podcast
details
.com
Print
Share
Look for any podcast host, guest or anyone
Search
Showing episodes and shows of
Elimu Podcast
Shows
Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Je Unataka Kuwekeza Katika Hisa? Pata Elimu Ya Hisa Hapa-Part 01
Je wewe ni mwanahisa na una hisa zozote unamiliki katika soko la DSE?Kama jibu lako ni hapana.Basi…Ndio muda sahihi wa kuanza kuwekeza katika hisa ili ufaidikie na faida kubwa mbili;1. Ongezeko la mtaji (Capital gain).2. kupata gawio (Divindend).Lakini…Kabla ya kutaka kuwekeza katika hisa hakikisha unakuwa na maarifa sahihi kuhusu hisa ili usije ukapigwa za uso.Ba...
2025-04-14
08 min
Inside Syracuse Basketball
Catching up with walk on fan favorite Elimu Nelson
Mike Waters welcomes Elimu Nelson to the podcast to relive walking onto the Orange, finally getting a scholarship senior year, and his acting career after Syracuse. Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices
2024-09-23
36 min
Kujua Podcast
Podcast Episode 11: VITU SABA AMBAYO NI MACHUKIZO KWA BWANA: #1 IMEANDIKWA NA MARY SMITH
Soma Mithali 6:16-19 Kuna vitu sita anavyovichukia Bwana; Naam, viko saba vilivyo chukizo kwake. Macho ya kiburi, ulimi wa uongo, Na mikono imwagayo damu isiyo na hatia; Moyouwazao mawazo mabaya; Miguu iliyo myepesi kukimbilia maovu; Shahidi wa uongo asemaye o n g o ; Naye apandaye mbegu za fitina kati ya ndugu.Tunasoma katika sehemu hii ya Mithali, kuhusu vitu vilivyo chukizo kwake Mungu. Katika kitabu cha Mithali tunajifunza kuhusu Baba ambaye anamshauri mwanawe. Kutoka katika mlango wa kwanza tunakuta maneno "mwanangu" na "sikiliza". Akina Baba na Mama wote wanataka watoto wao kufaulu, na kusikiliza...
2024-09-02
09 min
EL Mundo Podcast NL
Aflevering 16 Suikertantefonds
We spraken met Cathelijn Bogaers van het bestuur van het Suikertantefonds. Nadat tante Pollewop en pre loved bruidsjurken winkel Uitliefde lange tijd alle opbrengsten inzetten voor onderwijsprojecten in Kenia (via stichting Elimu) starte in 2018 de volgende stap: het Suikertantefonds! Omdat de projecten in Kenia al geslaagd en overgedragen waren (hoe cool is dat!) kwamen er mogelijkheden om ook aanvragen te honoreren voor andere besteding, o.a. uit de regio. Cathelijn doet het verhaal uit de doeken
2024-03-28
22 min
The Academy Podcast with Kamil Shah
MO06 : Your Power For Change By Re-Connecting With Your Authenticity with Cindy Rodriguez
TAP MOMENT 06 with Cindy Rodriguez In this Special MOMENT on The Academy Podcast, Cindy Rodriguez shares her story of the innate power that resides within all of us for positive change when we re-connect with our authentic selves. Cindy is the founder of Elimu Girls, established in 2013 to equip girls with the skills to transform the outcomes of their lives. She’s a former teacher and administrator with an MA in Curriculum & Instruction and an MA in Education Leadership. Her passion for human rights, gender equality, and access to education led her to start this gr...
2024-02-04
11 min
LOVE UNTOLD PODCAST
SHUKRANI YA PUNDA MATEKE
Ibada ya Tarehe 21/1/2024 Sermon Summary Mch: Ephraim Mbila. 1Samweli 25 Habari ya Nabali. Somo: Shukurani ya Punda ni Mateke. Nabali alikua ana mifugo yapatayo 4,000 na wachungaji. Daudi alipokua eneo alilokua akifanya machungi aliweza pia kufanyika ulinzi wa mifugo yake pamoja na wachungaji wa mifugo yake. Maana ya jina Nabali - mtu Mpumbavu “a Fool”. Ijapokua alikua na mali nyingi lakini alikua mtu muovu,aliyekosa adabu. Ijapokua ni mtu mpumbavu na muovu Alipata mke mzuri Abigail -maana ya jina lake “furaha ya baba yake.” Abigail aliutambua udhaifu wa mume wake na kwa hekima aliufunika. Katika habari iliyo katika kitabu hiki, Inafika kipindi cha Mavu...
2024-01-21
17 min
Michongo podcast
Elimu ya fedha/Personal finance.
Karibu michongo podcast, sehemu yetu ya kwanza inazungumzia elimu ya fedha kabla ya kuingia katika Uwekezaji, ni muhimu kujua elimu ya fedha tupo na mtaalamu ambaye ni Edmund Munyagi personal finance coach akitufahamisha kuhusiana na elimu ya fedha binafsi yani personal finance. Tembelea tovuti yetu www.michongopodcast.com kwa taarifa zaidi unaweza kusubcribe kupata maudhui zaidi kupitia link hapo chini unaweza kutusurport kupitia Voda lipa namba 5859111
2023-09-30
54 min
Queen Gee Podcast
Fanya Haya Kama Una Kipato Kidogo Ili Uwe Na Mstakabali Mzuri Kifedha
Karibu Kwenye Episode Nyingine Ya The Wealth Building Podcast, Elimu Hii Waliyosahau Kukufundisha Shule, Share Na Wengine Tujifunze Pamoja.XOXO,The Wealth Building Coach
2023-09-19
08 min
BLUE RADIO PODCAST
ELIMU CARE CEO FARIDAH SAYS '' PASSION AND HARDWORK OPEN DOORS ''
She draws inspiration from her past ,the fuel that lights up Elimu care an organization that is changing lives of girls and women in her community through education .
2023-09-07
1h 03
Shakilah's Tales
Hali ya elimu baada ya karo ya vyuo vikuu kuongezwa.
Kipindi hiki kinazungumzia jinsi kuongezwa kwa karo ya vyuo vikuu itakuwa tatizo kwa wazazi kulingana na gharama ya maisha kwa sasa. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/shakilah-ochara/message Support this podcast: https://podcasters.spotify.com/pod/show/shakilah-ochara/support
2023-08-21
19 min
say YES to yourself!
Saying Yes To Sisterhood
This episode is a conversation with Wendy, Kristi Nellor, fellow Elimu Board Member and Cindy Rodriguez, founder of Elimu Girls. They got together to recap their visit to Kenya and what they learned from their trip and what they envision is next for themselves and Elimu Girls.Tune in to hear this captivating conversation of what they individually and collectively experienced on their trip to Africa to spend time with Elimu Girls and plan what is next in making an impact. Please check out the links below to be part of making an i...
2023-06-12
1h 03
say YES to yourself!
A YES to Taking Massive Action Because You Can't Unsee What You've Seen: A Conversation With The Founder of Elimu Girls
This episode is a conversation Wendy had with Cindy Rodriguez, founder of Elimu Girls about three years ago recapping her first trip to Kenya and her "Why" to starting Elimu Girls.Tune in to hear this captivating story of this amazing woman who took massive action and has made an incredible impact in the world. You'll want to make sure you have a box of tissues handy for this episode. Please check out the links below to be part of making an impact for the girls.About Elimu Girls:E...
2023-06-03
38 min
say YES to yourself!
The Behind The Scenes Episode With Elimu Girls - What It Really Takes To Say YES To Yourself
This episode is like no other on the Say YES to yourself! podcast.Wendy hosts, Cindy Rodriguez, founder of Elimu Girls and Kristi Nellor, fellow Elimu Girl board member where they share their behind the scenes challenges as they collectively and individually prepare for their trip to Kenya.Tune in to hear the captivating stories of these extraordinary women, as they openly discuss the obstacles they've faced. Prepare to be inspired as they shed light on the profound significance of authentic friendships and unwavering support that enable them to navigate the exhilarating highs and challenging...
2023-05-26
1h 00
say YES to yourself!
Cindy Rodriguez Saying YES To Giving and Receiving
This week on the say YES to yourself! podcast Wendy hosts Cindy Rodriguez, Founder Elimu Girls.Cindy and Wendy talk about finding your voice, being consistent through challenges and saying YES to yourself, creating a positive ripple effect in our collective communities. Listen in as Cindy and Wendy share what it means to create a life of saying Yes to yourself and what Cindy's tennis lessons have taught her.Get to know Cindy:Cindy is the founder of Elimu Girls. She is a se...
2023-02-08
51 min
Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Tabia Tano (05) Za Kuepuka Ili Utimize Malengo Yako.
Tabia Ina nafasi ya moja kwa moja ya wewe kutimiza au kutotimiza malengo yako, kwa bahati mbaya watu wengi wanachukulia poa sana suala la tabia. Ukitazama elimu kuhusu tabia gani zinaleta mafanikio na kutimiza malengo yako kwa kishindo haitolewi kwa ukubwa zaidi katika mazingira ambayo tupo. Unauliza “Innocent” ni kwa namna gani? Swali zuri Mtaalamu. Ni hivi.... Kuna tabia ambazo zilifanya utimize malengo yako ya mwaka 2022? Kuna tabia ambazo zilifanya ushindwe kutimiza malengo yako ya mwaka 2022? Vizuri, kwa kupata majibu na umeanza kuona tabia Ina nafasi kubwa ya kutimiza au kutotimiza malengo yako. Kwa mifano; Mfano wa kwanza. Je mtu ataw...
2023-01-16
19 min
Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Jinsi Kanuni Ya 3K’s Inavyojenga Hatima Ya Maisha Yako.
Watu ni hodari wa kupanga mipango kikubwa si ndiyo? Watu ni hodari sana wa kupanga malengo makubwa si ndiyo? Una Kumbuka hata siku ya mwaka mpya ulipanga malengo makubwa na kusema huu ni mwaka wako si ndiyo? Lakini... Watu wengi licha ya kujua kupanga, wanashindwa sehemu mbili ambazo ni; 1. Kuamua/kuthubutu. 2. Kutenda. Hebu fikiria ukiamua kupambania mipango na malengo yako utakuwa wapi? Haitoshi si ndiyo... Ni lazima utende kwa maana kuchukua hatua (To take take actions) baada ya kuamua kupambania malengo yako si ndiyo? Kwahiyo.... Leo utaenda kujua kanuni ya 3K’s ambayo itaenda kubadili hatima yako na kuwa mtu mw...
2023-01-09
13 min
say YES to yourself!
Saying YES to Being Brave
This week on the say YES to yourself! podcast, I've called in my Queens to hold space for me as I share the most vulnerable episode yet. I'm a firm believer in curating the community we desire and today you'll hear from an amazing group of female entrepreneurs that have been meeting with me weekly on zoom for the past 2 years. We are committed to each other's up level, we are committed to each other's success, and we are committed to supporting each other through the ups and downs of life. Whether business, relationships, parenting, or hair product suggestions...
2022-12-21
1h 06
Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Maeneo Matano (06) Ya Kuzingatia Ili Ujitambue Kwa Kiwango Cha Juu Kwenye Maisha Yako.
Kujitambua ni nini? Kujitambua, ni uwezo wa kujifahamu/kujijua wewe ni nani unapaswa kufanya nini na kwa wakati gani. Usipojitambua wewe ni nani tambua watu ambao wamejitambua kukutumia wewe kutimiza malengo yao, ndoto zao pamoja na maono yao. Kwahiyo... Kujitambua ni wajibu wako wa asilimia 100% siyo kujitambua tu badala yake kujitambua kwa kiwango cha juu. Dhana potofu kudhani kujitambua ni kuwa na umri mkubwa, cheo kikubwa, nyazifa fulani, kiwango cha elimu n.k hii siyo ishara kuwa unajitambua kwa kiwango cha juu. “Usipogundua kusudi lako, bado hujaanza kuishi maisha ambayo unapaswa kuishi hapa duniani”- Lolo_facts. Swali ya kujiuliza.... 1. Unaj...
2022-12-21
18 min
Salama Na
SE7EP22 - SALAMA NA ANNA TIBAIJUKA | LA PROFESSEUR
Nilipoandikiwa ujumbe mfupi na Edwin Bruno ambaye ni mkwe wa Professor kwamba Mama amekubalia kufanya kipindi na sisi siku hiyo ya Jumapili akishatoka church nilihisi kama naota. Mwenyezi Mungu anajua kwa kiasi gani tumekua tukitaka kufanya maongezi nae kwenye kipindi chetu. U busy wake na pengine mara nyingi kutokuwepo Dar es Salaam napo palikua panaleta ugumu, nyengine ilkua ni tarehe zetu za kufanya production na availability yake zilikua zinapishana sana. So unaweza ukaelewa excitement ambayo nilikua nayo baada ya finally samaki kujaa kwenye ndoana. Professor Anna Tibaijuka ni LEGEND miongoni ma magwiji kwenye nchi hii kwa kazi...
2022-11-10
1h 01
The Insightful Podcast Show (TIPS)
Prelude: Know what this Podcast is about
Tupe maoni yako. Kila mtu huwa na ndoto za mafanikio tunachotofautiana ni njia, na ukubwa wa ndoto hizo. Wapo wenye ndoto za kuwa mabilionea, na pia wapo wenye ndoto za kuweza kupata mlo wa leo tu. Na tofauti hizo naimani husababishwa na makuzi ya nyumbani, marafiki tunaojizungunga nao Pamoja na fursa tunazozipata au kuzaliwa nazo. Mimi binafsi naamini vitu hivyo vitatu vinaenda sambamba kuijenga ‘mindset’ ya mtu. Nchi nyingi za Africa hali duni ya manyumbani hupelekea mtu kujifunga kifikra na hii husababishwa sana na ukosefu wa elimu Pamoja na utandawazi. Marafiki pia hujenga mindset ya mtu kwani ukij...
2022-10-03
03 min
Kisa Changu
Pesa za HELB ziliishia kampeni | Kisa Changu Podcast
Stephen Kwisis, mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Laikipia ana machungu baada ya kukosa kufaulu katika azma yake ya kuwa mbunge wakati wa uchaguzi mkuu wa Agosti 9, mwaka 2022. Kwisis mwenye umri wa miaka 24 anasema alitumia fedha za mkopo wa kufadhili elimu ya chuo kikuu, HELB kufanyia kampeni. Mwanasiasa huyo mchanga aliyekuwa akikabiliana na washindani 13 alipata kura 156 pekee. Amezungumza na Duncan Waswa kuhusu masaibu yanayomkumba katika masimulizi yafuatayo.
2022-09-24
06 min
One Step Within Podcast
investments-one step within podcast
kwenye hii podcast nimeweza kutoa elimu niliopata kuhusu investments(kuwekeza)kwenu ili kwa wale wasio na ufahamu juu ya kutumia pesa yao vizuri basi waweze kuifahamu na kuweza kufanya maamuzi yalio sahihi na pesa zenu.
2022-08-07
20 min
One Step Within Podcast
elimu-one step within podcast
pata kuweza kujua ipi ni elimu ya kujifunza na ipi itaweza kukufaa kwenye safari nzima ya maisha yako
2022-08-07
12 min
Economics Explored
Charter Cities: A Public-Private Partnership (PPP) model w/ Kurtis Lockhart - EP147
Kurtis Lockhart, Executive Director of the Charter Cities Institute, tells us about the benefits of charter cities - cities with their own rules or charter, independent of national or subnational governments. Kurtis argues the best way to implement charter cities is via public-private partnerships (PPPs). Learn about the fascinating work the Charter Cities Institute is involved in around the world with a view to stimulating economic development and lifting millions out of poverty. About this episode’s guest - Kurtis LockhartKurtis Lockhart is Executive Director & Head of Research at the Charter Cities Institute. Kurtis is a...
2022-07-08
58 min
Salama Na
SE7EP02 - Salama Na Engineer Hersi | A BREATH OF FRESH AIR
Kama kichwa cha habari kinavyosema, Engineer Hersi ndo chachu ya furaha kwa mashabiki wa moja ya timu kongwe kabisa ya Taifa hili, timu ya wananchi, timu yenye mataji mengi zaidi yaani mabingwa wa ki historia. Nikiwa kama shabiki wa Simba Sports Club basi sina la zaidi la kufanya ila kumpa mtani wangu Hongera ya kuongeza taji jengine kwenye historia yao na pia kumsifu round hii kwa kutuzuia kuchukua ubingwa kwa mara ya tano MFULULIZO.Engineer Hersi Ally Saidi aliingia pale kwa njia ya mdhamini (GSM) ila baada ya kuonekana kazi nzuri ambayo ameifanya kwa kipindi cha miaka miwili...
2022-06-23
1h 29
Queen Gee Podcast
Ishi Ndani Ya Uwezo Wako Kifedha (S03E11)
Tuendele pale tulipoishia episode iliyoita, huu ni mwendelezo wa elimu ya fedha.
2022-06-03
08 min
Paukwa Radio
'Standardization' na 'Moderation' zisitumike kuwabagua watahiniwa wa mwaka huu | Bakora la Paukwa
Matokeo ya KCPE 2020 yalizua utata huku Baraza la Kitaifa linalosimamia Mitihani, KNEC, likipata shinikizo kutoka kwa washikadau wa elimu ili kuweka ripoti ya Standardization na Moderation wazi kwa umma. Hii ilitokana na matokeo ya mwaka jana yaliyoonyesha kuwa wanafunzi wa shule za binafsi walizidiwa na wenzao wa umma kwa kiwango cha juu. Je, mtindo huu utarudiwa mwaka huu? --- This episode is sponsored by · Anchor: The easiest way to make a podcast. https://anchor.fm/app--- Send in a voice message: https://anchor.fm/otienomjomba/messageSupport this podcast: h...
2022-03-14
15 min
Paukwa Radio
'Standardization' na 'Moderation' zisitumike kuwabagua watahiniwa wa mwaka huu | Bakora la Paukwa
Matokeo ya KCPE 2020 yalizua utata huku Baraza la Kitaifa linalosimamia Mitihani, KNEC, likipata shinikizo kutoka kwa washikadau wa elimu ili kuweka ripoti ya Standardization na Moderation wazi kwa umma. Hii ilitokana na matokeo ya mwaka jana yaliyoonyesha kuwa wanafunzi wa shule za binafsi walizidiwa na wenzao wa umma kwa kiwango cha juu. Je, mtindo huu utarudiwa mwaka huu? --- This episode is sponsored by · Anchor: The easiest way to make a podcast. https://anchor.fm/app --- Send in a voice message: https://anchor.fm/paukwaradio/message Support this podcast: https://anchor.fm/paukwaradio/support
2022-03-14
15 min
Elimu
Elimu ya kiufundi Ukraine; fursa za ajira ni chache - Paul Kurgat
Paul Kurgat aliwahi kuwa Balozi wa Kenya nchini Ukraine na pia alisomea Ulaya, hasa Urusi. Kwenye Elimu Podcast, Balozi Kurgat anazungumza na Faith Kutere kuhusu elimu nchini humo na kulinganisha na mfumo wa elimu nchini Kenya. Pia anaeleza jinsi ambavyo vita kati ya Ukraine na Urusi vitakavyowaathiri wanafunzi wanaosomea huko.
2022-03-03
07 min
The Academy Podcast with Kamil Shah
EP08 : TAP with Cindy Rodriguez : An Individual's Immeasurable Power For Profound Impact
🎙"It took my black Kenyan sister to really open my eyes, because when I look at those girls, what I saw staring back at me was the little Mexican girl." Joining us in this special episode is Cindy Rodriguez who is the founder of Elimu Girls (a division of Elimu-USA), a 501(c)(3) established in 2013 to equip girls with the skills to transform the outcomes of their lives. She’s a former teacher and administrator with an MA in Curriculum & Instruction and an MA in Education Leadership. Her passion for human rights, gender equality, and access to ed...
2022-01-17
56 min
Elimu
Elimu Podcast; Baraza la Kiswahili; Prof. Kandagor Mosol-CHAKITA
Harakati za kuhakikisha kuwa Kenya inakuwa Baraza la Kiswahili zimeshika kasi. Wizara ya Michezo na Utamaduni imeandaa warsha (tarehe 11 na 12 Novemba, 2021) jijini Nairobi na kuwashirikisha waandishi, wahadhiri na wawakilishi wa vyama vya Kiswahili kikiwamo CHAKITA, ili kujadili suala hili. Sikiliza podcast hii ambapo Geoffrey Mung'ou anamhoji Profesa Kandagor Mosol, Mwenyekiti wa CHAKITA vilevile mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Moi.
2021-11-13
20 min
Sepetuko
Sepetuko Podcast; Suala la kisomo cha Oscar Sudi laibua maswali kadhaa!
Mbona mbunge wa Kapseret ameshinda uchaguzi wa eneo bunge kwa mihula miwili na hali kiwango chake cha masomo kinatiliwa shaka- amewezaje kuifanya kazi ya ubunge bila elimu ifaayo. Sudi ana kipi bora kinachowafanya wapiga kura wa Kapseret kumpenda?
2021-11-04
05 min
Paukwa Radio
Tatizo la Moto na Namna ya Kulizuia shuleni|Mjadala
Kwa kipindi cha hivi punde kumetokea kesi za moto katika shule za sekondari nchini. Je, ni nini kinachosababisha wanafunzi kupanga kuchoma au kuharibu vitu shuleni? Vincent Wesonga-Mzazi, Gilbert Omukuba-Msimamizi wa shule, Anduvate K.M Mwalimu mbobevu na mwanasiasa pamoja na Jasper Ondimu-Mtaalamu wa Elimu ,wanatoa michango yao. Sikiliza tuokoe jamii.--- This episode is sponsored by · Anchor: The easiest way to make a podcast. https://anchor.fm/app--- Send in a voice message: https://anchor.fm/otienomjomba/messageSupport this podcast: https://anchor.fm/otienomjomba/support
2021-11-01
1h 34
Paukwa Radio
Tatizo la Moto na Namna ya Kulizuia shuleni|Mjadala
Kwa kipindi cha hivi punde kumetokea kesi za moto katika shule za sekondari nchini. Je, ni nini kinachosababisha wanafunzi kupanga kuchoma au kuharibu vitu shuleni? Vincent Wesonga-Mzazi, Gilbert Omukuba-Msimamizi wa shule, Anduvate K.M Mwalimu mbobevu na mwanasiasa pamoja na Jasper Ondimu-Mtaalamu wa Elimu ,wanatoa michango yao. Sikiliza tuokoe jamii. --- This episode is sponsored by · Anchor: The easiest way to make a podcast. https://anchor.fm/app --- Send in a voice message: https://anchor.fm/paukwaradio/message Support this podcast: https://anchor.fm/paukwaradio/support
2021-11-01
1h 33
Paukwa Radio
Kesi za Moto, nani wa kulaumiwa? Monday, From 7PM.
Wataalamu watakuwepo kutoa michango yao. Atakuwepo Jasper Ondimu, Mtaalamu wa masuala ya Elimu, Okello Misori, SG, KUPPET, Sheila Mutegi, Director-Skyline School Muguga na Amos Kaburu-Programme Manager, PAL NETWORK. Tuma audio chat ili ziweze kusoma. --- Send in a voice message: https://anchor.fm/otienomjomba/messageSupport this podcast: https://anchor.fm/otienomjomba/support
2021-10-31
01 min
Paukwa Radio
Kesi za Moto, nani wa kulaumiwa?
Wataalamu watakuwepo kutoa michango yao. Atakuwepo Jasper Ondimu, Mtaalamu wa masuala ya Elimu, Okello Misori, SG, KUPPET, Sheila Mutegi, Director-Skyline School Muguga na Amos Kaburu-Programme Manager, PAL NETWORK. Tuma audio chat ili ziweze kusoma. --- This episode is sponsored by · Anchor: The easiest way to make a podcast. https://anchor.fm/app --- Send in a voice message: https://anchor.fm/paukwaradio/message Support this podcast: https://anchor.fm/paukwaradio/support
2021-10-31
01 min
Elimu
Elimu Podcast: Mafadhaiko miongoni mwa vijana
Mafadhaiko miongoni mwa vijana yameendelea kuwazonga na hata baadhi kukata tamaa maishani. Mwalimu Frank Otieno amezungumza kwa kina na washauri wa vijana: Evelyne Ogendo, Faith Mutendwa na Kelvin Ogada na kuangazia mbinu za kuwakwamua vijana kutokana na msongo wa mawazo nyumbani na hata shuleni.
2021-10-17
32 min
UndergroundRPG - hry na hrdiny
Velká Morava (Dračí Doupě 2): Episoda 3
V neklidném kraji Dolního kamene je těžké se zavděčit dobrým skutkem. Je to jako plivnout do ohně. Naši hrdinové ovšem dokázali nejenom zneškodnit loupeživou bandu cizáků, sužující pocestné a kupce, ale porazili i záludného krvesaje, který napadal vesničany. Smrtí upírky však příběh nekončí. Hrdinové se nyní obrací ke Včelímu hvozdu, odkud původce kletby, obří netopýr, podle svědků vyletěl. Co vůbec pohledává upír v hlubinách pralesa? Najdou tam dobrodruzi jeho doupě, nebo vlastní zkázu? KDE NÁS NAJDET...
2021-10-13
2h 16
Elimu
Elimu Podcast: TPD-Sh.6,000 kila mwaka; walimu waisuta TSC
Tume ya Huduma kwa Walimu, TSC imetoa mwelekeo wa lazima kwa walimu wote kujiendeleza kitaaluma kupitia mpango uitwao Teacher Professional Development (TPD) utakaomgharimu kila mwalimu ada ya Sh.6,000/- kila mwaka. Mwalimu Frank Otieno anazungumza na Mwalimu Benitez Osukuku kuhusu suala hili.
2021-10-03
28 min
America Swahili News Podcast
Godless Lema | Tanzania na Elimu Ya Juu
Alikuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Tanzania, Godless Lema anayeishi Toronto, Canada ameongelea umuhimu wa Elimu ya Juu Tanzania na Wafanya Biashara Wadogo Wadogo wajulikanao kama Machinga. --- This episode is sponsored by · Anchor: The easiest way to make a podcast. https://anchor.fm/appSupport this podcast: https://anchor.fm/patrick-nhigula/support
2021-10-02
31 min
Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Jitambue Wewe Ni Nani?
Elimu ya kujitambua haifundishwi shuleni na vyuo vikuu na kupeleka watu wengi kujitambua kwa kiwango kidogo, ili uishi Maisha yenye furaha msingi wa kwanza ni kujitambua wewe ni nani kwa maana hiyo episode hii inakupa uwezo wa kujitambua kwa kiwango cha juu baada ya kusikiliza mpaka mwisho episode hii...! Usisahau ku subscribe kwenye Apple Podcast pia niandike maoni yako muhimu sana ✍🏾. Kauli Mbiu: “ Maisha Ni Kuthubutu”
2021-10-02
17 min
Elimu
Elimu Podcast: Wanafunzi Wenye Mahitaji Spesheli
Kenya inapochangamkia Mtalaa wa Umilisi (CBC), mwanafunzi mwenye mahitaji spesheli anashughulikiwaje?Mwalimu Frank Otieno amezumgumza na Daktari Festo Ndonye, ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Moi, Idara ya Elimu Spesheli na Eva Nabutuni, mwandishi wa kitabu cha kufunza walimu na wazazi kuhusu elimu ya wenye mahitaji spesheli.
2021-09-26
32 min
Sepetuko
Sepetuko Podcast; Kuelimika ni kutohusika ufisadi na wizi
Kuhusika ufisadi ni kutoelimika. Elimu ya vyuoni yafaa ifunze Filosofia. Filosofia hufunza maadili; nidhamu, tabia na mienendo. Anayedai kuwa na elimu ya chuo kikuu lakini anahusika ufisadi hajaelimika!
2021-09-20
05 min
Elimu
Elimu Podcast: CBC Yawatatiza Wazazi na Walimu; Washikadau Wazungumza
Suala la Mtalaa wa Umilisi, CBC limezua mihemko nchini miongoni mwa wazazi, walezi, walimu na wanafunzi. Kwenye mazungumzo ya Elimu Podcast na Mwalimu Frank Otieno, tunakuletea kauli za Daktari Emmanuel Manyasa - Mtafiti wa Elimu, Daktari Janet Mangera wa FAWE-K na Serah Kimani - Mwalimu Mkuu Shule ya Demacrest. Haya yanajiri wakati wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Uwezo wa Kusoma na Kuandika, International Literacy Day. Makinika...
2021-09-12
31 min
Sepetuko
Sepetuko Podcast; Kuwashirikisha wazazi kwenye masomo ya wanao hufanywa tofauti
Tangu elimu iliyoletwa na wakoloni kuanzishwa barani Afrika, mzazi ameshiriki kwa njia ya ushauri na ufadhili sio kushirikiana na mwanawe kufanya mitihani jioni.
2021-09-09
05 min
Siasa na Gumzo
Gumzo la Wiki Podcast; Usalama wa Ruto - Wakenya wazungumza
Suala la usalama wa Naibu wa Rais, William Ruto limezua mjadala mkali wiki hii na hata kugeuka kuwa mazungumzo ya kulinganisha mali anayomiliki Ruto dhidi ya viongozi wengine. Aidha, maswali mengi yameibuliwa kufuatia jinsi Waziri wa Usalama, Dkt. Fred Matiang'i alivyotumia vikao vya bunge kutangaza mali ya Ruto hasa inayolindwa na maafisa wa usalama. Je, unadhani hatua hiyo imemmaliza au ndiyo imemjenga Ruto kisiasa? Vilevile siasa za Mlima Kenya zinazidi kushika kasi huku baadhi ya viongozi wakisema Raila anatosha licha ya kufikirika kuachwa na Uhuru kujitafutia kura mlimani. Si hayo tu, Waziri wa Elimu Prof. Geoge Magoha anasema mzazi ambaye...
2021-09-08
12 min
Elimu
Elimu Podcast: CBC Yawapa Taabu Wazazi, Walimu na Wanafunzi
Malalamishi kuhusu Mtalaa wa Umilisi, CBC yanazidi kuongezeka. Wazazi wanalalamikia gharama ya juu ya vifaa vya masomo vilevile kulalamikia suala la kutumia muda mwingi kuwasaidia wanao kufanya mazoezi waliyopewa shuleni. Baadhi yao wanapendekeza kusitishwa kwa mtalaa huo na kurejelewa kwa ule wa 8.4.4. Walimu nao wanalalama kwamba hawakupewa mafunzo yafaayo kuhusu CBC mbali na kuhitajika kufanya kazi za ziada. Wanafunzi pia wanalazimika kubeba vitabu vingi mno na kuhangaika kutafuta vifaa vinavyohitajika shuleni. Shadrack Miti amezungumza na pande zote zinazohusika. Sikiliza podcast hii kwa kina chake.
2021-09-07
21 min
Elimu
ELIMU PODCAST; Mzigo wa karo na vitabu; wazazi wanalia
Wazazi nchini Kenya wamepaza sauti kulalamikia hatua ya Wizara ya Elimu kuwapa muda mfupi mno kujitayarisha ili kuwarejesha wanafunzi shuleni kwa muhula wa kwanza ulioanza tarehe 26, Julai, 2021. Wanafunzi takribani 15,000 wamerejea shuleni baada ya likizo ya wiki moja tu suala ambalo limewafanya wazazi kutatizika kutafuta karo na fedha za kununulia vifaa vingine kama vile vitabu. Baadhi ya wazazi walio na watoto zaidi ya mmoja, wamewarai walimu kutowarejesha wanao nyumbani kwa kutokamilisha karo wakiomba kupewa muda zaidi kujiandaa. Wengine nao wanalalamikia hatua ya baadhi ya walimu wakuu kuongeza karo kinyume na mwongozo wa Wizara ya Elimu. Aidha, wameshangaa kupokezwa orodha ndefu ya...
2021-07-31
08 min
WHERE’S THE FUNDING?
With Limited Funding This Young Kenyan Launched an Ed-tech Startup that is Transforming Kenyan Education with Kiko Muuo S2 Ep.14
Kiko founded Angaza Elimu as an inspiration on his personal education journey. Having gone through the same education system he has a clear understanding of the first-hand challenges that exist for young Kenyans and he is committed to addressing the challenges by implementing innovative ways of learning and teachingKey interview highlights: Ed-tech only received 4.3% of the $305 million in investor funding that went to Kenya last year mostly to fintech, e-commerce, and health-tech. COVID and the demand for online learning platforms caused an increase in demand but also an increase in cost to service...
2021-07-30
29 min
Wonder Boldly
A Story Of Absolute Perseverance In The Face of Extreme Challenges
By clicking here you can anonymously (except for the last 4 digits of your number) let me know what you think about my podcast and what you’d like to hear about on an upcoming episode of Wonder Boldly. Thank you so much!Oh My Gosh - I'm Speechless!!This podcast is all about taking massive action on the things and areas where you want to make a difference.This episode is going to leave you so inspired to continue on your path to make an impact and may even call to you to ma...
2021-06-29
49 min
Elimu
ELIMU PODCAST: Usalama wa mtoto wa kike - kwenda na kutoka shuleni
Visa vya wanafunzi kudhulumiwa wanapokwenda au kutoka shuleni vinazidi kuongezeka. Baadhi wanatekwa nyara, kubakwa au kuuliwa. Je, unamwamini anayemsafirisha mtoto wako? Jamii na washikadau wote wamewajibika vya kutosha ili kukabili visa hivi? Kipi kifanywe ili kuwahakikishia watoto wa kike usalama wanapokwenda au kutoka shuleni? Mwanahabari wetu, Frank Otieno amezungumza na Teresia Otieno wa Forum for African Women Educationalists, FAWE na Dr. Susan Chang'orok Chemtai ambaye ni Mwanasosholojia kuhusu masuala haya.
2021-06-13
16 min
OFF THE HOOK WITH AJAY
Elimu Nelson (S1-Ep.5)
Actor Elimu Nelson Joins The Show To Take Us Thru His Acting Career And Playing College Basketball Also Talks Boxing And Whats Coming Up In His Career ENJOY! @offthehookwithajay @ajay_media_ @elimu11
2021-06-07
50 min
The Arctivate
DHULUMA ZA KIJINSIA
Ukatili wa kijinsia, ni unyanyasaji ambao huelekezwa kwa mtu mmoja kulingana na jinsia yake ya kibaolojia AU utambulisho wa jinsia. Inajumuisha unyanyasaji wa mwili, kijinsia, matusi, kihemko, kisaikolojia, vitisho, kulazimishwa, na kunyimwa uchumi au elimu, dhuluma hii, iwe hutokea katika maisha ya umma au ya kibinafsi. Watu wengi kwa kuogopa kubaguliwa, wanaepuka kuripoti hili jinamizi. Jiunge nami katika mazungumzo ya leo na Bramwel Wabwire almarufu kama Kaka Bramsey, Bramwel alikuwa mkurugenzi wa zamani wa masomo wa baraza la wanafunzi wa chuo kikuu cha karatina. Alipata kesi kadhaa za udhalilishaji wa kijinsia zilizowekwa kwenye dawati lake, katika majadiliano, anafunua...
2021-04-30
15 min
gguttalks
How to Tackle the Education Challenge in Kenya and Africa | EP14.S1
Nivi Sharma is the COO of BRCK and a co-founder of eLimu that was later acquired, the first company to digitize the Kenyan Primary School curriculum for revision and literacy. She spent the last 7 years or so of her career to developing EdTech solutions in emerging markets, specifically Kenya, Africa and reaching emerging markets in Latin America. Through her work which is quite on site, immersed in the realities as well, since the work is mainly in remote areas, Nivi aims to give access to the internet to 800 million Africans who currently don't have access, primarily for children education but...
2021-04-06
32 min
Salama Na
Ep. 52 - Salama Na HAJI | ALIYE KUTWIKA NDIYE ATAKAYEKUTUA
Haji Sunday Manara nlitaka kusema ni rafiki YANGU ila vacati navaza hilo nikakumbuka mmh, Haji Sunday Manara ni rafiki wa WATU WENGI hususan mashabiki wa klabu wangu pendwa na zaidi kwa watu ambao hawapendi hata mpira ila wanampenda tu jinsi anavyoseti mambo yake na anavyoigeuza sehemu yoyote aendayo kama sehemu yake ya kujitamba na kujitutumua na tofauti yake na WACHACHE ambao wanafanya kazi kama yake ni kwamba yeye anaweza KUYATEMBEA yale anayo YAONGEA. Mapenzi yangu kwake ni ya first class na namini hata yeye analifahamu hilo, huwa namtazama kwa kuvutiwa hasa kwababu ya anavyojibeba na kukiaminisha kile...
2021-02-04
1h 23
Salama Na
Ep. 48 - Salama Na JK | MSOGA UNO
Muda si mrefu iliopita nilirudi nyuma kidogo kwenye kumbukumbu ya mawasiliano ya kwanza kabisa kati yangu na moja wa wasaidizi wake Mheshimiwa Jakaya Mrisho wa Kikwete na hiyo ilinirudisha nyuma mpaka mwezi wa tatu mwaka 2020. Kama mtu mwengine yoyote hii ilikua ndoto tu ambayo kwa Rehema na Baraka za Allah ilibidi itimie. Kwa Baraka zake hizo mimi na wenzangu tunashkuru sana sana kwa kuweza kulikamilisha hili. Shukran za dhati ziende kwa Doris Mollel ambaye kwa msaada wa Sadam ‘Almando’ Sanare alinimbia Doris anaweza akatu unganisha na mmoja wa wasaidizi wake ili tuweze kuona kama tunaweza pata hii nafa...
2021-01-07
1h 01
Cutting Chai Stories: Write copy that feels good
Season 2 Episode 4: Finding Inspiration in Art
Welcome back to Cutting Chai Stories with Jayati Vora. In this episode, I speak with multidisciplinary artist Racquel Keller, who participated in my monthlong writing #onestoryaday writing challenge in July in the Cutting Chai Stories Facebook group. Except, instead of responding to my writing prompts, she chose to write a poem a day that was inspired by a color. She also overlaid the words on a carefully chosen image, and helped us interpret the poem through her artist's eye. She reads one of her poems from that challenge, Rose Madder. Racquel talks about her art being inspired b...
2020-11-12
12 min
Newz Podcast
Is There A Kenyan Sound
In this episode we dive in to whether Kenya has its own music sound. The history of Kenyan music is explained right from the 1960s with the emergence of Benga from artists such as Daudi Kabaka and John Nzenze. The emergence of drill sound i and of course Jovie Jovv's new album Don Wa Madon is definetly mentioned with hits such as "Turudi Streets" a collabo between Jovie Jovv and Wakadinali (Scar Mkadinali and Domani Munga) Tracks in this episode1.Kasyoki Wa Mitumba - Serro2.Msichana Wa Elimu - Daudi Kabaka3. Pe...
2020-11-06
26 min
Men The Podcast
Ep - 24 - Becoming Your Own Man
Hebu fikiria, mzazi wako anakupeleka shule binfasi, tena ya gharama kweli kweli kwa ajili ya elimu yako ya msingi. Unafanya vizuri, unachaguliwa kwenda shule ya Sekondari halafu ghafla baba anarudi nyumbani na kukwambia “Unajua kusoma na kuandika, inatosha. Silipii gharama yeyote ya wewe kuendelea na shule. Computer hii hapa, internet hii hapa, fanya unachoweza”Hivi ndivyo ilivyokua kwa Mike Mushi, mmoja wa waanzilishi wa mtandao maarufu wa “Jamii Forum”. Msikilize wiki hii kwenye Men, Men, Men – The Podcast
2020-10-23
1h 12
Men The Podcast
Ep - 24 - Becoming Your Own Man
Hebu fikiria, mzazi wako anakupeleka shule binfasi, tena ya gharama kweli kweli kwa ajili ya elimu yako ya msingi. Unafanya vizuri, unachaguliwa kwenda shule ya Sekondari halafu ghafla baba anarudi nyumbani na kukwambia “Unajua kusoma na kuandika, inatosha. Silipii gharama yeyote ya wewe kuendelea na shule. Computer hii hapa, internet hii hapa, fanya unachoweza” Hivi ndivyo ilivyokua kwa Mike Mushi, mmoja wa waanzilishi wa mtandao maarufu wa “Jamii Forum”. Msikilize wiki hii kwenye Men, Men, Men – The Podcast
2020-10-23
1h 12
Salama Na
Ep. 38 - Salama Na CHARLES HILLARY | MZEE WA BUSARA
Ilinichukua muda mrefu kuweza kupata nafasi ya kuongea uso kwa macho na Charles Hillary, maana toka enzi za Mkasi nilikua natafuta mwanya wa kuweza kukaa nae chini walau kwa hata nusu saa tu. Sikuwahi kukata tamaa badala yake nilikua kama chui kwenye mawindo yake, na mwisho wa siku kwa uwezo wa Mungu, binti yake Faith, Ivona Kamuntu na Mama kule nyumbani waliniwezesha kushinda mechi hii hatimaye. Mungu anajua tabasamu lilikua la ukubwa wa kiasi gani, na pengine hilo linaweza likawa limefanya niwe excited sana mpaka mengine nikayasahau kuyauliza, au kujua naulizaje, au kushangaa sana? Ushawahi kukutana na mtu alafu...
2020-10-15
00 min
Salama Na
Ep. 34 - Salama Na DOGO JANJA | YENTE
Nakumbuka mara ya kwanza kukutana na Dongo Janja enzi hizo akiwa mtoto kabisa na hata kwenye viduara vyetu alikua anakaa mbali maana havikua vinamhusu. Kukua kwake kwenye macho yetu wakati mwengine inatufanya tuwe tunadhani kama tunamfahamu sana au tuna haki sana ya kujua kila kitu kwenye maisha yake na kumhukumu kwa maamuzi mengine ambayo sisi kama sisi hatujayapenda, tunasahau kama hayo ni maisha yake na ana haki ya kujifunza kwa kukosea na kukaa sawa kama ambavyo yuko sasa. Jina la serikali ni Abdulaziz Abubakar Chende aka JANJARO, sio DOGO JANJA tena, sasa ana miaka 25. Unakumbuka mara ya...
2020-09-17
48 min
Salama Na
Ep. 33 - Salama Na SPESHOZ | BOBBIN
Jeffrey Jessey Mmbungu ni kijana wa ki Tanzania ambaye aliangaliaaa wapi pa kupata rizki ili mambo yake yamuendee kama anavyopenda na akafanikiwa kwa asilimia nyingi sana huku akipata pointi nyingi za kujiamini na kuthubutu kutoka kwangu. Ni rafiki yangu kwa miaka zaidi ya minne sasa, tunagombana tunapatana, kisha tunagombana tena alafu tunapatana, kisha tunagombana kwasababu ya Manchester United alafu tunapatana tena kabla hatujagombana tena kwasababu ya suit yangu kutotobolewa mashimo ya vifungo vya pembeni ya suruali yangu, au pengine kwasababu nlikua nataka kumpiga kirungu akachomoa, au pengine simu yake haipatikani kiiiila wakati wakati yeye ni mtu ambaye hatakiwi simu...
2020-09-10
1h 23
Salama Na
Ep. 32 - Salama Na Riyama | UTAKWENDA UTARUDI
Riyama Seleman Ally, malkia wa kazi aifanyayo na kila alitilialo msisitizo hulifanya kwa asilimia 100, hata kama akichelewa kama pengine alivyochelewa kupata heshima yake na malipo yake anayostahili, kama ambavyo anapata sasa au ambayo anapata maana safari bado ni ndefu. Na kwa mazungumzo haya nilofanya naye huo ndo muelekeo na ndo nia na madhumuni. Sote tunajua PENYE NIA PANA NJIA, so kazi ni kwetu. Mzaliwa wa Unguja Tanzania, kakua katika familia ya kidini na malezi bora ila kwa mujibu wa maongezi yetu haya yeye alipenda zaidi kuwa muimbaji, kitu ambacho Mwenyezi Mungu mtoa vipaji hakumjaalia kipaji hicho...
2020-09-03
1h 15
Simply Me Podcast
Road to Millionaire!
Tunaweza kuwasikia wajasiriamali wadogo, wenye hari na nguvu yakusaka dolari (pesa)bila kukata tamaa pamoja na changamoto zote wanazopitia. Wametupa elimu na maarifa wanayotumia kundeleza biashara zao kwa muda sasa. Pia utasikia sababu mbalimbali zinazowapa kusonga mbele na mbele zaidi katika kusimamisha na kuimarisha biashara zao kikamilifu. Wakisisitiza vijana tuwe na Subira kwani Subira yavuta Kheri. Asante sana mwana Paza sauti. Hizi ni kurasa zao za Instagram, tafadhali wafollow kuwaunga mkono na kujifunza kwa wewe unayependa ujasiriamali na bado unajishauri kuanza na pia wewe ulikata tamaa yakuanza kabisa Inawezekana! https://www.instagram.com/shaynayscollection/ @shaynayscollection https...
2020-08-31
19 min
Salama Na
Ep. 31 - Salama Na GOODLUCK | WASTAHILI SIFA
Sifa za Bwana inabidi zisemwe kwa zawadi hii alotupa sisi wanadamu, tunamshkuru sana kwa kipaji cha Goodluck Gosbert na tunamshkuru pia kwa kumfanya ni wa kwetu, kutoka nchini kwetu, kwamba ni mwenzetu. Kwa kweli binafsi nimependa sana na najivunia yeye. Utamu wa sauti yake nadhani cha kwanza wengi tulikipenda sana, baada ya kumsikia tu, kama ilivyokua mara ya kwanza anataka kujifunza kupiga gitaa akaenda kanisani, na akaskika akiimba na wana kwaya wa kanisa hilo na wakampenda toka siku hiyo mpaka leo, ndo ilivyokua kwetu pia naamini. Kipaji chake cha pili ni utajiri wa mashairi, kipaji kikubwa cha...
2020-08-27
1h 04
Salama Na
Ep. 27 - Salama Na SEBA | MKURUGENZI
Sebastian Bigacho Ndege, jina kubwa nchini kwetu na anajulikana na watu wa aina tofauti tofauti, hiyo ndo tofauti yake yeye na ‘celebrities’ wengine. Ukiachana na kwamba ni Daktari hodari tu na mtangazaji wa radio mahiri kabisa ambale alijenga historia miaka ya nyuma kwa kuwafanya watu wawe huru kuongelea juu ya suala la maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi, Seba (hivyo ndo anavyofahamika zaidi au Dr Seba au hata Jembe ni Jembe) aliweza kuwafanya watu wawe huru kuongelea pia masuala ya magonjwa ya zinaa na unyanyasaji wa kijinsia kwenye kipindi chake cha NJIA PANDA. Kutumia kipindi hiki, aliweza pia kubadilisha mais...
2020-07-30
1h 19
Salama Na
Ep. 23 - Salama Na Nizar | RAHA LEO KUCHELE
Wakati Vancouver White Caps wanamtaka Nizar Khalfan baada ya kumuona akiwa anakipiga hapa nyumbani wakati yuko na timu ya Taifa ya Tanzania haikua habari au jambo la kushangaza miungoni mwa wachezaji na walokua wakimuona na kumfahamu mchezaji huyo vizuri. Kila mtu kati ya hao alikua akiomba ki vyake kijana huyu kutoka Kusini mwa Tanzania apate nafasi ya kwenda kuwakilisha Taifa na kuendeleza kipaji chake maridhawa kabisa. Nizar ametokea Mtwara na kwenye familia yake kwa mujibu wa maongezi yetu Mzee wake alikua akiupiga ingawa si mwingi kama wa Master Chef Khalfan maana yeye alianza akiwa mduchu haswa, watu wazima wa mtaani...
2020-07-02
1h 25
Elimu Podcast
Au Sénégal comme en France, « Faidherbe doit tomber »
Depuis le 25 mai 2020 et le meurtre par asphyxie de l’afro-américain George Floyd aux mains d’un policier blanc, la rue gronde. Des États-Unis au Royaume-Uni en passant par la Belgique, des dizaines de statues d’esclavagistes, colonialistes et ségrégationnistes ont été déboulonnées et détruites. Au Sénégal et en France, la statue de Louis Faidherbe, responsable de nombreux massacres au cours des conquêtes coloniales françaises en Afrique de l’Ouest, pose problème.Elimu Podcast revient sur la campagne « Faidherbe doit tomber » avec ses invités Khadim...
2020-06-29
00 min
Salama Na
Ep. 22 - Salama Na Isaya | KOMAA NAO
Mimi na Isaya mara ya kwanza tumekutana kwenye set wakati tunatengeneza episode hii ya 22 lakini kabla ya hapo ilikua ni kufahamiana tu kule kwa social media na respect kwa kila mmoja wetu kwa kile ambacho mwenzake anakifanya. Kwahiyo mkutano wetu wa kwanza ulikua ndo wa kwanza kabisa na haikua ngumu kuanzisha maongezi kati yetu. Wakati nishamseti ili aje kwenye meza pia niliwauliza wenzangu tunaofanya hii kazi pamoja, kila mmoja apendekeze jina au majina ya watu ambao wangependa waje kwenye kipindi na kila jina liwe na sababu ya kwanini tumpe nafasi huyo mtu. Basi jina lake pia lilikua...
2020-06-25
54 min
Salama Na
Ep. 19 - Salama Na Monalisa | MASHHURA
Kabla sijasema jinsi ambavyo nampenda na kumheshimu mgeni wetu wa wiki hii napenda kusema cha kwanza ambacho nilikipenda kwake kwanza ilikua jina lake, Ms Yvonne Cherrie kisha Monalisa. Rafiki mzuri, mstaarabu na mtu mwema sana. Mona pia ana bahati sana, bahati ya kuwa na Mama ambaye ni hodari na mcheshi ambaye nae alifanya kazi yake ya kuhakikisha bintiye kwanza anafanya yote anayostahili kufanya kama mtoto kabla haja mshika mwanaye mkono na kumtambulisha kwenye dunia ya sanaa ambayo ilitufanya tumtambue na kumpenda pia na pia kuwakubali zaidi kama Mama na mtoto ambao ni mahodari sana. Kwenye...
2020-06-04
1h 00
Salama Na
Ep. 18 - Salama Na Madee | MPAKA MISHALE
Mara zote ukiwaza Manzese kama wewe ni mpenzi wa Bongo Flava basi utawaza Madee tu. Waliosema au alipojiita Rais wa kule sidhani kama kulikua na upinzani wowote, najua kulikua na mtu mwengine ambae alikua anataka hiyo title ila tayari ilikua na mwenyewe ambaye inamkaa haswa. Busara zake za miaka ya karibuni na haswa niseme zaidi mwaka huu ni moja ya vitu vilinivutia kutaka kuongea nae. Maana si mara nyingi kwa kijana ambaye amekulia maisha ya ‘ki gangster’ kuwaza watu wengine au hata kuonyesha kuguswa na kitu flani. Ili mtu afikie kufikiria suala la umri kwenda na kuanza kuji...
2020-05-28
1h 08
Salama Na
Ep. 13 - Salama Na Zuhura | DADAKE
Moja ya watu walopigana vita zao wenyewe kimya kimya na wengine wakashuhudia tu mtu yuko jukwaa la kimataifa na anazidi kusoga. Maana halisi ya nitafanya kama ilivyo ili tuone mbele itakuaje maana Mungu amekua mwema haswa, so kwake yeye hakuna kinachoshindikana na kiukweli kabisa kama wewe ni wa mbili basi utaendelea kuzivaa maana mwenye hizo mbili kuvaa moja abadan! Mimi nilikutana naye kwa mara ya kwanza kwenye mahangaiko ya kazi yangu ya kwanza, radio mpya ilikua imeanzishwa hapa mjini, kwa msaada wa Soggy Doggy Anter aka Chief Rumanyika nikapata nafasi ya angalau kuingia mule ndani na nikakutana...
2020-04-23
54 min
Kenedy The Remedy Podcast
EP 06: Tujifunze Hesabu Zipo Kwenye Maisha Yetu (Victor George - Bingwa Mtetezi)
Hii ni Episode ya kwanza kutoka kwa mwaka 2020, ambapo Kenedy The Remedy Podcast amefanya mazungumzo machache na Victor George katika kuleta elimu ya maisha na kugusa elimu na maisha yetu kwa Ujumla. Endelea kuifurahia Podcast hii, ikiwa ni mojawapo kati ya Podcast mpya za Kiswahili zinazoshika nafasi kubwa sana kwenye Podcasts. Usisahau Ku-subscribe channel hii ili kupata Eposide nyingi kuhusu vijana na maisha. Asante sana!!!
2020-01-13
00 min
Elimu Podcast
Revolutionary Womyn 4/4: Intersections
Drawing from the works, struggles and legacies of Winnie Madikizela Mandela, Wangari Maathai and Stella Nyanzi, our guests-hosts Keitu Malatsi, Njoki Mburu and Diana Kamau discuss their intersections. Music credits: Ablaye Cissoko, “Amanké Dionti” [https://www.youtube.com/watch?v=smZhzpfh-sI] | Sona Jobarteh, “Saya” [https://www.youtube.com/watch?v=m9_37TbI1Q4]. Additional resources: Sadiah Qureshi, “Displaying Sara Baartman, the ‘Hottentot Venus’” [http://articles.adsabs.harvard.edu//full/2004HisSc..42..233Q/0000233.000.html] | Hélène Cixous, “The Laugh of the Medusa” [https://www.jstor.org/stable/3173239?seq=1#metadata_info_tab_contents] | Leanne Simpson, “Islands of Decolonial Love: Stories & Songs”.
2019-10-21
00 min
Elimu Podcast
Revolutionary Womyn 3/4: Stella Nyanzi, Offend and Offensive
A brief reflection on Stella Nyanzi’s work, activism, and her rebuke of respectability politics. Music credits: Juliana Kanyomozi, “Kanyimbe” [https://www.youtube.com/watch?v=jpaMd3kaytU] | Fena Gitu, “Fenamenal Woman” [https://www.youtube.com/watch?v=_G_QgMRGSjE] | Judith Babirye, “Kwata Omukono Gwange” [https://www.youtube.com/watch?v=sU-MJV9fELw]. Additional resources: Judicaelle Irakoze, “Heroism is an Utopia” [https://www.judicaelleirakoze.org/heroism-is-an-utopia/] | Dr Stella Nyanzi, “Dismantling reified African culture through localised homosexualities in Uganda?” [https://www.tandfonline.com/doi/full/10.1080/13691058.2013.798684] | Dr. Stella Nyanzi Barbara Nyanzi and Kalina Bessie. “Abortion? That's for Women!" Narratives and Experiences of Commercial Motorbike Rid...
2019-10-21
00 min
Elimu Podcast
Revolutionary Womyn 2/4: Prof. Wangari Maathai, Roots of Radical Resistance
A story of how one’s roots can inform their interests, their emotions and even catalyse their political activism. Music credits: Miriam Makeba, “Hapo Zamani” [https://www.youtube.com/watch?v=SJpuE2z8cEs] | “Kenya Nchi Yetu” [https://www.youtube.com/watch?v=Qu9PIAzGkCI] | Maroon Commandos, “Amka Kumekucha” [https://www.youtube.com/watch?v=ZH1294snFTM]. Broadening: Wangari Maathai, “The Challenge for Africa” | Wangari Maathai, “Replenishing the Earth” | Wangari Maathai, “Unbowed” | Wangari Maathai, “The Green Belt Movement: Sharing the Approach and the Experience”.
2019-10-21
00 min
Elimu Podcast
Revolutionary Womyn 1/4: Qotha Mbokodo
It starts with a saying that is familiar to every South African “WATHINT' ABAFAZI WATHINT' IMBOKOTHO” which is, “you strike a woman, you strike a rock!” And no one was as unyielding in her pursuits, unapologetically herself, the strongest rock the nation has ever seen. Music credits: Hugh Masekela, “Riot” [https://www.youtube.com/watch?v=Ps7J8caAVWk] | Mbongeni Ngema, “Safa Saphela Isizwe” [https://www.youtube.com/watch?v=Ksqjq8LlDk4] | Simphiwe Dana, “Ndiredi” [https://www.youtube.com/watch?v=gRm74OwziZ4]. Broadening: Winnie Mandela, “491 Days: Prisoner Number 1323/69” | Winnie Mandela, “Part of my soul went with him” | Njabulo Ndebele, “The cry of Winnie Mandela”. P...
2019-10-21
00 min
Corporate Unplugged
Connecting Africa in a Meaningful Way
Nivi Sharma is COO of BRCK, a company connecting Africa to the internet. BRCK is at the cutting edge of frontier market technology needs for connectivity, whether that’s for people or things.Nivi is involved because she has dedicated her career to creating digital access for children, youth, and adults. Nivi is passionate about the potential impact the internet can have on the economic and social development for the 800 million Africans who are currently not connected, although they all have devices designed for a digital world.In 2011, Nivi co-founded eLi...
2019-08-20
26 min
The spread podcast
THE SPREAD | EP 53 | KENYAN LAWS ON ABORTION - part 1
Hello and welcome to the spread. A safe and loving space where we get to express our sexuality with absolutely NO judgement. This is Season 3 and I am your host Kaz. On today’s episode we focus on the new abortion laws in Kenya. I’m going to try explain to you some of the key points that may be relevant to you and some fascinating facts I bet you never knew. I will also take this opportunity to answer a few of the questions that were asked on Instagram and with the help of the court and a pair of t...
2019-07-16
35 min
Elimu Podcast
Sénégal : Petite histoire du féminisme
“On a tendance à situer le féminisme sénégalais dans les années 1960, à l’indépendance. Moi, j’aime bien reparcourir l’Histoire et installer le féminisme sénégalais au 17e voire 18e siècle”. De Ndaté Yalla à Marie-Angélique Savané, en passant par Aline Sitoé Diatta, notre invitée Ndèye Fatou Kane, auteure de "Vous avez dit féministe ?" (2018), retrace les grandes lignes des luttes menées par les femmes au Sénégal ces quelques derniers siècles.
2019-07-07
00 min
Elimu Podcast
Sénégal : Quel avenir pour le pétrole et le gaz ?
Depuis la découverte de pétrole et de gaz au large du Sénégal entre 2014 et 2017, les interrogations sont nombreuses. Quels seront les effets concrets sur la vie quotidienne des Sénégalais ? Pour quelle clientèle ces productions seront-elles réservées ? Comment se prémunir des risques d'ingérence ? Quelles sont les garanties de transparence de ces secteurs ? Qu'en est-il de leur soutenabilité ? Notre invité Fary Ndao, auteur de "L'or noir du Sénégal : Comprendre l'industrie pétrolière et ces enjeux au Sénégal" (2018), revient avec précision sur tous ces points, donnant ainsi des éléments de...
2019-06-02
00 min
Elimu Podcast
Ghana: Is Gold Mining Sustainable?
Ghana, formerly known as the British Colony of the Gold Coast, has been sought after for its precious subsoil reserves for centuries. Needless to say, however, that natural resources do not last forever. Therefore, is gold mining in Ghana sustainable? Our guest Dr. Nathan Andrews, author of "Gold Mining and the Discourses of Corporate Social Responsibility in Ghana" (2019), will be tackling this pressing issue.
2019-04-30
00 min
Cleverly Changing Podcast
Our Educational Experience | Lesson 3
Elle and Miriam go down the road of past experience. You’ll hear how they met, meet their families and their levels of education. They’re sharing how they approach homeschooling and how their matriculation has made them the instructors that they have evolved into. This episode also touches on the wealth of supplementary materials that can take your homeschool experience to a whole other level. HistoryCheck out the oldest university in the world, the University of Al Quaraouiyine. Although their website is written in Arabic, you can read their...
2019-03-01
49 min
Cleverly Changing Podcast
Homeschooling and Unschooling | Lesson 2
We are so glad that you’re listening to our podcast. Our CleverlyChanging podcast is new so we would love for you to share it with your friends who are interested in learning about education, life, and culture. Within these first few episodes, we are sharing our journey to educate and guide our children from home. Please feel free to leave show topic suggestions in the comment section.Word of the Episode! (3:02)Elimu Haitekeki Cleverly Cultured Kids (3:50)My 10-year-old daughters discuss books they would recommend.Grown Up...
2019-02-15
42 min
Elimu Podcast
Kongo : Réactions post-électorales
Le 10 janvier 2019, la Commission électorale (CENI) a annoncé les résultats provisoires de l'élection présidentielle en RDC, proclamant la victoire de Félix Tshisekedi avec 38,57% des suffrages exprimés. Journalistes, représentants politiques, activistes, étudiants ; 10 invités livrent à Elimu Podcast leurs réactions post-électorales. À l'affiche : - Stanis Tshiamala, journaliste directeur de publication adjoint du média en ligne ACTUALITE.CD - Esther Nsapu, photojournaliste indépendante - Fiston Mahamba, journaliste couvrant les questions politiques et sanitaires à l'Est de la RDC, notamment auprès de POLITICO.CD, Reuters, IRIN News ou encore AFIA Congo - Perry Libota, porte-parole en France du parti...
2019-01-20
00 min
Elimu Podcast
#SunuDebat
Un débat télévisé entre les différents candidats à l'élection présidentielle sénégalaise de 2019 ? C'est la proposition de l'initiative citoyenne #SunuDebat, qui prend de plus en d'ampleur depuis le 8 janvier 2019. Awa Mbengue, Abdou Toure et Papa Ismaila Dieng, tous trois relais de l'initiative, sont les invités de cet épisode exclusif d'Elimu Podcast.
2019-01-17
00 min
Elimu Podcast
Kongo (4/4) : Exil
"Lorsque vous vivez dans des conditions extrêmes, elles vous semblent normales. C'est la vie. Mais à partir du moment où vous prenez un peu de recul, et que vous l'approchez d'un point de vue extérieur, vous réalisez à quel point vous été résilient". Pour le dernier épisode de la série "Kongo" d'Elimu Podcast, John Michael Koffi and Rwemera King Solomon Kabagambe nous partagent leurs histoires de vie et nous parlent du phénomène complexe de l'exil. Merci à toutes et à tous d'avoir suivi cette série sur la République Démocratique du Congo. Il est évidemment impossible de couvr...
2019-01-08
00 min
Elimu Podcast
Kongo (4/4): Exile
"When you are living in extreme conditions, they seem normal. That's life. But then, the moment you step out of them, and you are looking at them from an outsider's point of view, you realize how resilient you have been". For Elimu Podcast's final episode of its series "Kongo", John Michael Koffi and Rwemera King Solomon Kabagambe share their life stories and address the complex phenomenon of exile. Thank you all for having followed this series on the Democratic Republic of Congo. It is obviously impossible to cover entirely the broad topics we touched on, but we hope to have...
2019-01-02
00 min
Elimu Podcast
Kongo (3/4): Being a Journalist
"Today with media, most stories you find out are trash talk: so and so said this, so and so denied and that's it. And then, you leave people without them understanding anything of what happened". It is this heavy realisation that led Gaïus Kowene, consultant and multimedia journalist providing his services to outlets such as BBC News Africa, to cover the "extraordinary stories of ordinary people". He is Elimu Podcast's guest for its "Kongo" series' third episode and gives us insight on his inspirations, the journalistic vocation and the difficulties of the profession in the DRC.
2018-12-30
00 min
Elimu Podcast
Kongo (3/4) : Être journaliste
« Beaucoup de contenu diffusé sur les médias, c'est juste le combat des opinions : X a dit ceci, Y a nié. Oui, mais ça nous emmène où ? ». C'est ce pesant constat qui a poussé Gaïus Kowene, consultant et journaliste multimédia notamment auprès de BBC News Afrique, à vouloir couvrir "les histoires extraordinaires de personnes ordinaires". Il est l'intervenant du troisième épisode de la série "Kongo" d'Elimu Podcast et nous éclaire sur ses inspirations, la vocation journalistique et les difficultés de la profession en RDC.
2018-12-26
00 min
Elimu Podcast
Kongo (2/4): Resisting Under Kabila
"When we decide to remain independent, we earn nearly nothing. But we try to live through because we believe firmly in what we do, in the struggle we engage in". Independent journalist and political activist, Luc Malembe knows the risks of resistance. Currently the campaign coordinator of Martin Fayulu's Lamuka International platform in his city of Bunia, he is Elimu Podcast's guest for its series "Kongo". As the presidential election was initially set for December 23rd 2018, now postponed to the 30th, we discuss by his side the security context in the country's Eastern provinces, the controversies around the voting machines...
2018-12-24
00 min
Elimu Podcast
Kongo (2/4) : Résister sous Kabila
« J'ai été arrêté plus de sept fois en raison d'articles qui dénoncent des situations, que le régime ne voulait pas ». Luc Malembe n'en est pas à son coup d'essai. Journaliste indépendant et militant politique, il connaît les risques de la résistance. Actuellement coordinateur de la campagne Lamuka du candidat Martin Fayulu dans sa ville de Bunia, il est l'intervenant du deuxième épisode de la série « Kongo » d'Elimu Podcast. Alors que l'élection présidentielle en RDC est prévue pour le 23 décembre 2018, nous adressons avec lui le contexte sécuritaire des provinces orientales du pays, le...
2018-12-19
00 min
Elimu Podcast
Kongo (1/4) : Un peu de recul
"Qu'il soit fait clair pour tous que le passé ignoré confisque les lendemains". Afin de saisir les enjeux majeurs auxquels la République Démocratique du Congo est confrontée aujourd'hui, et afin de se projet vers l'avenir, nous devons nous rappeler de l'héritage et des continuités du passé. Pour son premier épisode consacré à la RDC, Elimu Podcast vous propose une discussion avec John-Michael Koffi, écrivain et étudiant en Relations internationales, sur certaines bases historiques aux instabilités contemporaines dans le pays. Tous nos remerciements à Manon Mathis pour la traduction en français.
2018-12-16
00 min
Elimu Podcast
Kongo (1/4): Taking A Step Back
"It is not wrong to go back for that which you have forgotten". In order to grasp some of the major challenges the Democratic Republic of Congo faces today and in order to look forward, we must first remind ourselves of the past's legacy and continuities. For its first episode of this series focused on the DRC, Elimu Podcast presents a discussion with John-Michael Koffi, author and student in International Relations, on some of the historical bases to contemporary instabilities in the country.
2018-12-11
00 min
Elimu Podcast
Spéciale Sénégal (4/4) : Politique et contexte pré-électoral
« Je pense qu'elle s'annonce très très mouvementée ». C'est ainsi qu'Astou présente, dans cette discussion aux côtés de Soxna, sa vision de cette échéance si redoutée, qui laisse place aux fantasmes, aux illusions et aux désillusions ; l'élection présidentielle. Alors que le premier tour est prévu au 24 février 2019, nous avons voulu, pour le quatrième et dernier épisode de notre série consacrée au Sénégal, évoquer certaines des nombreuses problématiques politiques et sociales qui bercent le pays aujourd'hui : enfants de la rue et vagues d'enlèvements, loi contestée su...
2018-10-14
00 min
Elimu Podcast
Spéciale Sénégal (3/4) : Jigéen
« Vous faites tout pour que nous vous violions. Et quand nous vous violons, nous allons en prison et vous qui avez tout fait pour qu'on vous viole, vous continuez à être libres ». Ce sont par ces propos d'une extrême violence que Songué Diouf, professeur de Philosophie au Lycée Limamou Laye de Guediawaye, présente dans l'émission Jakaarlo Bi diffusée le 9 mars 2018 sur la TFM, sa vision du viol. Qu'un enseignant respecté pour ses efforts en faveur de l'enseignement secondaire du pays tienne un tel discours nous fait nous questionner plus largement et profondément sur la place des femmes a...
2018-10-07
00 min
Elimu Podcast
Spéciale Sénégal (2/4) : Lutte, Football et le "Dakar"
Que ce soit la séance d'entrainement de fin d'après midi sur la plage de la Corniche, la partie de football sur la plage Malibu Beach de Guediawaye ou le tournoi de lutte organisé à Oussouye après l'hivernage, force est de constater que le sport anime, au quotidien, le Sénégal. Pour le deuxième épisode de sa série consacrée au Sénégal, enregistrée en Mai 2018, Elimu Podcast vous propose une discussion avec Soxna Diop, Saïdou Ba et Keïon Haynau sur la lutte sénégalaise, le football au Sénégal et le Rallye Dakar...
2018-09-30
00 min
Elimu Podcast
Spéciale Sénégal (1/4) : Thiaroye 44
Le 1er décembre 1944, à l'aide de chars, une première rafale de mitrailleuse fauche, vers 8h45, des hommes totalement désarmés du camp militaire de Thiaroye situé à une quinzaine de kilomètres de Dakar. Dans un même document envoyé d'une part à l'autorité militaire et de l'autre à l'autorité civile, le général Dagnan, un des militaires français les plus hauts gradés en poste, évoque respectivement 35 et 70 morts. Mais le bilan est en réalité sans doute bien plus élevé. Pour le premier épisode de sa série consacrée au Sénégal, enregistrée en Mai 2018, Elimu Podcast vous...
2018-09-21
00 min
Elimu Podcast
Modern African Conflicts: Peter Ekeh's Two Publics in Africa
In a context of deep questioning of the post-colonial State in Africa, Nigerian scholar Peter Ekeh publishes in 1975 a seminal piece on the matter: "Colonialism and the Two Publics in Africa: A Theoritical Statement". Rather unknown outside of the African continent by the general public abroad at the time but also up until now, his paper argues that crises in modern African states must be analysed through the societal effects colonialism has had. In it, he exposes what he considers as 'two kinds of publics': the primordial public and the civic public. One individual can be part of the two...
2018-09-08
00 min