podcast
details
.com
Print
Share
Look for any podcast host, guest or anyone
Search
Showing episodes and shows of
Afrika Moja
Shows
Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu
Guterres: Mwaka mpya 2026 tudumishe mshikamano na amani badala ya mateso
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ametoa ujumbe mzito wa Mwaka Mpya kwa ulimwengu akisema ulimwengu uko katika njia panda, ukikabiliwa na machafuko, sintofahamu na migawanyiko mikubwa na hivyo kutoa wito kwa wanadamu kuinuka pamoja kwa ajili ya haki, ubinadamu na amani. Karibu Anold Kayanda kwa maelezo zaidi.(Taarifa ya Anold Kayanda)Katika ujumbe wake wa video uliosambazwa leo asubuhi saa za New York, Marekani, kwa ajili ya mwaka mpya wa 2026, Katibu Mkuu wa Umoja wa Maraifa anauanza ujumbe wake kwa kusema, “tunapoingia mwaka mpya, dunia iko njia panda.” Amesema dunia inakumbwa na vurugu zinazoendelea, athari kubwa za mab...
2025-12-29
02 min
Unpacked by Afar
The City Where You'll Find Ghost Stories, Gullah Rhythms, and the "Carnegie Hall of the South"
In this special four-part series, join Unpacked host Aislyn Greene as she travels to Charleston, South Carolina, to unpack the city's deeper currents. For the series finale: Charleston's performing arts scene is nothing short of extraordinary. Aislyn explores the city's world-class venues—from America's first dedicated theater to a stunning apricot-colored concert hall—and meets the people bringing opera, dance, jazz, and theater to life in the Lowcountry. In This Episode You'll Learn The remarkable 300-year history of the Dock Street Theater, where ghost stories and contemporary artists meet How the Spol...
2025-12-10
29 min
Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu
04 DESEMBA 2025
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Kenya kwa mwanariadha na mchchemuzi wa masuala ya wanawake, akieleza hatua zinazochukuliwa kutokomeza dhulma wa kijinsia. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na jifunze lugha ya Kiswahili.Huku mapigano yakizidi kushika kasi katika eneo la Kordofan nchini Sudan, Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk, ameonya hii leo kuhusu hatari ya mashambulizi mapya dhidi ya raia, baada ya kuripotiwa vifo zaidi ya watu 269 kutokana na mashambulizi ya angani, mabomu na mauaji ya kiholela tangu mwishoni mwa mwezi Oktoba. Ofisi yake imeeleza kupokea taarifa za ulipizaji kisasi, u...
2025-12-04
12 min
Habari RFI-Ki
Vitendo vya utekaji kuongezeka Nigeria na baadhi ya nchi za Afrika ya kati
Msikilizaji juma lililopita watu wenye silaha waliwateka wanafunzi zaidi ya 300 pamoja na waalimu katika shule moja kwenye jimbo la Niger nchini Nigeria, tukio linalojiri siku chache tangu kutekwa kwa wanafunzi wengine 25 katika shule ya wasichana kwenye jimbo la Kebbi pia huko Nigeria. Vitendo vya utekaji wa watoto vinazidi kuongezeka katika nchi za Afrika magharibi na kati. Nini kifanyike kukomesha vitendo hivyo Afrika?Je taifa lako linashuhudia utekaji wa watoto? Ungana na Ruben Lukumbuka
2025-11-24
10 min
Habari RFI-Ki
Vitendo vya utekaji kuongezeka Nigeria na baadhi ya nchi za Afrika ya kati
Msikilizaji juma lililopita watu wenye silaha waliwateka wanafunzi zaidi ya 300 pamoja na waalimu katika shule moja kwenye jimbo la Niger nchini Nigeria, tukio linalojiri siku chache tangu kutekwa kwa wanafunzi wengine 25 katika shule ya wasichana kwenye jimbo la Kebbi pia huko Nigeria. Vitendo vya utekaji wa watoto vinazidi kuongezeka katika nchi za Afrika magharibi na kati. Nini kifanyike kukomesha vitendo hivyo Afrika?Je taifa lako linashuhudia utekaji wa watoto? Ungana na Ruben Lukumbuka
2025-11-24
10 min
Deep Dive Into Soccer - Football - Futbol
TOKYO 2025: Utawala wa Kenya, Anguko la Kushtua la Ethiopia, na Siri za Teknolojia Barani Afrika
TOKYO 2025: Utawala wa Kenya, Anguko la Kushtua la Ethiopia, na Siri za Teknolojia Barani AfrikaUpigaji mbizi huu wa kina ni mwonekano na hutoa mwonekano wa nyuma wa Mashindano ya Riadha ya Dunia ya 2025 huko Tokyo, yakiangazia utendaji wa kipekee wa Kenya, ambayo ilipata nafasi ya pili kwa jumla kwa medali saba za dhahabu, ikiwa ni pamoja na kufagia kwa matukio yote ya masafa ya wanawake. Tunatoa maelezo kuhusu mafanikio kutoka mataifa mengine ya Afrika, kama vile Botswana kushinda dhahabu ya kwanza kabisa barani Afrika ya mbio za mita 4x400 za kupokezana vijiti, Afrika Kusini kupata shaba katika mkondo sawa wa kup...
2025-09-23
22 min
Deep Dive Into Soccer - Football - Futbol
Fursa na Vikwazo: Biashara ya Bidhaa za Vilabu vya FKF – Jezi Feki, Sheria na Ukosefu wa Nidhamu
Fursa na Vikwazo: Biashara ya Bidhaa za Vilabu vya FKF – Jezi Feki, Sheria na Ukosefu wa NidhamuTunatoa uchanganuzi wa kina wa changamoto za kibiashara na kisheria zinazokabili Ligi Kuu ya FKF, hasa kuhusu bidhaa za mashabiki na mali miliki. Inabainisha kuwa ingawa ligi ina mashabiki wenye shauku, wasio na mapato (nguvu kuu), kuenea kwa bidhaa ghushi na ukosefu wa mbinu za kitaalamu za kibiashara kunapunguza mapato kwa kiasi kikubwa, ikiwakilisha udhaifu mkubwa. Kisheria, tunafafanua kuwa chapa na vyeo vya klabu zinalindwa chini ya chapa ya biashara na sheria ya hakimiliki ya Kenya, na muhimu zaidi ni kwamba kuvua jezi ya shab...
2025-09-22
28 min
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Sintofahamu yaendelea kuhusu kuanza kwa mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Kinshasa na M23
Miongoni mwa taarifa utakazoziskia ni pamoja na; sintofahamu yaendelea kuhusu kuanza kwa mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Kinshasa na Muungano wa Vikosi vya Kidemokrasia vya Ukombozi wa Kongo AFC/M23, Rais wa DRC, Felix Tshisekedi amefanya mabadiliko katika baraza lake la mawaziri na kujumuisha upinzani. Tutakueleza punde zaidi katika uchaguzi wa Tanzania. Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Afrika Magharibi na eneo la Sahel, yasema hali ya usalama katika eneo hilo inasalia kuwa ya wasiwasi mkubwa na kimataifa Rais wa Marekani, Donald Trump, asema huenda hivi karibuni akakutana ana kwa ana na rais wa Urusi...
2025-08-09
20 min
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Sintofahamu yaendelea kuhusu kuanza kwa mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Kinshasa na M23
Miongoni mwa taarifa utakazoziskia ni pamoja na; sintofahamu yaendelea kuhusu kuanza kwa mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Kinshasa na Muungano wa Vikosi vya Kidemokrasia vya Ukombozi wa Kongo AFC/M23, Rais wa DRC, Felix Tshisekedi amefanya mabadiliko katika baraza lake la mawaziri na kujumuisha upinzani. Tutakueleza punde zaidi katika uchaguzi wa Tanzania. Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Afrika Magharibi na eneo la Sahel, yasema hali ya usalama katika eneo hilo inasalia kuwa ya wasiwasi mkubwa na kimataifa Rais wa Marekani, Donald Trump, asema huenda hivi karibuni akakutana ana kwa ana na rais wa Urusi...
2025-08-09
20 min
Wanangu podcast
Episode 56 | Makoma
Fuatilia kuinuka, kupaa, kuanguka, na kunyanyuka tena kwa moja kati ya makundi bora na muhimu ya muziki wa injili kuwahi kutokea barani Afrika.
2025-08-04
14 min
Zagret za tek
263 - Valentina Triler, Zanzibar, trail tek, perimenopavza, hernija, turizem in pristna Afrika
📌💯Mambo! Pri nas vroče poletje na Zanzibarju pa deževno obdobje, ki ga moja sogovornica izkorišča za pospešeno gradnjo novih apartmajev in urejanje resorta, ki ga sama vodi. Najin živahen pogovor vam bo odkril posebnosti pristne Afrike, njene prednosti (in tudi slabosti), kako je postala del nje in kako je skozi izgorelost zaradi športa odkrila tek, trail in tekaške destinacije. Je trpežna ženska, ki odkrito govori o svojih težavah s hernijo, še bolj pa izzivih peri-menopavze, ki ji intenzivno kroji vsak dan. Zakaj je tek lahko zdravilo, po čem slovijo afriški moški, kje v Tanzaniji b...
2025-07-30
1h 18
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Kesi ya rais mstaafu wa DRC J.Kabila yasikilizwa, mapigano kati ya Thailand na Kambodia
Kesi ya rais wa zamani wa DRC Joseph Kabila ilifunguliwa mjini Kinshasa, waziri wa zamani wa sheria nchini DRC Constant Mutamba alikana mashtaka dhidi yake Kuhusu ubadhirifu wa fedha za umma, ripoti moja wiki hii ilisema Watu 65 waliuawa nchini Kenya kufuatia maandamano ya vurugu kati ya mwezi juni na julai, hali nchini Sudan kusini na Sudan lakini pia tutaangazia Afrika magharibi na mengine mengi
2025-07-26
20 min
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Kesi ya rais mstaafu wa DRC J.Kabila yasikilizwa, mapigano kati ya Thailand na Kambodia
Kesi ya rais wa zamani wa DRC Joseph Kabila ilifunguliwa mjini Kinshasa, waziri wa zamani wa sheria nchini DRC Constant Mutamba alikana mashtaka dhidi yake Kuhusu ubadhirifu wa fedha za umma, ripoti moja wiki hii ilisema Watu 65 waliuawa nchini Kenya kufuatia maandamano ya vurugu kati ya mwezi juni na julai, hali nchini Sudan kusini na Sudan lakini pia tutaangazia Afrika magharibi na mengine mengi
2025-07-26
20 min
Afrika Ya Mashariki
Je una ufahamu juu ya ulinzi wa taarifa binafsi ?
Kasi ya ugunduzi na uvumbuzi katika maswala ya sayansi na teknolojia na ujio wa Internet sanjali na matumzi ya mitandao ya kijamii yanafanya wajamii kuwa katika hatari kumbwa kupoteza usiri wa taarifa zao. Baada ya mabadiliko makubwa ya teknolojia yamesababisha taarifa za watu kuwa ni moja ya mtaji mkubwa kwa watu wengine na makampuni makubwa Tanzania kama yalivyo mataifa mengine ya Afrika mashariki imekutunga sheria rasmi ya kulinda haki kulindiwa taarifa binafsiLakini sio kulinda tu taarifa binafsi lakini pia kuhakikisha taarifa hizo zinamfaidisha moja Kwa moja mlengwa wa taarifa endapo zinatakiwa kutumiwa Kw...
2025-04-05
09 min
Afrika Ya Mashariki
Je una ufahamu juu ya ulinzi wa taarifa binafsi ?
Kasi ya ugunduzi na uvumbuzi katika maswala ya sayansi na teknolojia na ujio wa Internet sanjali na matumzi ya mitandao ya kijamii yanafanya wajamii kuwa katika hatari kumbwa kupoteza usiri wa taarifa zao. Baada ya mabadiliko makubwa ya teknolojia yamesababisha taarifa za watu kuwa ni moja ya mtaji mkubwa kwa watu wengine na makampuni makubwa Tanzania kama yalivyo mataifa mengine ya Afrika mashariki imekutunga sheria rasmi ya kulinda haki kulindiwa taarifa binafsiLakini sio kulinda tu taarifa binafsi lakini pia kuhakikisha taarifa hizo zinamfaidisha moja Kwa moja mlengwa wa taarifa endapo zinatakiwa kutumiwa Kw...
2025-04-05
09 min
Bliskie Spotkania z AI
#13 Jak uniknąć KATASTROFY wdrażając AI w biznesie? | Katarzyna Hewelt
Dowiedz się, jakie błędy popełniają firmy przy wdrażaniu AI i jak ich uniknąć! Jakie wyzwania stoją przed sztuczną inteligencją w Afryce? Czy kultura i język mają wpływ na skuteczność modeli AI?🔔 Subskrybuj, aby nie przegapić nowych odcinków!Tym razem moją gościnią jest Katarzyna Hewelt, Data Scientistka, specjalizująca się w tworzeniu rozwiązań opartych na sztucznej inteligencji. Obecnie prowadzi dział AI & Data w firmie Resolutiion®. Regularnie występuje na konferencjach, gdzie dzieli się swoim doświadczeniem i wiedzą z zakresu uczenia maszynowego oraz AI.W tym od...
2025-03-19
52 min
VOA Express - Voice of America
Vijana katika eneo la Afrika mashariki wanaelezea changamoto za bei ya vyakula katika mfungo wa mwezi wa Ramadhan. - Machi 10, 2025
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
2025-03-10
29 min
Afrika Ya Mashariki
Athari za mgogoro wa DRC katika mataifa ya Afrika
Mgogoro wa Mashariki ya DRC umeendelea kwa miongo kadhaa, na bado ni moja ya changamoto kubwa za kiusalama na kisiasa Barani Afrika. Katika Mashariki ya DRC, kuna makundi ya waasi kama vile M23, ADF, Twirwaneho, ambayo yameongeza umwagaji damu na kusababisha maelfu ya watu kuhama kutoka maeneo yao.Siasa za kikanda, ushindani wa madaraka kati ya mataifa kama Rwanda yana iweka DRC njia panda kila uchao Karibu katika Makala ya Afrika mashariki hii tunangaza mgogoro mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Mwandalizi na msimulizi wako naitwa Martin Nyoni nasema karibu tuwe sot...
2025-03-08
09 min
Afrika Ya Mashariki
Athari za mgogoro wa DRC katika mataifa ya Afrika
Mgogoro wa Mashariki ya DRC umeendelea kwa miongo kadhaa, na bado ni moja ya changamoto kubwa za kiusalama na kisiasa Barani Afrika. Katika Mashariki ya DRC, kuna makundi ya waasi kama vile M23, ADF, Twirwaneho, ambayo yameongeza umwagaji damu na kusababisha maelfu ya watu kuhama kutoka maeneo yao.Siasa za kikanda, ushindani wa madaraka kati ya mataifa kama Rwanda yana iweka DRC njia panda kila uchao Karibu katika Makala ya Afrika mashariki hii tunangaza mgogoro mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Mwandalizi na msimulizi wako naitwa Martin Nyoni nasema karibu tuwe sot...
2025-03-08
09 min
Inkubator Dobre Glazbe
Inkubator dobre glazbe by HDU 2025/01/02
Our Incubator of good music is preparing for 2025! Today, we are playing songs that marked this year and up-beat NYE bops, offering the HR Top 40 chart changes and bringing greetings from many singers. Host: Ana Radišić 🎙 Elkan Florida - Nova godina (Krug oko sunca), Croatia (2:40) Baby Lasagna - Rim Tim Tagi Dim, Universal (2:59) Grše - Forza, yem (2:40) ToMa - Kriva procjena, Dallas (2:54) Groovetastic - Sve osim DA znači NE, Aquarius (2:49) James Night - Odraz, Dancing Bear (3:28) Tony Cetinski feat. Marko Vojvodi...
2025-01-02
46 min
zumbe10d's Podcast
Unyonge wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
Rss Feed https://zumbe10d.podomatic.com/rss2.xml Muungano wa Tanganyika na Zanzibar hauna usawa na vile vile upoteza dira ya Wanamageuzi na Wanamapinduzi waliopigania uhuru wa Afrika wakiwa na lengo la Afrika kuwa Taifa moja. Wakati wa kuungana kabisa au kutengana ni sasa. Ninunulie Soda (Kama Ada au Shukrani kwa masomo haya ya Mawazo na Falsafa) Kupitia Lipa Namba ya M Pesa - 5558047 kutokea Mtandao wowote. Jina ni Ahmad Juma Shelimo
2024-04-23
15 min
Mental Glow
29 - Tips to Having a Peaceful and Joyful Holiday
Katika kipindi hiki cha sikukuu au likizo, familia nyingi hukusanyika pamoja kwa ajili ya kusherehekea pamoja. Mikusanyiko ya aina yoyote, mara nyingi huwa inapelekea kuwepo kwa ugomvi na tafrani japokuwa malengo ni kuwa na furaha na amani. Tafiti iliyofanyika nchini Marekani, imethibitisha kuwepo kwa ugomvi kati ya ndugu kwenye mikusanyiko hiyo kipindi cha likizo, ambapo asimilia 69 ya wamarekani wamewahi kugombana na ndugu kipindi cha likizo. Japokuwa tafiti hii imefanyika nchini Marekani, bado ni dhahiri kwamba hutokea katika jamii tofauti kwenye bara la Afrika, Tanzania ikiwa moja wapo. Ungana nami katika kipindi hiki upate kujifunza njia mbalimbali ambazo zitakusaidia katika kusherehekea...
2023-12-24
35 min
Nukta the Podcast
MVUVI MPAMBANAJI NDANI YA ZIWA VICTORIA
Ziwa Victoria ni moja ya maziwa makuu ya Afrika Mashariki. Ni ziwa ambalo lipo kwenye mstari wa ikweta na limezungukwa na nchi tatu zilizopo Afrika Mashariki yaani Tanzania, Kenya na Uganda. Ziwa hili ni chanzo cha Mto Nile wenye urefu wa kilomita 6,650 na urefu huo unaufanya kuwa mto mrefu zaidi duniani, Ziwa Victoria ndiyo ziwa kubwa zaidi barani Afrika na lina ukubwa wa kilomita za mraba 68,800 ambapo ni la pili duniani kwa ukubwa likitanguliwa na Ziwa Superior lililopo Amerika ya kaskazini, kwa ukubwa huu nchi za Rwanda na Burundi zinaweza kuwa visiwa ndani ya ziwa...
2023-03-21
06 min
Salama Na
SE7EP27 - SALAMA NA BARAKA KIZUGUTO | NEUTRAL
Baraka Kizuguto si moja ya majina yajulikanayo miungoni mwa wa Tanzania wengi ambao asilimia kubwa ya wenye simu za mkononi hupendelea zaidi habari za maisha ya watu maarufu na mashuhuri, kutaka kujua wanakula nini, wanaishi wapi, wanalala wapi, wanalala na nani na kadhalika. Na kama wewe ni mmoja wa watu hao na si mpenzi wa mpira basi kumfahamu mgeni wetu wa kwenye kiti chakavu wiki hii itakuwia vigumu. Ila kwa wale watu wa mpira, au wafanyakazi kwenye Vyama vya mpira hapa kwetu na Afrika kwa ujumla au wachezaji au waalimu wa mpira jina na sura yake si ngeni kabisa...
2022-12-15
1h 12
Meza Huru
Mezani na CAROLA KINASHA #12
Carola Kinasha, ukimuona huwezi kuamini ana miongo sita duniani. First lady wa Bene Bene na baadaye Shada. Msomi wa chuo kikuu aliyechagua kufanya muziki kama kazi. Mwanaharakati wa mwanzo kabisa wa stahiki na haki za utunzi, na moja walioupeleka mbali sana muziki wa asili ya Afrika. Ni mcheshi na mwenye maarifa mengi sana kuhusu maisha na safari ya muziki wetu tangu miaka ya themanini mpaka leo hii. Unajua kisa chake na Remmy Ongala kilichozaa kibao maarufu cha Karola? Unajua nini maana ya segese? Unajua kwamba yeye ni mtu aliyekuwa nyuma ya chorus nzuri...
2022-10-21
2h 17
Salama Na
SE7EP18 - SALAMA NA FAROUK KAREEM | SAILOR
Hii nayo ni moja ya zile ambazo ziliuliziwa sana na kwa muda mrefu nasi kwa upande wetu tumekua tukiifukuzia tuweze kukaa na mwamba huyu hodari kutoka Zanzibar. Mimi mwenyewe ambaye nimekua nikifanya kazi kwenye kiwanda hiki cha burudani nilikua na hamu ya siku moja kuwa kwenye meza moja na Ndugu yangu huyu, kuweza kumtazama usoni na kumuuliza yote ambayo nilikua nataka kumuuliza kwa kipindi kirefu sana. Maana hata mimi nimekua nikimsikiliza miaka nenda miaka rudi na siku zote emeemdelea kutuhabarisha kwa sauti ile ile na spidi ile ile. Ukiskia mtu ameweza kuwa bora toka siku ya kwanza basi moja...
2022-10-13
1h 23
Uchumi na Biashara
Sarafu ya pamoja na boda huru Barani Afrika
Leo kwenye Makala Uchumi na Biashara mwanahabari wetu wa Kaunti ya Trans Nzoia, Martin Ndiema anaangazia juhudi zinazowekwa na viongozi wa matabaka mbalimbali Barani Afrika kufanikisha kuwapo kwa sarafu moja inayopendekezwa kuitwa AFRO. Aidha amezamia suala la kuafikia boda huru kustawisha uchumi wa bara hili.
2022-09-20
08 min
Uchumi na Biashara
Sarafu ya pamoja na boda huru Barani Afrika
Katika Uchumi na Biashara tunaangazia juhudi zinazowekwa na viongozi wa matabaka mbalimbali Barani Afrika kufanikisha kuwapo kwa sarafu moja inayopendekezwa kuitwa AFRO. Mwanahabari wetu Martin Ndiema amesema na viongozi na wanachama wa vuguvugu la The All African Movement Assembly, AAMA walioufanya kongomano kwenye MS Training Center for Development Cooperation, MSTCDC jijini Arusha Tanzania.
2022-09-18
08 min
VOA Direct Packages - Voice of America
Raia kutoka nchi za maziwa makuu na Afrika mashariki waishio Canada waunda shirika la kukuza Kiswahili - Julai 08, 2022
Shirika hilo liitwalo Kiswahili Network Canada, lina wanachama 150, wengi wao wanapatikana mikoa ya Quebec na Montreal. Moja kati ya malengo yake, ni kuwafunza Kiswahili watoto walioazaliwa Canada, kama anavyosema naibu mwenyekiti wa shirika hilo, Juma Manirambona kutoka Burundi.
2022-07-08
04 min
Salama Na
SE7EP02 - Salama Na Engineer Hersi | A BREATH OF FRESH AIR
Kama kichwa cha habari kinavyosema, Engineer Hersi ndo chachu ya furaha kwa mashabiki wa moja ya timu kongwe kabisa ya Taifa hili, timu ya wananchi, timu yenye mataji mengi zaidi yaani mabingwa wa ki historia. Nikiwa kama shabiki wa Simba Sports Club basi sina la zaidi la kufanya ila kumpa mtani wangu Hongera ya kuongeza taji jengine kwenye historia yao na pia kumsifu round hii kwa kutuzuia kuchukua ubingwa kwa mara ya tano MFULULIZO.Engineer Hersi Ally Saidi aliingia pale kwa njia ya mdhamini (GSM) ila baada ya kuonekana kazi nzuri ambayo ameifanya kwa kipindi cha miaka miwili...
2022-06-23
1h 29
The Chanzo
Mazungumzo na Tito Magoti juu ya hali ya haki jinai
Dar es Salaam. Moja kati ya matatizo makubwa ambayo wadau wa haki za binadamu wamebainisha kuwa yanaukumba mfumo wa utoaji haki nchini Tanzania ni namna mfumo wa haki jinai wa taifa hilo la Afrika Mashariki ulivyotengenezwa kwa kuipa nguvu maradufu Serikali ya kuamua hatma ya mshukiwa huku Mahakama ikipokwa nguvu hiyo. Pengine hakuna sauti muhimu nchini linapokuja suala la umuhimu wa kurekebisha mfumo wa haki jinai Tanzania zaidi ya Tito Magoti, mwanasheria na mwanaharakati wa haki za binadamu kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), ambaye pia alishawahi kuwa muhanga wa mfumo huo na kukumbana na madhila yake. ...
2022-02-15
25 min
RadioRahma
Ukumbatiaji wa Bayoteknolojia kwa usalama wa chakula
Mhogo ni chakula kinachoenziwa na wengi na zao ambalo limewapa wakulima mapato humu nchini. Chakula chake ni maarufu katika baadhi ya mataifa ya bara la Afrika, Asia na Amerika Kusini. Kulingana na shirika la utafiti wa kilimo na mifugo humu nchini KALRO, mihogo inapandwa katika hekari laki moja na elfu sabini na mbili nchini ambapo asilimia 60 hupandwa kutoka eneo la Magharibi, Pwani asilimia 30 na eneo la Mashariki likiwa na asilimia 10. Licha ya kuwa tegemeo kwa wakulima, ukulima huo unakabiliwa na changamoto za maradhi ya aina mbili na kusababisha hasara ya mapato kwa wakulima...
2021-11-25
11 min
Moja Meets
Moja Meets September Podcast
Buzzfeed Yellow or As/Is • Hey! In this episode of the podcast we tried to go viral! Listen to find out if we succeeded.
2021-10-09
13 min
Handaki la Kifo
Uraiani Faraja
Mike, dereva taxi jijini Dar anambeba mteja wa kike, Natasha kumpeleka kwenye miadi yake usiku wa saa sita. Lakini anajikuta akiwa kwenye sehemu isiyo sahihi katika muda usio sahihi. Yeye na Natasha, wanakabiliwa na hatari kubwa kuwahi kutokea maishani mwao. Hawafui dafu mbele ya askari wa cartel kubwa Afrika Mashariki, Paka Weusi. Kwa pamoja wanajikuta kwenye Handaki la Kifo, jela maalum kwa waasi wa kundi hilo. Akiomboleza kifo cha kinyama cha mpenzi wake Ray, Natasha anabakiwa na kazi mbili kubwa – kulipiza kisasi cha mpenzi wake dhidi ya adui namba moja, Red Poison na kujiokoa kutoka kwenye sehemu hatari zaidi il...
2021-09-08
09 min
Handaki la Kifo
Sherehe za Kiama
Mike, dereva taxi jijini Dar anambeba mteja wa kike, Natasha kumpeleka kwenye miadi yake usiku wa saa sita. Lakini anajikuta akiwa kwenye sehemu isiyo sahihi katika muda usio sahihi. Yeye na Natasha, wanakabiliwa na hatari kubwa kuwahi kutokea maishani mwao. Hawafui dafu mbele ya askari wa cartel kubwa Afrika Mashariki, Paka Weusi. Kwa pamoja wanajikuta kwenye Handaki la Kifo, jela maalum kwa waasi wa kundi hilo. Akiomboleza kifo cha kinyama cha mpenzi wake Ray, Natasha anabakiwa na kazi mbili kubwa – kulipiza kisasi cha mpenzi wake dhidi ya adui namba moja, Red Poison na kujiokoa kutoka kwenye sehemu hatari zaidi il...
2021-09-08
12 min
Handaki la Kifo
Kushiel
Mike, dereva taxi jijini Dar anambeba mteja wa kike, Natasha kumpeleka kwenye miadi yake usiku wa saa sita. Lakini anajikuta akiwa kwenye sehemu isiyo sahihi katika muda usio sahihi. Yeye na Natasha, wanakabiliwa na hatari kubwa kuwahi kutokea maishani mwao. Hawafui dafu mbele ya askari wa cartel kubwa Afrika Mashariki, Paka Weusi. Kwa pamoja wanajikuta kwenye Handaki la Kifo, jela maalum kwa waasi wa kundi hilo. Akiomboleza kifo cha kinyama cha mpenzi wake Ray, Natasha anabakiwa na kazi mbili kubwa – kulipiza kisasi cha mpenzi wake dhidi ya adui namba moja, Red Poison na kujiokoa kutoka kwenye sehemu hatari zaidi il...
2021-09-08
08 min
Handaki la Kifo
Beast
Mike, dereva taxi jijini Dar anambeba mteja wa kike, Natasha kumpeleka kwenye miadi yake usiku wa saa sita. Lakini anajikuta akiwa kwenye sehemu isiyo sahihi katika muda usio sahihi. Yeye na Natasha, wanakabiliwa na hatari kubwa kuwahi kutokea maishani mwao. Hawafui dafu mbele ya askari wa cartel kubwa Afrika Mashariki, Paka Weusi. Kwa pamoja wanajikuta kwenye Handaki la Kifo, jela maalum kwa waasi wa kundi hilo. Akiomboleza kifo cha kinyama cha mpenzi wake Ray, Natasha anabakiwa na kazi mbili kubwa – kulipiza kisasi cha mpenzi wake dhidi ya adui namba moja, Red Poison na kujiokoa kutoka kwenye sehemu hatari zaidi il...
2021-09-08
20 min
Handaki la Kifo
Michezo ya Kiama
Mike, dereva taxi jijini Dar anambeba mteja wa kike, Natasha kumpeleka kwenye miadi yake usiku wa saa sita. Lakini anajikuta akiwa kwenye sehemu isiyo sahihi katika muda usio sahihi. Yeye na Natasha, wanakabiliwa na hatari kubwa kuwahi kutokea maishani mwao. Hawafui dafu mbele ya askari wa cartel kubwa Afrika Mashariki, Paka Weusi. Kwa pamoja wanajikuta kwenye Handaki la Kifo, jela maalum kwa waasi wa kundi hilo. Akiomboleza kifo cha kinyama cha mpenzi wake Ray, Natasha anabakiwa na kazi mbili kubwa – kulipiza kisasi cha mpenzi wake dhidi ya adui namba moja, Red Poison na kujiokoa kutoka kwenye sehemu hatari zaidi il...
2021-09-08
23 min
Handaki la Kifo
Ubabe Ubabeni
Mike, dereva taxi jijini Dar anambeba mteja wa kike, Natasha kumpeleka kwenye miadi yake usiku wa saa sita. Lakini anajikuta akiwa kwenye sehemu isiyo sahihi katika muda usio sahihi. Yeye na Natasha, wanakabiliwa na hatari kubwa kuwahi kutokea maishani mwao. Hawafui dafu mbele ya askari wa cartel kubwa Afrika Mashariki, Paka Weusi. Kwa pamoja wanajikuta kwenye Handaki la Kifo, jela maalum kwa waasi wa kundi hilo. Akiomboleza kifo cha kinyama cha mpenzi wake Ray, Natasha anabakiwa na kazi mbili kubwa – kulipiza kisasi cha mpenzi wake dhidi ya adui namba moja, Red Poison na kujiokoa kutoka kwenye sehemu hatari zaidi il...
2021-09-08
14 min
Handaki la Kifo
Natasha
Mike, dereva taxi jijini Dar anambeba mteja wa kike, Natasha kumpeleka kwenye miadi yake usiku wa saa sita. Lakini anajikuta akiwa kwenye sehemu isiyo sahihi katika muda usio sahihi. Yeye na Natasha, wanakabiliwa na hatari kubwa kuwahi kutokea maishani mwao. Hawafui dafu mbele ya askari wa cartel kubwa Afrika Mashariki, Paka Weusi. Kwa pamoja wanajikuta kwenye Handaki la Kifo, jela maalum kwa waasi wa kundi hilo. Akiomboleza kifo cha kinyama cha mpenzi wake Ray, Natasha anabakiwa na kazi mbili kubwa – kulipiza kisasi cha mpenzi wake dhidi ya adui namba moja, Red Poison na kujiokoa kutoka kwenye sehemu hatari zaidi il...
2021-09-08
20 min
Handaki la Kifo
Yai la Mbuni
Mike, dereva taxi jijini Dar anambeba mteja wa kike, Natasha kumpeleka kwenye miadi yake usiku wa saa sita. Lakini anajikuta akiwa kwenye sehemu isiyo sahihi katika muda usio sahihi. Yeye na Natasha, wanakabiliwa na hatari kubwa kuwahi kutokea maishani mwao. Hawafui dafu mbele ya askari wa cartel kubwa Afrika Mashariki, Paka Weusi. Kwa pamoja wanajikuta kwenye Handaki la Kifo, jela maalum kwa waasi wa kundi hilo. Akiomboleza kifo cha kinyama cha mpenzi wake Ray, Natasha anabakiwa na kazi mbili kubwa – kulipiza kisasi cha mpenzi wake dhidi ya adui namba moja, Red Poison na kujiokoa kutoka kwenye sehemu hatari zaidi il...
2021-09-08
12 min
Handaki la Kifo
Malishoni
Mike, dereva taxi jijini Dar anambeba mteja wa kike, Natasha kumpeleka kwenye miadi yake usiku wa saa sita. Lakini anajikuta akiwa kwenye sehemu isiyo sahihi katika muda usio sahihi. Yeye na Natasha, wanakabiliwa na hatari kubwa kuwahi kutokea maishani mwao. Hawafui dafu mbele ya askari wa cartel kubwa Afrika Mashariki, Paka Weusi. Kwa pamoja wanajikuta kwenye Handaki la Kifo, jela maalum kwa waasi wa kundi hilo. Akiomboleza kifo cha kinyama cha mpenzi wake Ray, Natasha anabakiwa na kazi mbili kubwa – kulipiza kisasi cha mpenzi wake dhidi ya adui namba moja, Red Poison na kujiokoa kutoka kwenye sehemu hatari zaidi il...
2021-09-08
09 min
Handaki la Kifo
Handaki la Kifo
Mike, dereva taxi jijini Dar anambeba mteja wa kike, Natasha kumpeleka kwenye miadi yake usiku wa saa sita. Lakini anajikuta akiwa kwenye sehemu isiyo sahihi katika muda usio sahihi. Yeye na Natasha, wanakabiliwa na hatari kubwa kuwahi kutokea maishani mwao. Hawafui dafu mbele ya askari wa cartel kubwa Afrika Mashariki, Paka Weusi. Kwa pamoja wanajikuta kwenye Handaki la Kifo, jela maalum kwa waasi wa kundi hilo. Akiomboleza kifo cha kinyama cha mpenzi wake Ray, Natasha anabakiwa na kazi mbili kubwa – kulipiza kisasi cha mpenzi wake dhidi ya adui namba moja, Red Poison na kujiokoa kutoka kwenye sehemu hatari zaidi il...
2021-09-08
18 min
Handaki la Kifo
Kufa Au Kupona
Mike, dereva taxi jijini Dar anambeba mteja wa kike, Natasha kumpeleka kwenye miadi yake usiku wa saa sita. Lakini anajikuta akiwa kwenye sehemu isiyo sahihi katika muda usio sahihi. Yeye na Natasha, wanakabiliwa na hatari kubwa kuwahi kutokea maishani mwao. Hawafui dafu mbele ya askari wa cartel kubwa Afrika Mashariki, Paka Weusi. Kwa pamoja wanajikuta kwenye Handaki la Kifo, jela maalum kwa waasi wa kundi hilo. Akiomboleza kifo cha kinyama cha mpenzi wake Ray, Natasha anabakiwa na kazi mbili kubwa – kulipiza kisasi cha mpenzi wake dhidi ya adui namba moja, Red Poison na kujiokoa kutoka kwenye sehemu hatari zaidi il...
2021-09-08
18 min
Handaki la Kifo
Masahibu Hoteli ya Headland - Sehemu ya 2
Mike, dereva taxi jijini Dar anambeba mteja wa kike, Natasha kumpeleka kwenye miadi yake usiku wa saa sita. Lakini anajikuta akiwa kwenye sehemu isiyo sahihi katika muda usio sahihi. Yeye na Natasha, wanakabiliwa na hatari kubwa kuwahi kutokea maishani mwao. Hawafui dafu mbele ya askari wa cartel kubwa Afrika Mashariki, Paka Weusi. Kwa pamoja wanajikuta kwenye Handaki la Kifo, jela maalum kwa waasi wa kundi hilo. Akiomboleza kifo cha kinyama cha mpenzi wake Ray, Natasha anabakiwa na kazi mbili kubwa – kulipiza kisasi cha mpenzi wake dhidi ya adui namba moja, Red Poison na kujiokoa kutoka kwenye sehemu hatari zaidi il...
2021-09-08
25 min
Handaki la Kifo
Safari ya Mwisho - Sehemu ya 1
Mike, dereva taxi jijini Dar anambeba mteja wa kike, Natasha kumpeleka kwenye miadi yake usiku wa saa sita. Lakini anajikuta akiwa kwenye sehemu isiyo sahihi katika muda usio sahihi. Yeye na Natasha, wanakabiliwa na hatari kubwa kuwahi kutokea maishani mwao. Hawafui dafu mbele ya askari wa cartel kubwa Afrika Mashariki, Paka Weusi. Kwa pamoja wanajikuta kwenye Handaki la Kifo, jela maalum kwa waasi wa kundi hilo. Akiomboleza kifo cha kinyama cha mpenzi wake Ray, Natasha anabakiwa na kazi mbili kubwa – kulipiza kisasi cha mpenzi wake dhidi ya adui namba moja, Red Poison na kujiokoa kutoka kwenye sehemu hatari zaidi il...
2021-09-08
18 min
SomeWhereKoKasi Belt Session
Somewhere ko kasi Belt session Vol 90 Mixed By Vusi
Welcome To SomeWhere Ko Kasi Belt sessions as we enter another week and we started to Drop Mixes weekly. We Appreciate All your Support,May God Bless you All. A new Episode dropped SomeWhere Ko Kasi Belt Sessions Vol 90 Mixed By Vusi. Please Download,Listen and Share with Friends!!! "It All Started SomeWhere Ko Kasi" Track List: 1. Louie Vega Ft Vikter Duplaix - Gimme Some Love 2. Brazo Wa Afrika - Wena Fela 3. Artwork Sounds - Red Brick City 4. Sexy Make Up - Tarantulaz 5. He Keeps Me Safe...
2021-08-10
1h 03
SomeWhereKoKasi Belt Session
Somewhere ko kasi Belt session Vol 89 Mixed By KingDeep (1)
Welcome To SomeWhere Ko Kasi Belt sessions as we enter another week and we started to Drop Mixes weekly. We Appreciate All your Support,May God Bless you All. A new Episode dropped SomeWhere Ko Kasi Belt Sessions Vol 89 Mixed By KingDeep. Please Download,Listen and Share with Friends!!! "It All Started SomeWhere Ko Kasi" Tracklist 1. Mugen4K - Made Your Mark(Reprise) 2. NiQue Tii - Kiingdom 3. Ultrasour - Eventually, It All Settles 4. Chaos In The CBD - Midnight In Peckham 5. Monkestar - Thank You(Tribute To Kingdom)
2021-07-12
1h 34
News in KiSwahili
ALGERIA - MAMLAKA YAIPOKONYA LESENI RUNINGA YA FRANCE24
Serikali ya Algeria imeipokonya runinga ya televisheni ya Ufaransa ya France 24 leseni ya kuhudumu nchini humo kwa tuhuma za kutangaza habari potovu . Hutua hiyo ya serikali inajiri siku moja baada ya kufanyika uchaguzi wa Bunge katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
2021-06-14
03 min
News in KiSwahili
AFRIKA KUSINI - KUKUA KWA UCHUMI KWA ASILIMIA MOJA NUKTA MOJA
Idhara ya takwimu ya Afrika Kusini StatsSA imetangaza kuwa uchumi wa taifa ulikua wa asilimia moja nukta moja katika robo ya kwanza ya mwaka wa 2021.Hii hapa ripoti iliyoandaliwa na Lindile Thobias
2021-06-08
05 min
SomeWhereKoKasi Belt Session
Somewhere ko kasi Belt session Vol 85(Part 2) Mixed By King Deep.
Welcome To SomeWhere Ko Kasi Belt sessions as we enter another week and we started to Drop Mixes weekly. We Appreciate All your Support,May God Bless you All. A new Episode dropped SomeWhere Ko Kasi Belt Sessions Vol 85(Part 2) Mixed By King Deep. Please Download,Listen and Share with Friends!!! "It All Started SomeWhere Ko Kasi" Playlist 1. Manyelo Dafro - Heal Afrika 2. Rephlex & KVRVBO - The Lost One 3. C H A Z Z Y - uMbuso ka Sifiso 4. The KingDeep feat. NIA LOUW - Children Of The East...
2021-02-15
1h 34
Moja Meets
So this is love? East & Southern Africa Combo!
Truly a 2 in 1! The fourth episode in our So this is love? miniseries.
2021-02-11
07 min
Moja Meets
So this is love? Gay marriage
The third episode in the So this is love? miniseries.
2021-02-11
04 min
Moja Meets
So this is love? North Africa
The second episode in our second miniseries.
2021-02-11
03 min
Moja Meets
So this is love? West Africa
We're counting down to Valentine's Day. Wanna join us? Welcome to our second miniseries So this is love?
2021-02-11
06 min
Salama Na
Ep. 53 - Salama Na NANDY | MNOGESHAJI
Huyu si moja ya marafiki zangu, as in si Mtu amable nafahamiana naye sana, ambaye nishawahi kukaa naye muda mrefu na kupiga story, au kusafiri naye au kuwa studio wakati anafanya mambo yake au namjua mzazi wake au mtu wake wa karibu kwenye familia yake ila nawajua watu ambao wanamfahamu kwa ukaribu na watu hao ndo ambao walinipa mimi mawazo ya kutaka kumfahamu vizuri binti huyu hodari wa ki Tanzania bila ya hata ya wao kujua. Baadhi ya Dada zangu walifahamiana naye kwenye kipindi cha msiba wa Marehemu Ruge Mutahaba, kipindi hiko kilikua cha masikitiko kwao na...
2021-02-11
1h 04
Moja Meets
Africa is Bleeding: Sexual Violence In The (Eastern) DRC
The season finale of the "Africa is Bleeding" series is here! Press play and discover the rest.
2020-12-26
03 min
Moja Meets
Africa is bleeding: Anglophone Crisis in Cameroon
Second installment in the Africa is Bleeding mini series
2020-12-14
02 min
Moja Meets
Africa is bleeding: The #EndSARS Movement
The story of the hashtag that sparked fundamental change. First official podcast of the "Africa is bleeding" mini series.
2020-12-07
05 min
SomeWhereKoKasi Belt Session
Somewhere ko kasi Belt session vol 78 Mixed By Kingdeep
Welcome To SomeWhere Ko Kasi Belt sessions as we enter another week and we started to Drop Mixes weekly. We Appreciate All your Support,May God Bless you All. A new Episode dropped SomeWhere Ko Kasi Belt Sessions Vol 78 Mixed By Kingdeep. Please Download,Listen and Share with Friends!!! "It All Started SomeWhere Ko Kasi" Tracklist 1. LELANGALELANGA - Flight 122 (Thorne Miller Remix) 2. Vic Lavender feat. Diviniti - Let It Go 3. Choklate - The Tea (Opolopo Remix) 4. Walter G - Our Jazz (Original Mix) 5. Clementson - In The Name...
2020-11-23
1h 29
Moja Meets
A letter to the seniors from the other side
Welcome to Afrika Moja's first podcast! In this podcast receive advice from international college students on how the university experience looked different for them! Enjoy!
2020-11-14
13 min
Salama Na
Ep. 40 - Salama Na KADUGUDA | SIMBA WA YUDA
Mara ya kwanza kukutana na Mwina Kaduguda na tukaongea kiasi ilikua kwenye seminar ambayo timu ya Simba ya wanawake ilikua imeandaliwa kwaajili ya kuwaweka sawa kwenye masuala ya biashara, jinsi ya kujitunza wao na vipaji vyao, jinsi ya kuishi na umaarufu na pia kusimamia masuala yao ya kifedha. Mzee Kaduguda alikuwepo kwenye kikao hiko akiwa kama Mwenyekiti wa klabu ya Simba, na pia mmoja wa watoa nasaha kwa mabinti hao. Na kusema za ukweli toka siku hiyo baada ya kumsikiliza akiongea na wachezaji wale pamoja na Mimi ambaye nilikua mgeni tu kwenye seminar ile, nilivutiwa sana na...
2020-11-05
00 min
SomeWhereKoKasi Belt Session
Somewherekokasi Belt Sessions Vol 63 Mixed By Kingdeep
Welcome To SomeWhere Ko Kasi Belt sessions as we enter another week and we started to Drop Mixes weekly. We Appreciate All your Support,May God Bless you All. A new Episode dropped SomeWhere Ko Kasi Belt Sessions Vol 63 Mixed By Kingdeep. Please Download,Listen and Share with Friends!!! "It All Started SomeWhere Ko Kasi . Tracklist . 1. Galantis - Mama Look At Me Now (C H A Z Z Y Remix) 2. The KingDeep - Fellow South Africans (Presiden't Plea) 3. NIA LOUW & The KingDeep - 1963 (Negroes Still Not Free) 4. Sonz Of Afrika...
2020-08-03
1h 01
Salama Na
Ep. 15 - Salama Na Rosa Ree | OSHUN
Ukiwa zako nyumbani umejikalia kwenye sofa unamuangalia Rosaree kwenye TV kwa mara ya kwanza sidhani kama utaweza kugandua macho, pengine ukiwa na watu walokuzidi umri style yake inaweza ikawashtua kiasi na haswa wakiskia anachoimba ni kwa lugha ya Kiswahili ndo kabisa. Ki ufupi binti huyu toka kwenye familia yenye story ambayo kwa ki binadamu si tu yeye pekee amepitia, lakini ni yeye ambaye anafahamika na wengi kati yetu na hii ni nafasi yako na yangu pengine ya kutufanya tuamini kwamba ulichopitia au unachopitia, huko peke yako na pia hayo mambo yana mwisho wake. Ki kawaida Rosaree sio...
2020-05-07
42 min
Salama Na
Ep. 10 - Salama Na MwanaFA | KARAMA
Weekend mbili zilitopita rafiki yangu Mwinyi aka Mpwa aka Cousin aka Hamis alikua akiadhimisha siku ya kuzaliwa kwake na alikua amefiksha umri wa kustahili kusherehekea kwa kweli na kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa maisha, mke wake kipenzi alinipigia simu siku nne kabla ya birthday ya mumewe na kutaka tujumuike nae kum suprise, pia akaniambia ana kazi sana ya kuweza kukamilisha hilo tukio maana jamaa (Mwana FA) kashasema yeye hana mango wa kutaka shughuli, angependa maisha yaendelee tu kama kawaida. Pengine alikua akitarajia dinner nyumbani na mkewe na wanawe basi. So kukawa na zoezi hapo la kuhakikisha jamaa hasomi mchongo na...
2020-04-02
55 min
SomeWhereKoKasi Belt Session
SomeWhereKoKasi Belt Session Vol 42 Mixed By The KingDeep
Playlist 1. De Khoisan Afrikah - Fifth Chance (Original Mix) 2. The KingDeep Feat. Darian Crouse - I Can't Resist (Sonz Of Afrika's RareDeep Mix) 3. DJ Mel-Tee - Sounds Of Soul (Original Mix) 4. Tumicology - Odd Weekend (Origial Mix) 5. LordLezz - Dirty Thoughts (Root Mix) 6. The KingDeep Feat. Darian Crouse - New Creation (Nia Louw & The KingDeep Soulful Re-Dub) 7. Nia Louw Feat. Sam E Dee - Lose It (EmDeep101 Remake) 8. Monkestar - Not A Playground(Yesu) 9. Ralf GUM feat. Bongi Mvuyana - Used To Be (Opolopo Remix) 10. Tee Maestro - The...
2019-10-26
2h 25
News in KiSwahili
KISWAHILI NEWS: SURA YA AFRICA 18 SPET. 2019
Hujambo ndugu msikilizaji na karibu katika makala ya Sura ya Afrika kutoka idhaa ya Kiswahili ya Channel Africa Taswira ya Africa na tukitangaza kutoka studio namba moja Auckalnd Park mjini Johannesburg Afrika Kusini na yaliyomo katika makala yetu ni pamoja na:Kiongozi wa waasi wa FDLR kutoka Rwanda Syletre Mudacumura ameripotiwa kuuawa katika eneo la Bwito wilaya ya Rutshuru, mkoa wa Kivu Kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo .Asasi za kiraia zinazo tetea haki za binadamu nchini Malawi zimeandamana zikitaka Bi Jane Ansah mkuu wa tume ya uchaguzi nchini Malawi kujiuzuku. Na...
2019-09-18
1h 00
News in KiSwahili
Kiswahili News
Chama tawala cha African National Congress ANC nchini Afrika Kusini kimepanga kumuchunguza katibu mkuu wa chama hicho Ace Magashule kwa madai ya kula njama dhi ya chama na kusaidia kuanzisha chama kingine cha upinzani kabla ya uchaguzi mkuu wa mwezi uliopita wa Mei.Watu 12 wakiwemo wanajeshi wawilli wameuwa na watu wasiojulikana katika eno la Djugu katika mkoa wa Ituri kaskazini mashariki mwa Jahmuri ya Kidemokrasia ya Congo. Na nchini Botswana , mahakama mkuu ya nchi hio imehalisha uhusiano wa kimapenzi na ndoa kati ya watu wa jinsia moja .Serikali ya Sudan Kusini imeelezea wasi wasi...
2019-06-11
59 min
News in KiSwahili
KISWAHILI NEWS: MAKALA YA SURA YA AFRICA
Ni matumani yangu hujambo ndugu msikilizaji na karibu kujiunga nami Nixon Katembo katika makala ya Sura ya Afrika Kutoka idhaa ya Kiswahili ya Channel Africa Taswira ya Africa na tukitangaza kutoka studio namba moja Auckland Park mjini Johannesburg Afrika Kusini na je tumekuandalia nini hii leo ?Uchaguzi wa magavana na maseneta umahairihswa katika mikoa ya Kivu ya Kaskazini na Mai-Ndombe nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.Kenya inatarijia kuanza usajili wa kidijitali wa bunduki zote za serikali na za kibinafsi kama njia ya kubabiliana na umuliki haramu wa silaha nchini humo.Na nchini Uganda...
2019-01-22
58 min
News in KiSwahili
KISWAHILI NEWS: MAKALA YA SURA YA AFRICA
Ni matumaini yangu hujambo ndugu msikilizaji na karibu kujiunga nami Nixon Katembo katika makala ya Sura ya Afrika Kutoka idhaa ya Kiswahili ya Channel Africa Taswira ya Africa na tukitangaza kutoka studio namba moja Auckland Park mjini Johannesburg Afrika Kusini na je tumekuandalia nini hii leo ?Wanajeshi wenye vifaru na magari ya kivita washika doria katika barabara za mji mkuu Libreville nchini Gabon baada ya kutangaza mapinduzi ya kijeshi nchini humo mapema leo asubuhi.Rai wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo bado wanasubiri matokeo ya uchaguzi wa mwezi Disemba 30 huku wakihofia usalama wao baada ya serikali...
2019-01-07
59 min
News in KiSwahili
KISWAHILI NEWS: MAKALA YA SURA YA AFRICA
Ni matumaini yangu hujambo ndugu msikilizaji katika makala ya Sura ya Afrika Kutoka idhaa ya Kiswahili ya Channel Africa Taswira ya Africa na tukitangaza kutoka studio namba moja Auckland Park mjini Johannesburg Afrika Kusini na yaliyomo katika makala ya leo ni pamoja na: Msemajia wa kundi la waasi wa Forces démocratiques de libération du Rwanda FDLR akamatwa pamoja na asifa moja wa kijasusi wa kundi hilo la waasi wa Rwanda nchini nchi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo .Mashirika na nchi wafadhili wameiomba serikali ya Uganda kuwafikisha mahakani maafisa wa serikali wote walio husiku na ru...
2018-12-18
1h 00
News in KiSwahili
KISWAHILI NEWS: MAKALA YA SURA YA AFRIKA
Licha ya majeshi ya Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na yale ya kulinda amani ya umoja wa mataifa kushambulia kambi za waasi wa ADF bado mauaji na mashambulzi ya kushitukiza yamekuwa yakiendelea katika wilaya ya Beni na huku kambi ya wanajeshi wa Umoja wa mataifa kushambuliwa na watu watatu kuuwawa na gari moja kuchomwa moto .Na Uganda imeyarundika majeshi yake kwenye mpaka baina ya nchi hiyo na Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo ili kuzuia uwezekano wa mapigano baina ya wanajeshi wa Serikali na waasi wa ADF kufika katika ardhi ya Uganda.Na viongozi wa...
2018-11-19
59 min
News in KiSwahili
KISWAHILI NEWS: RIPOTI KUHUSU HAKI ZA BINADAMU NCHINI TANZANIA
Taasisi ya kutetea haki za Binadamu Human Rights Watch yenye makao yake makuu mjini Nairobi Kenya imepongeza msimamo wa Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kutoa msimamo wake kuwa itaendelea kuheshimu haki za binadamu nchini humo.Katika Taarifa yake kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana mjini Nairobi Kenya taasisi hiyo ya haki za binadamu imesema imefarijika na taarifa iliyotolewa wiki hii na Wizara ya mambo ya nje ya Tanzania kuwa inaheshimu haki ya kila binadamu na kwamba kauli ya hivi karibuni ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul...
2018-11-07
05 min
News in KiSwahili
KISWAHILI NEWS: MAKALA YA SURA YA AFRICA
Wapiganaji wa Mai Mai katika wilaya za Lubero na Beni mkoa wa kivu ya Kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo waunda kundi moja kwa lengo la kusaidia jeshi la Congo ili kukabiliana na waasi wa ADF huko Beni..Afrika Kusini na Raia wa Tanzania wanaoishi nchini Afrika Kusini waadhimisha siku ya kumuenzi Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.Na nchini Uganda kiongozi wa chama cha Upinzani cha Forum For Democratic Change FDC Patrick Amuriati Okoboi amekatwa na PilisiNa leo jumatatu tutakuwa na habari kemukemu za Michezo Kumbuka ndugu msikilizaji matangazo yetu pia...
2018-10-15
1h 00
News in KiSwahili
KISWAHILI NEWS: MAKALA YA SURA YA AFRICA
Watu 40 wamethibitishwa kufariki na wengine kaadha hawajulikani majaliwa yao kufuatia mnyonyoko wa udongo katika vijiji kaadha tarafa ya Balakasi wilaya ya Bududa mashariki mwa Uganda .Na nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo watu 15 wamekufa maji baada ya mashua kuzama katika mto Ubangi .Na polisi nchini Tanzania bado inaendelea kuwatafuta watu waliomuteka tajiri mkubwa wa Afrika Mashariki Mohamed Dewji siku moja baada ya kutekwa nyara na watu wasiojulikana .Leo tutakuwa na habari za Michezo Na tutahitimisha matangazo yetu kwa kuwaletea sanaa na utamaduni Matangazo yetu pia yanasikika katika runinga ya DSTV...
2018-10-12
59 min
News in KiSwahili
KISWAHILI NEWS: MAKALA YA SURA YA AFRICA
Mashambulio ya kila mara katika vijiji kaadha mkoani Kivu ya Kasikazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yapelekea watu kuishi maisha magumu .Upinzani nchini Sudan ya Kusini umelaani vikali mpango wa kuongezwa muhula wa Rais Saliva Kiir kwa muda miaka miingine mitatu .Na hali ya wakimbizi nchini Uganda nchi ambayo ni mwenyeji wa wakimbizi zaidi ya millioni moja ikiongoza katika bara la Afrika .Na katika habari zetu za michezo timu nne Brazil ,ubelegigi ,ufaransa na Uruguay zafaulu kucheza robo fainali katika mashindano ya kuwania kombe la Dunia tunaomba utabiri wako ndugu msikilizaji
2018-07-04
59 min
News in KiSwahili
KISWAHILI NEWS: MAKALA YA SURA YA AFRICA
Mgomo wa kitaifa wa wafanyakazi umefanyika nchini Afrika Kusini Leo ni siku ya Malaria duniani na ambako shirika la afya duniani WHO likionya kwamba jitihada za kupambana na kuenea kwa ugonjwa huo zimesimama baada ya ufanisi kupatikana katika miongo miwili iliyopita .Na watu 19 mkiwemo na makasisi wawili wauwawa kufuatia shambulio lililotekelezwa na wanamifugo katika kanisa moja nchini Nigeria .Tutakuwa na habari za Michezo Na tutahitimisha makala yetu kwa kuwaletea Uchumi na Biashara .
2018-04-25
1h 00
News in KiSwahili
KISWAHILI NEWS: MAKALA YA SURA YA AFRICA
Maandalizi ya mwisho kabla ya Mazishi ya mama wa Taifa Winnie Mandela jumamosi April tarehe 14.Mapambano ya kisiasa na mgogoro uliopo nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kabla ya Uchaguzi mkuu baadaye mwaka huu.Na tutaangazia historia ya Fedha ya Tofali yaani Bitcoin ambayo inatingisha vichwa vya watu duniani.Michezo ya Jumuiya ya Madola nchini Australia Na tutahitimisha makala kwa kuwaletea Sanaa na Utamaduni Matangazo yetu yanasikika pia katika DSTV Audio Channel 802 na unaweza pia kutembelea ukrasa wetu wa Face book Channel Africa Kiswahili na pia unaweza kuchangia kwa kutoa...
2018-04-13
1h 11
PM Live on SAfm
Arts and Culture with Investigative journalist Mzilikazi Wa Afrika
SAfm — Today on our arts and culture feature we are in conversation with investigative journalist Mzilikazi Wa Afrika and we chat to him about his newly launched show 'Sofa Slahlane'. Aired on Dstv channel Moja Love, the weekly show centers around complex love triangles. Tsepiso Makwetla spoke to Mzilikazi wa Africa
2018-03-28
08 min
News in KiSwahili
KiSwahili News
Mataifa 44 ya Afrika yatia saini makubaliano kuanzisha eneo la biashara huru na huku mataifa mengine yaliyosalia kuamua mnamo mwezi wa Mei katika mkutano utakaofanyika Mauritania .Leo ni siku ya maji duniani huku kukiwa na uhaba wa maji masafi katika mataifa kaadha Na kumekuwa na ongezeko kubwa la wakimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wanaokimbilia nchi jirani za Rwanda,Burundi,Zambia ,angola na Uganda .Matangazo yetu pia yanasikika katika DSTV Audio Channel 802 na unaweza kutembelea ukrasa wetu wa Facebook Channel Africa Kiswahili na pia unaweza kutuma ujumbe wako mfupi wa Maandishi SMS na unaweza...
2018-03-22
59 min
News in KiSwahili
Kiswahili News
Upinzani nchini Kenya wadai uchaguzi mwiingine ufanyike katika muda wa siku tisini zijazo .Vyama viwili vya upinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo UNC kinachongozwa na Vital Kamere na MLC cha mbabe wa kivita wa zamani Jean Pierre Bemba ambaye yupo gerezani kwenye mahakama ya kimataifa huko The Hague vimetoa wito wa maandamano kupinga tarehe ya uchaguzi iliyotangazwa na tume ya uchaguzi Na serikali ya Burundi yatangaza siku ya mwisho ya wale ambao hawajaoa waweze kuoa kabla ya mwisho wa mwezi wa Desemba.Na leo jumatano tutakuwa na makala ya Uchumi na Biashara. Matangazo yetu pia ya...
2017-11-07
1h 00
News in KiSwahili
KiSwahili News
Kiongozi wa Upinzani nchini Kenya Raila Odinga amewatolea mwito wafuasi wake kutofanya mgomo katika siku ya Uchaguzi .Ziara ya balozi wa Marekani kwenye umoja wa mataifa katika nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo .Na katibu mkuu wa umoja wa mataifa awasili mjini Bangui katika Jamhuri ya Afrika ya kati.Na leo jumanne tutakuwa na makala ya Afya na Tiba Ndugu msikilizaji kwa taarifa yako zimesalia siku tano tu kabla ya matangazo yetu kuanzaa kusikika katika runinga ya DSTV Channel 802 kuuanzia saa kumi na mbili za jioni kwa saa za Afrika Mashariki...
2017-10-24
55 min
News in KiSwahili
Kiswahili News
Kumekuwa na maoni tofauti tofauti kufuatia Afisa mkuu wa Tume ya Uchaguzi nchini Kenya Dakta Roselyn Akombe kutangaza kujiuzulu katika tume hiyo wiki moja kabla ya uchaguzi mpya wa Rais .Polisi yavuruga mkutano wa wanasiasa mjini Kampala kwa kufyatua risasi hewani na kutumia hewa ya kutoa machozi katika mkutano wa kupinga kuondolewa kikomo cha umri wa mgombea kiti cha Rais .Na nchini Afrika Kusini vita vya maneno vimeibuka miongoni mwa vyama vya kisiasa kufuatia Rais Jacob Zuma kutangaza mabadiliko katika baraza lake la mawaziri siku ya jumanne nalo bunge la taifa limeanza uchunguzi wake dhidi ya...
2017-10-19
55 min
News in KiSwahili
KiSwahili News
Jiji la Kampala limebaki peupe huku polisi na wanajeshi wakishika doria kisa na mkasa ni kuhusu wabunge kaadha wa chama tawala cha National Resistance Army kutaka mswaada wa kuondolewa kikomo kuhusu umri wa rais kujadiliwa.Mafuriko katika mkoa wa Kivu ya Kasikazini mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo baada ya mvua kubwa kunyesha .Watu 12 wafariki na mamia kuachwa bila makaazi .Mbunge mkosoaji mkuu wa serikali ya Rais Jacob Zuma ,Makhosi Khoza amejiuzulu kutoka katika chama tawala cha African National Congress.Matangazo yetu pia yanasikika katika Short Wave ,Satellite ,Internet,Podcast KiswahiliNews ,Soundcloud Channel...
2017-09-21
56 min
News in KiSwahili
KiSwahili News
* Muungano wa vyama vya upinzani nchini Kenya NASA umesisitiza kwamba hautashirikI katika uchaguzi wa Rais baada ya tume ya Uchaguzi kutangaza kuwa afisa mkuu mtendaji Ezra Chiloba ndiye atausimamia uchaguzi huo.* Watu 20 wauliwa huko Batangasi katika Jamhuri ya Afrika ya kati huku Rais wa nchi hiyo amfuta kazi waziri wa ulinzi ambaye inadaiwa ameshindwa kushughulikia maswala ya usalama nchini humo.* Na Wabunge wapatao 245 wa chama tawala nchini Uganda cha National Resistance Movement wameazimia kuondoa sheria kikatiba kuhusu umri unaotakiwa kwa wagombea kiti cha Rais nchini Uganda .* Ongezeko la visa vya watu mashuhuri kushambuliwa kwa...
2017-09-13
55 min
News in KiSwahili
KiSwahili News
Kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga apinga tarehe mpya ya Uchaguzi wa Rais iliyotangazwa na tume ya Uchaguzi nchini Kenya.Mahakama ya katiba nchini Afrika Kusini imeaanza kusikiliza Kesi ya kutaka afunguliwe mashitaka Rais Jacob Zuma kwa kushindwa kutekeleza wajibu wake kesi iliyowasilishwa na vyama vitatu vya Upinzani nchini Afrika Kusini.Na madakitari nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamefutulia mbali mgomo wao ambao ulikuwa umeingia wiki ya pili katika hospitali zote za serikali .Na leo Jummanne tutakuwa na makala ya Afya na Tiba .Matangazo yetu pia yanasikika kwenye Short-wave ,Internet...
2017-09-05
55 min
News in KiSwahili
Kiswahili News
Mvua kubwa zenye dhoruba kali zinaendelea kunyesha mkoa wa Cape ya Magharibi siku moja kufuatia kimbunga kikali kilichosababisha vifo kwa watu watano mjini Cape Town.Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yakubali kufanya uchunguzi wa mauaji ya watu katika Mkoa wa Kasai kufuatia shinikizo la Umoja wa mataifa.Na leo Bajeti za taifa kwa nchi zilizowachama wa Jumuiya ya Afrika ya mashariki zawasilishwa katika mabunge ya nchi hizo na mawaziri wa fedha.Na leo alhamisi tutakuwa na ukrasa wa Mazingira.Channel Afrika ,Taswira ya Afrika usikose habari za kuvutia kila siku .
2017-06-09
55 min
dj-andy-bee Deep n Soulful House # RNB Soul Podcast
Deep N Soulful (July 2016 Edition)
Holla I'm back with a wide mixture of deep n soulful choones. A rollercoaster of a mix Enjoy!!! 1. G-Soul Blust ft Sammy M - Music Speaks (Original mix) 2. Johan S & Soulfuledge - The One 3. Pascal Morais & Rancido ft Tellaman & Maikal C - For The Love Of Money 4. N'Dinga Gaba ft Sabrina Chyld - Love That I Needed 5. David Anthony ft Beverlei Brown - Your Way (Original mix) 6. Naakmusiq ft Professor - Not Guilty 7. Jaguar Paw - Uthando Lwakho (Original mix) 8. Dj Whiskey ft Siwe & Shap Moja - Sweetie Pie 9. Etu Beats ft Rona Ray - Space For Love (Ak Afrika...
2016-07-28
1h 17
SwahiliPod101.com | Sample Feed
Advanced Audio Blog #1 - Top 10 Kenyan Holidays and Festivals: Concours D'Elegance - Audio
Learn Swahili with SwahiliPod101! Don't forget to stop by SwahiliPod101.com for more great Swahili Language Learning Resources! -------Lesson Dialog------- ----Formal ---- Tamasha la Concours D' Elegance. Tamasha la Concours D' Elegance linahusu mashindano ya uzuri wa magari kukiwamo maonyesho ya magari ya kifahari na pikipiki. Pia mna muziki na burudani isiyo na kikomo kwa watoto. Maonyesho haya hufanyika kila mwaka, mwezi wa Septemba katika uwanja wa 'Race Course' jijini Nairobi. Tamasha hii inayondaliwa na wanaomiliki klabu ya Alfa Romeo ilianza California mwaka wa 1910 na kisha nchini kenya baada ya miaka ishirini. Ni tamasha la kifahari zaidi na la aina...
2013-06-26
03 min
SwahiliPod101.com | Sample Feed
Advanced Audio Blog #1 - Top 10 Kenyan Holidays and Festivals: Concours D'Elegance - Dialog
Stop by SwahiliPod101.com for the accompanying PDFs, line-by-line audio, and more! Be sure to leave us a post! -------Lesson Dialog------- Swahili Tamasha la Concours D' Elegance. Tamasha la Concours D' Elegance linahusu mashindano ya uzuri wa magari kukiwamo maonyesho ya magari ya kifahari na pikipiki. Pia mna muziki na burudani isiyo na kikomo kwa watoto. Maonyesho haya hufanyika kila mwaka, mwezi wa Septemba katika uwanja wa 'Race Course' jijini Nairobi. Tamasha hii inayondaliwa na wanaomiliki klabu ya Alfa Romeo ilianza California mwaka wa 1910 na kisha nchini kenya baada ya miaka ishirini. Ni tamasha la kifahari zaidi na la aina...
2013-06-26
02 min
Noa Bongo – Uchumi na Mazingira
Mazingira Afrika – Kipindi 9 – Uvuvi wenye madhara
Kipindi hiki kinazungumzia uvuvi wa kutumia baruti unavyoathiri matumbawe ambayo yanahitaji karne kujengeka, lakini yanaweza kuharibiwa kwa sekunde moja tu. Nini kinachowakumba wanyama na mimea ya baharini?
2011-03-16
09 min
Noa Bongo – Uchumi na Mazingira
Mazingira Afrika – Kipindi 2 – Elimu ya wadudu waharibifu
Elimu ya wadudu waharibifu inaweza kuongeza mazao yetu lakini ina madhara makubwa kwa mazingira. Tutaona jinsi sumu ya kuua wadudu inavyojipenyeza kwenye ardhi na maji. Tutajifunza jinsi ya kufanya kilimo cha zao moja.
2011-03-16
09 min
Learning by Ear – Elimu ya Jamii
Ngano za Afrika – Kipindi 08 – Bundi na Nyenje
Siku moja bundi mzee na nyenje kijana wanakuwa majirani. Mwanzoni wanafurahia kuishi kwa pamoja, lakini kadri muda unavyopita bundi anakasirika na nyenje anavunjika moyo. Watafanya nini?
2011-03-16
12 min