podcast
details
.com
Print
Share
Look for any podcast host, guest or anyone
Search
Showing episodes and shows of
Msasa Media
Shows
MSASA Podcast
Sina Kazi Naishi Ninavyotaka
Send us a textHii version ya Msasa inaitwa “tega sikio, pesa inaongea”. Hapa stori ni jinsi gani unaweza kutumia hela kutengeneza hela wapi, kwa namna gani, kwa kipindi gani, na ukiwa na malengo gani. Bila kusahau, kwenye kutafuta hela kuna maisha pia. Je, unastaafu vipi? Watch out new episode ya Msasa na @neema_chamy, inapatikana kwenye digital channels zote.Tafadhali share episode hii adimu kwa mtu ambaye ungetamani apate madini kuhusu pesa.#msasapodcast #tegasikio #pesainaongea #richauntievibes #moneytalks #financialfreedom.
2025-10-23
1h 41
MSASA Podcast
The Entrepreneur’s Guide to Employment
Send us a textIn this episode of Msasa with Rumisho, we dive deep into leadership, integrity, teamwork, and the entrepreneurial spirit. From taking full responsibility, to building confidence as the number one salesperson in your business, Rumisho shares lessons from his own journey.🎧 Guest: Rumisho Shikonyi🎙 Host: Elisha Simon (Hisiatz)Tune in for insights on: #Inspiration #Entrepreneurship #GrowthMindset #businessowner #PersonalGrowth #MsasaPodcast #BusinessInFashion #LifeLessonsJoin us on the MSASA PODCAST 🎙️:🌐 Website: https://neiked.co.tz/msasa/🎧 Listen on Buzzsprout: https://www.buzzsprout.com/2288412/shareDiscover and explore the podcast!
2025-09-28
1h 15
MSASA Podcast
Matamu na machungu ya kutafuta mafanikio
Send us a textDaktari wa camera mbele ya camera za Msasa , hadithi zinazopigwa humu ni maisha, kuishi , wakati , kufeli , kupanda na kushuka bila bei kushuka. Inapatikana kesho mapema kwenye digital platforms zote.#msasa #hanscana #kubeti
2025-08-31
1h 15
MSASA Podcast
Trust the process
Send us a textThere is clarity in chaos when you trust the process💪🏾🎧 Join us on the #Msasapodcast for a heartfelt conversation about faith, resilience, and the beauty of surrendering to something bigger this sunday with @_TimFordJGuest: Tim Fordhttps://www.instagram.com/_timfordjr/?hl=enHost: Hisiahttps://instagram.com/hisiatz/🎙 MSASA PODCAST:💬 Let’s Touch Base on WhatsApp Channelhttps://whatsapp.com/channel/0029VaFg...🎧 For more content like this, SUBSCRIBE to our channel/ @msasapodcast🌐 Our Website:https...
2024-12-08
59 min
MSASA Podcast
Moyo unakuwaga mzito kwa mwanaume
Send us a textThis week on the #MsasaPodcast, we’re joined by the Michael Baruti of @menthepodcast We’re diving deep into the often-overlooked conversation, the struggles, the stigma, and the path to healing for men and mental health.#MenAndMentalHealthGuest: Michael Barutihttps://www.instagram.com/michaelbaruti/--Host: Hisia https://instagram.com/hisiatz/ MSASA PODCAST 🎙 :Let’s Touch Base on WhatsApp Channel 💬https://whatsapp.com/channel/0029VaFg... For more content like this SUBSCRIBE To our channel / @msasapodcast
2024-12-01
1h 13
MSASA Podcast
Watu wa Kariakoo waliniokoa
Send us a textTafuteni Popcon jamani @lamataleah ana yake ya kutupiga #Msasa🤭Guest: LAMATAhttps://www.instagram.com/lamataleah/--Host: Hisia https://instagram.com/hisiatz/ MSASA PODCAST 🎙 :Let’s Touch Base on WhatsApp Channel 💬https://whatsapp.com/channel/0029VaFg... For more content like this SUBSCRIBE To our channel / @msasapodcast Our Websitehttps://neiked.co.tz/msasa/Podcast Streaming: https://www.buzzsprout.com/2288412/share#sanaa #cinema #filmintanzania #filmmaker #director
2024-12-01
1h 12
MSASA Podcast
From passion to profit
Send us a textWhat happens when you're a creative but the hustle demands you be a businessman too? #Today we sit down with the fabulous hustler Ally Rehmtullah to unpack the chaos, the challenges, and the compromises of balancing artistry with #entrepreneurship Guest: Ally Rehmtullahhttps://www.instagram.com/allyrehmtullah/--Host: Hisia https://instagram.com/hisiatz/ MSASA PODCAST 🎙 :Let’s Touch Base on WhatsApp Channel 💬https://whatsapp.com/channel/0029VaFg... For more content like this SUBSCRIBE To our channel@msasapodcas...
2024-11-23
48 min
MSASA Podcast
From Child to Breadwinner
Send us a textToday, we’re thrilled to host Khalila Mbowe, also known as Kellz—a visionary social entrepreneur and the founder of Unleashed Africa. Her organization is dedicated to empowering East African youth through the arts, leadership, and entrepreneurship, providing skills and opportunities to fuel their creative and professional journeys. In this episode, Khalila shares her journey, drive for social change, and valuable insights on uplifting young people across the region. Join us for a powerful conversation on youth empowerment, growth, and the future of social entrepreneurship!🎧 Guest: Khalila Mbowe (Kellz)🎙 Host: Elisha Sim...
2024-11-13
1h 27
MSASA Podcast
Baharia Mwenye SWAG
Send us a textJ2 hii on the #MsasaPodcast @Mtani_bespoke AKA Fundi ,tafuta mkasi, uzi na kiwembe, maana Msasa wa leo ni wa kitambaa. Tune in to find out how @mtani_bespoke tailored a life that suits him.🎧 Guest: Mtani Nyamakababi (Mtani Bespoke)🎙 Host: Elisha Simon (Hisiatz)Tune in for insights on: #Inspiration #Entrepreneurship #StreetSmarts #GrowthMindset #Marketing #businessowner #PersonalGrowth #MsasaPodcast #BusinessInFashion #LifeLessonsJoin us on the MSASA PODCAST 🎙️:🌐 Website: https://neiked.co.tz/msasa/📲 Follow the MSASA PODCAST on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VaFg...🎧 Listen on Buzzsprout: https...
2024-11-10
1h 04
MSASA Podcast
Miaka 20 Kwenye Game na Bado Anakimbiza
Send us a textKaribu kwenye #MsasaPodcast! Tunamkaribisha Jay Moe, mkongwe mwenye zaidi ya miaka 20 ya uzoefu katika kuburudisha Watanzania kwa nyimbo zenye mafumbo na ujumbe mkali kupitia muziki wa rap. Tutachambua safari ya muziki na mabadiliko ya tasnia ya muziki wa Bongo toka miaka ya nyuma mpaka sasa. Mazungumzo haya ni ya kuhamasisha, tukitazama mabadiliko, changamoto, na mafanikio katika entertainment industry!🎧 Mgeni: Juma Mchopanga a.k.a Jay Moe🎙 Mwenyeji: Elisha Simon a.k.a HisiatzJiunge kwa maarifa kuhusu:#Inspiration #Entrepreneurship #BusinessSuccess #StreetSmarts #Hustle #Marketing #SuccessMindset #PersonalGrowth #MsasaPodcast #BongoFlavor #bongoh...
2024-10-27
1h 20
MSASA Podcast
Furaha yako ni Jukumu Lako
Send us a textJiunge nasi kwenye #MsasaPodcast tunapomkaribisha Lumulike Mengele A.K.A Muli B, mfanyabiashara na DJ maarufu mwenye zaidi ya miaka 20 katika tasnia ya Bongo Flavor. Tutaangazia umuhimu wa kujitambua na nidhamu katika kufanikisha mafanikio ya muda mrefu. Usikose mazungumzo haya ya kuhamasisha!🎧 Guest: Lumuliko Mengele (Muli B)🎙 Host: Hisia (@hisiatz)#Inspiration #Entrepreneurship #BusinessSuccess #StreetSmarts #Hustle #Marketing #SuccessMindset #PersonalGrowth #MsasaPodcast #BongoFlavor____________MSASA PODCAST 🎙 :Website: https://neiked.co.tz/msasa/Follow the MSASA PODCAST channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VaFg...Podcast Streaming: https://ww...
2024-10-20
1h 10
Sepetuko
Bunge la Kitaifa Laanza Msasa wa Mawaziri Walioteuliwa
Bunge la Kitaifa linaanza kuwapiga msasa Mawaziri walioteuliwa na Rais William Ruto, katika Baraza jipya alilotangaza. Hii ni fursa adimu kwa Bunge kutekeleza wajibu wake wa Kikatiba na kuonesha kuwa ni taasisi huru na inayojisimamia bila kushurutishwa na Serikali tendaji. Hii ni fursa ya Bunge kusafisha jina lake ambalo limekuwa si lolote la kujivunia.
2024-07-31
04 min
MSASA Podcast
The Silent Loud One
Send us a textBeing #different from the your competitors isn’t enough to win the market, so what is?Leo tumemkaribisha a media buying expert akituelezea jinsi #effectivebranding inaweza kutusaidia kuboresha na kukuza #biashara zetu. #msasapodcast #effectivecampaign #marketing #mediabuying #entrepreneurship #Tanzania Guest: John Enos Otieno / john-enos-otieno-69091919 --Host: Hisia / hisiatz MSASA PODCAST 🎙 :Let’s Touch Base on WhatsApp Channel 💬https://whatsapp.com/channel/0029VaFg... For more content like this SUBSCRIBE To our channel / @msasapodcast Our Websitehttps://ne...
2024-07-01
1h 10
MSASA Podcast
The Godfather of Comedy
Send us a textSometimes getting out of #comfortzone is the key to many doors that you wouldn’t have opened otherwise.Leo tumemkaribisha Godfather wa comedy Tanzania Evans Bukuku akitupa his personal experiences zenye #Msasa ndani yake that are guaranteed to leave you motivated to take on new #challenges and #opportunities #msasapodcast #entrepreneurship #biashara #comedy #comedian #Tanzania #podcast Guest: Evans Bukukuhttps://instagram.com/evansbukuku/http://linkedin.com/in/evans-bukuku-2a8a1076--Host: Hisia https://instagram.com/hisiatz/ MSASA PODCAST ...
2024-05-05
1h 54
MSASA Podcast
Oxygen is Free
Send us a textThe future of entrepreneurship in Africa it’s not just promising - it’s already unfolding na Kuna msemo wa Kiafrika unasema “Ukitaka kwenda haraka, nenda peke yako, ukitaka kwenda mbali, nenda na wenzako” Leo kwenye #Msasa tumemkaribisha an agribusiness expert and a serial entrepreneur, Steve Issac Angelo akituelezea why being an entrepreneur in Africa requires different lens and mindset.#MsasaPodcast #entrepreneurship #africa #biashara #africaentrepreneur #ProblemSolvers #mjasiriamali #ujasiriamali #Tanzania Guest: Steve Issac Angelo --Host: Hisia MSASA PODCAST 🎙 :Let’s Touch Base on Whats...
2024-04-28
1h 19
MSASA Podcast
Maisha na Sauti Ya Guitar
Send us a textKama wewe ni msanii au unataka kuwa msanii hii episode inakuhusu, Utapata kujua uhalisia wa Sanaa and what it takes to thrive in this industryLeo tumekaribisha Grace Matata, Tanzania's beloved Afro soul singer, to share her personal insights, experiences, and wisdom gained from her journey in the #music industry#musician #afrosoul #Inspiration #singer #Msasa #msasapodcast #TanzaniaGuest: Grace Matatahttps://instagram.com/gracematata/http://linkedin.com/in/grace-matata-24511b100--Host: Hisia https://instagram.com/hisiatz/ MSASA PODCAST 🎙 :
2024-04-14
1h 00
MSASA Podcast
Buckle up! Life is not free
Send us a textRefuse to let life happen to you - make it happen! Join us for a raw chat with Daniella Kwayu, a serial entrepreneur, economist, agriculture enthusiast and a founder of Pherma Agri and get ready to toughen up, take charge and take up space in a world that’s anything but easy. #MsasaPodcast #investors #founder #dontbeavictim #beincharge #entrepreneurship #ujasiriamali #impactinvesting #Tanzania Guest: Daniella Kwayu / daniellakwayu / daniella-raymond-kwayu-994a6364 --Host: Hisia / hisiatz / elisha-simon-151091 MSASA PODCAST 🎙 Let’s Touch Base on WhatsApp Channel 💬https...
2024-04-13
1h 20
MSASA Podcast
Bobby West Goes to Town
Send us a textWhen the going gets tough, the tough gets going. Kwenye hii episode Bobby anatuelezea #changamoto mbali mbali alizokutana nazo kwenye maisha yake, lessons alizojifunza na njia anazotumia ku cope na new incoming #challenges #Msasa #madini #advertising #creatives #faith #bongo #BongoIsBrain #Tanzania Guest: Bobby Mongi / bobbymongi --Host: Hisia / hisiatz MSASA PODCAST 🎙 :Let’s Touch Base on WhatsApp Channel 💬https://whatsapp.com/channel/0029VaFg... For more content like this SUBSCRIBE To our channel / @msasapodcast Our Websitehttp...
2024-04-13
1h 21
MSASA Podcast
Mwanajeshi na Nyota
Send us a textUkiona vyaelea ujue vimeundwa - Unamjua aliyeiunda EvoNem health App? Basi leo ndo yuko #msasani akitupa the ups and downs of building a #business in today’s world. From resilience in the face of #challenges to seizing opportunities for #growth, this episode is packed with tons of wisdom for all the aspiring #entrepreneurs out there!#msasapodcast #techstartups #businessowner #wisdomsunday #podcast #Tanzania #entrepreneurship Guest: Emmanuel Mbeyelahttps://instagram.com/mbeyela255/ http://linkedin.com/in/emmanuel-mbeyela-539b2230--Host: Hisia https://instagram.com/hisiatz/
2024-04-07
1h 15
MSASA Podcast
The Curious Case of Arthur Kyara
Send us a textkwenye game ya biashara, lazima ujue ni nini kinapiga kazi na nini hakiendi, otherwise utakuwa unapoteza muda na pesa. Na pia kwa vyote unavyofanya Mungu ndo caption number moja.Leo tumemkaribisha the man of God ambaye pia ni mtaalam wa data kutuelezea umuhimu wa data na jinsi tunavyoweza kuitumia kuboresha biashara zetu.#msasapodcast #datadriven #dataanalyst #biashara #data #entrepreneurship #Tanzania Guest: Arthur Kyarahttps://instagram.com/arthurkyara/http://linkedin.com/in/arthur-kyara-172b2b5b--Host: Hisia https://instagram.com/hisi...
2024-04-05
1h 06
Make Your Own Destiny
Failure to Success | Behind the Scenes with Msasa’s Podcast Elisha| Failures, Marketing & Creativity
Join us for a compelling conversation with Elisha, the creative force behind the Msasa Podcast. We dive into Elisha's journey as an artist, marketer, and entrepreneur, exploring the lessons learned from failures and how they fuel growth and creativity. In This Episode: - Elisha's blend of creativity and marketing savvy. - The role of failure in success, as featured on the Msasa Podcast. - Insights for artists and entrepreneurs navigating their paths.
2024-03-11
40 min
MSASA Podcast
Saturn's Return
Send us a textUlipotoka unakuja unakokwenda haukutambui - everything that happens happens for a reason/ there’s a reason behind every twist and turn in lifeJoin us for an enlightening and laughter-filled episode featuring the one and only Deogratius, a multi-talented comedian and serial entrepreneurOn this episode, you will be entertained and inspired with deogratius unique perspective and hilarious anecdotes. #msasapodcast #comedian #comedyshow #watubaki #sisiniwatubaki #wachekeshaji #entrepreneur #Tanzania Guest: Deo Gratiushttps://instagram.com/deogratiusgram/--Host: Hisia https://instagram.com/hisiatz/MS...
2024-03-10
53 min
MSASA Podcast
Ukitaka kusikilizwa, sikiliza kwanza
Send us a textDetermination: the stubborn refusal to let life’s #challenges turn you into a soggy sponge On this episode, we dive into the world of resilience and #determination with Edwin Musiba, the Founder & CEO of Salt Media Co#msasapodcast #CreativeDirector #founder #creative #Tanzania Guest: Edwin Musibahttps://instagram.com/extraedinary/http://linkedin.com/in/edwin-musiba-17308346--Host: Hisia Instagram : / hisiatz MSASA PODCAST 🎙 :Explore ▶️#MsasaPodcast Episodes https://chat.google.com/dm/kbHqoMAAAA... Let’s Touch Base on WhatsApp Channel 💬
2024-03-03
1h 26
MSASA Podcast
Usionyeshe Tatizo, Onyesha Suluhu
Send us a textCare is the name of the game....join us as we talk what it takes to go above and beyond. Tune in kwenye #MsasaPodcast with Jacqueline Lawrence entrepreneur and director of @mbeyahighlandsfm , as we uncover the power of genuine care in business.#Inspiration #entrepreneurship #businesssuccess Usikose Msasa Leo na Jacqueline LawrenceGuest: Jacqueline LawrenceInstagram: @jackielawrencem LinkedIn: @ jacqueline-lawrence-mwakyambiki #media #marketing #events #business #entrepreneurs #msasapodcast --Host: Hisia Instagram : @hisiatz MSASA PODCAST 🎙 :Website: https://neiked.co.tz/msasa/Follow th...
2024-02-26
1h 02
MSASA Podcast
Kujiajiri sio kutoka
Send us a textWith freedom comes great responsibility. Jiunge nasi kwenye #msasapodcast na Tech Guru & Entrepreneur Ng’winula Kingamkono as we talk what it takes to succeed in business.Usikose Msasa Leo na Ng’winula KingamkonoGuest: Ng’winula Kingamkono#fintech #software #entrepreneurs --Host: Hisia MSASA PODCAST 🎙 :Website: https://neiked.co.tz/msasa/Follow the MSASA PODCAST channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VaFg...Podcast Streaming: https://www.buzzsprout.com/2288412/share
2024-02-19
56 min
MSASA Podcast
Pleasure, Passion & Pain na Baba Ushauri
Send us a textLessons in Life are numerous ila mwisho wa siku #maamuzi ya kutisha nayo ni ya kwako. #Jikubali #YouAreEnough Karibu Kwenye #MsasaPodcast with Legendary Media & Marketing Guru & former East Africa Radio & Choice FM's "The Fix" Presenter Sebastian Mwaikambo. Guest: Sebastian "The Warrior" Mwaikambo #ControlYourThoughts #YouAreWhatYouThink #EmbraceYourPotential -- MSASA PODCAST 🎙 :Website: https://neiked.co.tz/msasa/Follow the MSASA PODCAST channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VaFg...Podcast Streaming: https://www.buzzsprout.com/2288412/share
2024-02-19
54 min
MSASA Podcast
Mungu akitaka kukutumia hakuandikii barua
Send us a textKila mtu ana nafasi yake .Hata kama kwa nje wito utaonekana kufanana haina maana wito wa mtu mmoja na mwingine unafanana.Jiunge nasi leo tuki pata Msasa kwa Gwamaka Mwakalinga talking about his call to greatness. Guest: Gwamaka Mwakalinga#Musician #Worship #Leader #Songcomposer #essenceofworship Host: Hisia MSASA PODCAST 🎙 :Website: https://neiked.co.tz/msasa/Follow the MSASA PODCAST channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VaFg...Podcast Streaming: https://www.buzzsprout.com/2288412/share
2024-02-17
1h 12
MSASA Podcast
Hatua ya kwanza ya kutoboa ni kufeli
Send us a textWaswahili wanasema ukimpiga teke chura, unamuongezea mwendo. 🔥Kwenye episode hii tunapata madini raw kabisa from Fredrick Bundala AKA Sky, living proof of the fruits of perseverance.Guest: Sky Instagram: https://www.instagram.com/skytanzaniaSimulizi na Sauti (SNS): https://www.youtube.com/@SimuliziNaSauti#Author #simulizinasauti #creative #director --Host: Hisia Instagram :https://www.instagram.com/hisiatz/MSASA PODCAST 🎙 :Website: https://neiked.co.tz/msasa/Follow the MSASA PODCAST channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VaFgLWcFnSzBUOWCVm1APodcast Streaming: https://www...
2024-01-28
1h 27
OWN YOUR SPACE, with Jason Johnson
60. Maxwell Ishmail, Building Community (starts with you)
Maxwell Ishmail and I worked together for the 3 years I lived in Denver, Colorado from 2010 to 2013. I invited Max on the show as my guest, for a few reasons. "Thank you, Max", for nudging me to start the podcast.... for putting the idea in my head. Maxwell's energy is.... "life giving"... he's always bringing people together. Max (a union employee) joined me, in Management (non-union)... and we built bridges and tore down the wall that had been up for more than 30 years, between the two sides. It was the biggest metaphorical mountain that I've ever had to climb, in my caree...
2022-02-01
39 min
Unleash your Magic
Unleash Your Magic Show 26/01/22
PART ONE- How to create everything that you’ve never had! In today’s show I’m introducing you all to a group of incredible business women! They are all co-authors alongside myself in our new book due to be released at the end of January; How to create everything that you’ve never had! Kirsty Medelain "Kiki" a 35 year old Scientific Research and Developer. Prior to Scientific research she was in retail management for 10 years. However after 13 operations and a mental breakdown she knew her purpose was to understand the causation of inflammatory disorders and auto...
2022-01-31
58 min
Msasa Media
DJ D OMMY - Azungumzia jinsi anavyoweza kutumia nafasi yake ya U'Dj kutengeneza Fedha.
Mziki mzuri na maelezo ya wasani mbalimbali yana patikana hapahapa jamsingi subscribe ili uwe wa kwanza kupata vibes connection
2020-11-16
40 min
Msasa Media
"COUNTRY BOY" AZUNGUMZIA UMUHIMU WA MSANII KUWA TRENDING YOUTUBE NA VIEWS WENGI KWENYE MUZIKI WAKE.
"COUNTRY BOY" AZUNGUMZIA UMUHIMU WA MSANII KUWA TRENDING YOUTUBE NA VIEWS WENGI KWENYE MUZIKI WAKE.
2020-11-10
37 min
Msasa Media
MSANII PAMD-ATOA MAONI KUHUSU UCHAGUZI MKUU NA ALITUMIA VIPI NAFASI YAKE KUSHAWISHI WATU WAPIGE KURA
Karibu kwa mara nyingine tena kusikiliza show yako matata una weza ku subscribe ili kuwa wakwanza kupata burudani .
2020-11-02
30 min
Msasa Media
Msani BELL 9 azungumzia wimbo aliowahi kuufanya wenye historia kubwa sana kwenye maisha yake.
Karibu sana endelea kupata burudani ya connection vibes ya Msasaonline. Ukibonyeza www.msasaonline.co utafurahia show
2020-10-24
31 min
Msasa Media
BEKA FLAVOUR asimlia mipango yake ya mwaka huu wa 2020
Connection vibes ni bonge la kipindi ambacho ni collection ya story zote za burudani ambacho hupatikana www.msasaonline.com
2020-10-18
32 min
Msasa Media
AY AFUNGUKA MAMBO MAKUBWA KUHUSU MZIKI WA BONGO FLAVOR
wwwmsasaonline.co
2020-10-12
31 min
Msasa Media
SABABU YA HUSSEIN MACHOZI KUJA TANZANIA
KARIBU KWA MARA NYINGINE TENA KWENYE MWENDELEZO WA EPISODE ZA CONNECTION VIBES KIUNDANI ZAIDI BONYEZA www.msasaonline.co ili uweze kuala unapatamwendelezo subscribe
2020-10-03
35 min
Msasa Media
MAONI YA ROSA REE KUHUSU MAPENZI
KARIBU SANA UBURUDIKE NA CONNECTION VIBES YA MSASAONLINE KWA TAARIFA NA BURUDANI TEMBELEA WWW.MSASAONLINE.CO
2020-09-26
1h 51
Msasa Media
CONNECTION VIBES
KARIBU UBURUDIKE NA CONNECTION VIBES
2020-09-19
37 min
Msasa Media
UHUSIANO ULIOPO KATI YA KAZI NA WITO.
Haijalishi uko wapi, unaishi wapi, wewe ni nani na unafanya nini. Ila ukweli ni kuwa kila mmoja wetu ana masaa 24 kwa siku. Na katika masaa hayo hayo tunatumia kwa kupumzika na kufanya mambo mbalimbali katika maisha. Moja kati ya maswali mwanadamu amekua akijiuliza mara kwa mara, ni kutaka kufahamu dhumuni la maisha yake hapa duniani. Tumekua tukijiuliza mimi ni nani? kwanini nipo hapa duniani?.Na katika kutafakari huko ndipo wengi wetu tunafikiria kuhusu kazi au wito wetu. Kwani kuna utofauti mkubwa uliopo kati ya KAZI na WITO. 1. KAZI. Neno "KAZI" linawakilisha aina ya huduma unayoitoa kwa mabadilishano. Kwa kufanya kazi...
2020-08-31
02 min
Msasa Media
SIRI ZA MAFANIKIO YA MTU BINAFSI.
Neno mafanikio kila mtu huwa ana maana yake kwa wakati wake na kwa eneo lake katika maisha. Nikiwa na maana kuwa kila mtu ana tafsiri yake kuhusu mafanikio kutokana na muda na wakati alionao na anaoendelea kuishi hapa duniani. Mfano : kuna mafanikio ya kiafya, kiuchumi, kiuchumi, kimahusiano. Sasa katika makala yetu leo hii tutazungumzia zaidi juu ya Mafanikio ya kiuchumi na kifedha. Hizi ni Siri muhimu ambazo ni nguzo kuu za kukusaidia kufikia Mada makubwa kiuchumi na kifedha. 1. IMANI NA IBADA. Siku zote hakuna njia ya kufanikiwa kirahisi bila ya kuwa na imani na kufanya ibada, na ndio maana kuna...
2020-08-31
03 min
Msasa Media
NAFASI YA TAALUMA NA NIDHAMU KWENYE JAMII.
Nidhamu ni utii, kusikia, na kusikiliza. Nidhamu ni kufuata sheria, kanuni na taratibu kutoka kwa wanaokuongoza. Nidhamu ni kuwa mahala sahihi, wakati sahihi na kufanya jambo lililokuhitaji kuwa mahala pale kwa wakati ule. Nidhamu sio shikamoo, nidhamu sio upole na nidhamu sio Mavazi yenye staha pekee. Nidhamu ni zaidi ya mwonekano nadhifu na mavazi adili. Nidhamu ni mwenendo chanya, tabia nzuri, fikra chanya na kauli jengefu. Taaluma ni maarifa, ujuzi na mjongeo fulani wa fikra unaokuwa umepangiliwa utolewe kwa wanaojifunza ili wawe wataalamu ktk ugha fulani. Taaluma ni mafunzo yatolewayo kwa kufundisha wanafunzi ili wawe wataalamu wa kada fulani ktk...
2020-08-31
01 min
Msasa Media
PAUL POGBA AKUTWA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA.
Kocha wa timu ya taifa ya Ufaransa, Didier Deschamps amesema kiungo wa kati wa klabu ya Manchester United, Paul Pogba amepatikana na maambukizi ya Virusi vya Corona. Kutokana na taarifa hiyo Pogba mwenye umri wa miaka 27 atalazimika kujitenga na wachezaji wenzake ambao wapo kwenye maandalizi ya michuano ya ligi ya Taifa la Ufaransa. Kwahiyo mfaransa huyo atakosa mechi ya kitaifa ya Ufaransa itakayochezwa siku ya Jumamosi tarehe 5 Septemba, 2020 na siku 3 baadae atakosa kwenye mechi dhidi ya Crotia. Hata hivyo Pogba huenda akachaguliwa katika uteuzi wa timu ya ufunguzi Manchester United dhidi ya Crystal Palace kwenye ligi kuu ya Uingereza ndani...
2020-08-29
01 min
Msasa Media
CLOUDS TV NA REDIO ZAFUNGIWA KWA SIKU 7.
MAMLAKA ya Mwasiliano Tanzania (TCRA) imeagiza Clouds TV na Redio kusitisha matangazo yao kwa muda wa siku saba kuanzia kesho Ijumaa 28 Agosti hadi 3 Septemba 2020 kwa kosa la kukiuka kanuni za utangazaji na kanuni ndogo za utangazaji za uchaguzi. Pia, mamlaka hiyo imevitaka Clouds TV na Redio kuomba radhi siku nzima ya leo Alhamisi tarehe 27 Agosti 2020 kwa kosa hilo. Akizungumza na waandishi wa habari makamo makuu ya mamlaka hiyo, Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, James Kilaba amesema, adhabu hiyo inatokana na kukiuka kanuni mbalimbali za utangazaji na kanuni ndogo za wakati wa uchahuzi za mwaka 2015. Kilaba amesema, Clouds TV na Redio walikiuka...
2020-08-29
02 min
Msasa Media
KENYA: MUDA WA WANANCHI KUTOTOKA NDANI WAONGEZWA KWA SIKU 30.
Katika jitihada za kudhibiti maambukizi ya Covid-19, Rais Uhuru Kenyatta ameongeza muda wa wananchi kutotoka ndani kuanzia saa 3 usiku hadi saa 10 alfajiri kwa siku 30. Akihutubia Taifa kutoka Ikulu, amesema baa zitaendelea kufungwa kwa siku 30 huku akiagiza Wizara ya Afya kukutana na wamiliki ili kupata muongozo sahihi wa kuzifungua. Aidha, Rais Kenyatta ameongeza idadi ya watu wanaoweza kuhudhuria misiba na harusi kutoka 15 iliyokuwepo awali hadi 100.Migahawa itafungwa saa 2 usiku baada ya saa 1 usiku kuanzia kesho. Pia, Rais amezitaka Wizara za michezo na Afya kuandaa miongozo ya pamoja ili kurejesha shughuli za michezo nchini humo. Kama utakumbuka siku mbili zilizopita ndani ya...
2020-08-27
01 min
Msasa Media
NEW ZEALAND : ALIYEUA WAUMINI 51 MSIKITINI AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA.
Mahakama imemhukumu kifungo cha maisha jela bila uwezekano wa msamaha Brenton Tarrant(29) aliyeua watu 51 kwenye misikiti miwili nchini humo.mtoto mwenye umri wa miaka 3 alikuwa miongoni mwa waliouawa. Machi mwaka jana, waumini waliokuwa wanasali katika msikiti wa Al Noor na Linwood walishambuliwa na Tarrant ambae alirusha tukio hilo mubashara Kupitia mtandao wa facebook. New Zealand haina adhabu ya kifo na Jaji Cameron Mander amesema hukumu hiyo hutolewa kwa wauaji wabaya zaidi,akiongezea kuwa kitendo kilichofanywa na mtuhumiwa hakikuwa na ubinadamu. Hii ni kwa mara ya kwanza kwa hukumu ya aina hiyo kutokewa katika historia ya New Zealand.Mtuhumiwa ambae ni...
2020-08-27
01 min
Msasa Media
MCHEZAJI WA VALENCIA "DANI PAJERO" AMWAGA MACHOZI BAADA YA KUTEMWA NA TIMU YAKE.
Mchezaji wa muda mrefu ndani ya klabu ya Valencia, Dani Pajero amejikuta akitokwa na machozi baada ya kupigwa chini na klabu yake ya Valencia, na sasa ataichezea klabu ya Villarreal ambao ni wapinzani wa Valencia. Kiungo huyo wa kati wa Uhispania amecheza Valencia mechi 383 tangu mwaka 2008 alipojiunga na klabu hiyo akitokea Getafe, na mwaka 2011 alikaririwa akisema kuwa ndoto yake ni kuja kustaafu klabuni Hapo, lakini kwa bahati mbaya ameshawekwa pembeni. Itakumbukwa Pajero alifanikiwa kuiongoza Valencia Kwenye ubingwa wao wa kwanza tangu 2008, wakati aliposhinda kikombe cha Copa Del Ray msimu wa 2018 / 2019. Vilevile nchini Hispania klabu ya Atletico Madrid imeondolewa kwenye mashindano...
2020-08-15
01 min
Msasa Media
CHINA : NYAMA YA KUKU YAKUTWA NA VIRUSI VYA CORONA.
Sampuli ya vipapatio / mabawa ya kuku yaliyogandishwa, zimegundulika kuwa na virusi vya Corona mjini Shenzhen. Nyama hizo ziliagizwa kutoka nchini Brazil. Baada ya ugunduzi huo, mamlaka za afya ziliwatafuta na kuwapima watu waliokuwa karibu na bidhaa hiyo ambapo majibu yamesema kuwa hawana maambukizi. Aidha eneo ambalo vipande vyenye virusi viliwekwa limepuliziwa dawa na mamlaka inatafuta bidhaa zingine za kampuni hiyo ambayo bado haijawekwa wazi. Hata hivyo shirika la Afya Duniani (WHO) na kituo cha kudhibiti na kuzuia magonjwa Marekani (CDC) zimewahi kusema uwezekano wa kupata Corona ni mdogo kupitia chakula. Taarifa hiyo ya kupatikana kwa Covid-19 kwenye mabawa ya kuku...
2020-08-15
01 min
Msasa Media
LINAH : "MIMI NA MORRISON SIO WAPENZI, NI MARAFIKI TU".
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Linah Sanga (Linah) ameamua kuuvunja ukimya baada ya kusambaa taarifa za kuwepo na mahusiano ya kimapenzi kati yake na mchezaji wa Simba, Benard Morrison. Ule msemo wa "uongo ukiachwa ukasambaa kwa ukubwa zaidi, huwa unageuka ukweli" umejaribu kupingwa vikali na mrembo huyo na kusema kuwa, Yeye na Benard Morrison Ni washkaj tu na wala hakuna mapenzi yoyote yanayoendelea kati yao kama watu wanavyodhani. Linah akaongezea kwa kusema, "yeye ni shabiki yake na mimi ni shabiki yake, tulikutana kwenye mazingira fulani ambayo hata mimi sikutegemea kama ningekuwa hapo, kwani alivyoniona alisema ni mwanamuziki anaefatilia kazi...
2020-08-15
01 min
Msasa Media
IRAN : YATISHIA KUCHUKUA HATUA KAMA MARUFUKU YA SILAHA ITAREFUSHWA.
Rais wa Iran Hassan Rouhani ametishia kuwepo na madhara iwapo baraza la usalama la umoja wa Mataifa litarefusha marufuku ya silaha dhidi ya Iran kwa shinikizo la Marekani. Rouhani amesema kupitia televisheni ya taifa, kwamba azimio nambari 2231 la umoja wa Mataifa, ambalo ni sehemu ya makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa mjini Vienna mwaka 2015 linahitaji marufuku hiyo iondolewe ifikapo mwezi Oktoba. "Hivi sasa wamarekani wamependekeza azimio dhidi ya sehemu ya azimio nambari 2231 ili kulikiuka. Tuna matumaini makubwa kwamba Marekani itashindwa. Tuna matumaini makubwa tena, kwamba Marekani itagundua kushindwa kwake na kushuhudia kutengwa kwake, amesema Rouhani. Marekani ilijitoa kwenye makubaliano hayo mei 2018,na...
2020-08-13
01 min
Msasa Media
TABIA ZA WATU WENYE USALITI KATIKA MAHUSIANO YA KIMAPENZI.
Usaliti ni jambo baya sana katika mahusiano, usaliti si ujanja japo wengi wanaowaza kusaliti huwa wanajiona wajanja.wanajiona wamefanikiwa pale ambapo wanasaliti wenza wao kutogundua kama wanasalitiwa. Siku zote anaekusaliti huwa anajiona mjanja sana, kwamba yeye anasaliti mwenza wake hasaliti. Kwa asilimia kubwa wanaume hujiona kama usaliti ni halali yao, wanataka wao wasaliti lakini wapenzi nb wao wasithubutu kuwasaliti. Kwanini hawataki wenza wao wasaliti? eti wanaumia, hakuna kitu kinacho mchukiza mwanaume kama kusalitiwa. kusaliti asaliti yeye akisaliti mwenzake ni kosa la jinai anaona amedhalilishwa Anajisikia fedheha kwamba Mpenzi wake amemuonaje? amemchukuliaje?hajakamilika idara gani? Anawaza sana na kujiuliza jamii nzima...
2020-08-13
03 min
Msasa Media
FAIDA 8 ZA KUWEKA AKIBA UNAZOPASWA KUZIFAHAMU.
1. Uhuru wa kifedha. Uhuru wa kifedha ni zaidi ya kuwa na fedha, uhuru wa kifedha ni kuwa mtu ambaye unatakiwa kuwa maishani na kuweza kufanya au kupata kile unachokihitaji maishani. Hata hivyo pesa ni muhimu sana kwenye suala la uhuru wa kifedha,ingawa pesa hizi zinatakiwa ziambatane na fikra sahihi. Kwa njia ya kujiwekea akiba utaweza kujijengea msingi mzuri wa kifedha ambao ukiambatanishwa na fikra sahihi utakuletea uhuru wa kifedha. 2. Matumizi mazuri ya pesa. Kama nilivyoeleza hapo mwanzo kuwa kuweka akiba sio kuwa na pesa nyingi bali ni maamuzi na mipango stahiki pekee. Hivyo kuweka akiba kutakufaidisha kwa kukuwezesha kutumia...
2020-08-12
03 min
Msasa Media
MWINYI ZAHERA ASAINI MKATABA WA MIAKA MIWILI GWAMBINA FC.
Mwinyi zahera ametambulishwa rasmi kuwa kocha Mkuu wa klabu ya Gwambina FC ambayo imepanda daraja msimu wa 2019/20 na itashiriki ligi kuu Bara msimu wa 2020/21. Zahera aliwahi kuifundisha yanga ndani ya ligi msimu wa 2018/19 na alianza nayo msimu wa 2019/20 kabla ya kufungashiwa virago kwa kile kilichoelezwa kuwa aliboronga kwenye michuano ya kimataifa. Kocha huyo amesaini dili la miaka 5 na inaelezwa kuwa ataanza kusajili nyota wake ambao alifanya nao kazi ndani ya Yanga. Wanaotajwa kuibukia Gwambina ni pamoja na Mrisho Ngassa na Kelvin Yondani ambao kwa sasa ni wachezaji huru. Vilevile Waziri wa michezo Tanzania, Dkt Harison Mwakyembe ametangaza uamuzi wa serikali...
2020-08-11
01 min
Msasa Media
SOMALIA : WATU 10 WAUAWA KATIKA JARIBIO LA KUVUNJWA GEREZA.
Mamlaka ya Somalia inasema watu 10 wamefariki wakati wa majibizano ya risasi nje ya gereza la Mogadishu. Msemaji wa wizara ya habari alisema mahabusu 6 ambao walikuwa wanamgambo wa kundi la kigaidi Al-Shabab waliuliwa na askari wanne pia waliuawa. Chanzo cha majibizano ya risasi ni jaribio la mahabusu mmoja kutaka kutoroka. Kuna taarifa zinazosema mahabusu mmoja aliweza kupora bunduki kutoka kwa msimamizi wa gereza na baadae mahabusu na wafungwa wengine walivunja chumba cha kuhifadhia bunduki. Kikosi maalumu cha polisi kililelekwa kukabiliana na ghasia hizo ambazo zilikuwa zinalenga kuvunja gereza. Gereza hilo lina wafungwa ambao ni wanamgambo maarufu wa Al-Shabab ambao wanatumikia kifungo...
2020-08-11
01 min
Msasa Media
TANZANIA : MR KUKU KIZIMBANI KWA KUFANYA BIASHARA HARAMU YA UPATU NA UHUJUMU UCHUMI.
Mfanyabiashara,Tariq Machibya (29) maarufu kama Mr kuku, amefikishwa mahakama ya kisutu, akikabiliwa na mashtaka 7 likiwemo la kufanya biashara haramu ya upatu kwa kukusanya fedha za umma zaidi ya Tsh. bilioni 17. Machibya amesomewa mashitaka yake tarehe 10.08.2020 na wakili mwandamizi wa Jamhuri, Simon Wankyo mbele ya hakimu Mfawidhi wa mahakama hiyo, Godfrey Isaya. Mbali na shtaka la kusimamia biashara haramu ya upatu,Mr kuku anakabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi pia ana mashtaka ya kupokea maingizo ya fedha kutoka kwa umma bila leseni na kutakatisha fedha. Anatuhumiwa kupokea maingizo ya fedha kutoka kwa umma aliwadanganya kuwa watafanya ujasiriamali wa ufugaji wa kuku...
2020-08-11
01 min
Msasa Media
RAIS GHANI WA AFGHANISTAN KUWAACHIA WAFUNGWA HATARI WA KUNDI LA TALIBAN.
Rais wa Afghanistan Ashraf Ghani amesema atatoa amri ya kuachiwa huru kwa wafungwa 400 wa kundi la wanamgambo wa Taliban baada ya baraza la jadi la viongozi wa kikabila kuunga mkono hatua hiyo kama njia ya kufufua mazungumzo ya amani. Akizungumza wakati wa hotuba yake ya kufunga mkutano wa baraza hilo linalojulikana kama 'loya jirga' amesema atatia saini amri hiyo kama ilivyotakiwa na kundi la Taliban na baada ya viongozi hao wa kikabila kufikia mwafaka. Uamuzi huo utaondoa kikwazo cha mwisho kilichotatiza kusonga mbele kwa mazungumzo ya kusaka amani kati ya serikali mjini Kabul na kundi la Taliban. Ghani alilazimika kuitisha...
2020-08-10
02 min
Msasa Media
MALAWI : YATANGAZA VIZUIZI VIPYA VYA KUKABILIANA NA JANGA LA VIRUSI VYA CORONA.
Tarehe 09, Agosti, Malawi imetangaza kuyafunga makanisa yote na kumbi za starehe katika awamu mpya ya vizuizi vya kudhibiti ongezeko linalotia wasiwasi la Virusi vya Corona. Vizuizi vipya vilivyotangazwa Kupitia gazeti la serikali vinajumuisha pia amri ya kuvaa barakoa na marufuku kwa Mikusanyiko inayozidi watu 10 isipokuwa kwa shughuli za mazishi zitakazo ruhusu jumla ya watu 50. Mwanasheria Mkuu wa serikali Chikosa Silungwe, amesema kikosi maalumu cha maafisa wa jeshi kimeundwa kuhakikisha Masharti hayo mapya yanatekelezwa. Malawi haijatekeleza marufuku kamili ya shughuli za umma baada ya mahakama kuzuia mwezi Aprili nia ya serikali ya kuifunga nchi nzima kwasababu ilishindwa kutangaza msaada utakaotolewa kwa...
2020-08-10
01 min
Msasa Media
TETESI ZA SOKA KIMATAIFA.
Washindi wa soka la FA Arsenal wana mlenga beki wa kati wa Brazil Diego Carlos huku Mikel Arteta akipanga marekebisho makubwa msimu ujao.(Telegraph - Subscription required). Arsenal itatoa ofa kwa mshambuliaji wa Gabon Pierre -Emerick Aubameyang,31,wiki hii ya pauni milioni 250,000 kwa wiki katika makubaliano ya miaka mitatu kuendelea kusalia kwenye klabu hiyo.(mirror) Hata hivyo, Aubameyang anataka Arsenal kutia saini makubaliano ya hali ya juu kabla ya kukubali mkataba mpya baada ya kuhakikishia klabu hiyo taji ya 14 la kombe la FA. (Le10 sport,via Metro). Aston Villa inamlenga mshambuliaji wa Liverpool,25,raia wa Ubelgiji Divock Origi.(Sun). Maelezo...
2020-08-04
02 min
Msasa Media
PAPA BENEDICT WA 16 ANA HALI MBAYA.
Mkuu wa zamani wa kanisa katoliki, Papa Benedict XVl,ameripotiwa kuumwa sana baada ya kumtembelea kaka yake aliyekuwa mgonjwa nchini Ujerumani na sasa hali yake ni dhaifu sana. Gazeti la Pasaauer Neue presse la nchini Ujerumani limeripoti kwamba Papa Benedict Mwenye umri wa miaka 93 anasumbuliwa na Ugonjwa unaotokana na kirusi kinachosababisha pelepele usoni na maumivu makali, kwa muujibu wa mwandishi wa tawasifu ya Papa huyo , Peter Seewald. Kwa muujibu wa Seewald,"Papa kwa sasa ana hali dhaifu sana" limeandika gazeti hilo ."Akili na uwezo wake wa kufikiri bado viko makini lakini sauti yake inasikika kwa shida sana. Seewald alimtembelea Papa...
2020-08-04
02 min
Msasa Media
MAMBO MATATU AMBAYO NI SUMU KATIKA MAHUSIANO YA KIMAPENZI.
Katika harakati zako za kutafuta mpenzi, unaweza kukutana na mwanamke ambaye kwasababu moja ama nyingine anakuondolea uwezo wako wa kufikiri, kutumia mantiki na pia kutumia akili yako ya kuzaliwa.si lazima awe amekufanyia kitu, lakini inaweza kuwa ni ulevi wako tu unasababisha ufanye mambo yasiyo ya kawaida.pengine ndio maana baadhi ya wasanii huzungumzia suala la "kudata" kutokana na mapenzi. Ni jambo jema kudhani kuwa wewe na mpenzi wako mnapendana kwa dhati na kwamba kila mmoja amefika kwa mwenzake, lakini kama moja wapo ya mambo haya yaliyoelezwa hapa chini litajitokeza basi fahamu kuwa yamkini unependa kuliko kawaida, yaani ni kama...
2020-08-04
03 min
Msasa Media
SOMALIA: MWANDISHI AFUNGWA MIEZI 6 KWA KUIKOSOA SERIKALI KUHUSU CORONA.
Mahakama ya Somalia imemuhukumu mwandishi wa habari maarufu nchini humo, Abdiaziz Ahmed Gurbiye kifungo cha miezi 6. Abdiaziz ambae ni mhariri mkuu na naibu mkurugenzi wa shirika binafsi la Goobjoog, mjini Mogadishu, alishtakiwa kwa kuikosoa Serikali ya Somalia katika kukabiliana na mlipuko wa Corona. Mahakama ya mjini Banadir ilimtaka kutoa faini ya shilingi milioni 5 za Somalia (208.3 USD) kwa kuchapisha taarifa za kizushi na kuitusi Serikali na mahakama, muda mfupi baada ya kuhamishiwa katika Gereza la Mogadishu. Wakili wake anasema Mahakama ilitumia sheria iliyopitwa wakati wa kutoa hukumu hiyo. Kesi ya Gurbiye imekua ikiendelea kwa miezi kadhaa, ilikua ni miongoni mwa kesi...
2020-07-30
01 min
Msasa Media
RWANDA NA BURUNDI: ZATANGAZA SIKU 3 YA MAOMBOLEZO KUTOKANA NA KIFO CHA MKAPA.
Rais wa Rwanda Paul Kagame ametangaza siku 3 za maombolezo kuanzia July 27 - 29, 2020 kufuatia kifo cha aliekuwa Rais wa Tanzania, Benjamin William Mkapa. Kagame ambae pia ni mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika mashariki (EAC) amemzungumzia Hayati Benjamin kama kiongozi ambae mchango wake ulienda nje ya mipaka ya Tanzania. Vilevile Serikali ya Burundi imetangaza siku 3 za maombolezo kutokana na kifo cha Benjamin William Mkapa. Waziri mkuu wa Burundi, Alain Guillaume Bunyoni atakaeiwakilisha nchi yake katika msiba huo, ameshawasili jana nchini Tanzania na kupokelewa na mkuu wa mkoa wa Kigoma, CP Thobias Andengenye katika mpaka wa Manyovu. Rwanda na Burundi zinaungana na Watanzania...
2020-07-27
01 min
Msasa Media
VIONGOZI WA AFRIKA WASHINDWA KUPATANISHA MZOZO WA MALI.
Viongozi wa Mataifa ya Afrika magharibi wamemaliza siku nzima wa mkutano wa kilele hapo tarehe 24, Julai bila ya kufukia makubaliano juu ya mgogoro wa kisiasa unaotokota nchini Mali. Viongozi watano wa Mataifa ya Afrika magharibi wamekutana na Rais wa Mali Ibrahim Boubacar Keita, pamoja na viongozi wa vuguvugu la maandamo wanaomtaka ajiuzulu. Hata hivyo, upatanishi ilishindikana,na Rais wa Niger Mahamadou Issoufou pamoja na wenzake wa Senegal,Ivory Coast, Ghana, Nigeria wamesema jumuiya ya uchumi wa Mataifa ya Afrika magharibi, ECOWAS itaitisha mkutano mwingine wa kilele Jumatatu. Vuguvugu la Juni 5 lililopewa jina la siku yalipoanza maandamo hayo,linamtaka Keita aondoke...
2020-07-26
01 min
Msasa Media
CHINA YAIAMURU MAREKANI KUFUNGA OFISI YAKE YA KIDIPLOMASIA CHENGDU.
Wizara ya mambo ya nje ya China,imeiamuru Marekani kufunga jengo lake la kidiplomasia lililopo Chengdu China, Uamuzi umekuja baada ya Marekani kufunga ofisi ya kidiplomasia ya China iliyopo Texas, Marekani. Kufungiana ofisi za kidiplomasia linaonekana kuwa suala linalozidi kuleta utengano kwa Mataifa hayo ambayo awali yalianza kwa kuwekeana vikwazo katika upatikanaji wa VISA,na kuongeza sheria kwa wanaosafiri kidiplomasia. Awali, Marekani ililaumu ofisi za China wanasaidia wizi wa kijeshi unaoiba tafiti za wamarekani.pia, walilaumu watu wa ofisi hizo kutumia majina yasiyo halisi katika kufanikisha suala la kuiba taarifa za kiintelijensia. Maafisa wa China wanasema utawala wa Rais Trump...
2020-07-26
01 min
Msasa Media
WATU ZAIDI YA MILIONI 1.8 WANATAFUTA HIFADHI NCHINI UJERUMANI.
Idadi ya watu wanaotafuta hifadhi nchini Ujerumani kutokutoka na vita ama mateso katika nchi zao iliongezeka kupita milioni 1.8 mwishoni mwa mwaka jana kulingana na takwimu rasmi zilizotolewa tarehe 23, Julai. Idara ya takwimu ya serikali kuu (Destatis) imesema kuwa nb idadi hiyo iliongezeka kwa kiwango cha chini cha kila mwaka kutoka asilimia 3 mnamo mwaka 2012, idadi hiyo ilijumuisha raia wa kigeni ambao walikuja nchini Ujerumani kwasababu za kisheria, kisiasa ama kibinadamu. Mnamo Desemba 31, takribani watu 266000 miongoni mwa waomba hifadhi hao walikuwa bado wanasubiri uamuzi wa mwisho wa maombi yao ya kutafuta hifadhi, idara hiyo ya (Destatis) imeripoti kuwa kiwango hicho ni asilimia 13...
2020-07-25
01 min
Msasa Media
LIBYA: MIILI YA WATU 7 WAGUNDULIWA KATIKA KABURI LA PAMOJA.
Miili ya watu 7 imegunduliwa katika kaburi moja katika mji uliokuwa umetekwa na waasi Libya. Miili ya watu 7 ambao wanakisiwa kuwa raia imegunduliwa katika mji wa Terhune, mji ambao ulikuwa umetekwa na waasi nchini Libya. Mji huo ulikombolewa mnamo June 5 baada ya makubaliano makali kati ya jeshi la serikali inayotambulika na jumuiya ya kimataifa na wapiganaji wa jenerali Khalifa Haftar. Kiongozi wa jopo lililoandaliwa kwa ajili ya kufanya uchunguzi kuhusu mauaji katika maeneo yaliyokuwa yametekwa na waasi Libya Kemal es Seyewi amefahamisha kuwa katika hatua iliyopigwa hadi kufikia sasa ni miili ya watu 7 ndio iliyogunduliwa katika kaburi la pamoja. Miili hiyo...
2020-07-25
01 min
Msasa Media
JAJI MKUU WA IRAN AMESEMA HAWATIKISWI NA VILIO KUHUSU ADHABU YA KIFO KWA WAANDAMANAJI.
Jaji mkuu wa Iran Ebrahim Rais amefifisha matumaini kwamba adhabu ya kifo iliyotolewa kwa waandamanaji watatu vijana wa kiiran itafutwa kufuatia malalamiko ya mitandaoni. Jaji mkuu huyo amesema maandamano yanakubalika lakini machafuko na fujo vinavyohatarisha usalama wa taifa ni mstari mwekundu. Ameongeza katika matamshi yaliyochapishwa na shirika la habari Isna, kwamba katika matukio kama hayo mahakama haiwezi kushawishiwa na kampeni na propaganda. Chini ya hashtag ya kupinga hukumu hiyo ya No ToExecution, mamillioni ya raia wa Iran wametumia Mitandao ya kijamii kupinga hukumu baada ya mahakama ya juu kuthibitisha adhabu ya kifo iliyotolewa dhidi ya Amirhossein M, Mohammad R, na...
2020-07-22
01 min
Msasa Media
HUMAN RIGHTS WATCH YAIKOSOA JAPAN KWA UDHALILISHAJI WATOTO KATIKA MAANDALIZI YA OLIMPIKI.
Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch,limedai kuwa kuna Utamaduni wa udhalilishaji wa kimwili wa kimaneno unaowalenga wanariadha vijana nchini Japan,Ikiwa imesalia mwaka mmoja kuelekea mashindano ya michezo ya olimpiki ya dunia yanayopangwa kufanyika mjini Tokyo. Shirika hilo limesema lilifanya mahojiano zaidi ya 50 na wanariadha watoto wa sasa na wa zamani kwa ngazi tofauti za mashindano, utafiti wa mtandaoni na mashirika ya michezo. Waligundua kuwa watoto nchini Japan,bado wanapitia udhalilishaji michezoni na limeainisha maswala ya kitaasisi ambayo yanayofanya uitikiaji wa taifa hilo kwa matukio kama hayo kukosa ufanisi. Shirika la michezo la Japan limesema...
2020-07-22
01 min
Msasa Media
FAIDA ZA KUTUMIA MITANDAONI YA KIJAMII ILI KUTANGAZA BIASHARA YAKO.
1. Inachangia kufahamika zaidi kwa biashara yako. Mitandao ya kijamii ni moja ya njia za kutangaza biashara yako kwa gharama nafuu zaidi na inauhakika wa kuwafikia wateja wengi zaidi, kwani asilimia kubwa ya watu wengi sasa hivi wanatumia muda mwingi sana katika mitandao ya kijamii hivyo kutangaza biashara yako kutakuongezea idadi ya wateja na watu wenye ufahamu wa kutosha kuhusu biashara yako kwa ujumla. 2. Inapanua wigo wa kupata wateja wapya tofauti na wale wanaokuzunguka. Kutumia mitandao ya kijamii kwa ajili ya kutangaza biashara yako kuna kuongezea wigo wa wateja wapya ambao ni vigumu kufahamu kuhusu biashara yako kwani wako mbali na...
2020-07-21
03 min
Msasa Media
MBINU MPYA ZA KUMFANYA MTEJA WAKO KUWA MFALME.
Naomba pasipo kupoteza wakati nikukaribishe katika somo letu la leo,na siku ya leo tutazungumza kuhusiana na mbinu moja itakayo kusaidia katika ukuaji wa biashara. Moja kati ya changamoto kubwa kubwa ya ufanyaji wa biashara ni kule kufanya kazi kwa mazoea, nasema hivi kwasababu wafanyabishara wengi husikika wakisema ya kwamba mteja ni mfalme, lakini katika hili kumekuwa na ukakasi ni wateja wachache sana ambao huona ufalme huo. Hii ni kwasababu wafanyabishara wachache sana ambao wamekuwa wakijua ni nini maana ya mteja. Wafanyabishara wengi wamekuwa wakimchukulia mteja pale anapokuja kwenye biashara ambayo anafanya tu.kufanya hivi kutakufanyanya kuiona ramani ya biashara...
2020-07-21
02 min
Msasa Media
KANYE WEST AJITOA KWENYE MBIO ZA KUGOMBEA URAIS WA MAREKANI.
Wakati taifa la Tanzania likiwa kwenye maandalizi ya uchaguzi mkuu mwezi Oktoba mwaka huu 2020, huku ikishuhudiwa muamko mkubwa wa wasanii na watu maarufu wakijitokeza kuchukua fomu kwaajili ya kuhitaji ridhaa ya kugombea nafasi mbalimbali. Nchini Marekani msanii Kanye West amejitoa kwenye mbio hizo za kugombea nafasi ya Urais. Rapa Kanye West alitangaza azma yake ya kugombea nafasi ya Urais kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu ndani ya Marekani, huku akiwa anajaribu kushindana na Donald Trump ambae alikua ni rafiki yake kwenye harakati za kumsaidia kumfanyia kampeni wakati anataka kuingia White House. Taarifa za Kanye West kujiondoa kwenye mbio hizo zimetolewa...
2020-07-15
01 min
Msasa Media
HUAWEI YAPIGWA MARUFUKU KUWEKA MITAMBO YA 5G NCHINI UINGEREZA.
Uingereza imepiga marufuku Kampuni ya Huawei kuweka mitambo ya 5G huku kampuni kama BT (BTGOF) na Vodafone (VOD) zikipewa muda mpaka 2027 kuondoa mitambo ya kampuni hiyo kwenye mitandao yao. Waziri wa masuala ya kidigitali na Utamaduni, Oliver Dowden amesema kutokana na hali ya sintofahamu inayozunguka Kampuni hiyo ya china, Uingereza imekosa imani na mitambo ya 5G ya Huawei. Marufuku iliyotolewa na Uingereza ni ushindi mkubwa kwa Marekani ambayo imekua ikishinikiza Mataifa kupiga marufuku Kampuni hiyo kwa madai kuwa ni tishio kwa usalama wa taifa. Uamuzi wa Uingereza umetejwa kuwa ni pigo kubwa sana kwa kampuni ya Huawei kwani soko muhimu...
2020-07-15
01 min
Msasa Media
MENEJA WA DIAMOND, SALLAM SK ACHAGULIWA KUWA BALOZI WA UNIVERSAL MUSIC GROUP AFRIKA MASHARIKI.
Hayo yameelezwa na mwanamuziki Diamond Platinumz Wakati lebo ya WCB ikizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Kuhusu usiku wa Zuchu utakaokuwa Julai 18 mwaka huu mlimani city jijini Dar es salaam. "Sijui kama nilitakiwa kusema hili au la, lakini bosi wangu Sallam atakuwa balozi wa Universal Music Group east Afrika (Afrika mashariki),na tunaamini kupitia yeye ataboresha zaidi", ametangaza Diamond. Mwanamuziki huyo amesema hayo wakati akijibu swali la mwandishi wa habari aliyetaka kufahamu uzoefu alioupata kwa kufanya kazi na kampuni hiyo kwa miaka minne, na nini kinasababisha wasanii wengine kuilalamikia Kampuni hiyo. Akijibu amesema kuwa amejifunza mengi na...
2020-07-14
01 min
Msasa Media
MKE WA MSANII RAY J (PRINCESS LOVE), ASITISHA KUDAI TALAKA MAHAKAMA.
Ule msemo wa wapendanao wakigombana chukua jembe ukalime, umeonekana kudhihirika baada ya Princess Love ambae ni mke wa msanii Ray J, kuamua kurudi mahakamani kusitisha kesi yake ya kudai talaka kutoka kwa mumewe. Princess Love alifungua file la kudai talaka mwanzoni mwa May, 2020 Baada ya kuwa Kwenye mahusiano ya ndoa na Ray J kwa kipindi cha miaka 4, huku wakifanikiwa kupata watoto wawili (Melody love & Epik Ray). Wawili hao wamekuwa hawaishi pamoja kwa muda wa mwaka mmoja sasa, huku sababu kubwa iliyopelekea kuachana ni kutokana na Ray J kusemekana kumuacha Princess Las Vegas wakati alipokuwa na ujauzito wa miezi 8 wa mtoto...
2020-07-14
01 min
Msasa Media
MJASIRIAMALI LAZIMA AELEWE MAMBO HAYA
.Habari rafiki mpendwa, natumaini unaendelea vizuri na mapambano ya maisha.Nikutie tu moyo endelea na harakati hizo naamini ipo siku utayaona matunda ya unachokifanya.Kama kawaida leo nakuletea makala nyingine hii ni juu ya sifa za mjasiriamali. Kuna watu wengi sana wanajiita wajasiriamali lakini kiuhalisia si wajasiriamali.Hii imenifanya nifikirie juu ya hili. Zifuatazo ni sifa za mjasiriamali na kama huna sifa kati ya hizi basi hujawa mjasiriamali wa ukweli bali utakuwa unabip tu. sifa zenyewe ni kama zifuatazo, 1. AWE NA MALENGO Hii ni sifa kubwa ambayo mjasiriamali anatakiwa kuwa nayo, kwanza lazima uwe na malengo uliyojiwekea kwamba unataka kufikia...
2020-07-14
03 min
Msasa Media
MBINU TANO ZA KUTAKA KUINGIA KATIKA BIASHARA.
Zifuatazo ndizo hatua tano jinsi ya kuwa mfanyabiashara mwenye mafanikio. 1. Ainisha aina za biashara ambazo unataka kuzifanya. katika hili ni kwamba kama unataka kuwa mfanyabiashara mwenye mafanikio, unatakiwa kuainisha aina mbalimbali za biashara ambazo unataka kuzifanya huwenda zikawa ni zaidi ya biashara hata sita.Ukisha pata biashara hizo jaribu kuwashirikisha hata baadhi ya ndugu na jamaa ili wakupe mtazamo wao ni biashara ipi inafaa. 2. Chagua biashara moja ambayo unaona inafaa. Hatua ya pili baada ya kuwashirikisha ndugu na jamaa, unachotakiwa kufanya ni kwamba kaa chini pamoja na halmashauri yako ya kichwa ili kuweza kupambanua ni biashara ipi ambayo inafaa, baada...
2020-07-13
02 min
Msasa Media
KAULI YA KWANZA YA SHILOLE TOKA APIGWE MUMEWE - UCHEBE
Mwanamuziki wa bongo na mfanyabiashara Shilole ameibuka tena baada ya siku chache kuposti picha zikimuonyesha ameumizwa na mume wake baada ya kupigwa na mumewe leo ameibuka na kuwashukuru watanzania kwa ushirikiano Kipindi cha matatizo yake. Kupitia ukurasa wake wa instagram Shilole aliandika hivi Salaam ndugu zangu, Nimeona upendo, nimeona heshima na kukubalika kwa kiwango cha pekee katika wakati huu wa changamoto niliyokutana nayo. Nashukuru sana kwa upendo wenu, nashukuru sana wote walionijulia hali na kuniombea dua. Kuhusu maendeleo yangu mimi niko sawa naendelea kupambana.Changamoto ni sehemu ya maisha haziwezi kunifanya nianguke, lakini yote hayo si kwa nguvu zangu ni...
2020-07-13
01 min
Msasa Media
MWANAMKE WA KWANZA MWEUSI KUENDESHA NDEGE YA KIKOSI CHA WANAMAJI MAREKANI.
Luteni Jenerali Madeline Swegle amekuwa mwanamke wa kwanza Mmarekani mweusi kuendesha ndege ya kivita inayotumiwa na kikosi cha wanamaji cha Marekani. Ameandika historia kwa kupaa angani kama rubani wa ndege ya kivita ya Marekani inayotumiwa na wanamaji na atatunukiwa cheo cha "wings of Gold" au (mbawa za dhahabu), baadae mwezi huu wa Julai kwa mujibu wa ujumbe wa twitter uliotumwa alhamisi wiki hii na mkuu wa mafunzo ya ndege za kijeshi za majini. Mkuu wa mafunzo ya kijeshi alimsifu Bi Swegle akitumia herufi"BZ" au "Bravo Zulu",neno linalotumiwa na wanajeshi wanamaji linalomaanisha"umefanya vyema". BZ kwa Lt.j.g...
2020-07-13
01 min
Msasa Media
KWAMARA YA KWANZA ALI NA MONDI KUCHANGIA STAGE MOJA
Diamond na Alikiba pamoja na wasani wengine kutumbwiza pamoja na kwenye jukwa moja hukwo DODOMA
2020-07-13
02 min
Msasa Media
BEKA FLEVA KUMSIFIA MPENZI WAKE KUMELETA GUMZO MITANDAONI
BEKA na mzazi mwenzake kuna wakati ilisemekana wa meachana ila kwa awamuhii imeonekana Beka kumshurikisha kwenye mziki wake mpya kitu ambacho mashabiki hawaelelewi kua wa meridians au vipi?
2020-07-13
02 min
Msasa Media
ZARI THE BOSS ALICHO KISEMA KUHUSU WATOTO WAKE NA DIAMOND
Inaonekana hii couple ya ZARI na Daimondi kurudiana na siku hizi kama vile kuna kujaliana hadi kununuliana gari na zari kutumia nafasi hiyo kupata attentions toka kwa mashabiki zake.
2020-07-13
01 min
Msasa Media
UHOLANZI: KUISHITAKI URUSI KATIKA MAHAKAMA YA ULAYA KWA KUIANGUSHA NDEGE YA MALAYSIA.
Taifa la Uholanzi limesema litaishitaki Urusi katika mahakama ya Ulaya kuhusu haki za kibinadamu ya ECHR kwa hatua yake ya kuiangusha ndege ya shirika la ndege la Malaysia mwaka 2014. Jamaa wa wahanga 65 wa Uholanzi waliofariki kwenye ajali ya ndege waliwasilisha malalamiko yao kwenye mahakama hiyo yenye makao makuu mjini Strasbourg, wakiitaka Urusi kubeba dhamana ya tukio hilo ambapo watu wote waliokuwepo kwenye ajali hiyo walipoteza uhai. Uholanzi na Australia zimesema zinaibebesha jukumu kubwa nchi ya Urusi kwa kuiangusha ndege hiyo iliyokua safarini kuelekea Kuala Lumpur kutoka Amsterdan. Waziri wa mambo ya nje wa Uholanzi Stef Blok amesema upatikanaji wa haki...
2020-07-13
01 min
Msasa Media
SYRIA: HOSPITALI ZAFUNGWA BAADA YA MGONJWA WA KWANZA WA CORONA KURIPOTIWA MKOANI IDLIB.
Hospitali katika eneo la kaskazini magharibi mwa Syria zimeamua kusitisha huduma zisizokua za dharura baada ya kisa cha kwanza cha maambukizi ya virusi vya CORONA kuripotiwa. Vilevile idara inayosimamia elimu imetangaza kufunga shule zote. Kwa mujibu wa afisa mmoja mwandamizi wa afya, kisa cha kwanza cha Ugonjwa wa Covid-19 kiliripotiwa siku ya alhamisi ya tarehe 9, Julai 2020 katika mkoa wa Adlib, eneo la mwisho lililodhibitiwa na wapinzani. Daktari aliyegundulika kuwa na maambukizi ya Virusi vya Corona tayari ameshajitenga na katika wadi maalumu ya hospitali ya Bab al-Hawa huku wagonjwa na wahudumu wengine wa afya aliokaribiana nao wakiwekwa Karantini. Kumekuwa na wasawasi...
2020-07-13
01 min
Msasa Media
MAREKANI YAIARIFU UN HATUA YA KUJIONDOA WHO.
Serikali ya Marekani imeuarifu rasmi Umoja wa Mataifa juu ya uamuzi wake wa kujiondoa kutoka shirika la Afya Dunia (WHO), ifikapo mwaka 2021. Rais wa Marekani Donald Trump amewasilisha taarifa hiyo siku ya Jumatatu kwa katibu Mkuu wa Umoja huo, Antonio Guterres. Mwishoni mwa mwezi Mei Trump alisema atajiondoa kwenye shirika hilo ikiwa ni katika kupinga namna inavyoshughulikia janga la Virusi vya Corona. Umoja wa Mataifa umethibitisha kupokea taarifa hiyo inayosema Marekani itajiondoa katika shirika hilo ifikapo Julai 6, 2021. Msemaji wa Umoja wa Mataifa Stephane Dujarric amesema kulingana na nafasi aliyonayo Guterres kama mwenye dhamana ya katiba ya WHO ya mwaka 1949, yuko...
2020-07-08
03 min
Msasa Media
KUELEKEA MCHEZO WA WATANI WA JADI (SIMBA NA YANGA), AZIM DEWJI ATOA NENO.
Aliewahi kuwa mfadhili wa klabu ya Simba ya Kariakoo Jijini Dar es salaam, Tanzania "Azim Dewji ameliomba Shirikisho la mpira nchini Tanzania (TFF), kuupeleka mbele mchezo wa watani wa Jadi (Simba na Yanga) kwa Wiki moja zaidi ili kuupisha mkutano mkuu wa chama cha Mapinduzi CCM ambapo utafanyika siku hiyo hiyo ya mchezo. Dewji ameyasema hayo wakati kukiendelea kwa matayarisho ya mchezo huo wa nusu fainali ya kombe la shirikisho la TFF yakiendelea kufanyika kwa vilabu na mamlaka ya mpira. Mwanachama huyo wa klabu ya Simba amesema kuruhusu matukio hayo yote kufanyika kwa wakati mmoja, yatazuia wapenzi ambao ni viongozi...
2020-07-08
01 min
Msasa Media
SHILOLE: ASIMULIA JINSI ANAVYOPIGWA SANA NA MUME WAKE "UCHEBE".
Hatimae msanii Shilole kupitia ukurasa wake wa instagram, ameamua kuanika ukweli wote kuhusu ndoa yake na mumewe Uchebe jinsi unavyoendelea. Shilole amesema ni mara nyingi amekua akiambulia kipigo kutoka kwa Uchebe kwa sababu ambazo sio za msingi, Msanii ameongezea kwa kusema mume wake ni mara nyingi amekua akimuonesha upendo wa kweli na kumvumilia kwa mapungufu yake yote, huku akimpatia mali zake lakini hilo halikumfanya ashindwe kudharauliwa, kupigwa na kusalitiwa.
2020-07-08
03 min
Msasa Media
RAIS WA BRAZIL "JAIR BOLSONARO" AMETHIBITISHA KUPATA CORONA.
Rais wa Brazil Jair Bolsonaro amethibitika kupata maambukizi ya virusi vya Corona, baada ya kuwa na tabia ya kupuuzia ugonjwa huo kwa kuuita mafua tu yasiyokuwa na athari kubwa. Taarifa ya maambukizi ilianza tangu siku ya Jumatatu baada ya kupimwa na kukutwa na kiwango cha juu cha joto. Aidha Jair Bolsonaro pia alikua amewataka magavana kulegeza masharti yaliyowekwa kama njia moja ya kukabiliana na Ugonjwa wa virusi vya Corona akisema kuwa hatua hizo zimeathiri uchumu, huku yeye mwenyewe siku hiyo ya Jumatatu akisahau kuvaa Barakoa. Rais huyo wa Brazil alishawahi kusema kuwa hata kama akipata Corona, hatakuwa na wasiwasi wowote...
2020-07-08
01 min
Msasa Media
INDIA: UUZAJI WA NYAMA YA MBWA YAPIGWA MARUFUKU.
Mkoa wa Nagaland unaopatika mashariki mwa India imepiga marufuku uuzaji wa nyama ya mbwa iliyokua inafanyika kwa muda mrefu. Kulingana na taarifa iliyotolewa na jarida la The Indian Express, ni kwamba katibu wa jimbo la Temjen Toy nchini India amesema kwamba Serikali yake imechukua uamuzi wa kupiga marufuku biashara ya kuuza nyama ya mbwa kwa hali yoyote. Siku zote nyama ya mbwa imekua ikiliwa kitamaduni katika majimbo ya kaskazini mashariki mwa India. Baadhi ya mashirika ya kiraia katika maeneo hayo yamekemea uamuzi huo wakati ambapo shirika la kimataifa la haki za wanyama limepongeza uamuzi huo uliochukuliwa na serikali. Zaidi ya...
2020-07-07
07 min
Msasa Media
HISPANIA: YATANGAZA HATUA MPYA ZA KUZUIA COVID-19 KUSAMBAA.
Jimbo la Galicia lililoko kaskazini magharibi mwa Uhispania limeweka hatua mpya za kuzuia kusambaa kwa virusi vya Corona kutokana na mlipuko mpya wa Virusi hivyo. Uamuzi huo umechukuliwa siku moja baada ya jimbo la Catalonia kutangaza masharti yanayowazuia watu kutoka nje ili kuzuia kuenea kwa virusi vya Corona. Aidha serikali ya India imeamua kutolifungua tena eneo la kihistoria la Taj Mahal, kutokana na maambukizi kuongezeka kwa kasi kwenye mji wa Agra. Naye Rais mpya wa Malawi, Lazarus Chakwera amefuta maadhimisho ya uhuru wa nchi hiyo pamoja na sherehe za kuapishwa kwake kutokana na kuongezeka kwa maambukizi ya Covid-19. Mexico jana...
2020-07-06
01 min
Msasa Media
MADHARA YA KUKAA NA MKOJO KWA MUDA MREFU.
Utakubaliana na mimi kwamba kitendo cha mtu kubanwa na haja ndogo siyo kitu cha hiari kwamba sasa mtu anaamua ngoja sasa nibanwe na mkojo,hili ni jambo la asili na ni matokeo ya vyakula, matunda,au vinywaji tunavyotumia.Kwa lugha nyingine tumekuwa tukiita kuwa ni wito wa asili au nature's call. Yawezekana mtu akawa katika mkutano, safarini,akawa katika mitandao ya kijamii anachati au popote pale akiwa anafanya jambo fulani na kutokana na jambo hilo, Mtu akaendelea kujibana na kutokwenda kupunguza maji hayo kutoka katika kibofu cha mkojo kwa kutoa kipaumbele kwa shughuli anayoifanya kuliko kusikiliza wito huu wa asili...
2020-07-06
02 min
Msasa Media
TRUMP: "KUONDOLEWA KWA SANAMU ZA VIONGOZI MBALIMBALI, KILILENGA KUFUTA HISTORIA"
Rais wa sasa wa Marekani "Donald Trump" amezungumzia kuhusu vitendo vya kuondolewa kwa sanamu za viongozi mbalimbali nchini kwake, amesema "Ni kampeni iliyolenga kufuta historia" Ameongea kuwa vitendo hivyo vilivyofanywa na umati wa watu wenye hasira wakati wa maandamo vililenga kuwashusha hadhi mashujaa wa taifa hilo, na watu wote waliohusika wanaweza kuhukumiwa kifungo hadi cha miaka 10 jela. Trump amesema hayo akiwa mlima Rushmore Kwaajili ya maadhimisho ya Julai 4, hafla ambayo imehudhuriwa na watu takribani 7,500 huku kukiwa hakuna tahadhari yoyote ya kujikinga na Virusi vya Corona. Licha ya rekodi mpya ya maambukizi, Trump alizungumzia mlipuko huo kwa ufupi, huku akishuhudia watu...
2020-07-05
01 min
Msasa Media
PROF JAY NA P- FUNK WAMALIZA TOFAUTI ZAO.
Baada ya kuwa na tofauti kwa wakongwe wa muziki wa Bongo Fleva kutokea Tanzania, kati ya msanii Prof Jay na mtayarishaji P Funk, inaonekana kwa sasa wawili hao wameweka pembeni tofauti zao na sasa hivi ni kazi tu. Prof Jay ambae pia ni mbunge wa jimbo la Mikumi mkoani Morogoro, ameposti picha kupitia account zake za Instagram na Twitter akiwa na mtayarishaji huyo ndani ya studio yake ya Mwanalizombe iliyopo Mikumi Morogoro. Baada ya kuposti picha hiyo, Prof Jay akaandika hivii, "Ni baraka juu ya baraka Mwanalizombe studio inazidi kupasua anga, "Bomb Bomb fire, na leo tumebahatika kutembelewa magomvi wawili...
2020-07-05
01 min
Msasa Media
WILL SMITH AKATAA, BAADA YA AUGUST ALSINA KUDAI KUWA NA MAHUSIANO NA JADA PINKETT SMITH.
Moja ya taarifa iliyoshangaza ulimwengu wa burudani jana, ilikua ni baada ya Msanii wa RnB "August Alsina" kusema kuwa ni miaka minne sasa amekua kwenye mahusiano ya kimapenzi na mke wa Will Smith, Jada Pinkett Smith japokua ilikua ni siri lakini alipata baraka zote kutoka kwa Will. Sasa baada ya taarifa hiyo kufikia watu mbalimbali, kumekua na mapokeo ya kitofauti kwani wengi wao wanasema wala hawaendani kuwa wapenzi japo umri sio ishu kubwa. Lakini cha kushangaza zaidi ni kuwa baada ya Alsina kuweka wazi, mwana mama Jada Pinkett Smith pamoja na mume wake wamejitokeza kila mmoja kwa wakati wake na...
2020-07-04
06 min
Msasa Media
UNANIONEA
Mziki wa msani Marioo umeonekana kufanya vizuri ndani na nje ya Tanzania
2020-07-04
00 min
Msasa Media
MSIMU MPYA WA MTV
Licha ya corona kuvuruga mambo mengi ila bado kuna shughuli zingine zinaendelea.
2020-07-04
01 min
Msasa Media
IKIFIKA WAKATI WA KUACHANA SIO LAZIMA MGOMBANE.
Kuna wakati inakulazimu uachane na mshirika wako (Business partner) ambae mlikua na Malengo ya kufika mbali sana kutokana na malengo mliyojiwekea. Kuna wakati inakubidi uachane na bosi wako ambaye ndie aliekusaidia kukufundisha kazi hapo mwanzo na mpaka ukawa imara. Kuna wakati ni lazima tu uachane na mtu uliekua unampenda sana, na ulidhani ungekuwa nae kwa kipindi chote cha maisha yako duniani. Vile vile kuna wakati katika maisha utatakiwa uachane na watu, ofisi, au chama cha siasa hata kama ulikua unawategemea. Sasa ukifika wakati huu kuna mambo ya KUZINGATIA. 1. Sio lazima UANZISHE UGOMVI na unaoachana nao. Unaweza kuachana nao kwa HESHIMA...
2020-07-04
01 min
Msasa Media
CHINA: YATANGAZA HATUA MPYA DHIDI YA VYOMBO VYA HABARI VYA MAREKANI.
Serikali ya China imeyataka mashirika manne ya habari ya Marekani kutoa maelezo ya kina kuhusu opereseheni zao nchini China ikiwa ni hatua ya kulipiza kisasi katika ugomvi wao wa vyombo vya habari na utawala wa Trump. Mashirika hayo ya Associated Press United Press International, CBS News na National Public Radio yanahitajika kufichua taarifa kuhusu wafanyakazi wao, taarifa za kifedha, opereseheni zao pamoja na mali isiyohamishika nchini China katika siku 7 zijazo. Msemaji wa Wizara ya mambo ya kigeni ya China, Zhao Lijian amesema maelezo hayo ni muhimu ili kukabiliana na hatua ya Marekani ya kuvikandamiza vyombo vya habari vya nchini China...
2020-07-03
01 min
Msasa Media
TCRA YAVITOZA BAADHI YA VYOMBO VYA HABARI FAINI NCHIN
Matumizi mabaya ya vyombo vya habari
2020-07-03
01 min
Msasa Media
JADA NA WILL SMITH WAKATAA, BAADA YA AUGUST ALSINA KUDAI KUWA NA MAHUSIANO NA JADA PINKETT SMITH
Moja ya taarifa iliyoshangaza ulimwengu wa burudani jana, ilikua ni baada ya Msanii wa RnB "August Alsina" kusema kuwa ni miaka minne sasa amekua kwenye mahusiano ya kimapenzi na mke wa Will Smith, Jada Pinkett Smith japokua ilikua ni siri lakini alipata baraka zote kutoka kwa Will. Sasa baada ya taarifa hiyo kufikia watu mbalimbali, kumekua na mapokeo ya kitofauti kwani wengi wao wanasema wala hawaendani kuwa wapenzi japo umri sio ishu kubwa. Lakini cha kushangaza zaidi ni kuwa baada ya Alsina kuweka wazi, mwana mama Jada Pinkett Smith...
2020-07-02
02 min
DHC Podcast , Hosted By Episode
Asylum Hour 44: (Part Three: The Travelling Guest Mix by Garry Montana) [Pretoria, South Africa]
Garry Montana is a music lover, who has an excellent ear when it comes to deep house and old school house jams. He was mentored Jabjuice and Msasa from EonFunk. South Africa is one of the countries that know the true essence of house music, it joins people of all races and cultures together "house is black and white" and it's the reason why I love house music till this day. My all time favorite house djs are Roger Rene Sánchez, Vinny, Dj Fresh, Oskido, Christos, Bubbles, Apollonia, Luciano. I share my music with good ears and as t...
2017-10-05
1h 03