podcast
details
.com
Print
Share
Look for any podcast host, guest or anyone
Search
Showing episodes and shows of
SIRI ZA BIBLIA
Shows
SIRI ZA BIBLIA
FAIDA TANO ZA MAOMBI YA KUFUNGA: SIRI ZA BIBLIA
1. Maombi ya kufunga yanaweza kukufanya uongezeke kiimani. Mathayo 17:21 ‘’ [Lakini namna hii haitoki ila kwa kusali na kufunga.] ‘’ 2. Macho yako ya ndani yatakuwa yanaona vizuri. Zaburi 119:18 ‘’ Unifumbue macho yangu niyatazame Maajabu yatokayo katika sheria yako. ‘’ . 3. Mwili wako utakuwa umetiishwa. Wakolosai 3:5 ‘’ Basi, vifisheni viungo vyenu vilivyo katika nchi, uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya, na kutamani, ndiyo ibada ya sanamu;‘’ 4. Kupokea maana ni ahadi ya MUNGU kujibu maombi yako. Yeremia 29:13 ‘’Nanyi mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote.'' Tena Biblia inasema ''Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafu...
2021-10-24
02 min
SIRI ZA BIBLIA
USHINDE UBAYA KWA WEMA: SIRI ZA BIBLIA
Maisha Mapya Katika Kristo 1 Kwa hiyo, ndugu zangu, nawasihi kwa rehema zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu na inayompendeza Mungu, hii ndiyo ibada yenu yenye maana. 2Msifuatishe tena mfano wa ulimwengu huu, bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu. Ndipo mtaweza kuonja na kuhakikisha ni nini mapenzi ya Mungu yaliyo mema, yanayopendeza machoni pake na ukamilifu. 3 Kwa ajili ya neema niliyopewa nawaambia kila mmoja miongoni mwenu, asijidhanie kuwa bora kuliko impasavyo, bali afikiri kwa busara kwa kulingana na kipimo cha imani Mungu aliyompa. 4Kama vile katika mwili mmoja tulivyo na viungo...
2021-10-23
03 min
SIRI ZA BIBLIA
ZIITE BARAKA ZAKO KWA MAOMBI HAYA: SIRI ZA BIBLIA
1 Kor 16:9 kwa maana nimefunguliwa mlango mkubwa wa kufaa sana, na wako wengi wanipingao. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-10-22
05 min
SIRI ZA BIBLIA
SIRI ZA BIBLIA: USIOGOPE,NIKO PAMOJA NAWE NIKUOKOE
Mistari mbalimbali ambayo Mungu amezungumza nasi katika maandiko kwenye Biblia,kuhusu kutokuogopa "USIOGOPE" --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-09-21
13 min
SIRI ZA BIBLIA
SIRI ZA BIBLIA: MANENO YAMEBEBA ROHO NYUMA YAKE
JIFUNZE MAARIFA MBALIMBALI YA KIMUNGU KUPITIA PLATFORM ZA SIRI ZA BIBLIA. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-09-21
05 min
SIRI ZA BIBLIA
BIBLIA INASEMAJE KUHUSU KUTAZAMA VIDEO CHAFU ZA NGONO
maroho yaliyo ndani ya wote wanaotazama picha chafu za ngono/ukombozi upo bado --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-07-20
08 min
SIRI ZA BIBLIA
FAIDA 13 ZA MAOMBI YA USIKU:SIRI ZA BIBLIA
FAIDA 13 ZA MAOMBI YA USIKU --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-07-18
14 min
SIRI ZA BIBLIA
DHAMBI KUU 2 AMBAZO MUNGU HAWEZI KUKUSAMEHE:SIRI ZA BIBLIA
Maarifa ya kiMungu --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-07-17
06 min
SIRI ZA BIBLIA
HUWAPA NGUVU WAZIMIAO - "ISAYA 40:29-31"
28 Je! Wewe hukujua? Hukusikia? Yeye Mungu wa milele, Bwana, Muumba miisho ya dunia, hazimii, wala hachoki; akili zake hazichunguziki. 29 Huwapa nguvu wazimiao, humwongezea nguvu yeye asiyekuwa na uwezo. 30 Hata vijana watazimia na kuchoka, na wanaume vijana wataanguka; 31 bali wao wamngojeao Bwana watapata nguvu mpya; watapanda juu kwa mbawa kama tai; watapiga mbio, wala hawatachoka; watakwenda kwa miguu, wala hawatazimia. #sirizabiblia Youtube/siri za biblia --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-06-30
08 min
SIRI ZA BIBLIA
SIRI ZA BIBLIA: NDOTO NI MLANGO WA KIROHO
Ndoto kwa kawaida ya wanaadamu katika ulimwengu wa mwili ni mambo unaunayoyaona wakati umelala mara nyingi ndoto utaota wakati umelala Aina za ndoto kwa tafsiri za ulimwengu wa kimwili - Ndoto unaota kwa sababu umechoka sana mara nyingi ukiota hivyo watu na wewe mwenyewe unasema kua ni ndoto tu kwa sababu ni uchovu - Ndoto unaota kwa sababu una mawazo kwa kitu kinakufanya ukifikirie sana mfano ajira au mke au mume ukiota mara nyingi unasema ni ndoto tu kwa sababu namuwaza sana au unawaza sana - Ndoto unaota kwa sababu umehadithiwa au kuambiwa kitu Fulani...
2021-06-25
08 min
SIRI ZA BIBLIA
SIRI ZA BIBLIA: SABABU 7 KWANINI UMEOKOKA
Kuokoka ni jambo la lazima sana kwa kila anayehitaji uzima wa milele. Kuokoka kuanza na kumpokea YESU KRISTO kama Mwokozi kisha unaishi ukilitii Neno la MUNGU. Kwanini ni muhimu sana kuokoka? Biblia inasema baada ya kifo hukumu. Waebrania 9:27 ''Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu;'' Anayetenda dhambi akifa na dhambi zake anaenda kuzimu. Mteule wa KRISTO mtakatifu akifa anaenda mbinguni. Wanadamu wengi wakionywa kwamba waache dhambi husema wanahukumiwa na hutoa sababu kwamba anayeweza kuwahukumu ni MUNGU tu.
2021-06-25
11 min
SIRI ZA BIBLIA
SIRI ZA BIBLIA: MSAMAHA
Yesu akasema hivi katika Mathayo 6:12; mnaposali semeni hivi, ...utusamehe deni zetu kama nasi tuwasamehevyo wadeni wetu.... Maandiko yanachomaanisha ni kwamba, ukiwa huna desturi ya kuwasamehe, hata wewe Mungu wa mbinguni hatakusamehe kabisa hata ukitubu kwa machozi ya damu. Kama yumkini unasamehe kwa kiasi, nawe dhambi zako husamehewa kiasi. Mat 6:14 Biblia inasema; "Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao, na Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi". @sirizabiblia www.sirizabiblia.com +255 758 708 804 --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-06-25
09 min
SIRI ZA BIBLIA
DHAMIRA YA KUIFUTA ISRAEL KWENYE RAMANI YA DUNIA - Sehemu ya PILI
Baada ya vita ya 1948-1949 nchi jirani zilikataa kutambua dola la Israeli. Hali ya vita ikaendelea ingawa bila mapigano kati ya majeshi makubwa. Wanamgambo wa Wafedayin Wapalestina waliendelea kuvuka mpaka kutoka makambi ya wakimbizi na kushambulia vijiji vya Kiyahudi. Wanamgambo hao walipata mara nyingi silaha na mafunzo kutoka kwa majeshi ya Misri na Syria. Vita ya 1948-1949 ilisababisha ghasia na mashambulio dhidi ya Wayahudi walioishi katika nchi za Kiarabu. Nchi kadhaa za Kiarabu ziliweka sheria za ubaguzi dhidi ya Wayahudi. Hivyo katika miaka baada ya kuundwa kwa Israeli karibu Wayahudi wote waliondoka au walifukuzwa katika nchi za Kiarabu...
2021-05-15
16 min
SIRI ZA BIBLIA
SIMULIZI ZA MASHAURI: WAGENI WACHAWI KANISANI {sehemu ya 1}
Simulizi nzito zenye mikasa ya kufundisha na kukuza imani zetu kwa Mungu.Inapatikana youtube pia,andika siri za biblia ujifunze zaidi --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-05-03
05 min
SIRI ZA BIBLIA
AMRI 10 ZA MUNGU/SANAMU KUABUDIWA CHANGAMOTO
Amri Kumi Amri Kumi ni orodha ya amri kuu za Mungu katika Biblia. Za kwanza zinamhusu Mwenyezi Mungu mwenyewe, na zile zinazofuata mpaka mwisho zinahusu jirani, yaani binadamu wengine kuanzia wazazi. Toleo la awali linapatikana katika kitabu cha Kutoka 20:1-17. Toleo la pili liko katika Kumbukumbu la Torati 5:1-21. Amri hizi ni sehemu ya Torati ya Kiyahudi na kukubaliwa pia na Wakristo walio wengi kama amri zinazowahusu wao pia, tena kimsingi zinawadai watu wote. Hata hivyo wafuasi wa Yesu Kristo wanazishika kadiri ya utimilifu wake ulioletwa naye kama Agano Jipya. Mifano...
2021-04-26
10 min
SIRI ZA BIBLIA
AGANO JIPYA: MFANO KUHUSU UFALME WA MBINGUNI
Mathayo 25 1 Ndipo ufalme wa mbinguni utakapofanana na wanawali kumi, waliotwaa taa zao, wakatoka kwenda kumlaki bwana arusi. 2 Watano wao walikuwa wapumbavu, na watano wenye busara. 3 Wale waliokuwa wapumbavu walizitwaa taa zao, wasitwae na mafuta pamoja nao; 4 bali wale wenye busara walitwaa mafuta katika vyombo vyao pamoja na taa zao. 5 Hata bwana arusi alipokawia, wote wakasinzia wakalala usingizi. 6 Lakini usiku wa manane, pakawa na kelele, Haya, bwana arusi; tokeni mwende kumlaki. 7 Mara wakaondoka wanawali wale wote, wakazitengeneza taa zao. 8 Wale wapumbavu wakawaambia wenye busara, Tupeni mafuta ye...
2021-04-24
06 min
SIRI ZA BIBLIA
MAOMBI YA KUMTEKETEZA SHETANI "NGUVU ZA GIZA"
Kuna watu wanapitia mateso mengi sana, wengine wamefungwa katika vifungo bila wao kujijua… Siri za bibilia leo tuna muongozo ambao utakusaidia au itasaidia familia yako. Biblia inapozungumza habari ya watu waliofungwa wapate kufunguliwa, hii ina maana ya kuwa kuna watu wamefungwa chini ya utawala wa nguvu za giza katika ulimwengu wa Roho. Watu hawa wamefungwa kwenye magereza na Ibilisi. Tutambue ya kuwa Yesu aliposema amekuja kutuokoa hii inamaanisha kwamba kuna mahali ambako tusingeweza kujikwamua wenyewe bila nguvu yake yeye mwenywe kuingia kati yetu. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.co...
2021-04-23
12 min
SIRI ZA BIBLIA
AGANO JIPYA: OLE WAO WENYE MIMBA SIKU YA MWISHO/KESHENI MKIOMBA
Mathayo 24 1 Yesu akaenda zake, akatoka hekaluni; wanafunzi wake wakamwendea ili kumwonyesha majengo ya hekalu. 2 Naye akajibu akawaambia, Hamyaoni haya yote? Amin, nawaambieni, Halitasalia hapa jiwe juu ya jiwe ambalo halitabomoshwa. 3 Hata alipokuwa ameketi katika mlima wa Mizeituni, wanafunzi wake wakamwendea kwa faragha, wakisema, Tuambie, mambo hayo yatakuwa lini? Nayo ni nini dalili ya kuja kwako, na ya mwisho wa dunia? 4 Yesu akajibu, akawaambia, Angalieni, mtu asiwadanganye. 5 Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ni Kristo; nao watadanganya wengi. 6 Nanyi mtasikia habari za vita na matetesi ya vita; ang...
2021-04-23
06 min
SIRI ZA BIBLIA
AGANO JIPYA: YESU AWAKOSOA VIONGOZI WA DINI
Mathayo 23 1 Kisha Yesu akawaambia makutano na wanafunzi wake, akasema, 2 Waandishi na Mafarisayo wameketi katika kiti cha Musa; 3 basi, yo yote watakayowaambia, myashike na kuyatenda; lakini kwa mfano wa matendo yao, msitende; maana wao hunena lakini hawatendi. 4 Wao hufunga mizigo mizito na kuwatwika watu mabegani mwao; wasitake wenyewe kuigusa kwa kidole chao. 5 Tena matendo yao yote huyatenda ili kutazamwa na watu; kwa kuwa hupanua hirizi zao, huongeza matamvua yao; 6 hupenda viti vya mbele katika karamu, na kuketi mbele katika masinagogi, 7 na kusalimiwa masokoni, na kuitwa na watu, Rabi.
2021-04-22
05 min
SIRI ZA BIBLIA
SIRI ZA BIBLIA: NGUVU ZA MADHABAHU/MAAGANO NA MIKATABA YA KUZIMU
MAMBO MUHIMU YANAYOUNDA MADHABAHU Ili uweze kushughulikia tatizo sugu lililoshikiliwa kwenye madhabahu ni lazima ufahamu vizuri kuwa madhabahu sio jina pekee bali ni muunganiko wa mambo sita (6) ambayo hayo yanafanya madhabahu kuwepo na kuwa na nguvu, mambo hayo ni kama yafuatayo:- Madhabahu yenyewe Kuhani wa madhabahu Kafara ya madhabahu Washirika wa madhabahu Mungu wa madhabahu Nguvu ya madhabahu Madhabahu yenyewe Madhabahu hujengwa na watu kwa kusudi la kufanya ibada kwa Mungu wanaye mwamini. Kwa kawaida kila mwanadamuanaamini kuwepo kwa nguvu ambayo ni kubwa kuliko nguvu ya...
2021-04-22
11 min
SIRI ZA BIBLIA
SIRI ZA BIBLIA: NGUVU ZA MADHABAHU/MAAGANO NA MIKATABA YA KUZIMU
Kumekuwa na mitazamo mingi ya tofauti tofauti ya namna ya kushughulikia matatizo sugu ambayo yamewakabili watoto wa Mungu kwa muda mrefu sana. Kuna watu wametaka kutoka katika umasikini kwa muda mrefu lakini hawajatoka mpaka sasa na hawajui tatizo limekaa wapi, wengine wametaka kutoka katika matatizo ya ndoa, wengine wametaka kuoa au kuolewa lakini mambo hayo yameshindikana kabisa hata kwa kufunga na kuomba hawajaweza kutoka katika matatizo hayo na mpaka sasa hawana majibu ya matatizo yao. Kuna watu familia zao zimekuwa na vifo vya kutatanisha au vya ghafla, wengine wamekuwa na magonjwa ya kutisha kutoka kizazi hadi kizazi na hata...
2021-04-21
10 min
SIRI ZA BIBLIA
SIRI ZA BIBLIA: NGUVU ZA MADHABAHU/MAAGANO NA MIKATABA YA KUZIMU
Kumekuwa na mitazamo mingi ya tofauti tofauti ya namna ya kushughulikia matatizo sugu ambayo yamewakabili watoto wa Mungu kwa muda mrefu sana. Kuna watu wametaka kutoka katika umasikini kwa muda mrefu lakini hawajatoka mpaka sasa na hawajui tatizo limekaa wapi, wengine wametaka kutoka katika matatizo ya ndoa, wengine wametaka kuoa au kuolewa lakini mambo hayo yameshindikana kabisa hata kwa kufunga na kuomba hawajaweza kutoka katika matatizo hayo na mpaka sasa hawana majibu ya matatizo yao. Kuna watu familia zao zimekuwa na vifo vya kutatanisha au vya ghafla, wengine wamekuwa na magonjwa ya kutisha kutoka kizazi hadi kizazi na hata...
2021-04-20
08 min
SIRI ZA BIBLIA
SIRI ZA BIBLIA: NGUVU ZA MADHABAHU/MAAGANO NA MIKATABA YA KUZIMU
Kumekuwa na mitazamo mingi ya tofauti tofauti ya namna ya kushughulikia matatizo sugu ambayo yamewakabili watoto wa Mungu kwa muda mrefu sana. Kuna watu wametaka kutoka katika umasikini kwa muda mrefu lakini hawajatoka mpaka sasa na hawajui tatizo limekaa wapi, wengine wametaka kutoka katika matatizo ya ndoa, wengine wametaka kuoa au kuolewa lakini mambo hayo yameshindikana kabisa hata kwa kufunga na kuomba hawajaweza kutoka katika matatizo hayo na mpaka sasa hawana majibu ya matatizo yao. Kuna watu familia zao zimekuwa na vifo vya kutatanisha au vya ghafla, wengine wamekuwa na magonjwa ya kutisha kutoka kizazi hadi kizazi na hata...
2021-04-19
10 min
SIRI ZA BIBLIA
SIRI ZA BIBLIA: NUHU NA GHARIKA YA MAJI/DUNIA NZIMA WATU 8 TU WALIOPONA
Mwa 6:5-9:17 inatufundisha kwamba Mungu anachukizwa na dhambi, hivyo anataka kuondoa maovu duniani ili nchi impendeze kama alivyokusudia alipoiumba. Kwa ajili hiyo zamani za Nuhu alileta maji yafunike dunia na kuzamisha waovu. Lakini alisalimisha waadilifu katika safina kubwa ya kutosha, halafu akafunga nao agano thabiti (Eb 11:7). Kadiri ya Mtume Petro maji yanayokusudiwa kutakasa dunia yote ni yale ya ubatizo (1Pet 3:17-22), na safina ambayo iokoe watu ni Kanisa, ambalo kadiri ya Agano Jipya ni la lazima kwa wokovu kama vile ubatizo unaotuingiza ndani yake. Uso wa nchi ulipokwishatakaswa na maji njiwa akarukaruka akachuma tawi la...
2021-04-18
23 min
SIRI ZA BIBLIA
SIRI ZA BIBLIA:WANA WA MUNGU KUZINI NA BINADAMU WANAWAKE
SOMO: MAJITU (WANEFILI). ASILI YA MAJITU - WANEFILI NI KUTOKA WAPI ? NI WAJUMBE WA SHETANI WANAOJIINGIZA KATIKA KUSANYIKO AU USHIRIKA WA WANA WA MUNGU! 1. MAANA YA MAJITU. a. NI MAGUGU YALIYOPANDWA NA IBILISI KATIKA SHAMBA LA MUNGU (ULIMWENGUNI)? Mathayo 13: 24 Akawatolea mfano mwingine, akisema, Ufalme wa mbinguni umefanana na mtu aliyepanda MBEGU NJEMA katika konde lake; 25 lakini watu walipolala, akaja adui yake akapanda MAGUGU KATIKATI YA NGANO, akaenda zake. 26 Baadaye majani ya ngano yalipomea na kuzaa, yakaonekana na magugu. 27 Watumwa wa mwenye nyumba wakaenda wakamwambia, BWANA, hukupanda mbegu njema katika...
2021-04-17
13 min
SIRI ZA BIBLIA
SIRI ZA BIBLIA: WANA WA MUNGU KUZINI NA BINADAMU WANAWAKE
SOMO: MAJITU (WANEFILI). ASILI YA MAJITU - WANEFILI NI KUTOKA WAPI ? NI WAJUMBE WA SHETANI WANAOJIINGIZA KATIKA KUSANYIKO AU USHIRIKA WA WANA WA MUNGU! 1. MAANA YA MAJITU. a. NI MAGUGU YALIYOPANDWA NA IBILISI KATIKA SHAMBA LA MUNGU (ULIMWENGUNI)? Mathayo 13: 24 Akawatolea mfano mwingine, akisema, Ufalme wa mbinguni umefanana na mtu aliyepanda MBEGU NJEMA katika konde lake; 25 lakini watu walipolala, akaja adui yake akapanda MAGUGU KATIKATI YA NGANO, akaenda zake. 26 Baadaye majani ya ngano yalipomea na kuzaa, yakaonekana na magugu. 27 Watumwa wa mwenye nyumba wakaenda wakamwambia, BWANA, hukupanda mbegu njema katika...
2021-04-16
12 min
SIRI ZA BIBLIA
CHRISTOPHER MWAKASEGE: WITO WA KUOMBEA MBEGU ZA MABADILIKO YA MSIMU MPYA KATIKA MIFUMO YA ULIMWENGU PART 2
CHRISTOPHER MWAKASEGE: WITO WA KUOMBEA MBEGU ZA MABADILIKO YA MSIMU MPYA KATIKA MIFUMO YA ULIMWENGU --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-04-15
43 min
SIRI ZA BIBLIA
CHRISTOPHER MWAKASEGE: WITO WA KUOMBEA MBEGU ZA MABADILIKO YA MSIMU MPYA KATIKA MIFUMO YA ULIMWENGU PART 1
CHRISTOPHER MWAKASEGE: WITO WA KUOMBEA MBEGU ZA MABADILIKO YA MSIMU MPYA KATIKA MIFUMO YA ULIMWENGU --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-04-15
41 min
SIRI ZA BIBLIA
Mwalimu Mwakasege azungumzia msiba wa Hayati Rais Magufuli
Mafundisho ya neno la Mungu kutoka kwa Mtumishi wake Mwalimu Christopher Mwakasege wa MANA MINISTRY --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-04-15
01 min
SIRI ZA BIBLIA
SIRI ZA BIBLIA: MWANADAMU WA KWANZA KUZALIWA NA KUUA-KAINI
Kaini kadiri ya Biblia ni jina la binadamu wa kwanza kuzaliwa na kuua. Kadiri ya kitabu cha Mwanzo (Biblia) katika Agano la Kale wana wawili wa kwanza wa Adamu na Hawa, majina yao Kaini na Habili, walitunza imani yao kwa Mungu wakamtolea sadaka. Habili aliitoa katika wanyama bora wa kundi lake, akiwa na hali ya unyenyekevu na imani, naye Mungu akampokea. Tabia ya Kaini ilikuwa ya kiburi, bila ya kumcha Mungu, kwa hiyo Mungu alimkataa (4:1-5; taz. Ebr 11:4; 1 Yoh 3:12). Tabia na maisha ya watoaji wa sadaka ina maana kuliko vitu wanavyovitoa...
2021-04-15
09 min
SIRI ZA BIBLIA
SIRI ZA BIBLIA: MFAHAMU LILITH,MALKIA WA KUZIMU ALIYEASI BUSTANINI
Lilith ni jina la mwanamke ambaye katika hadithi fulani za Mesopotamia ya kale anatajwa kama mungu mke ambaye anahusika na dhoruba akazaa majini. Biblia inasimulia jinsi dunia ilivyoumbwa na mwanzo wa binadamu. Katika maandiko hayo, masimulizi ya uumbaji yana changamoto kuyafahamu sawasawa, hususani kitabu cha Mwanzo 1:26 na Mwanzo 2. Uumbaji wa mwanamke unatajwa sehemu hizo mbili, lakini kwa namna tofauti, kwa kuwa ni visasili tofauti. Katika Mwa 1:26 Mungu aliwaumba Adamu na Eva sawia kwa sura na mfano wake. Katika Mwa 2 Mungu anamuumba Hawa baada ya kuchukua ubavu wa Adamu na kumfanya mwanamke. Katika Biblia Isa 34:14 tu...
2021-04-14
12 min
SIRI ZA BIBLIA
SIRI ZA BIBLIA: SIKU SITA ZA UUMBAJI WA MUNGU
Mwanzo 1:1-25 BHN Hapo mwanzo, Mungu aliumba mbingu na dunia. Dunia ilikuwa bila umbo na tupu. Giza lilikuwa limefunika vilindi vya maji na roho ya Mungu ilikuwa ikitanda juu ya maji. Mungu akasema, “Mwanga uwe.” Mwanga ukawa. Mungu akauona mwanga kuwa ni mwema. Kisha Mungu akautenganisha mwanga na giza, mwanga akauita “Mchana” na giza akaliita “Usiku.” Ikawa jioni, ikawa asubuhi; siku ya kwanza. Mungu akasema, “Anga liwe katikati ya maji, liyatenge maji sehemu mbili.” Mungu akalifanya anga, akayatenga maji yaliyo juu ya anga na yale yaliyo chini ya anga hilo. Ikawa hivyo. Mungu akaliita anga “Mbingu.” Ikawa jioni, ikawa asubuhi...
2021-04-13
10 min
SIRI ZA BIBLIA
SIRI ZA BIBLIA:MNARA WA BABELI NA NIMRODI MPINGA KRISTO
MWANZO 11 Mnara wa Babeli 1Kwanza, watu wote duniani walikuwa na lugha moja na walitumia maneno yaleyale. 2Basi, ikawa watu waliposafirisafiri kutoka mashariki, walifika katika nchi tambarare huko Shinari, wakakaa. 3Kisha wakaambiana, “Haya! Na tufyatue matofali, tuyachome moto vizuri.” Walikuwa na matofali badala ya mawe, na lami badala ya chokaa. 4Wakasema, “Na tujijengee mji na mnara ambao kilele chake kitafika mbinguni ili tujipatie jina, tusije tukatawanyika duniani kote.” 5Ndipo Mwenyezi-Mungu akashuka chini kuuona mji huo na mnara walioujenga binadamu. 6Mwenyezi-Mungu akasema, “Tazama, watu hawa ni taifa moja na wote wana lugha moja; huu ni mwanzo tu...
2021-04-12
08 min
SIRI ZA BIBLIA
MATHAYO 22: YESU AFAFANUA KUHUSU KIAMA
30 Kwa maana katika kiyama hawaoi wala hawaolewi, bali huwa kama malaika mbinguni. 31 Tena kwa habari ya kiyama ya watu, hamjalisoma neno lililonenwa na Mungu, akisema, 32 Mimi ni Mungu wa Ibrahimu, na Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo? Mungu si Mungu wa wafu, bali wa walio hai. 33 Na makutano waliposikia, walishangaa kwa mafunzo yake. 34 Na Mafarisayo waliposikia ya kwamba amewafumba kinywa wale Masadukayo, walifanya shauri pamoja. 35 Mmoja wao, mwana-sheria, akamwuliza, akimjaribu; 36 Mwalimu, katika torati ni amri ipi iliyo kuu? 37 Akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako...
2021-04-06
06 min
SIRI ZA BIBLIA
MATHAYO 21: MAFARISAYO WAANZA KUMPELELEZA YESU
Hata walipokaribia Yerusalemu, na kufika Bethfage, katika mlima wa Mizeituni, ndipo Yesu alipotuma wanafunzi wawili akiwaambia, 2 Enendeni mpaka kijiji kile kinachowakabili, na mara mtaona punda amefungwa, na mwana-punda pamoja naye; wafungueni mniletee. 3 Na kama mtu akiwaambia neno, semeni, Bwana anawahitaji; na mara huyo atawapeleka. 4 Haya yote yamekuwa, ili litimie neno lililonenwa na nabii, akisema, 5 Mwambieni binti Sayuni Tazama, mfalme wako anakuja kwako, Mpole, naye amepanda punda, Na mwana-punda, mtoto wa punda. 6 Wale wanafunzi wakaenda zao, wakafanya kama Yesu alivyowaamuru, 7 wakamleta yule punda na mwana-punda, wakaweka nguo zao juu yao, naye akaketi juu yake.
2021-04-05
07 min
SIRI ZA BIBLIA
MATHAYO 20: YESU APONYA VIPOFU WAWILI
Kwa maana ufalme wa mbinguni umefanana na mtu mwenye nyumba aliyetoka alfajiri kwenda kuajiri wakulima awapeleke katika shamba lake la mizabibu. 2 Naye alipokwisha kupatana na wakulima kuwapa kutwa dinari, aliwapeleka katika shamba lake la mizabibu. 3 Akatoka mnamo saa tatu, akaona wengine wamesimama sokoni wasiokuwa na kazi; 4 na hao nao akawaambia, Enendeni nanyi katika shamba langu la mizabibu, na iliyo haki nitawapa. Wakaenda. 5 Akatoka tena mnamo saa sita na saa kenda, akafanya vile vile. 6 Hata kama saa kumi na moja akatoka, akakuta wengine wamesimama, akawaambia, Mbona mmesimama hapa mchana kutwa bila kazi? 7 Wakamwambia, Kwa...
2021-04-04
04 min
SIRI ZA BIBLIA
MATHAYO 19: YESU AFUNDISHA KUHUSU TALAKA
MATHAYO 19 Kuhusu talaka 1Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, alitoka Galilaya, akaenda Yudea, ngambo ya mto Yordani. 2Watu wengi walimfuata huko, naye akawaponya. 3Mafarisayo kadhaa walimjia, wakamwuliza kwa kumtega, “Je, ni halali mume kumpa talaka mkewe kwa kisa chochote?” 4Yesu akawajibu, “Je, hamkusoma katika Maandiko Matakatifu kwamba Mungu aliyemuumba mtu tangu mwanzo alimfanya mwanamume na mwanamke, 5na akasema: ‘Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake, nao wawili watakuwa mwili mmoja?’ 6Kwa hiyo, wao si wawili tena bali mwili mmoja. Basi, alichounganisha Mungu, binadamu asikitenganishe.” 7Lakini wao wakamwul...
2021-04-03
05 min
SIRI ZA BIBLIA
MATHAYO 18: SAMEHE SABA MARA SABINI
21 Kisha Petro akamwendea Yesu, akamwuliza, “Je, ndugu yangu akinikosea, nimsamehe mara ngapi? Mara saba?” 22 Yesu akamjibu, “Sisemi mara saba tu, bali sabini mara saba. 23 Ndiyo maana Ufalme wa mbinguni umefanana na mfalme mmoja aliyeamua kukagua hesabu za watumishi wake. 24 Ukaguzi ulipoanza, akaletewa mtu mmoja aliyekuwa na deni la fedha talanta elfu kumi. 25 Mtu huyo hakuwa na chochote cha kulipa; hivyo bwana wake aliamuru wauzwe, yeye, mke wake, watoto wake na vitu vyote alivyokuwa navyo, ili deni lilipwe. 26 Basi, huyo mtumishi akapiga magoti mbele yake, akasema, Unisubiri nami nitakulipa deni lote. 27 Yule bwana alimwonea huruma, akamsamehe lile deni, akamwacha aende zake. 28 “Lak...
2021-04-01
05 min
SIRI ZA BIBLIA
LOVE TALK: MAZUNGUMZO YA KIUME KUHUSU MWANAMKE {SEHEMU YA TATU}
Mazungumzo mazito ya mahusiano na ndoa katika studio zetu tukiwa na Dr love. hii ni sehemu ya kwanza{3},fuatilia kwa makini ujifunze zaidi. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-03-31
08 min
SIRI ZA BIBLIA
MATUKIO MAKUBWA YA KILA SIKU KUELEKEA PASAKA
Jifunze maarifa mbalimbali ya kiMungu kupitia siri za biblia, https://youtu.be/3hKE7v7b43M --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-03-30
03 min
SIRI ZA BIBLIA
BUSTANI YA GETSEMANE KILICHOTOKEA KIPINDI CHA PASAKA
Bustani ya Gethsemane, mahali ambapo jina lake kwa kweli linamaanisha "vyombo vya mafuta," iko kwenye mteremko wa Mlima wa Mizeituni kando ya bonde la Kidron kutoka Yerusalemu. Bustani ya miti ya mizeituni ya kale imesimama pale hadi leo. Yesu mara nyingi alikwenda Gethsemane pamoja na wanafunzi Wake kuomba (Yohana 18: 2). Matukio maarufu sana huko Gethsemane yalitokea usiku kabla ya kusulubiwa kwake wakati Yesu alipotolewa. Kila mmoja wa waandishi wa Injili anaelezea matukio ya usiku huo yakiwa na tofauti kidogo, hivyo kusoma akaunti nne (Mathayo 26: 36-56, Marko 14: 32-52; Luka 22: 39-53; Yohana 18: 1-11) yatatoa picha sahihi ya usiku huo muhimu katika ukamilifu...
2021-03-30
04 min
SIRI ZA BIBLIA
LOVE TALK: MAZUNGUMZO YA KIUME KUHUSU MWANAMKE {SEHEMU YA PILI}
Mazungumzo mazito ya mahusiano na ndoa katika studio zetu tukiwa na Dr love. hii ni sehemu ya kwanza{2},fuatilia kwa makini ujifunze zaidi. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-03-30
09 min
SIRI ZA BIBLIA
PASAKA: YUDA ALIVYOMSALITI YESU KWA BUSU
YOHANA 18 Yesu Akamatwa (Mathayo 26:47-56; Marko 14:43-50; Luka 22:47-53) 1 Yesu alipomaliza kuomba, akaondoka na wanafunzi wake wakavuka Bonde la Kidroni. Upande wa pili palikuwa na bustani, yeye na wanafunzi wake wakaingia humo. 2 Basi Yuda, yule aliyemsaliti alipafahamu mahali hapo kwani Yesu alikuwa akikutana humo na wanafunzi wake mara kwa mara. 3Hivyo Yuda akaja bustanini. Aliongoza kikosi cha askari wa Kirumi, na baadhi ya maafisa kutoka kwa viongozi wa makuhani na Mafarisayo. Nao walikuwa wamechukua taa, mienge na silaha. 4 Yesu akijua yale yote yatakayompata, akajitokeza mbele yao akawauliza, “Mnamtafuta nani?”
2021-03-29
08 min
SIRI ZA BIBLIA
LOVE TALK: MAPIGO 6 BAADA YA ADAM KULA TUNDA,YANAMTESA MWANAUME MPAKA LEO {sehemu ya kwanza}
Mazungumzo mazito ya mahusiano na ndoa katika studio zetu tukiwa na Dr love. hii ni sehemu ya kwanza{1},fuatilia kwa makini ujifunze zaidi. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-03-29
10 min
SIRI ZA BIBLIA
AHADI SITA ZA BWANA YESU KUHUSU MAOMBI
1. Mathayo 18:19,20 “Tena nawaambia, ya kwamba wawili wenu watakapopatana duniani katika jambo lo lote watakaloliomba, watafanyiwa na Baba yangu aliye mbinguni. Kwa kuwa walipo wawili watatu wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo papo hapo katikati yao” Nampenda Bwana Yesu. Yani kila tukutanikapo wanadamu wawili huwa si wawili tena bali tupo watatu. Maana Bwana Yesu hujihudhurisha kuja kuchukua maombi yetu ampe Baba. 2. Marko 11:22-24 “Yesu akajibu, akamwambia, Mwaminini Mungu. Amin, nawaambia, Ye yote atakayeuambia mlima huu, Ng'oka ukatupwe baharini, wala asione shaka moyoni mwake, ila aamini kwamba hayo asemayo yametukia, yatakuwa yake. Kwa sababu hiyo nawaambia, Yo yot...
2021-03-27
04 min
SIRI ZA BIBLIA
CHRISTOPHER MWAKASEGE: UHUSIANO WA MAOMBI YA TOBA KWA MUNGU NA MABADILIKO {2}
CHRISTOPHER MWAKASEGE: UHUSIANO WA MAOMBI YA TOBA KWA MUNGU NA MABADILIKO {2} --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-03-27
07 min
SIRI ZA BIBLIA
MATHAYO 17: YESU ABADILIKA SURA MLIMANI, MUSA NA ELIYA WAONEKANA
Mathayo 17 1 Na baada ya siku sita Yesu akawatwaa Petro, na Yakobo, na Yohana nduguye, akawaleta juu ya mlima mrefu faraghani; 2 akageuka sura yake mbele yao; uso wake ukang'aa kama jua, mavazi yake yakawa meupe kama nuru. 3 Na tazama, wakatokewa na Musa na Eliya, wakizungumza naye. 4 Petro akajibu akamwambia Yesu, Bwana, ni vizuri sisi kuwapo hapa; ukitaka, nitafanya hapa vibanda vitatu, kimoja chako wewe, na kimoja cha Musa, na kimoja cha Eliya. 5 Alipokuwa katika kusema, tazama, wingu jeupe likawatia uvuli; na tazama, sauti ikatoka katika lile wingu, ikasema, Huyu ni Mwanangu...
2021-03-26
04 min
SIRI ZA BIBLIA
CHRISTOPHER MWAKASEGE: UHUSIANO WA MAOMBI YA TOBA KWA MUNGU NA MABADILIKO {1}
Jifunze maarifa ya kiMungu kutoka kwa Mwalimu Mwakasege --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-03-26
06 min
SIRI ZA BIBLIA
CHRISTOPHER MWAKASEGE: UKIWA NA UCHUNGU,OMBA MUNGU AKUSHUSHIE NEEMA
Mafundisho ya neno la Mungu kutoka kwa mtumishi wake Mwalimu Christopher Mwakasege wa MANA Ministry --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-03-25
03 min
SIRI ZA BIBLIA
MATHAYO 16: KUNA WATU HAWATAONJA MAUTI,HATA WATAKAPOMWONA MWANA WA ADAM AKIJA KATIKA UFALME WAKE
Mathayo 16 1 Wakamjia Mafarisayo na Masadukayo, wakamjaribu, wakamwomba awaonyeshe ishara itokayo mbinguni. 2 Akajibu, akawaambia, [Kukiwa jioni, mwasema, Kutakuwa na kianga; kwa maana mbingu ni nyekundu. 3 Na asubuhi, mwasema, Leo kutakuwa na dhoruba; kwa maana mbingu ni nyekundu, tena kumetanda. Enyi wanafiki, mwajua kuutambua uso wa mbingu; lakini, je! Ishara za zamani hizi hamwezi kuzitambua?] 4 Kizazi kibaya na cha zinaa chataka ishara; wala hakitapewa ishara, isipokuwa ishara ya Yona. Akawaacha, akaenda zake. 5 Nao wanafunzi wakaenda hata ng'ambo, wakasahau kuchukua mikate. 6 Yesu akawaambia, Angalieni, jilindeni na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo.
2021-03-25
04 min
SIRI ZA BIBLIA
HERI WAFU WAFAO KATIKA BWANA/KAA TAYARI
1 Wathesalonike 4:13-18 BHN Ndugu, twataka mjue ukweli kuhusu wale ambao wamekwisha fariki dunia, ili msipatwe na huzuni kama watu wengine wasio na matumaini. Sisi tunaamini kwamba Yesu alikufa, akafufuka; na hivyo sisi tunaamini kwamba Mungu atawaleta pamoja na Yesu wale wote waliofariki wakiwa wanamwamini. Hili tunalowaambieni ni fundisho la Bwana, kwamba sisi tulio hai, ambao tutakuwa tumebaki wakati Bwana atakapokuja, hakika hatutawatangulia wale waliokwisha fariki dunia. Maana patatolewa amri, sauti ya malaika mkuu, sauti ya tarumbeta ya Mungu, naye Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni. Ndipo wale waliokufa wakiwa wanamwamini Kristo watafufuliwa kwanza. Kisha sisi tulio hai wakati...
2021-03-25
01 min
SIRI ZA BIBLIA
MATHAYO 15: MAMBO YANAYOMTIA MTU UNAJISI
Yesu aliuita ule umati wa watu, akawaambia, “Sikilizeni, mkaelewe! 11Kitu kinachomtia mtu unajisi si kile kiingiacho kinywani, bali kile kitokacho kinywani. Hicho ndicho kimtiacho mtu unajisi.” 12Kisha wanafunzi wakamwendea, wakamwambia, “Je, unajua kwamba Mafarisayo walichukizwa waliposikia maneno yako?” 13Lakini yeye akawajibu, “Kila mmea ambao Baba yangu aliye mbinguni hakupanda, utangolewa. 14Waacheni wenyewe! Wao ni vipofu, viongozi wa vipofu; na kipofu akimwongoza kipofu, wote wawili hutumbukia shimoni.” 15Petro akasema, “Tufafanulie huo mfano.” 16Yesu akasema, “Hata nyinyi hamwelewi? 17Je, hamwelewi kwamba kila kinachoingia kinywani huenda tumboni na baadaye hutolewa nje chooni? 18Lakini mambo yatokayo kinywani hutoka moyoni, na hayo ndiyo yanayomtia m...
2021-03-24
04 min
SIRI ZA BIBLIA
REV:ANDULILE:MAGUFULI KUFARIKI,WAKATI ULIFIKA
WARUMI 6:8 Lakini ikiwa tumekufa na Kristo, tunaamini kwamba pia tutaishi pamoja naye. 9 Kama tujuavyo, Kristo alikwisha kufufu liwa kutoka kwa wafu kwa hiyo hafi tena; kifo hakina mamlaka juu yake tena. 10 Alikufa kwa ajili ya dhambi mara moja tu, lakini maisha anayoishi anamwishia Mungu. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-03-24
13 min
SIRI ZA BIBLIA
CARLOS KIRIMBAI: KULIJUA NA KULIISHI KUSUDI LA MUNGU KATIKA MAISHA YAKO 02
KUSUDI LA MUNGU ni hali ambayo Mungu ametuwekea wanadamu katika maisha yetu ili kuweza kutimia kwa jambo fulani ndani yetu.Kitabu cha Mwanzo 1:1...... kinaelezea jinsi uumbaji wa Mungu kwa vitu na binadamu kusudi la Mungu katika maisha yetu si kuishi ya maisha ya mateso aliituumba ili tutawale KUISHI NA KUTAWALA Akatuumba kwa mfano wake ili tuishi ndani yake kwa kusudi lake kuu.Ili uweze kufanikiwa katika maisha yako ishi ndani ya kusudi la Mungu afu utaona ushindi juu yako. Yeremia 1:4-5-8 Isaya41:10 ILI UWEZE KULIISHI KUSUDI LA MUNGU (VITU VYA KUZINGATIA) 1. KULIISHI...
2021-03-23
16 min
SIRI ZA BIBLIA
REV:ANDULILE:TUKIFA TUNAKUFA PAMOJA NAYE,TENGENEZA MAMBO YAKO
Mafundisho ya neno la Mungu kutoka kwa mtumishi wa Mungu Mwinjilisti Andulile katika kanisa la Mito ya Baraka.kipindi cha kuomboleza kitaifa kwa kuondokewa na Rais wetu mpendwa John Magufuli --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-03-23
21 min
SIRI ZA BIBLIA
CARLOS KIRIMBAI: KULIJUA NA KULIISHI KUSUDI LA MUNGU KATIKA MAISHA YAKO 01
KUSUDI LA MUNGU ni hali ambayo Mungu ametuwekea wanadamu katika maisha yetu ili kuweza kutimia kwa jambo fulani ndani yetu.Kitabu cha Mwanzo 1:1...... kinaelezea jinsi uumbaji wa Mungu kwa vitu na binadamu kusudi la Mungu katika maisha yetu si kuishi ya maisha ya mateso aliituumba ili tutawale KUISHI NA KUTAWALA Akatuumba kwa mfano wake ili tuishi ndani yake kwa kusudi lake kuu.Ili uweze kufanikiwa katika maisha yako ishi ndani ya kusudi la Mungu afu utaona ushindi juu yako. Yeremia 1:4-5-8 Isaya41:10 ILI UWEZE KULIISHI KUSUDI LA MUNGU (VITU VYA KUZINGATIA) 1. KULIISHI...
2021-03-22
17 min
SIRI ZA BIBLIA
REV:ANDULILE MBWILE: KUFA UTAKUFA TU,UWE TAYARI WAKATI UNAOFAA NA USIOFAA 01
Mafundisho ya neno la Mungu kutoka kwa mtumishi wa Mungu Mwinjilisti Andulile,katika kipindi cha maombolezo ya kitaifa kwa taifa la Tanzania. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-03-22
18 min
SIRI ZA BIBLIA
CHRISTOPHER MWAKASEGE: SADAKA 04
Somo la sadaka kutoka kwa mtumishi wa Mungu Mwalimu Mwakasege --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-03-22
15 min
SIRI ZA BIBLIA
CHRISTOPHER MWAKASEGE:SADAKA 03
Somo la sadaka kutoka kwa mtumishi wa Mungu Mwakasege --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-03-21
11 min
SIRI ZA BIBLIA
CARLOS KIRIMBAI: MAISHA YA IMANI 03
KAZI KUU TANO (5) ZA IMANI KATIKA MAOMBI Uhusiano ni upendo unaozaa ushirikiano na mawasiliano kati ya pande mbili tofauti. Kama tuna upendo kwa MUNGU inatupasa sana kushirikiana na MUNGU na kuwasiliana na MUNGU Mara kwa Mara. Mawasiliano hayo ni maombi . Lakini maombi tu hayawezi kuzaa matunda kama sio maombi ya imani. Kama kuna mambo matano(5) muhimu katika maombi yako basi ni hivi: =Jina la YESU KRISTO(Yohana 14:14), =Damu ya YESU KRISTO(Ufunuo 12:11), = Neno la MUNGU la ufunuo wa ROHO MTAKATIFU(Zaburi 107:20), =Nguvu za ROHO MTAKATIFU(Luka 1:35a) =Na Kuomba kwa...
2021-03-21
10 min
SIRI ZA BIBLIA
MATHAYO 14: KIFO CHA YOHANA MBATIZAJI/AKATWA KICHWA
3 Kabla ya wakati huu, Herode alimkamata Yohana. Akamfunga kwa minyororo na kumweka gerezani. Alimkamata Yohana kwa sababu ya Herodia, mke wa Filipo, kaka yake Herode. 4 Yohana alikuwa amemwambia, “Si sahihi kwako kumwoa Herodia.” 5 Herode alitaka kumwua, lakini aliwaogopa watu. Waliamini kuwa Yohana alikuwa nabii. 6 Siku ya kuzaliwa Herode, bintiye Herodia[a] alicheza mbele yake na kundi lake. Herode alifurahishwa naye sana. 7 Hivyo aliapa kuwa atampa kitu chochote atakachotaka. 8 Herodia alimshawishi binti yake kitu cha kuomba. Hivyo bintiye akamwambia Herode, “Nipe hapa kichwa cha Yohana Mbatizaji kwenye sahani kubwa.” 9 Mfalme Herode alihuzunika sana. Lakini alikuwa ameahidi kumpa binti kit...
2021-03-21
04 min
SIRI ZA BIBLIA
CARLOS KIRIMBAI: MAISHA YA IMANI 02
KAZI KUU TANO (5) ZA IMANI KATIKA MAOMBI Uhusiano ni upendo unaozaa ushirikiano na mawasiliano kati ya pande mbili tofauti. Kama tuna upendo kwa MUNGU inatupasa sana kushirikiana na MUNGU na kuwasiliana na MUNGU Mara kwa Mara. Mawasiliano hayo ni maombi . Lakini maombi tu hayawezi kuzaa matunda kama sio maombi ya imani. Kama kuna mambo matano(5) muhimu katika maombi yako basi ni hivi: =Jina la YESU KRISTO(Yohana 14:14), =Damu ya YESU KRISTO(Ufunuo 12:11), = Neno la MUNGU la ufunuo wa ROHO MTAKATIFU(Zaburi 107:20), =Nguvu za ROHO MTAKATIFU(Luka 1:35a) =Na Kuomba kwa...
2021-03-20
11 min
SIRI ZA BIBLIA
CHRISTOPHER MWAKASEGE: SADAKA 02
Somo la sadaka kutoka kwa mtumishi wa Mungu Mwakasege --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-03-20
17 min
SIRI ZA BIBLIA
MATHAYO 13: SABABU ZA YESU KUFUNDISHA KWA MIFANO
Wafuasi wake wakamwendea Yesu na kumuuliza, “Kwa nini unatumia simulizi hizi kuwafundisha watu?” 11 Yesu akawajibu, “Mungu amewapa ninyi ujuzi wa kuelewa siri za ufalme wa Mungu, lakini hajawapa watu hawa wengine ujuzi huu. 12 Kisha akawaambia, ‘Zingatieni kwa makini kile mnachokisikia. Kwani jinsi mnavyosikiliza kwa makini, ndivyo mtakavyoelewa na kuzidi kuelewa. Kwa kuwa kila aliye na uelewa kidogo ataongezewa zaidi. Lakini wale wasiosikiliza kwa makini watapoteza hata ule uelewa mdogo walio nao.’ 13 Ndiyo sababu ninatumia simulizi hizi kuwafundisha watu: Wanaona, lakini hakika hawaoni. Wanasikia, lakini hakika hawasikii au kuelewa. 14 Hiyo inathibitisha alichosema nabii Isaya kuhusu wao kuwa kweli: ‘Ninyi w...
2021-03-20
07 min
SIRI ZA BIBLIA
CHRISTOPHER MWAKASEGE: SADAKA 01
Somo la sadaka kutoka kwa Mwalimu Mwakasege --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-03-19
17 min
SIRI ZA BIBLIA
CARLOS KIRIMBAI: MAISHA YA IMANI 01
KAZI KUU TANO (5) ZA IMANI KATIKA MAOMBI Uhusiano ni upendo unaozaa ushirikiano na mawasiliano kati ya pande mbili tofauti. Kama tuna upendo kwa MUNGU inatupasa sana kushirikiana na MUNGU na kuwasiliana na MUNGU Mara kwa Mara. Mawasiliano hayo ni maombi . Lakini maombi tu hayawezi kuzaa matunda kama sio maombi ya imani. Kama kuna mambo matano(5) muhimu katika maombi yako basi ni hivi: =Jina la YESU KRISTO(Yohana 14:14), =Damu ya YESU KRISTO(Ufunuo 12:11), = Neno la MUNGU la ufunuo wa ROHO MTAKATIFU(Zaburi 107:20), =Nguvu za ROHO MTAKATIFU(Luka 1:35a) =Na...
2021-03-19
17 min
SIRI ZA BIBLIA
MATHAYO 12: KIZAZI CHA WAOVU NA WASIOAMINI HUTAFUTA ISHARA
38 Kisha baadhi ya waandishi wa sheria na Mafarisayo wakam wambia, “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.” 39 Lakini yeye akawajibu, “Kizazi cha watu waovu na wasiowaami nifu hutafuta ishara; lakini hawatapewa ishara yo yote isipokuwa ile ya nabii Yona. 40 Kwa maana kama vile Yona alivyokaa katika tumbo la nyangumi kwa muda wa siku tatu mchana na usiku, vivyo hivyo mimi Mwana wa Adamu nitakaa siku tatu, mchana na usiku ndani ya ardhi. 41 Siku ya hukumu watu wa Ninawi watasimama pamoja na kizazi hiki na kukihukumu; kwa maana wao walitubu wakati Yona alipowahubiria, na hapa yupo aliye mkuu kuliko Yona. 42 Malkia wa Kusini a...
2021-03-19
06 min
SIRI ZA BIBLIA
MATHAYO 11:YOHANA AFUNGWA GEREZANI/ATUMA WANAFUNZI KWA YESU
11 Yesu alipomaliza maelekezo haya kwa wafuasi wake kumi na wawili wa karibu, aliondoka mahali pale. Akaenda katika miji ya Galilaya kuwafundisha watu na kuwaeleza ujumbe wa Mungu. 2 Yohana alipokuwa gerezani, alisikia kuhusu mambo yaliyokuwa yanatokea; mambo ambayo Masihi angefanya. Hivyo akawatuma baadhi ya wafuasi wake kwa Yesu. 3 Wakamuuliza, “Wewe ni yule tuliyekuwa tunamngojea, au tumsubiri mwingine?” 4 Yesu akajibu, “Rudini mkamwambie Yohana yale mliyosikia na kuona: 5 Vipofu wanaona. Viwete wanatembea. Watu wenye magonjwa ya ngozi wanaponywa. Wasiyesikia wanasikia. Wafu wanafufuliwa. Na habari njema inahubiriwa kwa maskini. 6 Heri ni kwa wale wasio na shida kunikubali.” 7 Wafuasi wa Yoha...
2021-03-18
03 min
SIRI ZA BIBLIA
MATHAYO 10: SIKUJA DUNIANI KULETA AMANI,BALI VITA
34 Msidhani kuwa nilikuja duniani kuleta amani. Sikuja kuleta amani. Nilikuja kuleta vita. 35 Nimekuja ili hili litokee: ‘Mwana atamgeuka baba yake. Binti atamgeuka mama yake. Binti mkwe atamgeuka mama mkwe wake. 36 Hata watu wa familia zenu watakuwa adui zenu.’ 37 Wale wanaowapenda baba zao au mama zao kuliko wanavyonipenda mimi hawana thamani kwangu. Na wale wanaowapenda wana wao au binti zao kuliko wanavyonipenda mimi hawastahili kuwa wafuasi wangu. 38 Wale ambao hawataupokea msalaba waliopewa wanaponifuata hawastahili kuwa wanafunzi wangu na kunifuata. 39 Wale wanaojaribu kuyatunza maisha waliyonayo, watayapoteza. Lakini wale wanaoyaacha maisha yao kwa ajili yangu watapata u...
2021-03-17
05 min
SIRI ZA BIBLIA
MATHAYO 9:KUFUNGA NA KUOMBA
Kisha wanafunzi wa Yohane Mbatizaji walimwendea Yesu, wakamwuliza, “Sisi na Mafarisayo hufunga mara nyingi; mbona wanafunzi wako hawafungi?” 15Yesu akawajibu, “Je, walioalikwa harusini hutakiwa kuomboleza wakati bwana arusi yupo pamoja nao? La, hasha! Lakini wakati utafika ambapo bwana arusi ataondolewa kati yao; wakati huo ndipo watakapofunga. 16“Watu hawatii kiraka cha nguo mpya katika vazi kuukuu. Maana kiraka hicho kitararua hilo vazi kuukuu, na pale palipokuwa pameraruka pataongezeka. 17Wala watu hawaweki divai mpya katika viriba vikuukuu. Wakifanya hivyo, viriba hupasuka na divai ikamwagika, navyo viriba vikaharibika. Ila, watu huweka divai mpya katika viriba vipya, na vyote viwili, viriba na divai...
2021-03-15
04 min
SIRI ZA BIBLIA
MATHAYO 8: YESU ATULIZA DHORUBA BAHARINI
Yesu anaamuru dhoruba itulie 23Yesu alipanda mashua, na wanafunzi wake wakaenda pamoja naye. 24Mara, dhoruba kali ikatokea ziwani, hata mawimbi yakaanza kuifunika mashua. Yesu lakini alikuwa amelala usingizi. 25Wanafunzi wakamwendea, wakamwamsha wakisema, “Bwana, tuokoe, tunaangamia!” 26Yesu akawaambia, “Enyi watu wenye imani haba; mbona mnaogopa?” Basi, akainuka, akaukemea upepo na lile ziwa; kukawa shwari kabisa. 27Watu wakashangaa, wakasema, “Ni mtu wa namna gani huyu? Hata pepo na bahari vinamtii!” Yesu anaponya watu wawili wenye pepo 28Yesu alifika katika nchi ya Wagadara, ngambo ya ziwa, na huko watu wawili waliopagawa...
2021-03-15
04 min
SIRI ZA BIBLIA
MATHAYO 7: USIHUKUMU USIJE UKAHUKUMIWA
“Msiwahukumu wengine, msije nanyi mkahukumiwa na Mungu; 2kwa maana jinsi mnavyowahukumu wengine, ndivyo nanyi mtakavyohukumiwa; na kipimo kilekile mnachotumia kwa wengine ndicho Mungu atakachotumia kwenu. 3Kwa nini wakiona kibanzi kilicho jichoni mwa ndugu yako, na papo hapo huioni boriti iliyoko jichoni mwako? 4Au, wawezaje kumwambia ndugu yako, ‘Ndugu, ngoja nikuondoe kibanzi jichoni mwako,’ wakati wewe mwenyewe unayo boriti jichoni mwako? 5Mnafiki wewe! Ondoa kwanza boriti iliyomo jichoni mwako na hapo ndipo utaona sawasawa kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi kilichomo jichoni mwa ndugu yako. 6“Msiwape mbwa vitu vitakatifu wasije wakageuka na kuwararua nyinyi; wala msiwatupie nguruwe lulu zenu wasije w...
2021-03-13
04 min
SIRI ZA BIBLIA
MATHAYO 6: YESU AFUNDISHA NAMNA YA KUSALI
“Jihadharini msije mkafanya matendo yenu mema mbele ya watu kusudi mwonekane nao. La sivyo, Baba yenu aliye mbinguni hatawapeni tuzo. “Basi, unapomsaidia maskini, usijitangaze. Usifanye kama wanafiki wafanyavyo katika masunagogi na njiani ili watu wawasifu. Kweli nawaambieni, hao wamekwisha pata tuzo lao. Lakini wewe unapomsaidia maskini, fanya hivyo kwamba hata mwandani wako asijue ufanyalo. Toa msaada wako kwa siri, na Baba yako aonaye yaliyofichika, atakutuza. “Mnaposali, msifanye kama wanafiki. Wao hupenda kusimama na kusali katika masunagogi na katika pembe za njia ili watu wawaone. Kweli nawaambieni, hao wamekwisha pata tuzo lao. Lakini wewe unaposali, ingia chumbani mwako, funga mlango, kisha...
2021-03-13
05 min
SIRI ZA BIBLIA
MATHAYO 5: HERI WENYE MOYO SAFI,MAANA HAO WATAMUONA MUNGU
Mathayo 5 1 Naye alipowaona makutano, alipanda mlimani; na alipokwisha kuketi, wanafunzi wake walimjia; 2 akafumbua kinywa chake, akawafundisha, akisema, 3 Heri walio maskini wa roho; Maana ufalme wa mbinguni ni wao. 4 Heri wenye huzuni; Maana hao watafarijika. 5 Heri wenye upole; Maana hao watairithi nchi. 6 Heri wenye njaa na kiu ya haki; Maana hao watashibishwa. 7 Heri wenye rehema; Maana hao watapata rehema. 8 Heri wenye moyo safi; Maana hao watamwona Mungu. 9 Heri wapatanishi; Maana hao wataitwa wana wa Mungu. 10 Heri wenye kuudhiwa kwa ajili ya haki; Maana ufalm...
2021-03-12
06 min
SIRI ZA BIBLIA
MATHAYO 4: YESU ACHAGUA WANAFUNZI 12 KATIKA HUDUMA YAKE
Kisha Yesu alipandishwa na Roho nyikani, ili ajaribiwe na Ibilisi. 2 Akafunga siku arobaini mchana na usiku, mwisho akaona njaa. 3 Mjaribu akamjia akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, amuru kwamba mawe haya yawe mikate. 4 Naye akajibu akasema, Imeandikwa, Mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu. 5 Kisha Ibilisi akamchukua mpaka mji mtakatifu, akamweka juu ya kinara cha hekalu, 6 akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu jitupe chini; kwa maana imeandikwa, Atakuagizia malaika zake; Na mikononi mwao watakuchukua; Usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe. 7 Yesu akamwambia, Tena imeandikwa, Usimjaribu Bwana...
2021-03-11
04 min
SIRI ZA BIBLIA
MATHAYO 3: YOHANA MBATIZAJI AKIHUBIRI/AMBATIZA YESU
Mathayo 3 1 Siku zile aliondokea Yohana Mbatizaji akihubiri katika nyika ya Uyahudi, na kusema, 2 Tubuni; kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia. 3 Kwa sababu huyo ndiye aliyenenwa na nabii Isaya, akisema, Sauti ya mtu aliaye nyikani, Itengenezeni njia ya Bwana, Yanyosheni mapito yake. 4 Naye Yohana mwenyewe alikuwa na vazi lake la singa za ngamia, na mshipi wa ngozi kiunoni mwake; na chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwitu. 5 Ndipo walipomwendea Yerusalemu, na Uyahudi wote, na nchi zote za kandokando ya Yordani; 6 naye akawabatiza katika mto wa Yordani, huku wakiziungama...
2021-03-10
03 min
SIRI ZA BIBLIA
MATHAYO 2:MFALME HERODE APANGA KUMUUA MTOTO YESU
Mathayo 2 1 Yesu alipozaliwa katika Bethlehemu ya Uyahudi zamani za mfalme Herode, tazama, mamajusi wa mashariki walifika Yerusalemu, wakisema, 2 Yuko wapi yeye aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi? Kwa maana tuliiona nyota yake mashariki, nasi tumekuja kumsujudia. 3 Basi mfalme Herode aliposikia hayo, alifadhaika, na Yerusalemu pia pamoja naye. 4 Akakusanya wakuu wa makuhani wote na waandishi wa watu, akatafuta habari kwao, Kristo azaliwa wapi? 5 Nao wakamwambia, Katika Bethlehemu ya Uyahudi; kwa maana ndivyo ilivyoandikwa na nabii, 6 Nawe Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, Hu mdogo kamwe katika majumbe wa Yuda; Kwa kuwa kwako atatok...
2021-03-09
04 min
SIRI ZA BIBLIA
MATHAYO 1: UKOO WA YESU NA KUZALIWA KWAKE
Kuzaliwa kwake Yesu Kristo kulikuwa hivi. Mariamu mama yake alipokuwa ameposwa na Yusufu, kabla hawajakaribiana, alionekana ana mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu. Naye Yusufu, mumewe, kwa vile alivyokuwa mtu wa haki, asitake kumwaibisha, aliazimu kumwacha kwa siri. Basi alipokuwa akifikiri hayo, tazama, malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto, akisema, Yusufu, mwana wa Daudi, usihofu kumchukua Mariamu mkeo, maana mimba yake ni kwa uweza wa Roho Mtakatifu. Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake na dhambi zao. Hayo yote yamekuwa, ili litimie neno lililonenwa na Bwan...
2021-03-08
06 min
SIRI ZA BIBLIA
IMANI KATIKA MAOMBI NA KAZI YAKE
Bwana YESU atukuzwe ndugu zangu. Karibu tujifunze Neno la MUNGU. Uhusiano ni upendo unaozaa ushirikiano na mawasiliano kati ya pande mbili tofauti. Kama tuna upendo kwa MUNGU inatupasa sana kushirikiana na MUNGU na kuwasiliana na MUNGU Mara kwa Mara. Mawasiliano hayo ni maombi . Lakini maombi tu hayawezi kuzaa matunda kama sio maombi ya imani. Kama kuna mambo matano(5) muhimu katika maombi yako basi ni hivi: =Jina la YESU KRISTO(Yohana 14:14), =Damu ya YESU KRISTO(Ufunuo 12:11), = Neno la MUNGU la ufunuo wa ROHO MTAKATIFU(Zaburi 107:20), =Nguvu za ROHO MTAKATIFU(Luka 1:35a)
2021-03-06
10 min
SIRI ZA BIBLIA
MPANGO MPYA WA ULIMWENGU/NEW WORLD ORDER PART 2
Kisha nikaona mnyama akitoka katika bahari, mwenye pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru. Na yule mnyama niliyemwona alikuwa mfano wa chui, na miguu yake ilikuwa kama miguu ya dubu, na kinywa chake kama kinywa cha simba, yule joka akampa nguvu zake na kiti chake cha enzi na uwezo mwingi. Nikaona kimoja cha vichwa vyake kana kwamba kimetiwa jeraha la mauti, na pigo lake la mauti likapona. Dunia yote ikamstaajabia mnyama yule. Wakamsujudu yule joka kwa sababu alimpa huyo mnyama uwezo wake; nao wakamsujudu yule...
2021-03-05
07 min
SIRI ZA BIBLIA
MPANGO MPYA WA ULIMWENGU/NEW WORLD ORDER
Naamini watu wengi wameshasikia juu ya kile kinachojulikana kama Mpango Mpya wa Ulimwengu (New World Order). Hata hivyo, wapo pia wengine wengi ambao hawana habari juu ya kile kinachoendelea kuhusiana na mpango huu. Mpango Mpya wa Ulimwengu ni mpango wenye nia ya kuusuka ulimwengu upya ili uweze kuwa tofauti na ulivyo sasa; ili uweze kuendana na malengo ya hao wanaoutaka. Mpango huu ni mkakati kabambe unaosimamiwa na watu wenye nguvu duniani, yaani wenye nguvu za kiuchumi, kisiasa, na hata kiroho. Malengo ya mpango huu ni mengi. Kati yake ni haya yafuatayo: Kuwa na serikali moja inayotawala...
2021-03-04
08 min
SIRI ZA BIBLIA
CHRISTOPHER MWAKASEGE:NAMNA YA KUTUMIA SALA YA BWANA
Mafundisho ya neno la Mungu kutoka kwa mtumishi wa Mungu Mwalimu Christopher Mwakasege SOMO: NAMNA YA KUTUMIA SALA YA BWANA --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-03-03
17 min
SIRI ZA BIBLIA
CHRISTOPHER MWAKASEGE: MSAADA WA MUNGU KWA ULIMWENGU WA SASA KATIKA MABADILIKO YA MSIMU HUU MPYA
SEMINA YA NENO LA MUNGU FEBRUARY 2021 DAR ES SALAAM,VIWANJA VYA TANGANYIKA PACKERS --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-02-26
12 min
SIRI ZA BIBLIA
CHRISTOPHER MWAKASEGE:MSAADA WA MUNGU KWA ULIMWWENGU KATIKA MABADILIKO YA MSIMU HUU MPYA
Mafundisho ya neno la Mungu kutoka kwa mtumishi wake Mwalimu Christopher Mwakasege mwezi wa pili jijini Dar Es Salaam.Unaweza kufuatilia mafundisho haya zaidi katika mitandao yote ya kijamii na youtube channel kwa jina la SIRI ZA BIBLIA1 --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-02-25
20 min
SIRI ZA BIBLIA
CHRISTOPHER MWAKASEGE:MSAADA WA MUNGU KWA ULIMWENGU KATIKA MABADILIKO YA MSIMU HUU MPYA{6}
Mafundisho ya neno la Mungu kutoka kwa mtumishi wake Mwalimu Christopher Mwakasege mwezi wa pili jijini Dar Es Salaam.akifundisha kuhusu MSAADA WA MUNGU KWA ULIMWENGU KATIKA MABADILIKO YA MSIMU HUU MPYA.jifunze maarifa haya muhimu kwa maisha yako kiroho --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-02-24
24 min
SIRI ZA BIBLIA
CHRISTOPHER MWAKASEGE:MSAADA WA MUNGU KWA ULIMWENGU KATIKA MABADILIKO YA MSIMU HUU MPYA
FUATILIA ZAIDI MAFUNDISHO MBALIMBALI KUTOKA KWA WATUMISHI WA MUNGU KUPITIA PODCAST YA SIRI ZA BIBLIA NA MITANDAO YOTE YA KIJAMII. LEO TUPO NA MTUMISHI WA MUNGU,MWALIMU CHRISTOPHER MWAKASEGE WA MANA MINISTRY KUTOKA NCHINI TANZANIA.SEMINA HII IMEFUNDISHWA JIJINI DAR ES SALAAM FEBRUARI 2021 "MSAADA WA MUNGU KWA ULIMWENGU KATIKA MABADILIKO YA MSIMU HUU MPYA" --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-02-23
12 min
SIRI ZA BIBLIA
CHRISTOPHER MWAKASEGE: MSAADA WA MUNGU KWA ULIMWENGU WAKATI HUU {2}
Zab 46:1 Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu, Msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-02-22
08 min
SIRI ZA BIBLIA
CHRISTOPHER MWAKASEGE: MSAADA WA MUNGU KWA ULIMWENGU WAKATI HUU {01}
Msaada wa Mungu kwa ulimwengu katika mabadiliko ya msimu huu mpya --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-02-20
12 min
SIRI ZA BIBLIA
CHRISTOPHER MWAKASEGE: TAHADHARI JUU YA HOFU YA MUNGU
Nani angejua kuhusu Corona --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-02-19
09 min
SIRI ZA BIBLIA
CHRISTOPHER MWAKASEGE:NDOTO NI MLANGO WA KIROHO NDANI YA MTU
Ndoto ni muhimu sana katika ulimwengu wa roho. Tunapokuwa tumelala, miili yetu ndo inalala lakini roho zetu hazilali. Hivyo kunakuwa na mambo mengi ambayo yanakuwa yanatendeka katika ulimwengu wa roho. Somo la ndoto ni somo pana sana na ni vigumu kuliandika nikagusia kila kipengele. Hivyo lengo la post hii ni kukupa mtaji ili uweze kuelewa maana ya baadhi ndoto chache ambazo umekuwa ukiota. Hii itakusaidia unapokuwa unaomba kwani unahitaji kuelewa unachoombea. Kama nilivyosema mwanzo kuna ndoto za kutoka kwa Mungu (Matendo 2:17), ndoto za kutoka kwa shetani (Ayubu 7:14—15), na pia kuna ndoto ambazo ni matokeo ya shughuli nyi...
2021-02-18
17 min
SIRI ZA BIBLIA
YESU ANARUDI USICHUKULIE POA
Zamani tulikuwa tunanawa mikono hata watu kumi kwenye bakuli moja kabla ya kula na hakukuwa na madhara yeyote,tulikusanyika maeneo mbalimbali kwenye Matukio ya kijamii kufurahia ama kushiriki majonzi na wenzetu misibani……hatushirikiani tena kama miaka mitano iliyopita…kuna nini kimetokea??? Hivi ulishawahi kuwaza kuhusu maisha haya miaka mitano iliyopita?? Sio rahisi..naomba nikuache na tafakari ya leo…waza kuhusu miaka mitano ijayo…hali itakuwaje..vipi kama mifumo ya maisha itaendelea kubadilishwa na kuhakikisha tunafungiwa ndani Zaidi…tafakari kuhusu miaka mitano ijayo …ni wangapi watakuwa hawapo tena na sisi kwa sababu ya hali hii inayoendelea ulimwenguni kote>>>tafakari …hatma ya maisha yako i...
2021-02-17
02 min
SIRI ZA BIBLIA
MWISHO WA DUNIA:MKIRI YESU UUPATE WOKOVU SASA { sehemu ya 01}
Efe 5:15-20 SUV Basi angalieni sana jinsi mnavyoenenda; si kama watu wasio na hekima bali kama watu wenye hekima; mkiukomboa wakati kwa maana zamani hizi ni za uovu. Kwa sababu hiyo msiwe wajinga, bali mfahamu ni nini yaliyo mapenzi ya Bwana. Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe Roho; mkisemezana kwa zaburi na tenzi na nyimbo za rohoni, huku mkiimba na kumshangilia Bwana mioyoni mwenu; na kumshukuru Mungu Baba sikuzote kwa mambo yote, katika jina lake Bwana wetu Yesu Kristo --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-02-16
01 min
SIRI ZA BIBLIA
CHRISTOPHER MWAKASEGE: NDOTO NI MLANGO WA KIROHO NDANI YA MTU
Zijue ishara za Roho Mtakatifu katika ndoto, Mwalimu Christopher Mwakasege wa MANA MINISTRY --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-02-16
16 min
SIRI ZA BIBLIA
ANOINTED ROOM:KIJANA NI TAIFA KUBWA {sehemu ya 5}
Nawaandikia ninyi, vijana, kwa sababu mmemshinda yule mwovu. Nimewaandikia ninyi, watoto, kwa sababu mmemjua Baba. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-02-15
11 min
SIRI ZA BIBLIA
ANOINTED ROOM: KIJANA NI TAIFA KUBWA {sehemu ya 4}
Nimewaandikia ninyi vijana,Kwa sababu mna nguvu, na neno la Mungu linakaa ndani yenu,nanyi mmemshinda yule mwovu.Msiipende dunia, wala mambo yaliyomo katika dunia.Mtu akiipenda dunia, kumpenda Baba hakumo ndani yake.Maana kila kilichomo duniani, yaani tamaa ya mwili, na tamaa ya macho, na kiburi cha uzima havitokani na Baba. bali vyatokana na dunia. Na dunia inapita pamoja na tamaa zake, bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu atadumu hata milele. {1yohana 2;14-17} Mhubiri 11:9-10 Ewe kijana, furahia ujana wako, moyo wako, uchangamke wakati ungali kijana. Fuata mapenzi ya moyo wako n...
2021-02-13
10 min
SIRI ZA BIBLIA
ANOINTED ROOM: KIJANA NI TAIFA KUBWA {sehemu ya 3}
1 Yoh 2:13 Nawaandikia ninyi, akina baba, kwa sababu mmemjua yeye aliye tangu mwanzo. Nawaandikia ninyi, vijana, kwa sababu mmemshinda yule mwovu. Nimewaandikia ninyi, watoto, kwa sababu mmemjua Baba. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-02-12
16 min
SIRI ZA BIBLIA
ANOINTED ROOM: KIJANA NI TAIFA KUBWA {sehemu ya 2}
JINSI GANI KIJANA AISAFISHE NJIA ZAKE 01.KWA KUTII 02.KULIFATA NENO Mhubiri 12:1 '' Mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako, Kabla hazijaja siku zilizo mbaya, Wala haijakaribia miaka utakaposema, Mimi sina furaha katika hiyo. '' Ni muhimu sana kwa kijana kumcha BWANA tangu mapema kabisa katika umri wake maana Kijana Asiyezoea Kujizuia Kimwili Kabla Ya Ndoa, Hataweza Kujizuia Katika Ndoa. Wasaliti Wengi Wa Ndoa Zao Ni Wale Ambao Hata Kabla Ya Ndoa Walishindwa Kujizuia Miili Yao Na Kuwapelekea Kufanya Uasherati. 2 Timotheo 2:22 '' Lakini zikimbie tamaa za ujanani; ukafuate haki, na imani, na upendo, na...
2021-02-11
16 min
SIRI ZA BIBLIA
ANOINTED ROOM: KIJANA NI TAIFA KUBWA {sehemu ya 1}
Mhubiri 3:1-8 Kila kitu kina majira yake, kila jambo duniani lina wakati wake: Wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa; wakati wa kupanda na wakati wa kuvuna kilichopandwa; wakati wa kuua na wakati wa kuponya; wakati wa kubomoa na wakati wa kujenga; wakati wa kulia na wakati wa kucheka; wakati wa kuomboleza na wakati wa kucheza; wakati wa kutupa mawe na wakati wa kuyakusanya mawe pamoja; wakati wa kukumbatia na wakati wa kuacha kukumbatia; wakati wa kutafuta na wakati wa kupoteza; wakati wa kuhifadhi na wakati wa kutupa; wakati wa kurarua na wakati wa kushona; wakati wa k...
2021-02-10
20 min
SIRI ZA BIBLIA
“2021, MFUATE YESU, SIO DUNIA”
WOKOVU ni hatua ya kwanza. Mkiri Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yako. Kuwa mwaminifu kwa MUNGU. Acha dhambi sasa. Ishi maisha ya utakatifu. Msikie MUNGU na kuitii sauti yake. Amekuita kumtumikia, usikimbie itikia wito. Kuwa mtu wa toba wakati wote. Tenda wema bila kuchoka. Kila mara tafuta fursa ya kutenda wema kwa mwingine. Kuwa na HESHIMA na KUWATHAMINI WENGINE kwa kutambua ya kuwa kila mmoja ana thamani mbele za Mungu kulingana na neema tofauti ambazo kila mmoja amebarikiwa na zote zina thamani 1 Wakorintho 6: 9-10 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa...
2021-02-10
05 min
SIRI ZA BIBLIA
WOKOVU
Maisha ya sasa yanahitaji wokovu halisi kutoka kwa Yesu aliyetufia msalabani.Usipoteze muda fanya maamuzi sahihi wakati huu. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
2021-02-09
00 min