwa sauti kuu, Nina nini nawe, Yesu, Mwana wa Mungu aliye juu? Nakusihi usinitese. Kwa kuwa amemwamuru yule pepo mchafu amtoke mtu yule. Maana amepagawa naye mara nyingi, hata alilindwa kifungoni na kufungwa minyororo na pingu; akavikata vile vifungo, akakimbizwa jangwani kwa nguvu za yule pepo. Yesu akamwuliza, Jina lako nani? Akasema, Jina langu ni Jes...2019-07-0609 min