Look for any podcast host, guest or anyone
Showing episodes and shows of

Wingu La Mashahidi

Shows

Wingu la MashahidiWingu la MashahidiKALAMU YENYE UONGO YA WAANDISHI IMEIFANYA KUWA UONGO.SWALI: Mstari huu una maana gani? Je, ni kweli waandishi waliweza kubadilisha baadhi ya maneno ya torati, Na hivyo inaifanya biblia isiamike hadi sasa? Yer2022-07-2507 minWingu la MashahidiWingu la MashahidiUNAWAZA NINI SASA, JUU YA UFALME WA MBINGUNI?Unawaza nini juu ya kuipeleka injili mbele?..Je unafikiri nini juu ya hali ya kiroho ya  wanao miaka kadhaa mbele?, endapo parapanda itakuwa haijalia 2022-07-2308 minWingu la MashahidiWingu la MashahidiVitabu vya Deuterokanoni ni vya kiMungu?Swali: Deuterokanoni ni nini?  na je vitabu vya Deutorokanoni ni vitabu vya kiMungu? (ambavyo vimevuviwa na Roho Mtakatifu) na vyenye kufaa kwa mafundisho.? Jibu: Deuterokanoni ni vitabu vingine saba (7) ambavyo vimeongezwa na kanisa Katoliki juu ya vitabu 66 vya Biblia takatifu, na hivyo kufanya jumla ya vitabu 73 katika biblia ya kikatoliki. Maana ya Read More2022-07-2104 minWingu la MashahidiWingu la MashahidiMti wa Mshita ni mti wa namna gani?Swali: Mti wa Mshita uliotengenezea sanduku la Agano ndio upi kwasasa?(Kutoka 25:10) Jibu: Tusome Kutoka 25:10 “Nao na wafanye sanduku la MTI WA MSHITA; 2022-07-2004 minWingu la MashahidiWingu la MashahidiWana wa Manabii walikuwa ni watu gani?Swali: Katika biblia tunasoma sehemu kadha wa kadha zikiwataja “wana wa manabii”.. Je! Hawa wana wa manabii walikuwa ni watu gani?, na kazi yao ilikuwa2022-07-1908 minWingu la MashahidiWingu la MashahidiJINSI YA KUPOKEA UPONYAJI, TUNAPOMWOMBA BWANA ATUGUSE MARA YA PILI.Jina kuu la Bwana na Mwokozi wa Ulimwengu, Simba wa kabila la Yuda, na Mkuu wa wafalme wa dunia, Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze biblia, neno la M2022-07-1104 minWingu la MashahidiWingu la MashahidiWana wa Asafu ni akina nani katika biblia?Kabla ya kuwafahamu wana wa Asafu, ni vizuri kumfahamu Asafu mwenyewe alikuwa ni nani. Asafu alikuwa ni mmoja wa walawi ambao, mfalme Daudi alimuweka 2022-07-0505 minSwahiliSwahiliZingatia ImaniWaebrania huwaambia watu waliokata tamaa, wanaoteswa, “Msiiache imani yenu, kwa sababu tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi! Waebrania sura ya 11 inaitwa "sura ya imani", na inatoa sababu kwa nini tunapaswa kushikilia imani yetu. Imani huokoa na kutoa kiini cha tumaini letu. Ni lazima tuishi kwa imani. Mwandishi anatoa mifano mingi ya nini imani inaweza kumaanisha na nini imani inaweza kufanya. Mwandishi anamalizia kwa kuhimiza utii kwa wale ambao ni wachungaji wetu wa kiroho.2022-06-1625 minWingu la MashahidiWingu la MashahidiKUOTA MAFURIKO,KUOTA MAJI MENGI,KUOTA MAWIMBI.Naomba kufahamu Je! Kuota mafuriko ni kiashiria cha nini? Mafuriko kazi yake si nyingine Zaidi ya kugharikisha, tofauti na mvua ambayo kazi yake ni kustawi2020-02-1106 minWingu la MashahidiWingu la MashahidiSAA YA KIAMA.Cha kushangaza ni kwamba wakristo tu peke yetu ndio hatujui saa tunayoishi na muda gani mchache tuliobakiwa nao, na hata kama tunajua basi wengi bado hatuj2019-10-1000 min