Look for any podcast host, guest or anyone
Showing episodes and shows of

Dr. Rutasingwa

Shows

Afya TalkAfya TalkWaridi 02: Saratani ya Shingo ya KizaziKatika Kuadhimisha siku ya wanawake Duniani, nakukaribisha kwenye series hii fupi ya Waridi. Kila siku kuanzia Tarehe 7 mpaka 11 Juma hili saa tatu asubuhi jiunge kusikiliza mambo mbalimbali; nikiangazia Saratani, Afya ya Uzazi, Unyanyasaji Kijinsia Nk. Karibu uweze kushirikisha wengine.2022-03-0811 minAfya TalkAfya TalkWaridi 01: Saratani ya MatitiKatika Kuadhimisha siku ya wanawake Duniani, nakukaribisha kwenye series hii fupi ya Waridi. Kila siku kuanzia Tarehe 7 mpaka 11 Juma hili saa tatu asubuhi jiunge kusikiliza mambo mbalimbali; nikiangazia Saratani, Afya ya Uzazi, Unyanyasaji Kijinsia Nk. Karibu uweze kushirikisha wengine.2022-03-0711 minAfya TalkAfya TalkEczemaInawezekana mara kwa mara umekuwa ukisikia neno 'Eczema' na watu wakilala kuhusu kusumbuliwa na hilo tatizo. Leo kwenye Afya Talk, nimekuwekea Muhtasari kuhusu hili tatizo na kukupa ushauri yapi ya muhimu kufanya. Sikiliza kupita Podcast channel yoyote na shirikisha wengine. 2022-02-2409 minAfya TalkAfya TalkFahamu kuhusu ChunusiKatika Misri ya kale, Mayai ya mbuni yalitumiwa kutibu chunusi! Je wewe unatumia njia gani?! au umewahisi kusikia njia gani? Leo nimeeleza kuhusu yapi ya kuzingatia juu ya Chunusi na namna gani ya kujisadia mwenyewe. Karibu Usikulize na kushirikisha wengine.2022-02-2208 minAfya TalkAfya TalkFahamu Kuhusu KiharusiMoja kati ya matatizo ya kiafya yanayowakumba wengi kwasasa ni kupooza kutokana na kiharusi. Leo nimezungumza kuhusu dalili na visababishi vya kiharusi kwa ufupi. Unaweza kusikiliza hapa.2022-02-2106 minAfya TalkAfya TalkMaumivu ya Kichwa.Je wajua kuwa kutokunywa maji kuna weza kukufanya uumwe na kichwa? Yako mengi leo tukitazama kuhusu sababu za watu kuumwa kichwa mara kwa mara, dalili hatarishi, nk! Sikiliza sasa!2022-02-1809 minAfya TalkAfya TalkMazingira na AfyaMazingira yanayotuzunguka yanahusiana kwa karibu sana na afya zetu. Magonjwa mbalimbali kama Kipindupindu, Minyoo nk husababishwa na Mazingira yasiyo salama. Karibu tena kwenya Afya Talk, kujifunza na kushirikisha wengine.2022-02-1613 minAfya TalkAfya TalkChakula Na Afya - IIBaada ya hapo jana kutazama kuhusu aina mbalimbali ya vyakula. Leo ni sehemu ya pili na ya mwisho ambapo nimeeleza kifupi kuhusu namna gani vyakula vinagusa afya yetu. Nimezungumza kuhusu mmeng'enyo wa chakula, nk Usiache kusikiliza na kushirikisha wengine.2022-02-1517 minAfya TalkAfya TalkChakula na Afya - IKaribu tena kwenye Afya Talk. Leo tunaanza rasmi msimu wa tatu.Chakula na Afya ni mada itakayozungumzia namna gani vyakula vina athiri afya zetu. Leo kwenye utangulizi tumezungumza kuhusu vyakula vya wanga, protini, mafuta na maji. Karibu ujifunze na kushirikisha wengine.2022-02-1424 minAfya TalkAfya TalkHuba 18+ EP04: Kufika Mshindo Mapema kwa Wanaume.Tatizo hili ni Moja ya visababishi vya Mahusiano mengi kuvunjika. Wanaume wanaofika Mshindo Mapema hushindwa kuwaridhisha wenza wao. Sikiliza Leo uweze kujua sababu za tatizo hili. #Huba❤️ #AfyaTalk #Tanzania2021-08-0408 minAfya TalkAfya TalkHuba 18+ EP03: Maumivu wakati wa Kujamiiana.Tatizo la kupata maumivu kabla, wakati na baada ya tendo la Kujamiiana ni Moja ya tatizo linalowakumba wengi. Sikiliza kipindi hiki uweze kujua sababu na Njia za kufanya. Tufuatilie #AfyaTalk #Huba❤️ #Tanzania #Huba18+2021-07-3011 minAfya TalkAfya TalkHuba 18+ E02: Tatizo la Uke Kuwa MkavuKaribu kwenye Afya Talk Season 03: Hii ni season ya kipekee inayobeba Jina la Huba 18+ ambapo tunazungumzia masuala ya ujana, Mahusiano nk. Leo nitazungumza kuhusu sababu zinazofanya uke Kuwa Mkavu, Nini Cha kufanya, nk. Sikiliza Sasa na Shirikisha wengine.2021-07-2310 minAfya TalkAfya TalkHuba 18+ E01: Harafu Ya Ukeni!Karibu kwenye Afya Talk Season 03: Hii ni season ya kipekee inayobeba Jina la Huba 18+ ambapo tunazungumzia masuala ya ujana, Mahusiano nk. Leo nitazungumza kuhusu harafu ya Uke, Je mabadiliko ya harufuya Uke ina maana yoyote? Sikiliza Sasa na Shirikisha wengine.2021-07-1619 minAfya TalkAfya TalkTatizo la kutokwa Uchafu ukeni.Je unapenda kujua ni aina gani ya Uchafu ni hatari na ipi ni kawaida. Sikiliza Kipindi hiki kuweza kujifunza mambo haya. Usiache kuwashirikisha wengine.2021-04-2610 minAfya TalkAfya TalkShinikizo la Damu wakati wa UjauzitoSikiliza kufahamu juu ya Tatizo hili la Shiniko la Damu wakati wa Ujauzito; nini cha kufanya, dalili hatarishi na mengineyo mengi.2021-04-1910 minAfya TalkAfya TalkFahamu Safari ya UjauzitoJifunze maandalizi ya Ujauzito, nini cha kufanya wakati wa Ujauzito na Yapi ya kutegemea.2021-04-1218 minAfya TalkAfya TalkFahamu Kuhusu Hedhi!Jifunze kuhusu hedhi ni nini na mambo mbalimbali yahusianayo na hedhi!2021-04-0514 minAfya TalkAfya TalkFahamu Tatizo La Mgongo Wazi na Vichwa Vikubwa kwa Watoto!Jifunze nini cha kufanya kupunguza uwezekano wa kujifungua mtoto mwenye tatizo la mgongo wazi au kichwa kikubwa!2021-03-2910 minAfya TalkAfya TalkAfya Ya UbongoJua ya muhimu ili kutunza Afya ya Ubongo.2021-03-2209 minAfya TalkAfya TalkTatizo la Kutapika Damu na Kutokwa Damu kwenye Njia ya Haja Kubwa!Wikendi Salama Episode 12021-02-1213 minAfya TalkAfya TalkTatizo La Kufa Wakati Wa Tendo La Ndoa - Dr. Kalegamye, MD.Siri za Afya Bora Episode I.2021-02-1109 minAfya TalkAfya TalkAsante Kwa Msimu Wa Kwanza.Nawashukuru sana kwa kunifuatilia kwenye Msimu wa kwanza! Kuanzia Mosi Februari 2021 Msimu wa Pili ulioboreshwa utaanza rasmi. Usikosee, Endelea kushirikisha watu mbalimbali. #AfyaTalk #Tanzania2021-01-2804 minAfya TalkAfya TalkAfya Talk EP18: Saratani Ya TitiJifunze kuhusu Saratani ya Titi; Ni nini? Sababu, Matibabu nk. Shirikisha wengine pia. Pia niwatakie Mapinduzi Mema! #DaktariMtalii #AfyaTalk #Tanzania2021-01-1214 minAfya TalkAfya TalkAfya Talk EP17: BawasiliJe Bawasili ni nini? Inasababishwaje, njia za kujikinga nk! Leo tujitunze kuhusu Bawasili. Mshirikishe mwengine. #AfyaTalk #Tanzania #DaktariMtalii2021-01-0907 minAfya TalkAfya TalkAfya Talk EP16: Njia za Uzazi wa Mpango.Tuangazie kuhusu njia mbalimbali za uzazi wa mpango. Je njia gani ni sahihi kwako?! Tuambie kupitia #AfyaTalk kwenye mitandao ya Kijamii. #Tanzania #DaktariMtalii2021-01-0814 minAfya TalkAfya TalkAfya Talk EP15: Maambukizi na Magonjwa ya Zinaa, Maswali na Majibu.Tunapoanza 2021 ni vyema pia kutazama Magonjwa na Maambukizi ya Zinaa. Tusichukulie Poa, tupime Afya zetu na tujilinde. Shirikisha wengine #Tanzania #AfyaTalk #DaktariMtalii2021-01-0515 minAfya TalkAfya TalkAfya Talk EP14: Njia salama za kupunguza uzito.Kheri ya Mwaka Mpya! Leo tutatazamia njia za kupunguza Uzito! Chakula, Mazoezi na mwenendo wa Maisha ndizo nguzo kuu. Karibu sana #DaktariMtalii #Tanzania2021-01-0411 minAfya TalkAfya TalkAfya Talk EP13: MalariaMalaria ni Ugonjwa hatari! Vifo zaidi ya 400,000 mwaka 2019 Vilitokana na Malaria; huku takribani 94% ni barani Afrika. Leo tuangazie Malaria. #AfyaTalk #DaktariMtalii #Tanzania2020-12-1810 minAfya TalkAfya TalkAfya Talk EP12: Homa Ya IniLeo tunatizama kuhusu Homa ya Ini: Kujua kazi za Ini, chanzo cha Ugonjwa wa homa ya Ini, aina, na Njia za kujilinda. Karibu na shirikisha wengine. #AfyaTalk #DaktariMtalii #Tanzania2020-12-1714 minAfya TalkAfya TalkAfya Talk EP11: Homa Ya Matumbo ‘Typhoid’Karibu tena kwenye Afya Talk: leo tunaitazama homa ya matumbo ‘Typhoid’ jifunze Njia za kukabiliana nayo! #DaktariMtalii #AfyaTalk #Tanzania2020-12-1612 minAfya TalkAfya TalkAfya Talk EP10: Kisukari Kinavyoshambulia FigoTukiwa tumeanza kuzungumza kuhusu Figo, awali tulijifunza kazi za Figo sasa tunaanza kutazama magonjwa mbalimbali: leo tunatazama athari za Kisukari kwenye Figo. #AfyaTalk #DaktariMtalii #Tanzania2020-12-0909 minAfya TalkAfya TalkAfya Talk EP09: Fahamu Kuhusu Figo IMara baada ya kujifunza kuhusu Shinikizo la Damu na Kisukari, leo tunaangazia Figo. Karibu uweze kujifunza Figo ni nini na inafanya kazi gani kwenye sehemu ya kwanza. #DaktariMtalii #AfyaTalk #Tanzania2020-12-0711 minAfya TalkAfya TalkAfya Talk EP08: Upungufu/Ukosefu wa Nguvu za Kiume!Mara baada ya kuzungumza kuhusu Shinikizo la Damu na Kisukari, leo tunaanza kuzungumza baadhi ya madhara. Tunaanza kwa kutazama ukosefu/upungufu wa Nguvu za Kiume. #AfyaTalk #DaktariMtalii #Tanzania2020-12-0514 minAfya TalkAfya TalkAfya Talk EP07: Kisukari IIILeo nahitimisha mada juu ya kisukari kwa kuangazia hasa vyakula na visababishi vya Ugonjwa wa kisukari. #AfyaTalk #DaktarMtalii #Tanzania2020-12-0408 minAfya TalkAfya TalkAfya Talk EP06: Kisukari IISehemu ya Leo tunaendelea na mada ya kisukari. Karibu na endelea kujifunza nami. #DaktariMtalii #AfyaTalk #Tanzania2020-12-0308 minAfya TalkAfya TalkAfya Talk EP05: Kisukari IKaribu tuanze mada ya Ugonjwa wa Kisukari. Sehemu Hii ya kwanza inaheleza kuhusu maana ya kisukari, dalili na upimaji wake. Usiache kushirikisha wengine. #DaktariMtalii #Tanzania #AfyaTalk2020-12-0212 minAfya TalkAfya TalkAfya Talk: Siku ya UKIMWI Duniani 2020Kipindi Maalumu kifupi kuhusu Ugonjwa wa UKIMWI! SIkiliza ujifunze haya machache. Hakikisha unapima Afya yako sasa! Vijana Tujilinde, UKIMWI UPO - Usichukulie Poa.2020-12-0111 minAfya TalkAfya TalkAfya Talk EP04: Shinikizo la Damu ‘Recap’Sehemu ya leo ni majumuisho kwa ufupi kuhusu shinikizo la damu tukiangazia maana, upimajia, dalili, hatari na namna ya kujilinda. Asante tuendelee kushirikisha kuhusu Afya Talk.2020-12-0113 minAfya TalkAfya TalkAfya Talk EP03: Shinikizo la Damu IIILeo tunaangazia madhara ya Shinikizo la Damu pamoja na Njia za kufanya kujilinda na Shinikizo la Damu.2020-11-3012 minAfya TalkAfya TalkAfya Talk EP02: Shinikizo La Damu IIBaada ya kuzungumza kuhusu nini maana ya Shinikizo la Damu na Dalili zake, Karibu sehemu ya pili ujifunze kuhusu vyanzo, namna ya kugundulika na usomaji awali wa kipimo cha msukumo wa Damu.2020-11-2814 minAfya TalkAfya TalkAfya Talk EP 01: Shinikizo La Damu IKaribu sehemu ya kwanza ya Afya Talk inayooanza na mada ya Shinikizo la Damu. Leo tumetazama ni nini maana ya Shinikizo la Damu na Dalili zake ni zipi!2020-11-2610 minAfya TalkAfya TalkAfya Talk (Trailer)2020-11-2400 min