Look for any podcast host, guest or anyone
Showing episodes and shows of

Mwalimu Huruma Gadi

Shows

Mwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiK0821. Neema Na Imani Katika MatoleoMungu amekusudia ufanikiwe katika kila eneo la maisha yako! Baraka si matokeo ya bahati au juhudi pekee, bali ni mfumo wa kiroho unaoendeshwa na kanuni za Ufalme wa Mungu. Mkristo anapojua na kufuata mfumo huu, lazima maisha yake yadhihirishe ukuu wa Mungu.🔥 Je, mfumo huu unafanyaje kazi? Ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika mfululizo huu wa somo2025-04-0628 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiK0820. Neema Na Imani Katika MatoleoMungu amekusudia ufanikiwe katika kila eneo la maisha yako! Baraka si matokeo ya bahati au juhudi pekee, bali ni mfumo wa kiroho unaoendeshwa na kanuni za Ufalme wa Mungu. Mkristo anapojua na kufuata mfumo huu, lazima maisha yake yadhihirishe ukuu wa Mungu.🔥 Je, mfumo huu unafanyaje kazi? Ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika mfululizo huu wa somo2025-04-0529 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiK0819. Neema Na Imani Katika MatoleoMungu amekusudia ufanikiwe katika kila eneo la maisha yako! Baraka si matokeo ya bahati au juhudi pekee, bali ni mfumo wa kiroho unaoendeshwa na kanuni za Ufalme wa Mungu. Mkristo anapojua na kufuata mfumo huu, lazima maisha yake yadhihirishe ukuu wa Mungu.🔥 Je, mfumo huu unafanyaje kazi? Ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika mfululizo huu wa somo2025-04-0429 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiK0818. Neema Na Imani Katika MatoleoMungu amekusudia ufanikiwe katika kila eneo la maisha yako! Baraka si matokeo ya bahati au juhudi pekee, bali ni mfumo wa kiroho unaoendeshwa na kanuni za Ufalme wa Mungu. Mkristo anapojua na kufuata mfumo huu, lazima maisha yake yadhihirishe ukuu wa Mungu.🔥 Je, mfumo huu unafanyaje kazi? Ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika mfululizo huu wa somo2025-04-0327 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiK0817. Neema Na Imani Katika MatoleoMungu amekusudia ufanikiwe katika kila eneo la maisha yako! Baraka si matokeo ya bahati au juhudi pekee, bali ni mfumo wa kiroho unaoendeshwa na kanuni za Ufalme wa Mungu. Mkristo anapojua na kufuata mfumo huu, lazima maisha yake yadhihirishe ukuu wa Mungu.🔥 Je, mfumo huu unafanyaje kazi? Ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika mfululizo huu wa somo2025-04-0228 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiK0816. Neema Na Imani Katika MatoleoMungu amekusudia ufanikiwe katika kila eneo la maisha yako! Baraka si matokeo ya bahati au juhudi pekee, bali ni mfumo wa kiroho unaoendeshwa na kanuni za Ufalme wa Mungu. Mkristo anapojua na kufuata mfumo huu, lazima maisha yake yadhihirishe ukuu wa Mungu.🔥 Je, mfumo huu unafanyaje kazi? Ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika mfululizo huu wa somo2025-04-0127 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiS1107. Maisha Chini ya Baraka _Mambo 5 ya KuzingatiaMungu amekusudia ufanikiwe katika kila eneo la maisha yako! Baraka si matokeo ya bahati au juhudi pekee, bali ni mfumo wa kiroho unaoendeshwa na kanuni za Ufalme wa Mungu. Mkristo anapojua na kufuata mfumo huu, lazima maisha yake yadhihirishe ukuu wa Mungu.🔥 Je, mfumo huu unafanyaje kazi? Ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika mfululizo huu wa somo2025-03-312h 31Mwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiS1106. Maisha Chini ya Baraka _Mambo 5 ya KuzingatiaMungu amekusudia ufanikiwe katika kila eneo la maisha yako! Baraka si matokeo ya bahati au juhudi pekee, bali ni mfumo wa kiroho unaoendeshwa na kanuni za Ufalme wa Mungu. Mkristo anapojua na kufuata mfumo huu, lazima maisha yake yadhihirishe ukuu wa Mungu.🔥 Je, mfumo huu unafanyaje kazi? Ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika mfululizo huu wa somo2025-03-312h 13Mwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiS1105. Maisha Chini ya Baraka _Mambo 5 ya KuzingatiaMungu amekusudia ufanikiwe katika kila eneo la maisha yako! Baraka si matokeo ya bahati au juhudi pekee, bali ni mfumo wa kiroho unaoendeshwa na kanuni za Ufalme wa Mungu. Mkristo anapojua na kufuata mfumo huu, lazima maisha yake yadhihirishe ukuu wa Mungu.🔥 Je, mfumo huu unafanyaje kazi? Ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika mfululizo huu wa somo2025-03-312h 27Mwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiS1104. Mkristo Na Mfumo Wa BarakaMungu amekusudia ufanikiwe katika kila eneo la maisha yako! Baraka si matokeo ya bahati au juhudi pekee, bali ni mfumo wa kiroho unaoendeshwa na kanuni za Ufalme wa Mungu. Mkristo anapojua na kufuata mfumo huu, lazima maisha yake yadhihirishe ukuu wa Mungu.🔥 Je, mfumo huu unafanyaje kazi? Ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika mfululizo huu wa somo2025-03-311h 07Mwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiS1103. Mkristo Na Mfumo Wa BarakaMungu amekusudia ufanikiwe katika kila eneo la maisha yako! Baraka si matokeo ya bahati au juhudi pekee, bali ni mfumo wa kiroho unaoendeshwa na kanuni za Ufalme wa Mungu. Mkristo anapojua na kufuata mfumo huu, lazima maisha yake yadhihirishe ukuu wa Mungu.🔥 Je, mfumo huu unafanyaje kazi? Ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika mfululizo huu wa somo2025-03-311h 07Mwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiS1102. Mkristo Na Mfumo Wa BarakaMungu amekusudia ufanikiwe katika kila eneo la maisha yako! Baraka si matokeo ya bahati au juhudi pekee, bali ni mfumo wa kiroho unaoendeshwa na kanuni za Ufalme wa Mungu. Mkristo anapojua na kufuata mfumo huu, lazima maisha yake yadhihirishe ukuu wa Mungu.🔥 Je, mfumo huu unafanyaje kazi? Ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika mfululizo huu wa somo2025-03-312h 15Mwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiS1101. Mkristo Na Mfumo Wa BarakaMungu amekusudia ufanikiwe katika kila eneo la maisha yako! Baraka si matokeo ya bahati au juhudi pekee, bali ni mfumo wa kiroho unaoendeshwa na kanuni za Ufalme wa Mungu. Mkristo anapojua na kufuata mfumo huu, lazima maisha yake yadhihirishe ukuu wa Mungu.🔥 Je, mfumo huu unafanyaje kazi? Ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika mfululizo huu wa somo 2025-03-312h 11Mwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA7. Jinsi ya Kusikia Sauti ya MunguJe, unatafuta kuelewa jinsi ya kusikia sauti ya Mungu katika maisha yako ya kila siku? Katika podcast hii, Mwalimu Huruma Gadi anafundisha njia mbalimbali ambazo Mungu hutumia kuzungumza nasi.2025-02-0728 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA6. Jinsi ya Kusikia Sauti ya MunguJe, unatafuta kuelewa jinsi ya kusikia sauti ya Mungu katika maisha yako ya kila siku? Katika podcast hii, Mwalimu Huruma Gadi anafundisha njia mbalimbali ambazo Mungu hutumia kuzungumza nasi.2025-02-0728 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA5. Jinsi ya Kusikia Sauti ya MunguJe, unatafuta kuelewa jinsi ya kusikia sauti ya Mungu katika maisha yako ya kila siku? Katika podcast hii, Mwalimu Huruma Gadi anafundisha njia mbalimbali ambazo Mungu hutumia kuzungumza nasi.2025-02-0728 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA4. Jinsi ya Kusikia Sauti ya MunguJe, unatafuta kuelewa jinsi ya kusikia sauti ya Mungu katika maisha yako ya kila siku? Katika podcast hii, Mwalimu Huruma Gadi anafundisha njia mbalimbali ambazo Mungu hutumia kuzungumza nasi.2025-02-0728 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA3. Jinsi ya Kusikia Sauti ya MunguJe, unatafuta kuelewa jinsi ya kusikia sauti ya Mungu katika maisha yako ya kila siku? Katika podcast hii, Mwalimu Huruma Gadi anafundisha njia mbalimbali ambazo Mungu hutumia kuzungumza nasi.2025-02-0728 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA2. Jinsi ya Kusikia Sauti ya MunguJe, unatafuta kuelewa jinsi ya kusikia sauti ya Mungu katika maisha yako ya kila siku? Katika podcast hii, Mwalimu Huruma Gadi anafundisha njia mbalimbali ambazo Mungu hutumia kuzungumza nasi.2025-02-0728 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA1. Jinsi ya Kusikia Sauti ya MunguJe, unatafuta kuelewa jinsi ya kusikia sauti ya Mungu katika maisha yako ya kila siku? Katika podcast hii, Mwalimu Huruma Gadi anafundisha njia mbalimbali ambazo Mungu hutumia kuzungumza nasi. 2025-02-0328 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA6. Warumi Sura ya 1Karibu kwenye Mwalimu Huruma Gadi podcast ambapo atatufundisha kitabu cha Warumi sura ya kwanza Katika sura hii ya kwanza, Mwalimu anatufundisha juu ya wokovu, neema, na uhusiano wetu na Mungu. Pia jinsi mafundisho haya yanavyoweza kuathiri maisha yetu ya kila siku na kutuongoza katika imani yetu. 2024-09-2828 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA5. Warumi Sura ya 1Karibu kwenye Mwalimu Huruma Gadi podcast ambapo atatufundisha kitabu cha Warumi sura ya kwanza Katika sura hii ya kwanza, Mwalimu anatufundisha juu ya wokovu, neema, na uhusiano wetu na Mungu. Pia jinsi mafundisho haya yanavyoweza kuathiri maisha yetu ya kila siku na kutuongoza katika imani yetu. 2024-09-2728 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA4. Warumi Sura ya 1Karibu kwenye Mwalimu Huruma Gadi podcast ambapo atatufundisha kitabu cha Warumi sura ya kwanza Katika sura hii ya kwanza, Mwalimu anatufundisha juu ya wokovu, neema, na uhusiano wetu na Mungu. Pia jinsi mafundisho haya yanavyoweza kuathiri maisha yetu ya kila siku na kutuongoza katika imani yetu. 2024-09-2627 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA3. Warumi Sura ya 1Karibu kwenye Mwalimu Huruma Gadi podcast ambapo atatufundisha kitabu cha Warumi sura ya kwanza Katika sura hii ya kwanza, Mwalimu anatufundisha juu ya wokovu, neema, na uhusiano wetu na Mungu. Pia jinsi mafundisho haya yanavyoweza kuathiri maisha yetu ya kila siku na kutuongoza katika imani yetu. 2024-09-2527 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA1. Warumi Sura ya 1Karibu kwenye Mwalimu Huruma Gadi podcast ambapo atatufundisha kitabu cha Warumi sura ya kwanza Katika sura hii ya kwanza, Mwalimu anatufundisha juu ya wokovu, neema, na uhusiano wetu na Mungu. Pia jinsi mafundisho haya yanavyoweza kuathiri maisha yetu ya kila siku na kutuongoza katika imani yetu. 2024-09-2329 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA7. Mabadiliko Ya Kudumu Katika Fedha Na UchumiBila kufanya maamuzi ya kumwamini Mungu katika eneo la fedha na uchumi wako kwa kutegemea neema yake, utaendelea kutaabika kila siku pasipo kuona mwanga wa kazi kamilifu ya Msalaba. Katika mfululizo wa somo hili Mwalimu Huruma Gadi anafundisha namna ya kuishinda hofu na kuchukua hatua ya imani kwa kuanza kumtegemea Mungu katika fedha zako na uchumi wako.2023-07-0228 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA6. Mabaduliko Ya Kudumu Katika Fedha Na UchumiBila kufanya maamuzi ya kumwamini Mungu katika eneo la fedha na uchumi wako kwa kutegemea neema yake, utaendelea kutaabika kila siku pasipo kuona mwanga wa kazi kamilifu ya Msalaba. Katika mfululizo wa somo hili Mwalimu Huruma Gadi anafundisha namna ya kuishinda hofu na kuchukua hatua ya imani kwa kuanza kumtegemea Mungu katika fedha zako na uchumi wako.2023-07-0127 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA5. Mabadiliko Ya Kudumu Katika Fedha Na UchumiBila kufanya maamuzi ya kumwamini Mungu katika eneo la fedha na uchumi wako kwa kutegemea neema yake, utaendelea kutaabika kila siku pasipo kuona mwanga wa kazi kamilifu ya Msalaba. Katika mfululizo wa somo hili Mwalimu Huruma Gadi anafundisha namna ya kuishinda hofu na kuchukua hatua ya imani kwa kuanza kumtegemea Mungu katika fedha zako na uchumi wako.2023-06-3028 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA4. Mabadiliko Ya Kudumu Katika Fedha Na UchumiBila kufanya maamuzi ya kumwamini Mungu katika eneo la fedha na uchumi wako kwa kutegemea neema yake, utaendelea kutaabika kila siku pasipo kuona mwanga wa kazi kamilifu ya Msalaba. Katika mfululizo wa somo hili Mwalimu Huruma Gadi anafundisha namna ya kuishinda hofu na kuchukua hatua ya imani kwa kuanza kumtegemea Mungu katika fedha zako na uchumi wako.2023-06-2928 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA3. Mabadiliko Ya Kudumu Katika Fedha Na UchumiBila kufanya maamuzi ya kumwamini Mungu katika eneo la fedha na uchumi wako kwa kutegemea neema yake, utaendelea kutaabika kila siku pasipo kuona mwanga wa kazi kamilifu ya Msalaba. Katika mfululizo wa somo hili Mwalimu Huruma Gadi anafundisha namna ya kuishinda hofu na kuchukua hatua ya imani kwa kuanza kumtegemea Mungu katika fedha zako na uchumi wako.2023-06-2827 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA2. Mabadiliko Ya Kudumu Katika Fedha Na UchumiBila kufanya maamuzi ya kumwamini Mungu katika eneo la fedha na uchumi wako kwa kutegemea neema yake, utaendelea kutaabika kila siku pasipo kuona mwanga wa kazi kamilifu ya Msalaba. Katika mfululizo wa somo hili Mwalimu Huruma Gadi anafundisha namna ya kuishinda hofu na kuchukua hatua ya imani kwa kuanza kumtegemea Mungu katika fedha zako na uchumi wako.2023-06-2728 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA1. Mabadiliko Ya Kudumu Katika Fedha Na UchumiBila kufanya maamuzi ya kumwamini Mungu katika eneo la fedha na uchumi wako kwa kutegemea neema yake, utaendelea kutaabika kila siku pasipo kuona mwanga wa kazi kamilifu ya Msalaba. Katika mfululizo wa somo hili Mwalimu Huruma Gadi anafundisha namna ya kuishinda hofu na kuchukua hatua ya imani kwa kuanza kumtegemea Mungu katika fedha zako na uchumi wako.2023-06-2628 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA7. Siri Ya Yesu Kushinda Dhambi - NEEMAYesu aliishi hapa duniani akiwa kama mwanadamu pasipo kutenda dhambi. Nini ilikuwa siri nyuma ya maisha yake ya ushindi yaani, kuishi hapa duniani pasipo kutenda dhambi. Ungependa kujua, ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika mfululizo huu wa somo.2022-10-0928 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA6. Siri Ya Yesu Kushinda Dhambi - NEEMAYesu aliishi hapa duniani akiwa kama mwanadamu pasipo kutenda dhambi. Nini ilikuwa siri nyuma ya maisha yake ya ushindi yaani, kuishi hapa duniani pasipo kutenda dhambi. Ungependa kujua, ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika mfululizo huu wa somo.2022-10-0828 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA5. Siri Ya Yesu Kushinda Dhambi - NEEMAYesu aliishi hapa duniani akiwa kama mwanadamu pasipo kutenda dhambi. Nini ilikuwa siri nyuma ya maisha yake ya ushindi yaani, kuishi hapa duniani pasipo kutenda dhambi. Ungependa kujua, ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika mfululizo huu wa somo.2022-10-0728 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA4. Siri Ya Yesu Kushinda Dhambi - NEEMAYesu aliishi hapa duniani akiwa kama mwanadamu pasipo kutenda dhambi. Nini ilikuwa siri nyuma ya maisha yake ya ushindi yaani, kuishi hapa duniani pasipo kutenda dhambi. Ungependa kujua, ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika mfululizo huu wa somo.2022-10-0628 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA3. Siri Ya Yesu Kushinda Dhambi - NEEMAYesu aliishi hapa duniani akiwa kama mwanadamu pasipo kutenda dhambi. Nini ilikuwa siri nyuma ya maisha yake ya ushindi yaani, kuishi hapa duniani pasipo kutenda dhambi. Ungependa kujua, ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika mfululizo huu wa somo.2022-10-0528 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA2. Siri Ya Yesu Kushinda DhambiYesu aliishi hapa duniani akiwa kama mwanadamu pasipo kutenda dhambi. Nini ilikuwa siri nyuma ya maisha yake ya ushindi yaani, kuishi hapa duniani pasipo kutenda dhambi. Ungependa kujua, ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika mfululizo huu wa somo.2022-10-0427 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA1. Siri Ya Yesu Kushinda Dhambi - NEEMAYesu aliishi hapa duniani akiwa kama mwanadamu pasipo kutenda dhambi. Nini ilikuwa siri nyuma ya maisha yake ya ushindi yaani, kuishi hapa duniani pasipo kutenda dhambi. Ungependa kujua, ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika mfululizo huu wa somo.2022-10-0327 minFirebrand PodcastFirebrand PodcastThe Huruma Clean Water Project, with Dr. Jason ThornHuruma is a section of Mathare, the third-largest slum of Africa. One of their greatest needs in Huruma is clean water. Dr. Jason Thorn joins us to talk about the work of Spirit and Truth to provide for this need and his own experience of traveling to Huruma. We mention two videos in the podcast (here and here). Check 'em out! 2022-09-2640 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA1: Hofu Ya Maisha - Mtego Wa IbilisiRafiki, Mungu alikuokoa ili uishi maisha ya pumziko na si ya mihangaiko kama walimwengu wanavyosema, mihangaiko inakuingiza katika hofu, pumziko linakuingiza katika pendo la Baba. Ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika sehemu hii ya somo ili uanze kuishi pasipo hofu bali kuwa na ujasiri tele.2022-02-2128 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiC1: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WAFILIPIC1: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WAFILIPI2020-08-1629 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiB6: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WAFILIPIB6: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WAFILIPI2020-08-1529 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiB7: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WAFILIPIB7: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WAFILIPI2020-08-1529 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiB5: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WAFILIPIB5: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WAFILIPI2020-08-1429 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiB4: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WAFILIPIB4: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WAFILIPI2020-08-1329 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA3: FEDHA NA UCHUMI KATIKA UFALME WA MUNGUA3: FEDHA NA UCHUMI KATIKA UFALME WA MUNGU2020-08-1254 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA2: FEDHA NA UCHUMI KATIKA UFALME WA MUNGUA2: FEDHA NA UCHUMI KATIKA UFALME WA MUNGU2020-08-121h 09Mwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA1: FEDHA NA UCHUMI KATIKA UFALME WA MUNGUA1: FEDHA NA UCHUMI KATIKA UFALME WA MUNGU2020-08-121h 04Mwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiB3: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WAFILIPIB3: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WAFILIPI2020-08-1229 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiB2: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WAFILIPIB2: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WAFILIPI2020-08-1129 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiB1: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WAFILIPIB1: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WAFILIPI2020-08-1029 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA7: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WAFILIPIA7: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WAFILIPI2020-08-0828 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA6: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WAFILIPIA6: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WAFILIPI2020-08-0829 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA5: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WAFILIPIA5: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WAFILIPI2020-08-0729 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA4: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WAFILIPIA4: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WAFILIPI2020-08-0628 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA3: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WAFILIPIA3: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WAFILIPI2020-08-0529 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA2: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WAFILIPIA2: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WAFILIPI2020-08-0428 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA1: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WAFILIPIA1: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WAFILIPI2020-08-0329 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA9: MAPINDUZI YA KIUCHUMI KUPITIA UFALME WA MUNGUA9: MAPINDUZI YA KIUCHUMI KUPITIA UFALME WA MUNGU2020-07-311h 02Mwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA8: MAPINDUZI YA KIUCHUMI KUPITIA UFALME WA MUNGUA8: MAPINDUZI YA KIUCHUMI KUPITIA UFALME WA MUNGU2020-07-291h 01Mwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA7: MAPINDUZI YA KIUCHUMI KUPITIA UFALME WA MUNGUA7: MAPINDUZI YA KIUCHUMI KUPITIA UFALME WA MUNGU2020-07-251h 23Mwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA5: MAPINDUZI YA KIUCHUMI KUPITIA UFALME WA MUNGUA5: MAPINDUZI YA KIUCHUMI KUPITIA UFALME WA MUNGU2020-07-251h 09Mwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA4: MAPINDUZI YA KIUCHUMI KUPITIA UFALME WA MUNGUA4: MAPINDUZI YA KIUCHUMI KUPITIA UFALME WA MUNGU2020-07-241h 08Mwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA3: MAPINDUZI YA KIUCHUMI KUPITIA UFALME WA MUNGUA3: MAPINDUZI YA KIUCHUMI KUPITIA UFALME WA MUNGU2020-07-241h 06Mwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA2: MAPINDUZI YA KIUCHUMI KUPITIA UFALME WA MUNGUA2: MAPINDUZI YA KIUCHUMI KUPITIA UFALME WA MUNGU2020-07-231h 10Mwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA1: MAPINDUZI YA KIUCHUMI KUPITIA UFALME WA MUNGUA1: MAPINDUZI YA KIUCHUMI KUPITIA UFALME WA MUNGU2020-07-231h 00Mwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA6: MTIZAMO SAHIHI KATIKA MAOMBIMtizamo wa kwanza ni kwamba unapoenda kwenye maombi usipayukepayuke maana unaenda kuzungumza na Baba yako. Baba ambaye anajua yale yote unayoyahitaji kabla hujaomba. Tusikilize somo kutoka kwa Mwalimu Huruma Gadi2020-02-2928 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA4: UMEFANANA NA KRISTOMtu ambaye amezaliwa mara ya pili anafanana na Kristo na mtu ambaye hajazaliwa mara ya pili anafanana na Adam, wewe ambaye umezaliwa mara ya pili maana yake kwamba sasa hivi mzazi wako wewe yaani Mungu na mzaliwa wako wa kwanza ni Yesu Kristo. Msikilize Mwalimu Huruma Gadi ili uweze kuijua kweli hii ya Kristo.2020-01-1628 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA3: UMEFANANA NA KRISTOUmeumbwa katika sura na mfano wa Mungu, yaani kama vile Mungu alivyo ndivyo na wewe ulivyo hapa duniani, kama ni hivyo mazingira na kila kitu cha ulimwenguni kimetiishwa kwako, wewe ni mtawala, msikilize Mwalimu Huruma Gadi katika sehemu hii ya somo ili uanze kuishi katika uhalisia wa kufanana na Kristo2020-01-1628 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA1: UMEFANANA NA KRISTOKama kuna eneo lolote katika maisha yako linakusumbua (afya, uchumi, mahusiano n.k) ni kwasababu uzima wa Mungu haujaweza kuingia katika hilo eneo, msikilize Mwalimu Huruma Gadi katika sehemu hii ya somo ili uanze kuruhusu uzima wa Mngu kuingia katika kila eneo la maisha yetu2020-01-1328 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiB4: MKRISTO NI NANI?Hatua ya kwanza ya kanisa ni mtu kupata ufunuo ufunuo kwamba Yesu wa Nazareth ndiye Kristo mwana wa Mungu aliye hai. Tumsikilize Mwalimu Huruma gadi katika hatua ya pili ya kanisa2020-01-0928 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA2: MKRISTO NI NANI?Mkristo ni mwanafunzi wa Kristo. Sisi kama wanafunzi wa Kristo, tunatakiwa kuishi kwa kujifunza yale ambayo Bwana Yesu alikuwa akiyafundisha na kuyafanya. Katika sehemu hii Mwalimu Huruma Gadi anafundisha mambo ambayo Bwana Yesu alikuwa akiyafundisha na kuyatenda.Tusikilize ili kuyafahamu haya yote.2020-01-0227 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiC3: NEEMA NA IMANI KATIKA MATOLEOKutoa matoleo yako ukiwa na mtizamo sahihi ni msingi wa kuwa na matokeo stahiki. Ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika sehemu hii ya somo.2019-12-1829 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiB4: NEEMA NA IMANI KATIKA MATOLEOKama Mungu amekwisha kukuandalia kila kitu katika maisha yako kupitia neema yake, kwanini kupokea kwako kunategemeana na kutoa kwako? Jifunze kweli hii kwa kusikiliza kutoka kwa Mwalimu Huruma Gadi.2019-12-1229 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiD5: MWENYE HAKI ATAISHI KWA IMANILeo Mwalimu Huruma Gadi anafundisha utaratibu ambao Mungu ameuweka kuhusiana na mbegu zote duniani.2019-11-2929 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiD4: MWENYE HAKI ATAISHI KWA IMANIKama wewe ni mwenye haki ya Mungu ndani ya Kristo Yesu tambua kuwa Bwana anafurahia ustawi wako na siku zote, anahakikisha una utoshelevu katika maeneno yote ya maisha yako, nyumbani kwako kumejaa mali na utajiri, na unauwezo wa kufadhili na kukopesha na uzao wako umebarikiwa, kama haya mambo manne hayaonekani maana yake ni kwamba haumfurahishi Mungu, ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika sehemu hii ya somo ili uanze kuishi maisha ya kumfurahisha Mungu.2019-11-2829 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiD1: MWENYE HAKI ATAISHI KWA IMANI - UCHUMIWatu wote tunatakiwa tuendeshe shughuli zetu za kiuchumi kwa imani maana pasipo imani haiwezekani kumpendeza Mungu, maana yake kama unafanya kazi yako hutegemei imani maana yake ni kwamba haumpendezi Mungu, kama unafanya biashara yako pasipo kutegemea imani tambua kwa haumpendezi Mungu. Ungana na Mwalmu Huruma Gadi ujifunze na kufanya maamuzi ya kuendesha maisha yako kwa kutegemea imani.2019-11-2529 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiC2: MWENYE HAKI ATAISHI KWA IMANIKama wewe umemuamini Yesu Kristo, tambua kuwa wewe ni haki ya Mungu ndani ya Kristo Yesu na kuishi kwa imani ni lazima siyo pendekezo, ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika sehemu hii ya somo  uanze kuishi kwa imani na si kwa matendo ya sheria.2019-11-2028 minAdo Veli PodcastAdo Veli PodcastAdo Veli Podcast - Area Code; Mathare, Huruma & Dandora Hip Hop CityKenyan Hop Hip scene started way back in the 1990s. It was highly influenced by the Hip Hop group known as Kalamashaka or simply K Shaka. K Shaka originated from Dandora in the Eastern parts of Nairobi, Kenya. Since then Dandora was acknowledged as the cradle of Hip Hop in Kenya. After Dandora being baptized as the Hip Hop city in Kenya, many hoods have come along producing some of the best Kenyan Hip Hop MCs. On this episode, we are focusing on the talents as far Kenyan Hip Hop is concerned coming from Mathare Skeme Music, Huruma Tonny Syumah...2019-11-1706 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiB6: MWENYE HAKI ATAISHI KWA AMANIYakobo 5: 16 inasema"...... Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana, akiomba kwa bidii" Kwanini maombi ya mwenye haki yanafaa sana na si maombi ya mtu asiye haki. Ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika sehemu hii ya somo.2019-11-1629 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiB5: MWENYE HAKI ATAISHI KWA IMANIJifunze kutoka kwa Mwalimu Huruma Gadi namna ya kifo cha Yesu msalabani kilivyoshughulika na dhambi ya ulimwengu mzima na kufufuka kwake kutoka katika kaburi kumekupatia vipi haki ya Mungu.2019-11-1529 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiB4: MWENYE HAKI ATAISHI KWA IMANIUtaitambuaje kuwa hii unayosikiliza ama unayojifunza ni Injili ya kweli ama ya uongo? Ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika sehemu hii ujifunze sifa na tabia ya Injili ya kweli2019-11-1429 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA7: MWENYE HAKI ATAISHI KWA IMANIBwana Yesu alikuwa amewezeshwa kwa Roho Mtakatifu na nguvu kwenda kila mahali kuponya na kufungua watu wote waliokuwa wakionewa na Ibilisi. Hii inaonyesha kuwa magonjwa yote na maradhi yote yanatoka kwa Ibili pamoja na mauti. Ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika somo hili ujiweke huru wewe pamoja na wanaokuzunguka2019-11-1029 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA6: MWENYE HAKI ATAISHI KWA IMANIHaki ni kuwa na uhusiano na Mungu usiokuwa na dosari wala kasoro ya aina yoyote, rafiki unapopokea zawadi ya haki maana yake ni kwamba mbele za Mungu unakuwa sawasawa na Yesu Kristo alivyo mbele za Mungu sasahivi, unakuwa hauna hatia, hauna lawama wala mawaa mbele zake, unasimama kama mtu mkamilifu ambaye hana mapungufu ya aina yoyote. Ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika somo hili ujifunze kupokea na kuishi maisha ye mwenye haki daima hapa duniani.2019-11-0929 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA5: MWENYE HAKI ATAISHI KWA IMANINeno linasema mwenye haki ataishi kwa imani (Waebrania 10:38). Unatakiwa kuishi kwa imani ipi? Kwa imani iliyo kwa Yesu Kristo na kazi yake kamilifu ya msalaba.  Kama imani yako haijajikita kwa Yesu Kristo na kile ambacho amekifanya kupitia msalaba. Rafiki ni vizuri kulizingatia hili kuwa wakati wote imani yako uielekeze kwa Yesu Kristo na kazi yake kamilifu ya msalaba. Ungana na  Mwalimu Huruma Gadi katika msingi huu imara wa imani2019-11-0829 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA4: MWENYE HAKI ATAISHI KWA IMANIMtu yeyote aliyezaliwa mara ya pili kuishi kwa imani siyo hiyari bali ni lazima.Imani ya kweli ama imani yenye matunda ama imani inayoweza kuleta matunda kwenye maisha ya mtu ni imani ambayo imejikita katika Yesu Kristo na kusulubiwa kwake, nje ya hapo hiyo imani imetetereka. Mwalimu Huruma Gadi anafundisha katika sehemu hii msingi thabiti wa imani yako.2019-11-0729 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA7: MABADILIKO YA KUDUMU KATIKA FEDHA NA UCHUMIUmeokolewa kwa neema kwa njia ya imani, kama ulivyookolewa kwa neema kwa njia ya imani vivyo hovyo unatakiwa kuendesha maisha yako ya wokovu kwa neema kwa njia ya imani, Watu wengi waliposikia habari hii njema wengi waliamua kuchukua hatua ya kutoa na kumuamini Mungu kwa kussuport kazi yake ya kueneza habari njema, hii maana yake ni nini? maana yake ni kwamba neema na imani vilikutana pamoja na matendo yao, nguvu ya Mungu ikaelekezwa katika uchumi wako na wakaanza kuishi katika utoshelevu na ustawi lakini adui alivyokuja kuwadanganya kwamba hela waliyonayo haitoshi, majukumu yamekuwa mengi, itumie kwanza Mungu utamtolea baadae...2019-11-0229 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA6: MABADILIKO YA KUDUMU KATIKA FEDHA NA UCHUMIKatika kitabu cha Yakobo 2: 20 imeandikwa imani pasipo matendo imekufa, imani siku zote iliyo kamili inafanya kazi na matendo, imani isiyokuwa na matendo hiyo imani haizai ama haikufaidii kitu, imani inatenda kazi na hatua na imani inakamilishwa na hatua, ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika sehemu hii akichambua jambo la pili la kuzingatia ili kuwa na matokeo ya kudumu katika fedha na uchumi wako.2019-11-0129 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA5: MABADILIKO YA KUDUMU KATIKA FEDHA NA UCHUMIMungu ni Mungu anayekuwazia mema na anataka siku zote uishi katika utele na utoshelevu, sababu ya wewe kuendelea kuishi katika madeni, ukosefu, upungufu na umasikini ni kukataa kushirikiana na Mungu na kuikumbatia hofu, leo hii Mungu kupitia mtumishi wake Mwalimu Huruma Gadi anasema kama unataka Bwana awe utoshelevu wako katika fedha na uchumi lazima hatua ya kwanza uishinde hofu kisha ushirikiane na neno la Mungu ambalo linakualika kutia kipaumbele katika Ufalme wake na Injili yake.  Kwenye hali uliyokuwepo huchomoki mpaka umeamua kushirikiana na Bwana kwa kuikataa hofu. Tusikilize somo.2019-10-3129 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA4: MABADILIKO YA KUDUMU KATIKA UCHUMI NA FEDHAWatu wengi wamekuwa wakitafuta kuombewa badala ya kutafuta hekima ya Mungu ama mkakati wa Mungu wa kuwatoa hapo walipo, tunaona mfano mzuri ni maisha ya Musa, Musa kila wakati alikuwa na tabia ya kwenda katika hema ya kukutania kumuuliza Mungu kuhusiana na jambo lililokuwa likimkabiri, Daudi pia alikuwa na tabia inayofanana na  ya Musa, na walipoenda mbele za Bwana, Bwana aliwapa maelekezo na walipochukua hatua sawasawa na maelekezo ya Bwana walipata matokeo, leo hii Mwalimu Huruma Gadi anafundisha kama wewe una madeni ama umefika mahali umekwama kiuchumi hatua ya kwanza ni tafuta kujua Mungu anasema nini kuhusu madeni yako a...2019-10-3029 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA3: MABADILIKO YA KUDUMU KATIKA FEDHA NA UCHUMIMwanamke mjane wa Sarepta alipoamua kumsikiliza na kutendea kazi kile alichokuwa akiambiwa na Mtumishi wa Mungu Eliya , ilisababisha Mungu kumuwezesha kula yeye, mtoto wake na kuendelea kumhudumia mtumishi kwa siku nyingi. Leo hii ni zamu yako kumruhusu Mungu aingie katika ufedha zako na uchumi wako kwa kuchukua hatua sawasawa na maelekezo amabayo anayatoa kupitia tumishi wake Mwalimu Huruma Gadi na kukataa kuendelea kuteseka na hofu, hakika utaingia katika mabadiliko ya kudumu katika fedha zako na uchumi wako. Tusikilize somo2019-10-2929 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA2: MABADILIKO YA KUDUMU KATIKA FEDHA NA UCHUMIMungu anataka ushirikiane nae ili aweze kuingia katika maisha yako na kuyabadilisha, ungana na Mwalimu Huruma Gadi ujifunze ni kwa namna gani unaweza mruhusu kuingia katika uchumi wako na kurekebisha.2019-10-2829 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA5: NGUVU YA MAONO NA PARTNERSHIPNeema ni uwezesho wa kiungu unaomuwezesha mtu kushiriki na kufurahia yale mema yote ambayo yesu Kristo amekwisha kuyafanya kwa niaba ya huyo mtu, unapoamua kushirikiana pamoja na Mwalimu Huruma Gadi katika kumuwezesha kuitetea injili na kuhubiri Injili na kuithibitisha Injili unakuwa mshiriki wa Neema iliyoko katika maisha ya Mwalimu Huruma Gadi. Endelea kujifunza umuhimu wa maono na partnership katika maisha ya mkristo.2019-10-2429 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA4: NGUVU YA MAONO NA PARTNERSHIPUfalme wa Mungu unatenda kazi tofauti na ufalme wa dunia hii, Ufalme wa Mungu unafanya kazi katika maisha yako pale ambapo umefanya maamuzi ndipo ufalme unaingia kazini na kutenda sawasawa na maamuzi yako, utakapoamua kuanza kuwa partner wa Mwalimu Huruma Gadi kupitia vipindi hivi vya Neema na Kweli Ufalme wa Mungu ataingia kazini kuhakikisha unaipata hiyo hela na pia kukutimizia mahitaji yako yote. 2019-10-2329 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA3: NGUVU YA MAONO NA PARTNERSHIPKama Paulo ili aweze kuhubiri Injili na kuwafundisha watu ili waweze kufika katika cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo alihitaji kuwa na partneres hvyohivyo hata leo hii ili kazi ya Mungu itendeke inahitaji kuwa na partnership, kwahiyo lazima kuwe na maono kisha lazima wawepo watu wa kusupport hayo maono. Maono aliyopewa Mwalimu Huruma Gadi ni watu wote waingie katika Ufalme wa Mungu na kufanana na Kristo. Hakikisha una maono ya kiungu unayoyasupport. Ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika somo hili.2019-10-2229 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA2: NGUVU YA MAONO NA PARTNERSHIP"Alitoa wengine kuwa Mitume,  na wengine kuwa manabii, na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa wachungaji na waalimu kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu, hata kazi ya huduma itendeke..." -  Waefeso 4: 11-12 Ulipopelekwa mahali kwenye mwili wa Kristo unatarajiwa ushiriki katika kujenga mwili wa Kristo, haitoshi tu kukaa na kujifunza, Je wewe unashiriki vipi katika kusababisha maono yaliyoko katika hilo kanisa ama huduma yanatimia? Ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika somo hili.2019-10-2129 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA1: NGUVU YA MAONO NA PARTNERSHIPKwasababu ya watu wengi kushindwa kujua namna ambayo Mungu anatenda kazi, nafasi zao baada ya kuokoka, wajibu wao baada ya kuokoka na haki zao baada ya kuokoka imesababisha ukristo wao uwe duni, maisha yao yawe maisha ya milima na mabonde leo hii Mwalimu Huruma Gadi anafundisha nguvu ya Mungu unapoamua kupartner katika kussapoti maono ya Mungu. 2019-10-2028 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA7: NEEMA NA UTUME WA MKRISTOTumepokea neema na utume ili kuwafanya mataifa yote wajitiishe kwa imani kwa Jina lake Yesu. Kama unahubiri ama unafundisha siku zote hakikisha unaowafundisha wanaelekeza imani yao kwa Yesu Kristo na Jina lake na si vinginevyo. Ungana na Mwalimu Huruma Gadi katika muendelezo wa somo hili2019-10-1629 minMwalimu Huruma GadiMwalimu Huruma GadiA6: NEEMA NA UTUME WA MKRISTOUtume wetu ambao tumepewa na Bwana Yesu ni kuwafanya mataifa wajitiishe kwa imani katika Jina la yesu Kristo, ndiyo maana Mwalimu Huruma Gadi kwa kutambua utume huu amejikita katika kufundisha habari za Yesu Kristo akiwa na lengo la kusababisha watu wasiomjua Yesu Kristo wamjue na kumtii kwa imani na wale ambao wamekwisha kumtii kwa imani waweze kumuelewa Yesu Kristo ili waweze kukua na kufikia Cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo.2019-10-1529 min