podcast
details
.com
Print
Share
Look for any podcast host, guest or anyone
Search
Showing episodes and shows of
Aucland Mudu
Shows
Acky Talks Podcast
EPISODE 54 - UCHAMBUZI: KITAKACHOWAVUSHA SIMBA SC ROBO FAINALI DHIDI YA US GENDARMERIE (SHIRIKISHO).
π¨ UCHAMBUZIπ₯: KITAKACHOWAVUSHA SIMBA SCπ΄ ROBO FAINALI DHIDI YA US GENDARMERIE, "KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA"...π₯π₯π₯ LINK πhttps://youtu.be/muCo3YpL36kβ³ LINK YA YOUTUBE π₯π GUSA CHINI HAPO, KWENDA KUTAZAMA;https://youtu.be/muCo3YpL36k π₯π₯π₯β³ Nimepiga story na mchambuzi wa soka: [ Peter Claver ] juu ya nini kifanyike zaidi kwa Simba SC, kwakutazama michezo yao ya nyuma na uhalisia wa kikosi chao kuelekea mchezo wao Jumapili, ili wapate nafasi kufuzu Robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika,β³ LINK π https://youtu.be/muCo3YpL36kGUSA TWENDE TUKAITAZAME HII INTERVIEW KULE YOUTUBE... (AuclandMudu)https://youtu.be/muCo3YpL36kHOST: @auclandmudu_GUEST/PUNDIT: PeterClever@auclandmudu_ πβ’AckySportGazette | #LoveYourGa...
2022-04-01
11 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 53 - INONGA BACA "VARANE", ANA MAMLAKA MAKUBWA UWANJANI KAMA RUDIGER.
Makala fupi kwaajili ya kutoa heshima kwa Henock Inonga Baca "Varane", beki wa kati wa Simba SC, kwa makubwa mazuri anayoendelea kuyafanya uwanjani. - Imeandikwa na kusimuliwa na: Aucland Mudu.#AuclandMudu #HenockInonga #AckySportGazette.Nifatie Instagram πhttps://www.instagram.com/invites/contact/?i=1x5hagjaw8rvv&utm_content=3mzn7ou--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2022-03-24
03 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 52 - KAPOMBE, "RIGHT BACK YA KIWANGO, INAYOKWENDA NA WAKATI".
π Imeandaliwa na kusomwa na @AuclandMudu Ipo kwaajili ya Appreciation kwa Beki wa kulia wa Simba SC, Shomari Salum Kapombe, na inapatikana pia kwa mtindo wa maandishi kule Instagram kwa Jina hilo @auclandmudu_--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2022-03-09
03 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 51 - SAMUEL ETO'O (Saturday of "LEGEND" via AckySportGazetteβ½οΈ
Karibu kusikiliza dakika 04 zakipekee na heshima kubwa kwaajili ya Nguli wa mpira wa miguu ulimwenguni raia wa Nchini Cameroon π¨π² Samuel Eto'o (40).--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-12-26
04 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 50 - UCHAMBUZI KIPINDI CHA MICHEZO (MLIMANI LEO ASUBUHI -MICHEZO) 106.5 / 31st Aug, 2021.
Sikiliza Chambuzi mbalimbali nikiwepo pia "Mlimani Radio 106.5", nikifanya na wadau mbalimbali akiwemo muongozaji wa kipindi hicho ndg. Robert MIHAYO, Kila siku ya J3-Ijum. Saa 3:30 - 4:00 Asubuhi.... Siku hii Tulikua na Suzan Richard.--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-08-31
20 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 49 - MSIKILIZE SHABIKI WA YANGA KUELEKEA KILELE CHA SIKU YA MWANANCHI.
Kupitia Funny Talks With Football Fans ni Kuelekea kilele cha Siku ya Mwananchi, Tazama na Sikiliza mdau wa Yanga SC namna anaongelea siku hiyo pamoja na Jezi zao ambazo wamekwisha kuzitambulisha..#AuclandMudu #YangaSC #AckySportGazetteNifatie Instagram πhttps://www.instagram.com/invites/contact/?i=1x5hagjaw8rvv&utm_content=3mzn7ouSikiliza Podcast yangu πhttps://podcasts.google.com/?feed=aHR0cHM6Ly9hbmNob3IuZm0vcy8zYWEyMDBmMC9wb2RjYXN0L3JzcwCC: Funny Talks With Football Fans | via β’ AckySportGazette by Aucland MuduSUBSCRIBE ‡οΈ--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-08-29
05 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 48 - UCHAMBUZI KIPINDI CHA MICHEZO (MLIMANI LEO ASUBUHI -MICHEZO) 106.5 / 5th Aug, 2021.
Sikiliza Chambuzi mbalimbali nikiwepo pia "Mlimani Radio 106.5", nikifanya na wadau mbalimbali akiwemo muongozaji wa kipindi hicho ndg. Robert MIHAYO, Kila siku ya J3-Ijum. Saa 3:30 - 4:00 Asubuhi.--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-08-26
17 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 47 - UCHAMBUZI KUELEKEA MCHEZO WA FAINALI YA COMMUNITY SHIELD KATI YA LEICESTER vs MAN CITY
Sikiliza namna ambavyo (Sky) anachambua kuelekea mchezo wa Fainali ya Ngao ya Jamii nchini Uingereza kati ya mabingwa wa FA EMIRATES, Leicester City na mabingwa wa Premier league, Manchester City.--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-08-07
04 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 46 -SHABIKI AIONGELEA YANGA KWA UKUBWA KUELEKEA MCHEZO WAO DHIDI YA EXPRESS YA NCHINI UGANDA
Sikiliza namna shabiki wa Yanga maarufu kama (Agrey) anavojitapa mbele ya Express, adai Yanga itashinda 3-0 na kumaliza nafasi ya 1 kwenye kundi, Vipi kuhusu kusua sua kwa Yanga kwenye michuano hii ya Kagame? Sikiliza mpaka mwisho.--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-08-07
04 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 45 - UCHAMBUZI KIPINDI CHA MICHEZO (MLIMANI LEO ASUBUHI -MICHEZO) 106.5 / 5th Aug, 2021.
Sikiliza Chambuzi mbalimbali nikiwepo pia "Mlimani Radio 106.5", nikifanya na wadau mbalimbali akiwemo muongozaji wa kipindi hicho ndg. MIHAYO, Kila siku ya J3-Ijum. Saa 3:30 - 4:00 Asubuhi.--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-08-07
23 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 44 - RASMI MOHAMMED DEWJI ANUNUA HISA SIMBA KWA ASILIMIA 49 KWA BIL. 20
Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi Simba SC ndg. Mohammed Dewji ametimiza mpango wake wa Transformation baada ya kukamilisha uwekezaji wake wa kununua hisa ya asilimia 49 ndani ya klabu hiyo kwa dau la Bilioni 20 za Kitanzania, Aidha Mo Dewji ameweka wazi mipango na mikakati mingi aliokua nayo pamoja na mapenzi yake makubwa kwa klabu hiyo... Imeandaliwa na Mlimani Tv (Habari) Ikiripotiwa na Aucland Mudu.--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-08-05
04 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 43 - MAKALA YA KUMHUSU J.J OKOCHA, MFALME WA SOCCER NIGERIA, AFRIKA NA ULIMWENGUNI KIUJUMLA.
Sikiliza Historia fupi pamoja na maajabu makubwa mengi ya kumhusu Kiungo Mshambuliaji wa Soccer kutokea Afrika ambae aliitangaza vyema Nigeria na Afrika kiujumla maarufu kama J.J OKOCHA. Imeandikwa na kusomwa na Aucland Mudu, KARIBU. --- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-08-02
14 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 42 : MASHABIKI WA YANGA WATOA BARAKA ZOTE KWA NIYONZIMA | HATUMDAI KITU, KAFANYA MENGI SANA
Kupitia "Funny Talks With Football Fans", tunapata wasaa wa kuzungumza na mashabiki, wadau na wanamichezo mbalimbali ambao wanapenda na kufuatilia mpira wa miguu Ulimwenguni, Hapa tumezungumza na MOJA YA SHABIKI MKUBWA WA YANGA, na tumezungumzia zaidi juu ya:1. Kifupi wanaYanga wanamuongeleaje Niyonzima na nini umekua mchango wake mkubwa Yanga pamoja na mafanikio yake akiwa na Yanga?2. Je, pia kwa upande wa Mashabiki wa Yanga imekua Ni sahihi kwa (Yanga) kuachana na Niyonzima kwasasa?3. Na Vipi kuhusu safari ya Niyonzima wanaionaje huko mbeleni, na kama wadau wa Yanga wanamtakia nini Niyonzima mbeleni?Wewe pia kama mdau wa kandanda una mchango mkubwa...
2021-07-15
08 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 41 : YANGA KUMUAGA NIYONZIMA KIHESHIMA | MCHEZAJI PEKEE WAKIGENI MWENYE MAFANIKIO MAKUBWA
Kupitia "Funny Talks With Football Fans", tunapata wasaa wa kuzungumza na mashabiki, wadau na wanamichezo mbalimbali ambao wanapenda na kufuatilia mpira wa miguu Ulimwenguni, Hapa tumezungumza juu ya:1. General kifupi tu Niyonzima unamuongeleaje na mchango wake?2. Ni sahihi Yanga kuachana na Niyonzima kwasasa?3. Vipi kuhusu safari ya Niyonzima unaionaje mbeleni, huko aendako?Wewe pia kama mdau wa kandanda una mchango mkubwa juu ya hili tuachie ujumbe wako kwenye sehemu ya Ujumbe (Comments) ENJOY!#AuclandMudu #Niyonzima #YangaSC #FTWFFTUFUATIE INSTAGRAM πhttps://www.instagram.com/invites/contact/?i=e9d4qvl6luqo&utm_content=3mzn7ou--- Send in a voice message: https://anchor.fm...
2021-07-15
15 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 40 - STEVEN MSHIHIRI (ACTOR & FILM MAKER)
Sikiliza mahojiano Exclusive kabisa nikiwa nimepata nafasi ya kuzungumza na Moja kati ya Waigizaji na waongozaji pamoja na wazalishaji wakubwa wa filamu Tanzania, Steven Mshihiri, Sikiliza mpaka mwisho utajifunza mengi kupitia hii EPISODE, Enjoy!--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-06-08
40 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 39 - SIMBA DHIDI YA KAIZER CHIEFS KLABU BINGWA AFRICA, LEICESTER π― CHELSEA, FA CUP FINAL
Simba inashuka kuumana vikali nchini South Africa dhidi ya klabu ya Kaizer Chiefs katika hatua ya Robo fainali ya michuano hiyo, mchezo wa kwanza wakiwa ugenini... Leicester City dhidi ya Chelsea ndani ya fainali ya Kombe la EMIRATES FA CUP nchini Uingereza. --- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-05-15
04 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 38 - KUELEKEA MTANANGE WA FAINALI YA UEFA CHAMPIONS LEAGUE 29 MAY, 2021.
Sikiliza Alichokiandaa Aucland Mudu kuelekea mchezo wa Fainali ya michuano ya Klabu bingwa ulaya (UEFA) kati ya Manchester City vs Chelsea, mchezo utakaopigwa tar. 29 May 2021, una nafasi pia ya kutuachia ujumbe wako, hata kwa njia ya voice pia Karibu!--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-05-13
04 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 37: π½πΌπΎπ ππ π½πΌπΎπ - PHIL FODEN MAMBO YAKE NA UWEZO WAKE MKUBWA KUZIDI UMRI NA MWILI
Makala fupi na maalum kumhusu mchezaji kinda ambae anatikisa ulimwengu wa soccer kwasasa kwa mambo yake makubwa ayafanyayo akiwa dimbani.Imeandikwa na Kusomwa na : AUCLAND MUDU. BACK TO BACK - AckySportGazetteβ½οΈ.#PhilFoden #AuclandMudu #AckySportGazette--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-04-27
09 min
Acky Talks Podcast
ππππππΏπ 36: ππ πππππ πππππ Γπππ | ππππππ ππππππππππππ HATARI.
Sikiliza Makala hii fupi na tamu ya kumhusu Kiungo mshambuliaji aliyewahi kujitokeza na baadae kutunukiwa jina la Mpikaji mipira ya usaidizi (Assist) akiwa dimbani na wenzie, fahamu mwanzo wake, alikotokea, maisha yake ya familia nje ya soccer, upole wake pamoja na mafanikio yake yote aliyoyapata hasa akiwa katika vilabu vya Real Madrid, Arsenal na timu yake ya Taifa ya Ujerumani. IMEANDIKWA NA: Said Kawage na KUSOMWA NA: Aucland Mudu, Enjoy π€ͺπ€--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-04-12
13 min
Acky Talks Podcast
ππππππΏπ 35: πππ πππππ ππππππ ππ πππ π ππ πππππππ ππ πππππ.
Sikiliza japo kwakifupi, Baadhi ya Sifa muhimu ambazo anazo mnyama TWIGA, Imeandikwa na Oscar Utalii na kusomwa na Aucland Mudu. --- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-04-10
06 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 34 - MEDDIE KAGERE: "NAOMBA TURUDIANE MPENZI"
Sikiliza makala tamu na yakusisimua yakumhusu Mshambuliaji na kipenzi cha wanaSimba Meddie Kagere MK14 THE BULL STRIKER.! Juu ya mwenendo wa mahusiano yake yeye na kipenzi chake nyavuπ, Imeandikwa na ALWATAN ABDULAZEEZ na kusomwa na AUCLAND MUDU, Karibu Enjoy! π€--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-03-15
05 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 33 - RATIBA YA SOCCER LEAGUE TOFAUTI, WEEKEND HII
Nimekusogezea ratiba ya michuano kadhaa ndani ya league kadhaa na kubwa duniani weekend hii.--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-02-17
03 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 32 - SIMBA YAITUNGUA AS VITA CLUB
Klabu ya Simba SC Imeanza vyema michuano ya klabu bingwa Africa hatua ya makundi baada ya kushinda mchezo wao wa kwanza wakiwa ugenini dhidi ya AS Vita Club ya nchini DR Congo.--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-02-17
01 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 31 - HISTORIA YA SIR ALEX FERGUSON, MFALME WA SOCCER NA ALIYEKUA KOCHA WA MANCHESTER UNITED.
Sikiliza makala fupi ya Historia ya aliyekuwa kocha maarufu duniani wa klabu ya mashetani wekundu, Manchester United, ambaye alijizolea sifa nyingi kwa umaarufu na ubora wake wakati akiifundisha klabu hiyo, skills zake, idadi ya vikombe kwa MUN, mataji binafsi, style yake ya kutafuna bazoka uwanjani, familia, career yake ya kucheza kabla ya kuwa mwl. Wa soccer na mengine mengi mpaka kustaafu kwake. IMEANDIKWA na SAID KAWAGE, na KUTIWA SAUTI na AUCLAND MUDU.--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-02-04
13 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 30 - SAJILI NYINGINE 05 KUBWA AMBAZO SIMBA IMEZIFANYA
Sikiliza sajili nyingine kubwa 05 ambazo Simba wanatarajia kuzikamilisha katika dirisha la usajili.--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-02-02
09 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 29 - SIKILIZA UCHAMBUZI WA SAJILI ZILIZOFANYIKA NDANI YA KLABU ZA SIMBA NA YANGA
Sikiliza wachambuzi hodari wakikuchambulia Sajili ambazo zimefanywa na klabu ya Simba na Yanga kwenye dirisha dogo la usajili mwezi January. --- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-02-02
14 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 28 - MFAHAMU KOCHA MPYA WA SIMBA, KUPITIA IDADI YA MAKOCHA TAJWA KUINOA SIMBA
Baada ya makocha zaidi ya 65 kutuma CV zao Simba wakiomba nafasi ya kuinoa klabu hiyo baada ya kuondoka kwa Sven, sikiliza mstakabali wa Simba na maamuzi juu ya kumpata kocha wao mpya.--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-02-02
08 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 27 - KUELEKEA DERBY YA MANCHESTER UNITED vs LIVERPOOL
Wakikutana Manchester United na Liverpool mambo hua yamoto sana, sikiliza mambo kadhaa ambayo hujitokeza wakati vilabu hivi viwili vikikutana.--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-02-02
07 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 26 - YANGA SC YAKAMILISHA USAJILI WA MSHAMBULIAJI FISTON ABDOULRAZAK
Mambo ni bull bull huko jangwani, baada ya wenyewe pia kukamilisha usajili wa mshambuliaji Fiston ABDOULRAZAK ambaye amemwagiwa sifa kibao, sikiliza mpaka mwisho kuyajua mengi juu ya mchezaji huyo aliyesajiliwa na Yanga.--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-02-02
05 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 25 - SIMBA YAKAMILISHA USAJILI WA MSHAMBULIAJI PERFECT CHIKWENDE
Rasmi, Simba imefanikisha mpango wa kukamilisha usajili wa aliyekua mshambuliaji wa FC PLATINUM ya nchini Zimbabwe, ambaye alimtungua Manura.--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-02-02
06 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 24 - SAKATA LA MORRISON LAIBULIWA UPYA TENA
Baada ya ukimya mfupi, sasa sakata la Yanga juu ya MORRISON limeibuliwa upya tena na limekuja na taswira mpya, sikiliza mpaka mwisho ili kuyafahamu mengi.--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-02-02
05 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 23 - YANGA YATAWAZWA MABINGWA MAPINDUZI CUP, ZANZIBAR BAADA YA KUICHAPA SIMBA
Sikiliza yaliyojiri katika mchezo wa fainali ya MAPINDUZI mpaka Yanga kutangazwa kua mabingwa wa mashindano hayo, huko Zanzibar. --- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-02-02
09 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 22 - UCHAMBUZI KUELEKEA FAINALI YA MAPINDUZI CUP, YANGA vs SIMBA
Tumekuwekea uchambuzi kuelekea Mtanange wa fainali ya MAPINDUZI kati ya Simba na Yanga, sikiliza mpaka mwisho kuyasikia mengi na hata utabiri wa bingwa wa michuano hiyo.--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-02-02
14 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 21 - KARIAKOO DERBY NDANI YA FAINALI YA MAPINDUZI CUP ZANZIBAR
Kilichokua kinasubiriwa kwa hamu kimetokea, sasa rasmi Yanga na Simba kukutana fainali ya MAPINDUZI Cup, huko Zanzibar unajua yapi yaliyojiri? Sikiliza mpaka mwisho.--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-02-02
07 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 20 - AGGREY MORRIS KUSTAAFU, AAGWA TAIFA, AMWAGIWA MAZAWADI
Sikiliza mazawadi aliyomwagiwa Aggrey MORRIS wakati akiagwa kwa heshima baada ya kutangaza kustaafu kuburuza soccer, wakati wa mchezo wa Stars.--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-02-02
06 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 19 - RATIBA YA VPL, SAJILI ZILIZOFANYIKA BONGO
Baada ya kupisha michuano mbalimbali ikiwemo ile ya klabu bingwa Africa pamoja na michuano ya MAPINDUZI CUP hatua ya mtoano, sikiliza Sajili zilizofanyika Bongo pamoja na ratiba ya kurejea kwa league kuu Tanzania bara. --- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-02-02
09 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 18 - CHAMA AONGEZA MKATABA SIMBA, ISSUE YA SVEN
Sakata la Chama lafika ukingoni baada ya kufikia maamuzi ya kuongeza mkataba mpya akiwa na klabu yake ya Simba, sasa zile kelele za kuhamia upande wa pili zimekwisha, sikiliza hadi mwisho ufahamu mengine mengi juu ya hatma ya aliyekua kocha wao SVEN.--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-02-02
08 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 17 - BAADA YA MCHEZO WA SIMBA vs FC PLATINUM, SIMBA KUFUZU HATUA YA MAKUNDI.
Sikiliza yaliyojiri Baada ya Simba SC Kuitupilia mbali klabu ya FC Platinum kwa Aggregate ya 4-1 na kufuzu hatua ya makundi ya Klabu Bingwa Africa --- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-02-02
11 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 16 - Exclusive Interview KUELEKEA MCHEZO WA SIMBA vs FC PLATINUM
Nilipata wasaa wa kupiga story kuelekea mchezo wa Simba SC dhidi ya FC Platinum kufuzu hatua ya makundi ya michuano ya Klabu Bingwa Africa. --- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2021-02-02
18 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 15 - RIVALDO FERREIRA Article
Tumepata wasaa wa kuandaa makala ya 1 ya wakongwe na mchezaji maarufu Ulimwenguni kuwahi kujitokeza, Raia wa Brazil, aliyewahi kukipiga katika klabu ya Barcelona na mwenye mafanikio makubwa ya binafsi katika soccer mfano ile tuzo yake ya Ballon D'OR na mchezaji bora wa FIFA, na ile ya Kitimu mfano kuisaidia timu yake ya Brazil kubeba Kombe la Dunia, Kopa America na mengine mengi. Sikiliza makala hii fupi ikiandaliwa//andikwa na Said Kawage na kusomwa na Aucland Mudu. --- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2020-12-03
05 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 14 - HISTORIA YA MARADONA, MPAKA KIFO CHAKE.
Sikiliza historia nzima ya kusisimua ya kumhusu mwanamichezo mkongwe na maarufu wa mpira wa miguu, Diego Armando Maradona. Raia wa Nchini Argentina aliyejipatia umaarufu mkubwa baada ya kufunga bao kwa mkono katika kombe la dunia mwaka 1986 huko Mexico dhidi ya England, goal hilo likipewa jina la "Hand of God" na baadae akifunga tena goli la karne "The Goal of Century". Sikiliza Historia yake, maisha yake ya utukutu, kuhusishwa na madawa ya kulevya, kuwa kocha wa Argentina, vikombe na mataji yake, maisha yake ya kawaida na mengine mengi, mpaka kufariki kwake 25 Nov. 2020. Imeandikwa na Saidi Kawage na kusomwa na Aucland Mudu...
2020-11-30
21 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 13 - CHAMA KUHAMIA YANGA | MUKOKO KUSAINI MKATABA SIMBA.
Sikiliza Jinsi sakata la usajili wa Dirisha dogo Bongo lilivyopamba moto kwa vilabu vya Yanga na Simba, wakiendelea kuchukuliana Wachezaji, Yanga wanamtaka Chama, Simba wanamtaka Mukoko. Na Aucland Mudu. --- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2020-11-15
10 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 12 - SIMBA SC KUELEKEA MICHUANO YA KLABU BINGWA AFRICA 2020/21 DHIDI YA PLATEAU UNITED.
Sikiliza mchongo mzima kuhusu klabu ya Simba Sc (Tanzania) kushiriki michuano ya klabu Bingwa Africa kwa mwaka 2020/21 na ratiba yake akipangiwa kucheza hatua ya kwanza ya mtoano dhidi ya klabu ya Plateau United (Nigeria) mwezi November na December 2020 na Aucland Mudu. --- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2020-11-10
10 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 11 - CHRISTIANO RONALDO "CR7" HISTORY ( ACKY SPORT GAZETTEβ½οΈ)
Sikiliza historia nzima ya kumhusu mchezaji maarufu duniani aliyetikisa Na kuvutia wanamichezo wengi kwenye soccer CHRISTIANO RONALDO Maarufu kama CR7 MNYAMA / THE GOAL MACHINE toka kuzaliwa kwake na historia yake nzima ya Soccer na maisha nje ya Soccer.--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2020-11-10
19 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 10 - EPL HISTORY ( ACKY SPORT GAZETTEβ½οΈ)
Sikiliza Historia nzima ya ligi kuu nchini Uingereza toka kuanzishwa kwake miaka ya 1888.--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2020-11-10
20 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 09 - FOOTBALL REFEREE "HOWARD MILTON WEBB" HISTORY (ACKY SPORT GAZETTEβ½οΈ)
Sikiliza Historia ya mwamuzi wa kati wa mchezo wa mpira wa miguu ulaya maarufu kama WEBB, Aliyejizolea sifa nyingi kipindi cha uchezeshaji wake, na ni mwamuzi aliyewahi chezesha fainali 2 kubwa ya michuano ya FIFA WORLD CUP & UEFA yote kwa pamoja ndani ya mwaka mmoja.--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2020-11-10
11 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 08 - SPORT MEMORIES IN 2020
Sikiliza habari, matukio na Updates mbalimbali za michezo na Aucland Mudu.--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2020-11-10
16 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 07 - SPORT MEMORIES IN 2020
Sikiliza habari, matukio na Updates mbalimbali za michezo na Aucland Mudu --- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2020-11-10
03 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 06 - INTERNATIONAL WOMEN'S DAY HISTORY (SPECIAL FOR 08th MARCH in Women's Day)
Sikiliza makala fupi ya Historia ya Siku ya kimataifa ya wanawake Duniani, Fahamu ilianzia wapi, nani waanzilishi wake na nini malengo yake makuu.--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2020-11-10
09 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 05 - GANGILONGA (JIWE LINALOZUNGUMZA - IRINGA)
Sikiliza makala hii fupi sana ya kuhusu jiwe la kihistoria linalozungumza, ambalo linapatikana mkoani Iringa - Tanzania.--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2020-11-10
02 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 04 - CHIBY (MUSICIAN)
Tumepata wasaa wa kuzungumza na moja ya wasanii wa kizazi kipya na Bongo Flava kutokea Tanzania, utayafahamu mengi juu yake lakini pia kupitia yeye utapata kujifunza na kuongeza kitu pamoja na burudani pia.--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2020-10-28
27 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 03 - SABURI (FILM/MOVIE DIRECTOR)
Tumepata wasaa wakuzungumza na moja kati ya Ma-Director na waandaaji wa Filamu Tanzania, utapata nafasi ya kujifunza mengi na kuburudika pia, kupitia hii tasnia.--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2020-10-21
34 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 02 - IBRA RAPPER (HIPHOP MUSICIAN)
Tumepata wasaa wa kuzungumza na moja ya wanamuziki wa HIPHOP Tanzania, tumezungumza mengi sana ambayo utajifunza na kuburudika pia, Enjoy!!!--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2020-10-16
33 min
Acky Talks Podcast
EPISODE 01 - SHYDEE (VIDEOGRAPHER|PHOTOGRAPHER|GRAPHIC DESIGNER)
Tumepata wasaa wakuzungumza na Moja kati ya ma Director, Photographer na Videographer mkubwa Tanzania ndani ya Episode yetu ya 01, na kupitia hii Interview utakwenda kujifunza mengi zaidi na kuburudika pia, Karibu.--- Send in a voice message: https://anchor.fm/aucland-mudu/message
2020-10-12
1h 03